Me nipo Canada 🇨🇦 ila Elly unautafuta ustar kwa hali na mali😅😅😂😂
@ellykiswaga13 күн бұрын
Anajiona nani cjui uy mbona analopoka2 et nyimbo mbaya si aimbe yeye izo nyimbo nzuri.. kama ni rahisi pumbavu zake!!...
@neemayatosha161813 күн бұрын
Huyu elly,huwa ana kazi gani,he looks like a stay home dad,who comes to social media to just say anything right after dropping kids at school or summer camp 😂😅. Mara aongelee mapenzi,mara wasanii ,mara ndugu waliomdharau ilimradi tu.
@jesselingard718613 күн бұрын
😂😂😂 Nimefikiri hilo pia
@mylasadick518912 күн бұрын
He’s a pastor
@hopemusictz935313 күн бұрын
Mbosso yupo sahihi🎉🎉🎉
@GbpAud_King13 күн бұрын
Elly David tangu aishi Canada anatoa ushauri una kela sana
@bahatiolivier131213 күн бұрын
Rayvanny alikuwa na show TORONTO akazinguwa kupaform July 6th
@DERICK_SUB_ZERO1812 күн бұрын
Ikionaivo juwa plomota kazingua kwenye malipo maana msani anapewa pesayake akiwa back stejiy
@Mariam-fm8vq13 күн бұрын
Wah mbosso kumbe sio kidogo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ilynpayne749113 күн бұрын
Sishangai watanzania sisi tuna chukua vyakwetu
@ritchiexanti958713 күн бұрын
Kama wamelipwa kwa contract na ilikuwa a professional official issue kwanini aje alalamike social media? Hawa artists wana managers nani kapokea kibunda? This is so petty mchizi ana pigo za kitoto sana🤔 Hawa wasanii ni wakubwa sana hawawezi kufanya ujinga huu under WCB🔥
@jaymandy813613 күн бұрын
Embu kua muelewa bhana Mbosso kishasema hakua na show Toronto sasa unataka tukuamini ww na huyo boya wa Canada??
@sulleymernmannarah793013 күн бұрын
Kumuelewesha a chizi utajipa kazi , achna nae
@ritchiexanti958713 күн бұрын
@@jaymandy8136 nielewe bruh mi pia nawatetea wakina Mbosso
@ISSASHABANI-sw7lx12 күн бұрын
Msanii mkubwa nani
@ursulinenyandindi305112 күн бұрын
Sijui mnaongelea nini lakini watu wa entertainment lazma waje mtandaoni hata kabla ya polisi sababu wao kuongelewa ni faida kwao.. yan hata nyumba ikishika moto kabla ya kjpiga simu emergency , anarekodi kwanza clip ya instastory.
@Stoperanimator12 күн бұрын
anaongea aonekane nayeye upo canada😂😂 na ndio maana analopoka anayoonatu😂😂
@sonnyr189913 күн бұрын
Mbosso kayatimba huyu jama nae anafurahi sasa kawa star rasmi maana huyu pia ni wale watu wa mitandao mitandao ila apa ni kama katoka rasmi sasa 😂😂😂😂
@MasterVoltron-f9w13 күн бұрын
anajua kutumia fursa Sasa tumeshamjua kuwa ni mbongo mwenzetu ila anaishi Canada ila ni mlalamikaji wa mitandaoni😂😂😂😂
Mimi 30 min nipo Vancouver watu hajafurahiya kitendo wamefanya
@MS.independent893413 күн бұрын
Ebuuu kaswaki kwanza uko unatema mate hovyo kama mbwa, kwani kusalimia ni lazima.ww acha ushamba huo ninii makasiriko nyau weee😂😂😂
@flavourboyke13 күн бұрын
Kichwa kinaisha nywele,, ila mbosso bana😂😂😂
@tumainimayala81879 күн бұрын
😂😂
@thadeusmahendeka446613 күн бұрын
Kazi ipo 😂😂😂
@user-sr8tc8ke6q13 күн бұрын
Show za nje huwaga zakitapeli sana
@auntiemylee315712 күн бұрын
Nakumbuka giggy money akilala kochini😂😂😂
@vanessastafford642612 күн бұрын
Kwa kweli nyimbo zao ni mbaya, matusi tu. Hakuna ujumbe wa ku last forever. Komo Sava nyimbo nzuri sana
@jemaarsen699612 күн бұрын
Kama unataka ujumbe kasikilize gospel music
@hamismohamed354110 күн бұрын
Safi sana
@marleshjimmy197212 күн бұрын
Sky anavyo fafanua rahaa kbx 😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌❤️
@gang_knock13 күн бұрын
Uyu kweli shangazi 😂😂😂
@dullydebadest573813 күн бұрын
Bwana weeeee asitufokeeee🤣🤣
@Maishacanada13 күн бұрын
Mbosso hakuepo
@itNeza13 күн бұрын
Hamna Kijana anachuki zake tuu, Kama mkataba Hausemi Nisisemi lolote Kwanini Nivifanye ? 🤔😎
@issabaraka240412 күн бұрын
Simuoni sawa huyo mjinga kila kitu yuko shenzi😢😢😢😢😂😂😂😂
@AugustinMuswabantu12 күн бұрын
Hapo kwenye nyimbo mbaya sasa😂😂😂
@straightkonect161312 күн бұрын
Ngoja kidogo bro hivi unaelewa maana ya SPECIAL APPEARANCE?msanii alipwe appearance halafu ashike mic?Rudi shule jomba
@auntiemylee315712 күн бұрын
Ni content anatengeza😂
@reaganmethod330912 күн бұрын
Guest appearances Huwa haimbii alalamike kama kawalipa ili wafanye show
@mariecruz92112 күн бұрын
Kwa hyo atoke tz aje Canada afike mpaka eneo la tukio alafu wakatae kuimba?hakuna anaetaka kuharibu jina lake kiasi hcho! "Tafuta pengine pa kutokea bro, kiki waachie wenyewe"✌️
@Legends_Interviews12 күн бұрын
Waambie kuomba yenyewe live hawajui
@masoudabdoul844713 күн бұрын
Ka' senge😂
@allymwilu808912 күн бұрын
Jamaa kanyooka sana watoto wanavimba sana alafu nothing
@mohayussuf205713 күн бұрын
Wasanii wa bongo Wana nyondo
@mkulimatanzania12 күн бұрын
Uyu Elly ni mjinga mjinga tuu hana kazi maalumu Canada. Elly kuzamia ulaya kusikubweteshe vijana hawa wamekuzidi akili, umaarufu, ela nk kwa iyo acha wivu deal na management yao they are now working professionally sio kama we nasikia uko huna kazi maalumu umesoma njoo bongo tumikia nchi yako acha kuangaika Elly. Wivu unaua kaka
@surusuru199412 күн бұрын
Asate mbosso
@Zenny8913 күн бұрын
Boss kamjibu kunya jamaa Sababu msela anaishi Canada🤣
@LyonWalker_12 күн бұрын
anajua maana ya special appearance limemshuka
@oscafrica113 күн бұрын
$4000 bro hata wewe Elly ungeshika mic bro?..I understand wao kuwa na nyodo za kijinga but bro Buku nne ni ela ya wiki ssa kama unataka starehe unemfuata Vancouver 😂😂😂
@ramadhaniwasafi451612 күн бұрын
huu ana ropokatu panya mkubwa kwanza yeye asalimiwe kama nani? ndo kutafuta kiki hio sasa
@emmasonanjawe904212 күн бұрын
Basi huyo jamaa ndo hajaekewa anamakasiliko
@constanciomarcos548413 күн бұрын
Sky zugumuzia show ya alikiba canada
@babasarahprovideo13 күн бұрын
Huo ni ukweli na tabia hizo ndomana mkiandaa show zenu mnakosa watu watu 100 nichangamoto hao mnao wazarau eti ninyi brand ndo wanao wa support mziziki wakiswahili utabaki uko bongo tu sio usa au Canada ndomana wa Nigeria wanawagaragaza wana discipline
@MasterVoltron-f9w13 күн бұрын
Duh eleweni kuwa mbosso hakupiga show Toronto huyu jamaa anakurupuka
@MasterVoltron-f9w13 күн бұрын
Huyu jamaa alitakiwa aseme wasanii lakini amekosea sana kumtaja jina kabisa sasa hicho ndo achokuwa anakitafuta ajibiwe maneno na kashifa huyu jamaa anajikuta cake 😂😂😂 Akajua akimu-attack mbosso, Mbosso atakaa kimya oohoooh😂😂😂😂
@mmassyferguson495913 күн бұрын
Mbosso ungemjibu kistaarab tuu bila kujal yeye amukuuliza vp kumbuka ww ni msanii ni kioo cha jamii
@kshayofurniture294113 күн бұрын
Kwani Canada ni ulaya 😂😂
@R1Lifestyle-f6n13 күн бұрын
america
@neemayatosha161813 күн бұрын
@@R1Lifestyle-f6n waswahili abroad wanaita ulaya🤣🤣,sasa lakini ye ni leprofesseri ila bado anaita Canada ulaya .........
@R1Lifestyle-f6n13 күн бұрын
@@neemayatosha1618 mambo ni mengu ndugu yangu.. mitandaoni hii ina mengi🤣🤣
@all497013 күн бұрын
Mambo yamebadilika sana, now days wabongo wengi wanaoishi Marekani ndio washamba, waropokaji... 😂😂😂 Dogo povu limemtoka kisa Mbosso.. 😂
@hadijagere13 күн бұрын
Mwijaku wa ulaya 😂😂😂😂 ndio wale wale roho za korosho
@rogersdavis305813 күн бұрын
Huyi nae tangu awe nje ya nchi mashauzi kibao
@abdulhamidbasha210813 күн бұрын
Jamaa kawapa ukweli
@user-hj4bc5uh2x13 күн бұрын
Yah
@BenjaminNickson12 күн бұрын
Who this guy
@ms123ru13 күн бұрын
Kwan marekani ni ulaya 😂😂
@aftapat536512 күн бұрын
😂😂😂😂
@LastMsusu13 күн бұрын
HUJUI MANA SPECIAL APPLIANCES
@user-ki9wu6no3d13 күн бұрын
Ila dola 4000 ni ndogo mno
@user-if6xd4hz4p12 күн бұрын
Weeew akuna mtu naemshamba
@SaraphinaKidoti-qe7gi12 күн бұрын
Canada ni ulaya mm nlkuwa sjuw
@dollabrucy13 күн бұрын
Kwa wasani wa Bongo mtasikia vituko vingi mboso ametapeliwa na pck hataki tu kusema tena wasani wenu waki tanzania wawe ma Professional kwenye show pakiwa itilaf alie anda show ndo huwa anaandika nini imesababisha show isikuwepo sio msani… show inaanda mtanzania na mcongomani ikifeli eti wa naijeria hawatupendi
@MasterVoltron-f9w13 күн бұрын
Vitu vingine ni private sio kila kitu mtu aseme kwenye social media.Sasa ataakisema ametapeliwahio pesa haito Rudi ng'o
@albertkadyanji972212 күн бұрын
Wcb wapo smart kwenye hizo ishu ayo maoni yako mzeeeee
@AminaAbdullah-ws3wy12 күн бұрын
Tuwasamee
@nadiaamisha295813 күн бұрын
Hivi kwa nini watu wengi wa Africa wakifika kwenye hizi nchi za watu wanajiona wamefika 🤣🤣🤣una uhakika uko Canada 🇨🇦 🤣🤣🤣🤣mbona hufanani na Canada 🙄🙄🙄
@sarastephano340913 күн бұрын
mbosso hajamuelewa huyu Kaka anacholalamika Ni kutokusalimia mashabiki sio kuperfom
@kingoflove953613 күн бұрын
😂😂kwani yeye ana juwa kutunga nyimbo 😂😂
@linnerphilip426013 күн бұрын
Htuyu mkaka atakuwa na hangover wasafi hawabaga mbambamba
@DattiKassim13 күн бұрын
Sasa kati ya wasanii hao wasanii hao wajinga tu rayvanny wazee kiki
@silverman693013 күн бұрын
Talking none sense… go bed … if you don’t have their numba I can give you …:
@dvjtwentyfivedecember439813 күн бұрын
Jamaa ana hoja asikilizwe.
@HoseaBeltha13 күн бұрын
Kwan marekani na Canada ni ulaya kweli? Anatuchukuliaje huyo jamaa? Alafu anaapa eti hawatafanya tena show Canada Kama vile nchi ya baba ake.....
@Stevekapugi13 күн бұрын
Mjinga huyo canada ni ulaya yaani hata hajui anaishi.wapi😂😂😂😂😂😂
@chesco924113 күн бұрын
Kwani Canada Iko bara Gani mjuaji?
@magigegeofrey450713 күн бұрын
North America
@verbalverbal201913 күн бұрын
"Hizo nyodo bakini nazo huko bongo, ndiko watu wanakopapatikiapapatikia watu, sisi huku ulaya tunapapatikia pesa.." 😂😂😂😂😂 Hivi kweli kabisa mpaka leo bado kuna watu wanaamini ukiishi ulaya ni mjanja, hizi akili za kizamani sana, halafu usikute alipambana kishenzi aende ulaya, yaani hapo usikute anajiona amefanikiwa kishenzi😂😂😂😂... PIMBI!
@ATM_FAMIL13 күн бұрын
KICHWA KIKUBWA AKILI NDOGO! Hawa ndo wale watu! Ukiongea kizungu we msomi... NYEUSI CHAFU NYEUPE SAFI.... tuwaache wata zinduka tu na watajicheka wenyewe
@hamisijumanne413713 күн бұрын
Yani masta wabongo bwana apo mtandaoni kujisifu kwamba wamelipwa pesa nyingi kumbe teni tu
@youngsachafurniture548213 күн бұрын
😂😂😂
@davidshaban737513 күн бұрын
Huyu jaamaa nili mu unfullow kila mahali sipendi namna yake ya kuzungumza.
@shyfettymtunda461913 күн бұрын
Wewe ni kama mimi.Sikuwa napenda namna anavyowasilisha hoja zake,ni mjivuni f'lan hivi.Nikamu unfollow kila mahali.🚮
@davidshaban737513 күн бұрын
@@shyfettymtunda4619 Aiseee!! I'm glad we share the same thing in life.
@pendonoor886913 күн бұрын
Mimi sipendi jibu la Mbosso. Kawaida wewe ukielewa maana ya PR, ungemwacha tu, sio lazima uwonyeshe makali yako! Kuna wakati silence ina faida au tu umwelezee points zako kuliko kutumia maneno ya kejeli!
@jaymandy813613 күн бұрын
Yaani azushiwe habari za uongo na kutukanwa kisha akae kimya hivi ww wa wapi?
@pendonoor886913 күн бұрын
@@jaymandy8136 simaanishe hivyo. Anaweza mwelezea kwa mafupi bila kudondosha maneno ya hasira. That's my point. If someone goes low, you just go high!
@jaymandy813613 күн бұрын
@@pendonoor8869 sio kila mtu atatukanwa kisha akae kimya kwaio Mbosso alifanya pw sana kumjibu huyo boya kwa hasira sana maana next time that bozo Will think twice before attacking Mbosso again on social media
@lakasid386013 күн бұрын
@@jaymandy8136Mbosso ni brand hakutakiwa kujibu hivyo elewa hilo iyo kazi angeiachia management wamshtaki uyo jamaa kwa taarifa za uongo na sio kuanza kuchambana nae
@pendonoor886911 күн бұрын
@@jaymandy8136 umemskia Mbosso Sns? Sasa?
@erqmusic597313 күн бұрын
Sky watu kama hawa usiwaangiazie wanachuki binafsi broooo
@ALCADOJAMES13 күн бұрын
Hili nalo limetokea wap nan kakwambia ulipie mjinga sana
@user-tz7sw8wj5x13 күн бұрын
Mfagia choo ulaya
@ndukulusudikucho_13 күн бұрын
nani ana nyodo sasa? huyu jamaa hata jina simjui ila ana force umaarufu saaana , anaongea shombo saaana kwenye video zake, kuna majamaa wapo Canada tokea uhuru lakini huwasikii wakiongea kwa nyodo, ki ukweli hawa ndugu zetu walikuja dar kwa ajili ya masomo alafu wakapata fursa ya kwenda ulaya wana nyodo saaana, Wabongo wanapenda kufuatana fuatana hadi makalioni , maisha wanayoishi tz hadi wakija huku, hao jamaa ni wasanii wakubwa Tz wape heshima yao
@Uchukhan_13 күн бұрын
Ukitoa ushabiki Utamuelewa Nn Anaongea Ila Km unaushabiki Utaelewa
@peloabandelwa692713 күн бұрын
Kwani wewe unaishi canada
@sulleymernmannarah793013 күн бұрын
@@Uchukhan_Sasa c ameelezew kuwa Mbosso hakua na show Canada
@rahjah588213 күн бұрын
Basi wewe unapenda matusi kwanini unalipa mjinga wewe?
@mtzhalisi223213 күн бұрын
Mbona mboso anajibu kama mtoto wa kike vile??? Au ndio bwabwa tenaaaa?? Huyo ni shabiki yako ulipaswa umueleleze tu ki gentle man!! Watanzania tunajua ni van boy ndio alipaswa kuperfom toronto na sababu zake amesha weka wazi kwa nn ilishindikana na amesha eleweka!!
@zahararamadhanisalmu39512 күн бұрын
😂😂 yaaaani uyo kaka alivyo nalipua alafu anajiongelesha2 kwan kuna m2 alimuomba aende uko kwenye show