Today uneongea ukweli. Mtangazaji PTV mjinga anataka kuchochea mengine kuhusu haya makofia Yana nini?? Ila meneja umeyakwepa big up sana. Umejibu point 🤝💪👊💯
@FrankLameck-m3j2 сағат бұрын
Acha kutafuta Kiki wewe mlinzi afukuzwe anakosa gani mond mwenyewe karidhika na hiyo hali, we mlinzi umwambie tuondoke umekua nan
@joymkenya23594 сағат бұрын
Kwani hao ndio nani 😂 ni watu wa kawaida ila tu ni vile wametamani vya dunia kupitia freemason