Рет қаралды 30
Kol 3:12
Paul alliwashauri waache njia ovu kwa kukumbushaHatu mateso Yesu aliyoyapataHatupaswi kuenenda kadri tunavyo taka, lazima tufanye kama kristo atuongozavyo.
Ili watu watuonapo, waseme hawa ni watoto wa Bwana Yesu. Tunatakiwa tusiwe na matengano, tusichukiane bali tupendane, tuwe wamoja kwan sisi ni viungo katika mwili wa kristo.
Gal 5:22
22 Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumili vu, wema, fadhili, uaminifu.