Dah!😭😭😭😭😭😭 MUNGU akupumzishe salama hatuna mengi zaidi ya kukuombea kwa mungu akupmzishe salama east africa kwa ujmla wake tumepata pigo kubwa sanaa.R.I.P.
@AlexMagori4 сағат бұрын
😢😢 inauma sana Mzee ahamedy
@kapanikapani52804 сағат бұрын
😭😭😭mungu ailaze pema roho ya marehem mzee wetu Ameen🙏
@Hazactz3 сағат бұрын
Innalillah wainnaillah raajiun Allah anifanyie wepes katika maisha ya kaburi
@BenjaNetanyahu3 сағат бұрын
Duuu, aisee,, mzee wetu kipenzi, pumzika kwa amani, na mwanga wa milele ukuangazie😢😢😢 BWANA ametoa na ametwaa jina la MUUMBA lihimidiwe
@MozaAHimid26 минут бұрын
May your soul rest in peace in Jannah firdaus uncle Ahmed Rajab 💔😭Ameen. Inna lilahi wainna ilaihi rajiun
@SebastianKaleya4 сағат бұрын
Rest in peace
@aabedi5414 сағат бұрын
Inna lilay wainnalilay raj unna Nilikuwa nikimfatilia toka zamani ikitumika BBC swahili redio