Huyu jamaa mbona haeleweki mara yanga mbovu mara leo mtaikoma dahh😂😂😂😂
@JumaAli-u5s9 күн бұрын
Yanga daima ni bora ni pale tu inapo tokea bahati mbaya timu inaweza ikafugwa kwani hata timu kubwa uraya zinafugwa juma toka mbarara Uganda 🇺🇬 mtanzania harisi 🇹🇿
@ZuhuraKilunga9 күн бұрын
Yanga bingwa
@SaidiUmari9 күн бұрын
Mkalaboko mzee wa makavu yuko seriously nyeusi nyeusi nyeupe nyeupe
@comsmkemwa26719 күн бұрын
Hapo kwenye uraia wa wachezaji hapana ! Home boy mkalaboko umeniangusha
@matrida.lunyilija51969 күн бұрын
Goti la makolo limevimba 😅😅😅😅😅😅😅😅 wavunja viti fc mmemsikia,mkalaboko
@KapeLoBoY9 күн бұрын
hahhhahhahaa et chizi wa ushuwani
@rajabukitego16629 күн бұрын
Kwa,mech,ipi
@PatridaMraponi9 күн бұрын
Anayeuliza kwa mechi ipi mbona wao tuliwafunga mara nyingi hadi msimu huu tushawalaza
@markmangaya49479 күн бұрын
Bro Yanga kamfunga nani?MCAlger au nyinyi ndio mnaowabwetesha Yanga,leo wanapiga kelele eti wameshinda 5 wao,Gemu zakufudhu mashindano makubwavchali..
@Monikadanieli9 күн бұрын
hata wachambuz wengine hawana naana kwahyo tanzania hamna vpaj mpaka mnunue vibaka