Mchome kusain mchezaji daraja lachini siohoja inategemea kiwango cha huyo mchezaji kuna mchezaji anauwezo kuliko hio timu yake ndo anakua anahitaji timu kubwa ila anakitu mwilin mchome
@Mary-fs4mc5 ай бұрын
YAANI KANJIBAHI AKIIACHA SIMBA BASI MJUE ATAKUWA KISHA JIMILIKISHA KILA KITU, ANAWAACHA WEUPE😅.
@SaidiMndeme5 ай бұрын
Wahindi tolii nyingi hakuna bosi mdosi duniani Simba fukuza huyo shoga
@KudraMahene5 ай бұрын
Kumbe huyu jamaa ni mtu wa kigoma
@RusanzuRubigo5 ай бұрын
Uko fresh kiongozi,mi nashauri uondoe neno "mapovu"maana unatema fact tupu
@SalfoMushi5 ай бұрын
Mchome nikajua jina lako la ukoo la upareni
@ATHUMANKIVURUGA5 ай бұрын
Uko sawa mwana soka
@ShaibuLikwema5 ай бұрын
Uyo ni sio shabiki
@yusuphmwaigomole31045 ай бұрын
Nawe mchome ni tatizo tu coz kazi Yako ni kuisifia yanga tu na kuiponda tu Simba .We achana na yanga ipambanie Simba Yako kunanamna haupo sawa
@tumainimalulu77085 ай бұрын
Ukisema ukweli kumbe ni tatizo
@mwanangusana5 ай бұрын
Kwaiyo ...... Mmerizika na utambulisho wa cesor lobi manzoki 😂😂😂😂😂 au mmerizika na ufadhili wa interview za mchambua mchele kule Cairo ??? Basi endeleen kumuona mchome aduii 😂😂😂I
@yusuphmwaigomole31045 ай бұрын
@@mwanangusana Hapana but yeye Kila anapoiponda simba lazima aihusianishe na yanga siyo sawa. Ni kama umeoa Kila udhaifu wa mkeo unalinganisha na ubora wa mke wa jirani yako
@mwanangusana5 ай бұрын
@@yusuphmwaigomole3104 Kaka udhaifu wa kitu kinapimwa kwa ubora wa kitu .... Sasa umeona wapi udhaif ukapimwa kwa udhaif ndugu yangu 🤣🤣 , ili upatikane ubora ushindanishwe na aliye Bora zaidi ...... Basi kama hamtaki kujifunza kupitia yanga basi jifunzeni kupitia mtibwa sugar 🤣🤣🤣
@ototek80375 ай бұрын
Ukweli usemwe, tuambie aisifie simba kwa mpila upi na aiponde ynga kwa mabaya yapi
@Chamlola5 ай бұрын
Mchome ni msema kweli siku zote jamani
@erickthabiti77145 ай бұрын
Nakubari mchone
@BakariChinowa5 ай бұрын
mchome we unajua unaongea ukweli
@JosephTibu5 ай бұрын
uyu kunawakati mwingine anakua na akili kidogo ,japokua hua simkubali
@mashakalonka77675 ай бұрын
Mchome nimekuelewa brother,unajua mpira halafu nimeelewa kwa nini una I.Q kubwa!.
@ISAACMBAGO5 ай бұрын
Hapo umenena! Na umesema ukweli, simba hamna maajabu. 😂😂
@RosePetro-ck8pt5 ай бұрын
Mchome mpira unajua my home boy
@benjaminlikungwara135 ай бұрын
Tujifunze kuukubali ukweli
@benjaminlikungwara135 ай бұрын
Tukubali ukweli
@DenisiSanga5 ай бұрын
Mchome tunakushukuru kwa kupambania Simba yetu chukua mauwa yako
@Bosskabila975 ай бұрын
Mchome unaongea ukweli mtupu 😂😂
@OmariAlly-b3c5 ай бұрын
Mchome ukwel mpla waujua
@davisbwatwa1155 ай бұрын
mwongo ww acha umbea
@MeckMsea-cx1ct5 ай бұрын
Mjingga sana ww siyo shabi wa simba mm nakuchukia. Kwenda mide unaiponga. Simba kila siku sikupendi ungozi wa simba huyu mtu