MCHUNGAJI ATANGAZA VITA NA G4 64 KISA CHASAMBI "Wote wanaomkosoa Chasambi NITAPAMBANA NAO BINAFSI"

  Рет қаралды 29,507

EastAfricaRadio

EastAfricaRadio

Күн бұрын

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 70
@ErickPius-q4p
@ErickPius-q4p Күн бұрын
Mchungaj yuk saw kabs 🎉🎉🎉
@RichardMwita-g8t
@RichardMwita-g8t Күн бұрын
Mchungaji yukosawa
@fredylucas2484
@fredylucas2484 Күн бұрын
Mzize mwaka jana alikosa goli yeye na wavu kwenye Klabu Bingwa kule Afrika Kusini lakini Yanga hawamkusema sana Mzize
@immaxOsborn2120
@immaxOsborn2120 Күн бұрын
Leo mchungaj anapoint
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb Күн бұрын
Kwani chasambi ni mchezaji wakwanza kufanya kosa au unampigia debe iliaende yanga.
@davisbwatwa115
@davisbwatwa115 Күн бұрын
chasambi ni kutulia acheze mpira maneno ya uto yasiwasumbue endeleeni kuandaa timu viongozi
@BruzakisadikiDadi
@BruzakisadikiDadi Күн бұрын
kwl kabisa mchungaji we mkweli
@RobertHongo-q6d
@RobertHongo-q6d 19 сағат бұрын
Uko sawa mchungaji wanamtoa dogo mchezon
@RuhumurizaGerald
@RuhumurizaGerald 12 сағат бұрын
Kwa mara ya kwanza leo nakubaliana na Mchungaji. Toka Kampala
@WaziriMbwana-f8r
@WaziriMbwana-f8r Күн бұрын
Unasema kweli baba uko sahihi asilaumiwe ni mchezo na kamala je
@perepetuajohn
@perepetuajohn 14 сағат бұрын
Wakomee kabisaaa kumsema huyo chasambi, mtoto wa nyumbani mbona hata hao wageni wameisha chomeshaa
@abdulhamisi3137
@abdulhamisi3137 Күн бұрын
Anayo msakama chasambi n mjinga wa flaiover .😢
@RashidiWhite
@RashidiWhite Күн бұрын
Huyoo kamara amefanya makosa mangapibina kimyaa na manula amekosea Mara ngp mbona anawekwaa bechii hata mechi ndg mmeshusha mpaka had hii yake
@HijiSaleh
@HijiSaleh Күн бұрын
Kiliopo time ipunguze kuanza kilamara mipira ya nyuma
@Juakalii2025
@Juakalii2025 Күн бұрын
Wasisahau camara alichoma siku ya yanga pia
@YohanaJumanne-v3v
@YohanaJumanne-v3v Күн бұрын
Chasambi kwa tumeaaa wewe Mchungani komaaaaa tena toka kwa jina la Yesu
@perepetuajohn
@perepetuajohn 14 сағат бұрын
Hawezi kamara kumzidi Aishimanura ubora msijidahaurishe nyie Simba keasababueti kamara ni mgeni, mthamini hata wachezaji wetu wa Tanzania ni Bora kuliko hao wageni.
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 Күн бұрын
Pamoja na Uyanga wangu Mchungaji uko sahihi,kwa nini kosa la Camara apewe Chasambi? Camara kwa ubora wake hawezi kuruhusu goli kama lile.Fikirieni kama lile shuti lingepigwa na mchezaji wa Fountain gate angelaumiwa nani? Ila hilo la Simba kuchukua ubingwa umelopoka tuu hicho bado ni kitendawili kigumu.
@geophureysamsoni5033
@geophureysamsoni5033 Күн бұрын
Chasambi aende yanga
@SalumHassan-y6k
@SalumHassan-y6k Күн бұрын
Mtajijuwa wenyewe msitupigie kellele
@AndrewMwalenga
@AndrewMwalenga Күн бұрын
Tugange yajayo tusimkatishe tamaa dgo ,,wadau ,,,Simba ubaya ubwela
@AmaniMwankili
@AmaniMwankili 23 сағат бұрын
Mchungaji upo sawa ww ni mtu wa Mpira tatizo kubwa kwa makolo ni kuenda uwanjani na matokeo hiyo ndio shida yao kubwa
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Күн бұрын
Icho kilicho tokea kwa chasambi kiendelee kisiachie apo
@davisbwatwa115
@davisbwatwa115 Күн бұрын
hao wala mihogo uto wanawasumbua,kwani kwenye kimataifa hawamo mambo yao ni yahovyo ss tupo imara waache watasema mwisho kimya
@abdallahshariff6555
@abdallahshariff6555 Күн бұрын
Mchungaji Wacha kulaumu wa hezaji,muwe mashabiki wenye kujielewa,
@AbdulNassir-k7m
@AbdulNassir-k7m Күн бұрын
Mumekutaba apo wote ni yanga uyo mchungaji kwani yeye ni nani aondoke simba yeye na chasambi....ungekuwa mtu wa mpira usingekuwa na njaaa za kwenda redioni kuwasema mashabiki wanaoitakia mema simba mbwa ww mchungaji
@ZiadaAhmad-cs1sy
@ZiadaAhmad-cs1sy Күн бұрын
Puguzeni midomo nyie mna midomo sana
@InosMakelemo-y9z
@InosMakelemo-y9z Күн бұрын
Chasambi mpumbavu sana
@MsuyaMgeta
@MsuyaMgeta Күн бұрын
Hata nyie wachambuzi mnachochoea mambo sana kwani kuna mambo mangapi ya kimpira ya kuongelea mnabesi kwa chasambi
@AllyMasangaluka-bm5ib
@AllyMasangaluka-bm5ib Күн бұрын
Tumeshagusisha shotihapo
@JanethHaulle
@JanethHaulle Күн бұрын
Mchungaji hauna akili
@SweetbertaSamweli
@SweetbertaSamweli Күн бұрын
Leo mchugaj kajua kunakukosea maajabu
@AmiriMalenge-kc5jk
@AmiriMalenge-kc5jk Күн бұрын
Jibu nikwamba wanamkumbatia Chasambi kwakua kibu ni majeruhi😂😂
@ernestkamata2555
@ernestkamata2555 Күн бұрын
Wanamkumbatia Chassambi, kwahiyo wewe unadharau ubora wake au unajiongelea tu. Kosa alilofanya ni lakawaida tu
@IssaAbdallah-rt2sh
@IssaAbdallah-rt2sh Күн бұрын
Wewe mtangazaji mbwa jb hajamlaum chasambi
@ZiadaAhmad-cs1sy
@ZiadaAhmad-cs1sy Күн бұрын
Punguza mdomo wewe sio mchungaji machungwa fisi wewe sio Mungu punguza Domo lako
@kaziburejuma8313
@kaziburejuma8313 Күн бұрын
Chasambi ni mali kweli Ni hasira tu mchungaji pia wasamehe washabiki
@jacksonelphas7256
@jacksonelphas7256 Күн бұрын
Kafungisha goli full stop kasemwa samatta yeye nani
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 Күн бұрын
Kwani wanao msema ni Yanga? Yanga tunampongeza!
@saidmbarouk3553
@saidmbarouk3553 Күн бұрын
😂😂😂
@Zivago12
@Zivago12 Күн бұрын
Wana simba muwe makini. Hawa wanao koment humu, wengine ni yanga , wanatugonganisha fichwa
@JanethHaulle
@JanethHaulle Күн бұрын
Uwe unajuwa unachokiongea usiongee tuu
@DouglasBilishanga
@DouglasBilishanga Күн бұрын
Wachambuzi wote wa nchi hii wanataka kumpoteza Chasambi.Kwani kuna jambo gani mchezaji kujifunga.Wachezaji wakubwa wa nchi hii ni mara ngapi wamejifunga wakiwa na timu ya Taifa star.Yanga ikiwa na kauli mbiu ya kupindua meza Zambia Makame alitungua bonge la bao kwa Yanga mbona kelele zilikuwa chache.. Wachambuzi nyau kabisa
@HusseinChuse-u8h
@HusseinChuse-u8h Күн бұрын
We mchungaji nilikuwa nakusikiliza lakini sasaivi nishaona hujui kuongea
@DelightfulJasmine-dw2jy
@DelightfulJasmine-dw2jy Күн бұрын
Ww unaongea football, sio uyo mchungaji Ana mihemko sana
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 Күн бұрын
Huyu ni mchungaji wa nini?? Huwa anatabiri ujinga kila cku. Kwa Chasambi upo sahihi.
@wilbartkiyeyeu7885
@wilbartkiyeyeu7885 Күн бұрын
Samba washamba wangapi wamekosea au Kwa kuwa Yule dogo
@SaidChande-g4e
@SaidChande-g4e Күн бұрын
Nani mtoto !!!! Chasambi performed unprofessional or had a purpose because that was not a back pass ! Chasambi shoot 🔫 to score my friend! Soccer fan from kenya 🇰🇪
@barakachristopher2504
@barakachristopher2504 Күн бұрын
Chasambi kakosea ila ni part ya kujifunza. Ila yeye ni kiungo mshambuliaji watu wanajua washaondoka yeye anarudisha mpira wa ghafla alafu kwa shuti kali.
@BensonMbuna-f2s
@BensonMbuna-f2s Күн бұрын
Sahihi mtu wa mpira huwezi kulaumu bw mdogo,makosa yapo kwa kila mtu,inakiwa tumpooza!!!
@ShomariAthumani
@ShomariAthumani Күн бұрын
Simba acheni tabia zakijinga kama kakosea munatakiwa mutafute muda kuzungumza nae kama mtoto wenu sio kumsema mitandaoni
@SalvatoryMtunga
@SalvatoryMtunga Күн бұрын
Ukitaka kujua mashabiki maandazi ndo hapo sasa.
@mrrockboy9508
@mrrockboy9508 Күн бұрын
Wewe sio mch wewe mchumba tu. Chasambi namba siile ile
@SweetbertaSamweli
@SweetbertaSamweli Күн бұрын
Sisi yanga tunampongeza kafanye vizur nyie Simba ndo mnakamdomo acheni mdomo wanasimb mbn yanga aina mdomo kama nyie
@BenjaminEdward-b6p
@BenjaminEdward-b6p Күн бұрын
Kwanini kila mitandao chasambi inaonekana nchi hii malimbukeni wengi watu wamesahau majukum yao kila siku chasambi tu acheni ujinga fikirini mpira unakoelekea
@SalvatoryMtunga
@SalvatoryMtunga Күн бұрын
Kuna walimu wa upe wanaojitambua na wale wasio jitambua, chezea Jpm wewe.
@LukasMakunda
@LukasMakunda Күн бұрын
Nyie wajinga wote chasambi kafanyabkosa kubwa sana analipwa mshahara ile kosa wenda wazmu nyinyi
@dicksonpaschal8247
@dicksonpaschal8247 Күн бұрын
Mchungaji Gani huyu anaongelea mpira Kila cku
@anthonymilinga8696
@anthonymilinga8696 Күн бұрын
Wewe inskuhusu nini! Fanya kazi zako uishi maisha yako acha kuchunguza maisha ya watu
@RashidiWhite
@RashidiWhite Күн бұрын
Hiyoo ni timu ya wahuni u kwelii usemwee hata bungenii military na wahuni eti kisa mmeigunga, tabora, iliifunga, mume wenu yanga duu vikojozi FC, mnahebwa, mnoo AIBUU
@sittandaki2135
@sittandaki2135 Күн бұрын
Pameanza kuchangamka sahiviiii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 makolo macho mekundu sahiv😂😂😂😂😂😂😂😂
@barakadagobert439
@barakadagobert439 Күн бұрын
😸😸😸
@Laurentjoseph2001
@Laurentjoseph2001 Сағат бұрын
Kuchangamka mbona kulianza muda 😅😅😅😅😅, sahv kelele za simba kubebwa zimeisha imebaki chasambi ngojeni mtarudi Tena 😂😂😂 utopwax nyie
@maryfides591
@maryfides591 Күн бұрын
We sio mchungaji waukweli labda nimchungaji wa nguruwe mchungaji Gani unashabikua mambo ypila wakati wewe unatakuwa ukachunge kondoo wako
@laninjeje8290
@laninjeje8290 Күн бұрын
Huyu sio mchungaji ni shoga, anagongwa nyuma kila siku, chasambi alifanya kwa makusudi tofauti na che Malone
@laninjeje8290
@laninjeje8290 Күн бұрын
Acheni kumuita mchungaji, jamani huyo ni shoga anagongwa nyuma kila siku 😂
@jasminekungulilo4063
@jasminekungulilo4063 Күн бұрын
Wewe ulijuaje basi na wewe mshirika
@anthonymilinga8696
@anthonymilinga8696 Күн бұрын
Inaelekea mligongana wewe na huyo mchungaji ndio maana umelijua hilo
@alinanusweedward2952
@alinanusweedward2952 Күн бұрын
Acha Upumbavu wewe
@ZiadaAhmad-cs1sy
@ZiadaAhmad-cs1sy Күн бұрын
Puguzeni midomo nyie mna midomo sana
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
Cheerleader Transformation That Left Everyone Speechless! #shorts
00:27
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
黑天使被操控了#short #angel #clown
00:40
Super Beauty team
Рет қаралды 61 МЛН
🔴#LIVE: PLANET BONGO
EastAfricaRadio
Рет қаралды
Zelensky reveals Putin’s plan / Russia loses territory
12:10
NEXTA Live
Рет қаралды 287 М.
Waziri Doto Biteko Apiga Aya za Qur'aan Mbele ya Masheikh
26:02
Kishki Online TV
Рет қаралды 10 М.
Malaysia's Minister Says Growth Set to Surpass 5% in 2025
28:42
Bloomberg Television
Рет қаралды 34 М.
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН