#CloudsDigital ipo mubashara na Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Mtumishi Josephat Gwajima, watangazaji wako Babbie Kabae, Sam Sasali na Hassan Ngoma... #Clouds20 #MalkiaWaNguvu #Clouds360
Пікірлер: 484
@joshuabartonpolelaab49852 жыл бұрын
Hii ni Akili ya Mbinguni kabsa bigup Bishop Gwajima
@johnmichael41664 жыл бұрын
Uyu dada Hana Ufahamu Kwa habari ya Mungu Na Ndiyo Maana Uwongea Kama Anaponda Flani , Upinzani Katika Roho sasa mwenzie MTU wa Vita za Roho
@johnvascogodfrey70704 жыл бұрын
Mbona Dada kapanic Sana duuuuuu anajambo na Mtu wa Mungu doctor Gwajima
@jacksonjacksonjacksonjacks76214 жыл бұрын
Hakika Bishop Dr,Gwajima majibu yako ni mazuri sana binafsi yangu nimeyapenda sana,ninasapot kwa nguvu program yako ya kuiombea nchi yetu ni lanzima korona iteketee kabisa.
@azizamaulid55574 жыл бұрын
Well said Baba Askofu Dr. Gwajima, nimekuelewa sana, umejibu kwa ufasaha sana, na asante kwa maarifa uliyotupa kuhusu corona!!
@loyceackim42964 жыл бұрын
Safi sana Mchungaji kweli umeiva maana unaulizwa kiugomvi unajibu kistarabu.
@solomonmpuluma2824 жыл бұрын
AMINA baba askofu. Unafahamu unachokisema! You are genius.
Genious, Simple ,Focus kilaza Anaonekana Huyu mama jmn Gwajima Nitakuja unipe lecture zaid ya Afiriro my Pastor
@josephharri90154 жыл бұрын
Leo nimeamini Gwajima ni Genius.
@estasage55064 жыл бұрын
Leo tuu? Mtumishi Gwajima ni combo cha baba Mungu. Huyu siye kama Hao watumishi wa giza. Huyu ni voice of the most high.
@emmanuelmajele58124 жыл бұрын
Duh huyu Dada kilaza 😁Gonga like Kama umesha gundu Dada anapepo
@godfreylyimo41774 жыл бұрын
Asante sn Askofu Gwajima kwa majibu ya corona umemsimamisha Kristo kwamba ni Bwana...!! Uwezo wa kujibu maswali na facts juu ya nini kinaendelea kiroho umeonyesha ilikuwa rohoni
@benardlisoso45654 жыл бұрын
Baba 🙏🙏😂😂 nimepata kitu 👍This is pastor Gwajima 🙏🙏🙏
@gershommwakila33734 жыл бұрын
Aisee askofu Gwajima ana madini sio ya nchi hii, ila huyo dada ametulia muda wetu anauliza maswali yasiyo na mashiko. Watu kama akina Gwajima ni wachache sana na ni hazina kubwa kwa taifa.
@abubakarizuberi16914 жыл бұрын
Safi sana Gwaji Mlango ulio ileta Ndio itakao tokea kurudi.
@BarakaWaya4 жыл бұрын
Huyo Mama nadhani anapepo yaaaan kapotezwa vibaya na maswali ya Bishop
@mckingmojojo3634 жыл бұрын
Hakika ninae BABA, hiki ni kinywa cha MUNGU DUNIANI, asomaye na afahamu Baba Gwajima songa mbele Mungu azidi kukupa Afya njema na Maono makubwa.. Ameni Nakupenda Bishop Dr Gwajima.
@timizanafrikamedia54644 жыл бұрын
Huyu Baby, nilichogundua Hana nidhamu kabisa ya kiutendaji,,1.Ameanza kwa kumwita ndg Josephat badala ya Askofu Josephat. 2.Mbili amehoji kwa notion binafsi. 3.Anapaniki Sana 4.Alf approach yake ya kuhoji Ni kama anamuhoji mtuumiwa. Baby anaamini Sana sanitizer kuliko Mungu(my opinion Hassan Ngoma you're an amazing Guy, umeuliza maswali Magumu but very respectful and calm
@macknonkibona24014 жыл бұрын
point kaka
@dayocha18554 жыл бұрын
Sahihi kabisa
@mahmoudomary66004 жыл бұрын
hassan ngoma anajielewa ila baby anajaziba ya kuhoji ..lakini Askofi ni balaa kaniachaa sina mbavu kwa majibu ya kiufundi
@ambanconsultants68924 жыл бұрын
Mahojiano na mtu mjanja na mwerevu Kama Gwajima ni HARD TALK. Yanafanywa na wanahari provoking hata zaidi ya Baby. Nyie mnayemsakama Baby mmeshasikiliza mahojiano aliyofanyiwa BIll Clinton akiwa bado raisi was Marekani wakati akiwa kwenye kashfa ya Monica Lewinsky?
@timizanafrikamedia54644 жыл бұрын
Amban, Clinton alikuwa anahojiwa kwa kafisha , je nikuulize swali bishop Gwajima alikuwa anahojiwa kwa kashifa??, Pili Je kunasehemu mtangazaji alijarbu kumuondoa cheo chake Cha kumwita rais?? Kama baby alivyo jaribu kusema eti Ndg Josephat badala ya bishop??,, Unafaa kujua kuwa kila stylish ya mahojiano inaendana na issue inayozungumzwa so tu kupayuka payuka Kama yule dada
@Commentsplus4 жыл бұрын
Hasan Ngoma unautulivu wa kuuliza unatafiti unajua kuwakilisha swali ila bebii anabifu na mchungaji bebiiii tulia mama huyo ni Gwajima
@linnamlay36434 жыл бұрын
Clouds mtafulia mkimuendekeza huyu Baby,interview inaboa ana mhemko ambao unakera ,maswali anavyouliza utadhani katumwa ugomvi.Hassan hongera
@jaycee90674 жыл бұрын
Gwajima genius.
@Andy_tz4 жыл бұрын
Kwa sababu mimi nitawapa kimywa na hekima ambayo maadui zenu hawataweza kushindana nayo wala kuipinga (LUKA 21:15) BABA BISHOP DR. JOSEPHAT GWAJIMA Hakika MUNGU Yu ndani yako 🖑🖐
@eliarichard92184 жыл бұрын
Baba LA Baba huyo uko vzr sana Doctor Gwajima Mimi huwa nakuelewa sana maswali yote umewajibu vzr linasema neno LA Mungu hamta sema ninyi bari Roho ndiye atakae sema mbele zao hao wasiyo hamini.
@elizabethraymond63884 жыл бұрын
Najivunia sana kuwa na baba kama huyu. Love you dady Josephath Gwajima💪💪💪
@neemamachimu76204 жыл бұрын
Am so proud of Bishop DrJosephat Gwajima
@queenjaneth8864 жыл бұрын
Big up Dady Mtu wa Mbinguni
@erickmapunda42314 жыл бұрын
Gwajima akili nyingi sana.
@estasage55064 жыл бұрын
Mtumishi Gwajima ni mtoto wetu, mtoto wa kingdom za bwana wa milele MUNGU WETU. Uyishi baba. Damu ya Yesu Kristu ikufiche.
@estasage55064 жыл бұрын
Amen, Hao wale watu wanaokimbiliya Mungu hawana hofu na corona. Mzee wangu mchungaji Gwajima, naona leo ulipoteza leo muda wako. Yaani wewe unahekima na speech za mbinguni, hautaeleweka na wapagani kama Hao.
@ngwanafabian75324 жыл бұрын
Huyo dada inaonyesha haamini katika uponyaji utokanao na Mungu. Anaamini utaalamu zaidi infact hajitambui hii ni kwa sababu haamini kuwa kuna maisha baada ya maisha ya hapa duniani.
@eliarichard92184 жыл бұрын
Reuben Fabian huyu ndani yake ni serikali ya kuzimu kwaiyo anahinda na mtu wa Mungu.
@amurumtuya6554 жыл бұрын
Bishop Gwajima is very intelligent man of God
@pemdumi4 жыл бұрын
He is intelligent lakini anaitumia vibaya....manipulation anayowafanyia watu ni tragic.
@saliminismail22714 жыл бұрын
Uko sahihi gwajima kwa kila kitu
@evambigi66284 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu Gwajima Mungu akulinde akuinue uzidi kusongesha mbele neno la Mungu.
@estasage55064 жыл бұрын
I can tell you are bright and the lord has blessed you with anointing, wisdom, and more.
@benjaminlijongwa37154 жыл бұрын
Mchungaji anakuombea kwa Mungu sio ati yeye anakufanyia muujiza
@millitarybattalion75154 жыл бұрын
Hii ni interview bora sana kwani Gwajima ni kichwa hatari sana
@paultvonline37424 жыл бұрын
Nimetazama na kusikiliza mahujiano yote.. Nampongeza sna Bishop Gwajima amesimamia yale anayoyaamini. Lakn nimesikitishwa na dada yetu kwa namna yake ya maswali na kwamtazamo wa kawaida tu alikua kapanic....Ushauri wangu kwa clouds siku nyingine sio mbaya kweny mahojiano makubwa km haya mkamweka mtu mwingine anayeweza kuhimili mahojiano mazito km haya na naamini mnao.
@apostleadamgige46624 жыл бұрын
Huyu mwanamke ana pepo og,anatafuta kumbana kamanda lakini amefeli.ninakupenda sana bishop Gwajima,mahubiri yako yameniinua sana kihuduma,
@charlesmassawe63214 жыл бұрын
Cyo kwamba ana pepo bali yupo sahihi..interview lazma kuwe na pande mbili zinazopigana.
@perfecttz26904 жыл бұрын
@@charlesmassawe6321 alokwambia interview n kupingana ni nani?hiyo sio Debate Go and study
@alfredzunda46554 жыл бұрын
This is Bishop Dr. Gwajima bana, very genius 😀
@innocentndabukakiye61004 жыл бұрын
Kwakweli nilikuwa sijawahi kusikiliza Mtumishi wa Mungu Gwajima,Nimemkubali!
@mahmoudomary66004 жыл бұрын
Hassan Ngoma your the best Presenter of our time nakukubali sana na una IQ KUBWA maswali yako ni ya kiufundi sana lakini huyu Mzee nae ni kichwa anachomoka kama kama anatambaa.. BABY jaribu kuwa na utulivu ,,huwa upo vizuri sana ukiwa na utulivu kwenye Interview ,, nakukubali pia.. jitahidi kupunguza ukali wa maswali wasikilizaji unawajengea fikra hasi ,,wafanye wasikilizaji wawe waamuzi katika hoja zako.
@MS.independent89344 жыл бұрын
kweli kabisa mchungaji yupo sahihi 😂😂
@dianamwalyoga43654 жыл бұрын
Akili kubwa sana bishop
@davydany96484 жыл бұрын
Eti unajiita mchungaji,eti nenda kawaponye,hii no dharau kubwa kwa mtumishi,mambo ya kiroho hayaendi hovyo,Dada umeboa haswaaaa
@joeliyamakili50514 жыл бұрын
Mimi sio mfuasi wa Gwajima lakini huyo Dada ameweka udini badala ya maswali leo ndio nimejua kuwa mjinga sana hafai kuwa mtangazaji
@happynicholaus64744 жыл бұрын
Kweli
@barackjoshua67124 жыл бұрын
Dada yupo vizuri sana .anafaa kua mtangazaji
@estasage55064 жыл бұрын
Acheni mtumishi Gwajima aseme, aseme, aseme ba waadui zake wote WAPIGWE kwa jina la yesu kristo wa Nazarethi.
@thehopetv62994 жыл бұрын
Askofu Gwajima MUNGU akulindee, na akilii zako kweli niza mbinguni, nimebadilishwa sanaa kiroho na mafundisho yako
@HandwrittenMemories4 жыл бұрын
Dada pole GWAJIMA NI SAUTI YA MUNGU AMEKUTAWANYISHAAA UMEONEKANA KINDA KWENY KAZ YKO
@double8tz4 жыл бұрын
Ngwajima ni fraud tu hamna sauti ya Mungu wala nn, sema huyo dada amepanic hajui kumkabili ngwajima, watu kama Ngwajima wasomea saikolojia ukimuingia kichwa kichwa inakula kwako anajua kucheza na maneno na akili ya mtu.
@nowelaraymond7034 жыл бұрын
Yes! Mungu yupo!
@jamesswai65834 жыл бұрын
B_Shop Gwajima iko vizuri Sana. Mm huwa nakusikiliza Sana na unanifanya kusonga mbele haswa kiimani. Dada acha kupaniki, unauliza maswali wakati una majibu tayari.
@theresiakamote8834 жыл бұрын
Askofu Gwajima Mungu nakubariki sana
@stevenomanga75494 жыл бұрын
MTANGAZAJI mwanamke amechemka Sana,,ni kama ulijiandaa kumshinda Askofu badala ya kumu interview,,, pia huyo ni Askofu, usimuoji kama unamuoji joti, au juma lokole
@BarakaWaya4 жыл бұрын
Genius.Ufahamu Mkubwa Sana Bishop anao
@dayocha18554 жыл бұрын
Baby kapaniki Sana yaaani kaalibu Sana hii interview
@stephenchriss79194 жыл бұрын
Yaani huyu ndio binadamu wakwanza kwangu Mimi naona hamuamini Mungu kwakweli tena kwa kubisha kabisa yani
@SamwelJoseph-yk3cw4 күн бұрын
Huna akili wewe
@sylvesternicholous54454 жыл бұрын
babie umepanic sana hahahhahaaa Gwajima ni chuma kitupuuuu
@estasage55064 жыл бұрын
Hahahahahaha, hamjuwe Mzee Gwajima? Mungu amusaidiye
@milanomilanogi4 жыл бұрын
Uyo dada anauliza maswali kama ugomvi
@davidkihiga35314 жыл бұрын
I salute mkuu bishop gwajima
@kanyeshakur49714 жыл бұрын
Askofu Gwajima mtu intelligent sana kweli Mungu ana watu asee
@zumbeshauri81144 жыл бұрын
Imani nikitu kikubwa sana analo sema gwajina yupo sahihi yani sabuni iuwe wadudu mungu ashindwe tukiomba mungu huku tukitumia dawa gonjwa hili linaisha kabisa
@rebeccaeric89114 жыл бұрын
Aisee huyu mzee kiboko hayo majibu hawezi kutoa mtu wa kawaida... Huyo baby alikuwa kampania sana Ila Askofu 😎 noma sana
@benardlisoso45654 жыл бұрын
dah😂🙌🙌🙌🙌🙌 hatar sana
@mwebraniaonline70014 жыл бұрын
Alikuwa vizuri sana mwanzo katikati pamemchanganya🚶🏃🏃🏃🏃🚶💇💇💇💇💇💇
@godfreylyimo41774 жыл бұрын
Bebii anatutoa kwenye mada nzuri na kutuleta kwenye personal issues
@alfredzunda46554 жыл бұрын
Leo Clouds mmekutana na chuma cha pua, huyo ndugu sio level yenu kabisa, big up sana Bishop Gwajima for your widom, naona hao watangazaji wanakuelewa sana, sasa wamebaki wanarukaruka tu, askofu umewakamata kweli kweli kwa majibu yako ya hekima. Ni kama wanajuta kukuita hapo 😀😀
@SamwelJoseph-yk3cw4 күн бұрын
Hahahahahaha hadi anawasaidia niulizeni hivi 😂😂😂😂
@catherinemsumary15954 жыл бұрын
Well said Daddy
@aishambise65294 жыл бұрын
Uko vizuri Gj
@estasage55064 жыл бұрын
Amen, amen. Hiyo corona itarudi mahali ilipotoka. Africa yote haitapigwa, ok. Siyo Tanzania tuu Africa yote na congo DRC particularly. Nasikiya huyu dada anacheka kicheko kya sara mke wa Abraham aliposikiya malaika alimuambiya Abraham next year atachukua uja uzito. Mzee wangu mchungaji Gwajima HUPATIYA chakula cha watoto mbwa.
@estasage55064 жыл бұрын
Woooooow! challenge hizo huyu dada, anawaza anazungumza na wenzio wa kimwili? Dada, mchungaji huyu ni vessel la bwana wa majeshi Eloim.
@pastoramoskomba24314 жыл бұрын
Mungu Tanzania. Baba hongera sana sana
@alexmzumbwe13284 жыл бұрын
Safi baba askofu
@egibartjosephat87274 жыл бұрын
GOD BLESS YOU MAN OF GOD
@kitasyajohn60334 жыл бұрын
Huyu Dada amenikera mpaka kichefu chefu huyu kuwahoji machangudoa sio watu wenye heshima za utumishi
@luckysanga45544 жыл бұрын
Natamani muelewe nyinyi mumuelewe Gwajima, kwani wanaosemwa kuhusu kusema mambo ya nafas zao ni lazma ni lazima awajibu kwa nafas yake. Ukisema Gwajima ni tajili alfu waumin wake ni maskini unakosea, kwani wapo wengi waliofanikiwa.
@victoriachaula39214 жыл бұрын
Asnte nimekuelewa hadi sasa ni kweli Mungu ametusaidia
@kibonahenry15214 жыл бұрын
Huyu jaamaa yupo vizur
@kuhaniagapemwasomola.64684 жыл бұрын
Huyu Dada arudi darasani tena
@augustinongimba21434 жыл бұрын
Mungu tusaidie
@samwelsengati13694 жыл бұрын
Jaman usijinye unajua wakati hujui, kuna watu wamlaum baby. Kwa kati ya watangazaji bora clouds mmoja wapo ni baby. Ambacho baby amekosea ni kuruhusu hisia binafsi ni kitu ambacho kuna wakati kinatokea hata kwako. Ila ni mtu anaefaa sana tena sana.
@jastinekanjost80734 жыл бұрын
💪💪
@henrystanley37674 жыл бұрын
Gwajima is very intelligent
@filbertwerema84594 жыл бұрын
Hahahahaha.....!!! Siku zote unapotaka kuhoji Akili kubwa kama ya Bishop Gwajima nawashauli clouds angalau wajipange vizuri LA sivyo ndicho kinachotokea kwa mama angu hapo...nadhani alikuwa na yake ....hahahahaha kweli huyo Dada kachemka...
@rosesimwanza60334 жыл бұрын
Nilikuaga namuelewa huyu Dada kumbe ndo galasa la mtangazaji
@edwinalexander11704 жыл бұрын
Huyu dada mbona ana jaziba, mhemuko na mawenge sana? Wawapi huyu? Askofu Gwajima huwa ana kipaji kikubwa sana cha kutoa maelezo.
@fredricksiame8104 жыл бұрын
Ubalikiwe baba kwa majibu mazuli
@athanaskitime14844 жыл бұрын
We Dada Dada una pepo sio bure, kifupi umenikera.
@rahelgika38704 жыл бұрын
JEMEDARI WA BWANA WA MAJESHI 💪💪🙏.
@michaelsondobi32264 жыл бұрын
Good is great
@nemecymsanya31914 жыл бұрын
Uyu dada ana keraa aiseee
@remigiusrwechungula70474 жыл бұрын
Huyu Babie Kabaya, hana imani, sjui kabisa anasalia wapi... Nimemshusha
@joshuabartonpolelaab49852 жыл бұрын
Mama alipaniki huyu 😀😀😀😀
@fntv12franciskenneth124 жыл бұрын
Uyu Dada yan umekosea kbx mpk anaboa
@samwelmjika.88704 жыл бұрын
Huyu baby hajui kuhoji kabisa yaani, hawa cliuds wamtrain vzr.
@fntv12franciskenneth124 жыл бұрын
Haulizi point
@prosperjuma905 Жыл бұрын
Tatizo mnaweza kuanza kwa lengo jema. Lakn ndani yake ukabila unaota mizizi. Hadi makizini humu huo umoja utaota mizizi. Matokeo yake wale wasio wasukuma hawatopata fursa ambazo walio wasukuma watazipata kwa sababu tu ni msukuma.
@SamwelJoseph-yk3cw4 күн бұрын
Na ninyi fungueni lenu
@theopistargodfrey30524 жыл бұрын
Amina
@jackobsabore46554 жыл бұрын
Huyu Kaka anahoji vinzuri la huyu mama
@syproelvistru26104 жыл бұрын
bebii ana I Q ndogo sana ingawa anausauti nzuri ....hongera zake
@juliananguma89814 жыл бұрын
Mimi nafikiri kuwa tunakosea kitu kimoja huu ugonjwa sasa upo miongoni mwa Watanzania. Kama tunaruhusu watu kwenda kanisani au misikitini basi tuwafundishe kuhusu self protective ikiwa ni pamoja na kuvaa barakoa. Tujifunze China walikuwa wanavaa barakoa. Kila mmoja amwone mwenzake kuwa anao. Hivyo tujikinge na Kila mtu na mwenzake
@mosesedwardmagembe96574 жыл бұрын
Pamoja na kuwa nyinyi ni waandishi wa habari ila kuna maswali ambayo hammtendei haki Askofu hasa hayo ya ukabila na inaonekana mnakahasira fulani hasa baby. Kumbukeni kuwa uchaguzi uliopita askofu hakuwa akimuunga mkono Rais Magufuli.
@pastorhermantv54204 жыл бұрын
Baby cabbae hujui kuinterview kabisa maswali unauliza husubiri mtu amalize kujibu unamkatisha duh jifunze