Рет қаралды 9,996
Umaarufu sio utajiri na hakuna uhusiano kabisa. Ukitaka kuamini hilo, aliyekua Rais wa Uruguay, Jose Mujica alijulikana kama rais maskini zaidi duniani, licha ya kushika nyadhifa za juu za uongozi.
Huko ni mbali sana, hapa nchini, Hadhara Charles, mwanadada mwenye kipaji cha kuchezea mpira ‘FreeStyle’, licha ya kutembea nchini 10 Afrika, lakini maisha yake ni duni.
Ukiachana na ugumu wa maisha yake, mwanadada huyo anasumbuliwa na ugonjwa ambao hajui afanye nini ili kuweza kupona, pia anapitia mikasa mbalimbali iliyomfanya awe na presha ya kushuka.
Anasumbuliwa na ugonjwa wa kupoteza fahamu, wakati mwingine anajing’ata ulimi na kutoka damu masikioni, hivyo anahitaji msaada ili kurejea katika hali aliyokuwa nayo awali.
Katikati ya mahojiano na Mwananchi Digital, alianza kujisikia vibaya, akaomba msaada wa kuitiwa dada zake ili wamshike kichwani kwa ajili ya kumsemea maneno na kabla hawajafika, ghafla akaanza kutoa povu mdomoni, ndugu zake wakawahi kumsaidia.
Video na KHATIBU MGEJA.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj