Tff wanapenda sana kuskilizwa yang wanaimiza Simba sana
@dominickiungulia10167 күн бұрын
Friji Bovu Yuko sahihi , kweli kamati husika inashindwa kusimamia migogoro ya wachezaji kutokana na upenzi wa upande mmoja!
@frankkitomary38785 күн бұрын
nina shangaa sana aisee kamati wanaonaje juu ya yanga namna wanavyo ingilia utaratibu wa simba kamati ya ligi angalieni ihii mambo ina kuaje bwana
@user-wc6dl8kp9p8 күн бұрын
Yanga ndio inaleta migogoro nchi hii na kamati ya TFF inakubali kuyumbishwa na Yanga TFF waangalie kuyumbishwa yumbishwa na Yanga.
@RedmiXiaomi-gm1tg7 күн бұрын
Kaka nakuelewa umeongea point na ndo soka lkn wasiwasi wangu ni huu unaurinzi kaka make nchi hii ukiwa umenyooka tu unatekwa na kupotelea kusipo julikana japo hatuogopi mapambano lkn ndo tulikofikua kwa sasa.
@israelmunuo79385 күн бұрын
Kamati ndiyo inafeli, naondoka na Neno lako Hilo👊
@jamesjames23688 күн бұрын
Soka la bongo liko "captured" kuna mtu fulani ndo anaye liangamiza soka la bongo.
@saidsuleiman17536 күн бұрын
Hakuna issue hapo Friji Bovu usipoteze muda, Kagoma ni Simba na atabaki kuwa Simba
@yohanamabula70887 күн бұрын
Mimi niulize kuna siku ngapi za kupeleka malalamiko kabla ya mchezaji kupitisha ili achezee timu nyingine na mpaka anacheza
@AbdallaAli-dn6xp7 күн бұрын
Hii kamati ni yanga watupu
@frankkitomary38787 күн бұрын
kagoma sio mchezaji wa uto wao uto wana utoto mwingi sana
@MohdNguli7 күн бұрын
Hiyo kamati haijui majukum yake ilitakiwa ivunjwe yote itafutwe watu wapya ambao ni wasomi na watu wa Mpira
@user-wc6dl8kp9p8 күн бұрын
Lameki Lawi hakuwa na msimamo acheze tu Coast union Kiherehere chake wakati alisha pokea fedha Simba. Shida hapa TFF Wamekubali kuyumbishwa yumbishwa na Yanga.
@NgaivonNgaivon8 күн бұрын
Yanga hawajui sheria ya Michezo
@EzyAutomotorsales28 күн бұрын
Yanga inataka kuharibu mpira wa TANZANIA. Wana kiwewe na usajili wa simba msimu huu
Yanga hawajielewi na hawajitambui na haji alisema yanga wenye akili ni wawili tu
@abdulshah9188 күн бұрын
Utopolo uchawi na wizi na lushwa ndio mafanikio yao😂😂😂😂😂utopolo kweli akili 0
@AdamOmary-fm6gt7 күн бұрын
Kaka tff wanahongwa nayanga na kamasivyo kwanini yanga wana jiamini sana na wanchokitaka yanga nimsamaha tu utagundua
@jofreykabula89738 күн бұрын
Yanga ni wahuni tu wawashitaki singida pia wao Wana makosa
@BarakaMwaikenda-ty1bt7 күн бұрын
Yanga haina hela
@michaelrugaimukamu87327 күн бұрын
Kwa maelezo haya Kamati ndiyo inaharibu mpira wa nchi hii kwa kuacha matatizo ya vilabu na wachezaji hewani.
@Mpakauseme8 күн бұрын
Ishara ya anguko ilo , waswahili usema masikini akipata tajiri anaweweseka , Yanga wameona usoni picha si nzuri sasa wana tega mtego wakitoto kwamakusudi
@AbisinaRashidi-c8d7 күн бұрын
Tff pia hawajielewi ndo maana GSM kazamini timu Saba wasenge pia
@ramadhanikimweri12407 күн бұрын
Tatizo kamati ndani yake kunawatu wenye mapenzi Mayanga nakupokeahongo kutoka gsm ilikuikwamishasimba hiikamayi niyayanga siyavilabu
@mishlay81647 күн бұрын
Tatizo ni GSM na Yanga yake , wanapodhamini vilabu vingine ndiyo kosa , angalia wachezaji wanaowekewa vipingamizi ni wale ambao udhamini wao uko na GSM
@davidsimbeye15487 күн бұрын
Mimi mwenyewe nimekuwa siwaelewi kabisa viongozi wa TFF hasahasa hiyo inayoitwa kamati ya maadili na hadhi za wachezaji. Yaani Simba wametengwa ni kama siyo timu ya Tanzania. Sijui kama viongozi hawa wana nia ya kuendeleza mpira ya nchi. Pamoja na mchango mkubwa wa Simba Katika kuliinua soka la nchi bado viongozi hawa wanasimama upande wa maadui
@user-cv4wh8sg5i8 күн бұрын
Braza tatzo ni udhamin uo wa gsm unakuwag wa kukomoa timu, fikilia kwann Simba tuu wa ndn, anahalbu soka la bongo tff waangalie huo mwenendo xo mzuri
@MasudiAthumani-zj6fw8 күн бұрын
Yani usajiri wa mwaka huu nikama mazingaobwe tu.
@mawazochaula36428 күн бұрын
TFF wanatakiwa kutoka na kukemea Kauli mbovu kama hizi, Tff wao wametoa hadi kibali cha Kagoma lakini Klabu inawapanda kichwani
@AshaNchira7 күн бұрын
Tff watolewe wanasababisha migogoro Kwa I hao ni nani?
@waziribori22808 күн бұрын
TFF wanaigopa GSM yaani soka limeingiliwa RAIS WA TFF hivi sasa amekuwa pazia tu
@user-wc6dl8kp9p8 күн бұрын
Kwa hili Simba wafungue kesi ya usajili wa Chama na Baleke kwenda yanga? Yanga wamesha Ingia na woga kwa ubora wa Simba wanahofia kuukosa ubingwa kwa ubora walio nao Simba. Yanga timu ya propaganda hapa ni kutaka kuwatoa Simba mchezoni. TFF Waingalie Yanga tabia yao hiyo Angalia Feisali mpaka Raisi aliingilia kati TFF Mjitafakari.
@Mpakauseme8 күн бұрын
Waswahili kwa sana
@christianrukurugu43418 күн бұрын
Wewe nae vipi, Simba iadhibiwe kwa sababu ya kutokuweka pesa kwa wakati?, acha kulaumu Kamati, laumu Timu na wachezaji wanaosababisha haya matatizo
@januarysungura81197 күн бұрын
Kamati ipo pale kwa shughuli gani?
@YahayaAbdallahMark7 күн бұрын
Tff ni taasisi ya nyuma mwiko.
@christianrukurugu43418 күн бұрын
Wewe nae vipi, Simba iadhibiwe kwa sababu ya kutokuweka pesa kwa wakati?, acha kulaumu Kamati, laumu Timu na wachezaji wanaosababisha haya matatizo