Big up Baba upo vizuri na jicho lako la tatu limeona mbaliiii !!
@mwinukafundibombanjombe3 жыл бұрын
Viongozi wa JPM wote kawachagua kama yeye mwenyew like father like son.💪🏿 hao wadaladala waache mambo ya binafsi kwanza wanachelewesha san watu ..bajaji ziongezeke
@zabibumwashitete7773 жыл бұрын
Asante mh.mkuu wa mkoa🙏🙏
@ommyommy19703 жыл бұрын
Kunywa bia moja Brother Chalamila 💪💪💪
@fataelipalangyo89923 жыл бұрын
Fataeli J Pallangyo poleni sana watanzania nisafari ya kila mtu aliye umbwa na mungu
@amiryhamza19843 жыл бұрын
sawa mkuu
@yudamgogo57523 жыл бұрын
Uko vizuri
@andulilemwakihabha20483 жыл бұрын
Nakukubali mkuu 👏🏼👏🏼👏🏼
@kainimlowe75553 жыл бұрын
sema mkuu unakunywa bingwa au kitoko niwambie walete apo
@nsajigwamwasambili4943 жыл бұрын
Tungekua na viongoz kama ww kila mkoa tz ingefikambal
Mbeya utakuwa mji wa kwanza wa BAJAJI NI aibu Sana kwa mkoa kujaza bajaji barabara kuu na kusababisha foleni zisizo na tija na ajali zisizo na maana acha siasa simamia weledi na kazi
@feisalsalum12583 жыл бұрын
Yaani nakupenda Sana R C tena kwa hili yaani safi sana
Zinaweza kusababisha ajali hiz kitu ka unataka kuamin njoo mafiati pale
@zawadiaminamodestus55713 жыл бұрын
Mkuu unasema ukwelli kabisa
@eliahmwakasendeka81003 жыл бұрын
Kwa uwelewa wangu ndogo nivigumu sana kuendelea kuziona bajaji balabala kuu maana daladala zipo kishelia na zimepangiwa je bajaji nazo zimepangiwa Yani zimelipia loute?
@jamessichimata31003 жыл бұрын
Wewe unajua bajaji haiko kisheria ebu nipe kifungu kinachoikataa bajaji kama sio chombo cha usafili.
@agapembukwa61853 жыл бұрын
Kwani bajaj hawana Sumatra?
@noelrichard89213 жыл бұрын
Naona uko mbeya kwa wakwee zangu mmepata Kiongozi Bora..
@michaelsamson96633 жыл бұрын
Bajaj zinakimbia sana apo stendi ya kabwe akuna utalatibu mzuli niatal
@feisalsalum12583 жыл бұрын
Nadhani na huko Musoma walisikie hili
@faustinamsilanga69333 жыл бұрын
Tena hawajui kwamba wanawatesa wanafunzi hao daladala !
@jastininjano2623 жыл бұрын
Wanatesaje wanafunz wakati bajaji ndo mpngo
@fetamusictz36903 жыл бұрын
Upo sahihi sikupingi
@jaydon33613 жыл бұрын
Nimefurahi ulivya wachana hao
@onesmojustice23483 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa nimekupata hapo kwenye online tv na tv za kawaida wakizubaa tu taarifa imesharuka online hapo mwenye masikio kaelewa
@davidchambulila30283 жыл бұрын
Miji yetu mingi imefeli kwenye barabara za pembeni ,kulitakiwa kuwe na barabara za pembeni mbili moja. Kushoto na nyingine kulia zitoke uyole Hadi mbalizi Kama ilivyo barabara kuu ,hizo mbili ndio wangepewa wa bajaji
@stevenmaketa80513 жыл бұрын
Kwa hili mkuu chalamila nimekukubali saana kuhusu daladala
@emmanuelkyando21253 жыл бұрын
Ingiza hizo gar kesho xx hatutaki kusumbuka
@johnmuna74283 жыл бұрын
Umenena baba wanataka bajaji wakale wapi? Alafu wakizingua tushushie magari yako baba
@frankjoshua68693 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wetu bwana ananipa Raha kweli kweli
@feisalsalum12583 жыл бұрын
KUNA MWAKA ULITOKEA MGOMO KAMA HUU HUKO MUSOMA YAANI NILIBAKI NASHANGAA SANA KWA HUKUMU ALIYOPEWA BAJAJI,YAANI KWA MAJIBU YA LEO AISEE YAMENIFARIJI SANA TENA MKUU UKO SAHIHI SANA.
@davidchambulila30283 жыл бұрын
Nahiyo barabara imetengenezwa na Bibi yenu ?ndiheka nyela
@devotajofrey93453 жыл бұрын
Afadhali jamani awa daladala wanasumbua
@twiseghekisilu88453 жыл бұрын
Hizi longolongo zote ni miundo mbinu ya barabara ya mji wa Mbeya!
@stevenmaketa80513 жыл бұрын
Ila waisheni barabara jmn mpanue ili jiji liwe zuuri
@nawaberno8883 жыл бұрын
ilikuwa hayina haja kuita jiji kwa kauli hiyo
@eliahmwakasendeka81003 жыл бұрын
Naona jiji linaludi kuwa wilaya
@jamessichimata31003 жыл бұрын
Uongo wako aliyekudanganya kua bajaji ni za wilayani nani? Una miliki daladala au?
@petermachondo82853 жыл бұрын
Sio kweli.
@tithomhagama3 жыл бұрын
Kwakauli hii hawatagoma tena
@asueddy14653 жыл бұрын
Eti na hiyo barabara imetengenezwa na bibi yenu!?😃😃😃
@kambij29593 жыл бұрын
Saf
@veronicatweve90153 жыл бұрын
Ila wewe????
@zeranchimbi28083 жыл бұрын
Ila Mbeya imebadirika kinyama nilishangaaa bajaji nyomi dalaldala zimepotea bajaji toka kabwe mpaka mbalizi duuuuuh ila wezenu huku Mwanza bajaji na daladala shwali hakuna ugomvi
@janehenry25443 жыл бұрын
Upo vizuri chalamila siyo kama wengine wanawanyanyasa bajaji na wana wapeleka kwenye barabara mbovu
@janehenry25443 жыл бұрын
Kila m2 anapanda usafir anaotaka
@nostusmchilo56453 жыл бұрын
Watembee uchochoroni
@bensonmwananchi77013 жыл бұрын
Watu tunagal za kutembelea tu.sajil tuingie barabaran mkuu wao c wanalinga
@bundukitv13223 жыл бұрын
Jamani ndugu zangu mtafutaji siku zote hachoki. Nami nawaomba radhi kwa kuendelea kutafuta VIEWS kwa kuweka link zangu za VIVUTIO VYA WATALII nchini👇 kzbin.info/www/bejne/Y37Sap2gfZtsea8
@gastonamnon70053 жыл бұрын
ILI KIDHIBITI BAJAJI BARABARA KUU INATAKIWA BARABARA ZOOTE ZA MITAANI ZITENGENEZWE ILI BAJAJI WAFANYE KAZI KWA KUJIACHIA (BARA BARA ZA MTAANI NI MBOVU NDIOMAANA BAJAJI WANAONA UGUMU KUFANYA KAZI KWENYE BARABARA MBOVU)
@evelyneisambi72863 жыл бұрын
Point
@petermachondo82853 жыл бұрын
Umeongea vzuli
@bundukitv13223 жыл бұрын
Jamani ndugu zangu mtafutaji siku zote hachoki. Nami nawaomba radhi kwa kuendelea kutafuta VIEWS kwa kuweka link zangu za VIVUTIO VYA WATALII nchini.👇 kzbin.info/www/bejne/Y37Sap2gfZtsea8
@jaydon33613 жыл бұрын
Wanazingua dalala
@saidibunduki76833 жыл бұрын
Jamani ndugu zangu mtafutaji siku zote hachoki. Nami nawaomba radhi kwa kuendelea kutafuta VIEWS kwa kuweka link zangu za VIVUTIO VYA WATALII nchini👇. kzbin.info/www/bejne/Y37Sap2gfZtsea8
Ndohapo hata hivo iload international nyimumeweka bajaji
@davidchambulila30283 жыл бұрын
Miji yetu mingi imefeli kwenye barabara za pembeni ,kulitakiwa kuwe na barabara za pembeni mbili moja. Kushoto na nyingine kulia zitoke uyole Hadi mbalizi Kama ilivyo barabara kuu ,hizo mbili ndio wangepewa wa bajaji