Wewe sema umeandikiwa usome ili kutuhadaa sisi tupoteze pesa zetu shambani,, Sifanyi ujinga huo Ng'o!!!
@MarySimoni8 күн бұрын
Yani history yake mtu anaisoma kweli
@WashingtonKomess-y8r8 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@GeraldElias-s7j9 күн бұрын
HII NCHI TUNAKOELEKEA KILA MTU ATAKUA CHAWA WA MAMA 😂😂😂😂😂
@OmanSohar-d7z9 күн бұрын
😂😂
@Tee_plus_Tv8 күн бұрын
Iga uone 😂😂😂😂hawa watu hawajawahi kuwa wakweli ni waongo balaaa😅😅 wadangaji mbwa hawa kuma zao na mikundu yao inateseka mpk wanatamani kutoa ushuhuda kwa mateso wanayopata 😢😢😢
@aysheraden77188 күн бұрын
Imekua wasanii wa tz karibia wote ukiwauliza wanasema ni wakulima mmh 😂😂😂😂
@Anactersia7 күн бұрын
Irene acha kuchekesha basi yaan kitu ukifanye wewe afu kisahaulike hadi usome makaratas 😂😂😂😂 kwel mama mtumishi😢
@JacklineMshati4 күн бұрын
Shangaa na ww 😂😂😂
@ShamsaHassain9 күн бұрын
Mimi saut yake tu the way anasoma kiswahili ❤
@meshacknkwama74329 күн бұрын
😮
@CareenMinde-v3z9 күн бұрын
❤🎉
@SaidBwanamkuu-d8j9 күн бұрын
Ajaribu kuwa mganga sasa pengine kutamfaa vzuri
@AmonBora-ve5si9 күн бұрын
Kha😂😂😂😂 aseh😊
@ziddyziddy25249 күн бұрын
😅😅😅
@Sharmy_029 күн бұрын
😂😂😂
@paulaminzi1149 күн бұрын
Mmmmh😂!! Nyie
@joycekato67847 күн бұрын
Anatetemeka wakat anaanza kuelezea chanzo chake cha mafanikio,.... Sidhan kama kuna ukweli
@Shakira-Nb7 күн бұрын
Sasa mbn anasoma hv mm mafanikio yangu kama nataka kuwaelezea ndio niyaandike niwasomee ama ni kaandikiwa n mtu hawa wasanii hawa
@tumainimbwambo24027 күн бұрын
Kama nikweli nijambo zuri naomba mtaji nilime kabichi mwezi wa sita mm ni mwanamke eneo ninalo maji yapo ishu ni mbegu na dawa na nguvu kazi ya ziada
@rubbymusa19719 күн бұрын
Sikutegemea kwa kweli nimelia sana,
@suleimanikirassahassan97119 күн бұрын
Kampeni zimeanza
@OmanSohar-d7z9 күн бұрын
😂
@rubbymusa19719 күн бұрын
Kilimo ndo ule bata zote zile Acha kutupiga Mama Mchungaji
@odhiaodhia98989 күн бұрын
Kalime nani kakuzuia
@marymushi79239 күн бұрын
Mmmmmh!!
@NechLove9 күн бұрын
Huuy ushuhuda wa maandishi nina masaka nao
@rickyjoe5527 күн бұрын
Unatuona wakuja eh??? unalima mapenz😂i
@Lake_zone6 күн бұрын
Unatuona sisi kama matako yako
@Melissashiner9 күн бұрын
Siyo tagawizi ni matunda kakosea 😂😂
@msafirimiracle66139 күн бұрын
Tanzania nchi yangu ina mengi,kwa mara ya kwanza nimeona raia anasoma hasoling alizopitia mwenyewe, tena kama hotuba.sema watanzania wanavyonyamazaga unaweza ukadhani maboya kumbe ndio maana ya 'Bongo'
@LindaMbilinyi-n3n9 күн бұрын
😂😂😂😂
@Mwanah-cg3ie9 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅sijui anatuonaje😅😅
@hamoudcreator63439 күн бұрын
Sijaelewa hii nini😅
@ashurahaji47949 күн бұрын
Taahira wewe unasoma kwenye karatasi hiyo risala
@ZulfahMuhammad8 күн бұрын
Kama kweli ndio maandeleo yako toka 2018 kwanini usome kama gazeti jitanganye mwenyewe
@florah-jw9wk9 күн бұрын
Kumpokea yesu ciorahisii kama ukonanjia njingine. Wewmwenye. Ukubali kufanya mamusi. Usimsikilise. Huyu kasema unapowasikilisa. Watu usipomakini watakutoa kwenye njiailiyo sswahihi ambayo nikwayesu peke ndiye kilakitu
@GalaxGenzi-su7fh8 күн бұрын
Alipofika kwenye pongezi script nimestop na kuacha kupoteza bando langu
@TwahaYahyaShabani9 күн бұрын
😂 pumba tupu yani anasoma kwenye karatasi
@joojombi23419 күн бұрын
Kesha zoea kudanga na matungi Uchungaji c rahisi muongo mkubwa huyo
@Fear_Allah3948 күн бұрын
Watu wanatafuta njia za kupatia pesa. Hakuna mchungaji wala mlimaji hapo
@saidkhalef20939 күн бұрын
Matango pori unatulisha,
@McT-m1m9 күн бұрын
Ila ccm wajanja wadanganye ambao hawalimi ina maana nyie wa mjini ndo mnafaidika na kilomo kuliko sisi wakulima kwa mimi nimekataa kilimo huwezi kula bata vile
@hyasinthantuyeko14409 күн бұрын
Mmmh!!! Kampuni yako hiyo ya Kilimo inaitwaje? Sasa kwanini unatuonyesha picha za kusadikika? Si ungetuonyesha picha za shambani kwako na wafanyakazi wakiwa mzigoni ili tuhamasike zaidi? Khaaaaa!!!!
@NipaelPaul-gp9ip9 күн бұрын
Tunaomba mwenyezi Mungu asimame kwenye hili eneo na Mungu si Mwanadamu hata aseme uongo. Yehovya Ire , Ye hova shama, Yehovya adonai ingilia kati kama ni kweli
@GladnessSamson-xk2ii9 күн бұрын
Atuletee video akiwa shamban
@mulastar9 күн бұрын
Mnaanzisha vitengo ili mpate faida kiuchumi
@medseba69089 күн бұрын
Unatufanya sie wajinga?
@AishaIdrisa-s7v9 күн бұрын
Kwann tena
@BenedictaMagantg9 күн бұрын
Eti, hata siku moja hajaonekana shambani.
@medseba69089 күн бұрын
Kaandikiwa maelezo anasoma tu.
@NeemaMasala-o7c9 күн бұрын
@@medseba6908Anatuchukuliaje sijui
@RehemaMasunga-ml7kt9 күн бұрын
@@BenedictaMagantghata wewe unaweza kulima na usiingie shabani
@nashnene63269 күн бұрын
Kwan ni muvi gan hii ya bongomuvi?
@rubbymusa19719 күн бұрын
Ya kilimo
@aishalaizer81328 күн бұрын
Mafanikio yako unayasoma,mjinga wewe,usitufanye sisi wapuuzi
@joojombi23419 күн бұрын
Anacheza na dini fatani mkubwa huyo
@NeemaMasala-o7c9 күн бұрын
NI UONGO MTUPU
@icesue66138 күн бұрын
Tuwekee na Ile video ya msambwanda Kwa buku jelo. Ulokole vipi tena ?
@jtheophil54999 күн бұрын
Husituchoshe koo
@JudithGabriel-s8v9 күн бұрын
Bado kuwa mganga sasa
@SHIJADAVIS9 күн бұрын
Jamani hiki ni nini Sasa. Kulima sio changamoto Shughuli kwenye soko.