DC MWANAJESHI "NIMEONA MAKEKE YENU, SHIDA NI KUBWA"

  Рет қаралды 134,864

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 156
@leonardsimeo-jm8ex
@leonardsimeo-jm8ex 9 ай бұрын
Jeshi ni Jeshi,,Mungu libariki na ulisaidie Jeshi letu💪
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 5 жыл бұрын
Safi Magu kwa kuweka viongozi wanajeshi mpakani,bila hivyo watu wetu wangekuwa wanyonge mipakani
@FestoMunishi
@FestoMunishi 7 ай бұрын
Peleka upumbavu wako mbali wewee unaesema wanajeshi wawe kekuuu wa mikoaa nahisi hujielewi au haujui knazi yash😢😢
@kinghasheem2283
@kinghasheem2283 5 жыл бұрын
Salute Hua hakipatikani kirahi lazima uteseke haswa long live majesh teams
@mizigohongo7608
@mizigohongo7608 5 жыл бұрын
naishauri serikari wanajeshi wawe wakuu wa mikoa wana nizamu sana nimekaa nao ruvu mlandizi
@salvareveli2091
@salvareveli2091 5 жыл бұрын
Mlandiziii...Afande Best
@hamadsheha7361
@hamadsheha7361 5 жыл бұрын
Nakubal kz jwtz napenda sn jwtz
@devidpanja115
@devidpanja115 4 жыл бұрын
Sure
@kulwashimba977
@kulwashimba977 5 жыл бұрын
Our soldiers are great like never before
@peterkihongosi1966
@peterkihongosi1966 5 жыл бұрын
Yesu awatuze wanajeshiwetu
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 5 жыл бұрын
Hicho kitenge kukipata lazma jasho la meno likutoke ila nawapenda wanaheshima mnoo
@rajabukamis9411
@rajabukamis9411 3 ай бұрын
Respect soldiers 🇹🇿
@rukasjuma6426
@rukasjuma6426 4 жыл бұрын
hakika siku moja na mimi natamani sana kuwa mwanajeshi mrinda amani katk taifa rtu
@eaglestechlimited730
@eaglestechlimited730 5 жыл бұрын
Taarifa ni muhimu zaidi kuliko silaha. Nimemwelewa kanali.
@sophiajackson5001
@sophiajackson5001 5 жыл бұрын
I wish Dar napo tungekuwa na mkuu wa mkoa mjeshi
@joesimba
@joesimba 5 жыл бұрын
Dar haipo mpakani
@stevelayda8555
@stevelayda8555 5 жыл бұрын
Hahahahaha hicho kitenge cyo cha mchezo mchezo kukipata machozi na damu. Heshima kwenu makamanda walinzi wa Taifa letu. Mungu libariki jeshi letu
@mangegervas9651
@mangegervas9651 5 жыл бұрын
Gud saana nawaamin mno
@marygorethmpanda3181
@marygorethmpanda3181 5 жыл бұрын
kaz nzur
@nawihadj6674
@nawihadj6674 5 жыл бұрын
Dah hiki kitenge mm nimekiptaa kwa shidaa snaa dah ple kj....
@jacobmaganga3354
@jacobmaganga3354 24 күн бұрын
KJ hawatoi koz ya jwtz, wanatoa karanga bn😂...hio inapatikana KV, RTS KIHANGAIKO pwani moja
@AmonMwaijengoForester86Mwai
@AmonMwaijengoForester86Mwai 5 жыл бұрын
Hawa jamaa nawafurahia sana. Kazi yao ni njema sana katika kulinda mipaka ya nchi yetu.
@peterkailembo4101
@peterkailembo4101 5 жыл бұрын
Tuongezeeni wakuu wa mikoa wanajeshi
@alexchungu9505
@alexchungu9505 5 жыл бұрын
Hahah hicho kitenge hakipatikani kizembe, lazima ukooe damu.
@ndamayapejr7725
@ndamayapejr7725 5 жыл бұрын
😂😂😂
@isackdiego2613
@isackdiego2613 5 жыл бұрын
Real
@kinglance6365
@kinglance6365 5 жыл бұрын
Hamna wewe nothing is impossible
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 5 жыл бұрын
Kabisaa icho watuu tumekilia six wiki zaid yakuchizika yaaaniii...
@kennedygurusya752
@kennedygurusya752 5 жыл бұрын
Safi Sana Hongereni JWTZ
@amrimussa7629
@amrimussa7629 5 жыл бұрын
Good job jwtz
@abdallahshabani9046
@abdallahshabani9046 5 жыл бұрын
Mh hatari tupu
@iviejustified8109
@iviejustified8109 5 жыл бұрын
Word kanali... the Information Age!
@johnsonjusto9564
@johnsonjusto9564 5 жыл бұрын
makeke tena zaidi yamakeke hapana chezea jeshi
@legendlaga
@legendlaga 5 жыл бұрын
Tanzania bado mko chini jeshi yenu bado iko chini #kenyasuperpowerofeastafrika
@jrumesele9843
@jrumesele9843 5 жыл бұрын
Ww unataka iwe juu wapii kaka
@legendlaga
@legendlaga 5 жыл бұрын
Jrume Sele jeshi ikiwa strong na experience pamoja na silaha nzuri nyinyi RAIA mtakua salama.
@abdallahiddy6333
@abdallahiddy6333 5 жыл бұрын
Mbona Kila siku kenya mnapigwa na bwanazenu wasomali
@chrismassawe326
@chrismassawe326 5 жыл бұрын
Hili ni jeshi usilete utani kulifananisha na mgambo wa kenya
@hassanisadiki824
@hassanisadiki824 5 жыл бұрын
Weee jamaa fala sana mbona mabasha zenu wasomali kila siku wanamiua km kuku vile
@barnabasmboya7688
@barnabasmboya7688 5 жыл бұрын
Nzuri hiyo kamanda
@ashritaabdallah6474
@ashritaabdallah6474 5 жыл бұрын
Mhe rais tuekee majeshi wakuu wa mikoa yote
@victorfocus7882
@victorfocus7882 5 жыл бұрын
Goodspeech kamanda
@jafaribori601
@jafaribori601 5 жыл бұрын
Nimeipenda kwakuwa Tanzania bado ni maskini siezi kubeza kabiza vivaa duni vya kivita tulivyonavyo japo kwawenzetu vimeekwa kwenye majumba ya makumbusho, najuwa vipo vyakisasa lakini inategemea na operation, NAWAPENDA WOTE WAKUU WA USALAMA NA VIJANA WENU, MUNGU IBARIKI NCHI YANGU TANZANIA
@rashyramy8066
@rashyramy8066 5 жыл бұрын
Umewahi kutembelea hata ghala moja la silaha za kijeshi hapa Nchini..?
@jafaribori601
@jafaribori601 5 жыл бұрын
@@rashyramy8066 hapana
@rashyramy8066
@rashyramy8066 5 жыл бұрын
@@jafaribori601 kabla ya kuhitimisha mawazo yako jaribu kufanya kautafiti kwanza...! Pamoja tulipende jeshi letu
@jafaribori601
@jafaribori601 5 жыл бұрын
Kwaraia ambae anaogopa jinahi hata kutembea nakisu mitaani sirahisi kufanya utafiti huo. Napia mi naona mwanzo WA utafiti huo ndio mwanzo wa uwasi, Kwanza kwa jinsi jeshi letu la tz pinavyotisha utaanzaje hata kuoji kitrnge hicho nicha Congo au cha Burundi?! Mi sibezi ila ningependa sana kutoka moyoni mwangu silaha hizo za kuchochea nakuvuta kamba zitengenezwe hapahapa kwetu ikiezekana SIDO napia vijana wetu na wataalam wakae chini waongezee uwezo hizohizo
@jafaribori601
@jafaribori601 5 жыл бұрын
Ikiwa hizo mpaka uvute kamba basi tujatibu kufanya utafiti kuwe na ki gearbox kitakachotumia umeme wa berii ya gari ambacho ukibonyeza button nduo kizungurushe alafu watu wanavyatuwa, sio hiyo mara kamba imeteleza vita ya sikuhizi jasho kidogo ila matokeo makubwa
@harunimfaume6280
@harunimfaume6280 5 жыл бұрын
nalipenda saana jesh letu la tanzania
@pilatoonlinetv9660
@pilatoonlinetv9660 5 жыл бұрын
Congo ndo kiboko yenu !! Endeleeni kufanya mazoezi ya kutosha siio mwanajeshi ana kitambi mm huwa naborekaga kweli inatakiwa sisi tuwe juu sana tena sana nchi zinazo tuzunguka zote ukitoa Kenya tumewazidi kiuchumi hivyo yatupasa kuimalisha jeshi letu mara dufu hatakama hatuna vita.
@michaeleustarch3236
@michaeleustarch3236 4 жыл бұрын
Waulize m23 acha unaa
@aidanfrancis4482
@aidanfrancis4482 3 жыл бұрын
Acha kuongea utopolo Kwan m23 walikuwa waasi wa nchi gani?
@ahmedalmuftah6284
@ahmedalmuftah6284 5 жыл бұрын
Kelele nyiiiingi
@Sabrina-rg7tu
@Sabrina-rg7tu 5 жыл бұрын
Kizazi sana
@benokikupila6832
@benokikupila6832 5 жыл бұрын
mtoto mzuri :kweli ww ni mrembo america is america wacha upuuzi ww
@mpwanihalisi6257
@mpwanihalisi6257 5 жыл бұрын
Magufuli anza kufuta hawa wakubwa wa majeshi they r joking .ur enemies r laughing.training gani hii.wanakuchezea
@makiadijonasi6859
@makiadijonasi6859 5 жыл бұрын
Wew nawe ujui kitu kaa kimyaaa
@tonnsimbasportsclub7168
@tonnsimbasportsclub7168 5 жыл бұрын
Hongera kwa taarifa kaka KARIBUNI KWENYE ACOUNT YANGU JAMNI
@kusinimediatz6747
@kusinimediatz6747 5 жыл бұрын
safi bro karibu kwenye account yangu pia
@tonnsimbasportsclub7168
@tonnsimbasportsclub7168 5 жыл бұрын
kusini media Tz ok ni hii au
@tonnsimbasportsclub7168
@tonnsimbasportsclub7168 5 жыл бұрын
Tayar nawew kwang pia
@georgelukuba7696
@georgelukuba7696 5 жыл бұрын
SHIKAMOO JWTZ
@salomepwele4962
@salomepwele4962 5 жыл бұрын
Nazimia mimi nikiwaona hao make huwa hawakopeshi mambo
@benjaminfataki6898
@benjaminfataki6898 5 жыл бұрын
sasa hawa ni kanali tena wa kuu wa wilaya mugu ni mwanajeshi kweli.yaani hawa jamaa wanalipwa mishaara mbili
@mrizzy5424
@mrizzy5424 4 жыл бұрын
analipwa na kama mwanajexhi tu
@donaldelias6689
@donaldelias6689 5 жыл бұрын
Kasulu ndo ndo mwiranvya
@swahiliforex
@swahiliforex 5 жыл бұрын
Yanyukweee
@legendlaga
@legendlaga 5 жыл бұрын
Jeshi lenu linalinda pori wakati wengine wanapigana vita somalia nyinyi na askari wa forest hakuna tofauti.
@lemonadesoldier1377
@lemonadesoldier1377 5 жыл бұрын
Chokoza moto Ndio utajua ni forest auto foreign
@michaeleustarch3236
@michaeleustarch3236 4 жыл бұрын
Wwe legend ni mnaa
@suratfrank6282
@suratfrank6282 5 жыл бұрын
Mimi apenda jeshi Mimi #pia apenda kitenge cha kibabe hicho
@devidpanja115
@devidpanja115 4 жыл бұрын
Usiichezee Jwtz hata kdg
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 5 жыл бұрын
Wana Morali wanajeshi wetu
@fadhiliswidhun9779
@fadhiliswidhun9779 5 жыл бұрын
Saf makamanda kwa kudumisha aman
@abulabbass9684
@abulabbass9684 5 жыл бұрын
Hahahaaaaa kitenge kinaamani
@johnbm1
@johnbm1 5 жыл бұрын
Uelewa wangu ni mdogo naomba msaada, iv mkuu wa wilaya ni mwanasiasa? ama, na anapoteuliwa akiwa a cheo kingine inakuaje apo...
@selemanikimbwene279
@selemanikimbwene279 5 жыл бұрын
ww Unejiita mtoto mzuri: Kwani haya mazoezi wanafanya hawa jw ni wamekwambia wanakufanyia ww, Au hujui Ulisemalo, Somalia wafuate nn,, Au ww ni mpiganaji wa al shabaab? Chokoza Jw Uone cha moto.
@angelohowas672
@angelohowas672 5 жыл бұрын
Vipi dar tunataka mkuu wa mkoa mwanajeshi tumechoshwa na waimba taarabu
@ellyjacob9897
@ellyjacob9897 5 жыл бұрын
Hahahahahaha kitenge adimu hicho
@adammwiga6452
@adammwiga6452 5 жыл бұрын
Nidhahir kuwa Tanzania inatawaliwa kijeshi na wala sio kisiasa hii nihatar mana siku moja wapo jeshi wakija kugoma kuondoka madarakan ndo vta vtaanzia hapo
@saidhussein1120
@saidhussein1120 5 жыл бұрын
Pia Mwanza tunaomba mkuu wa mkoa mjeshi
@hassanchipua8454
@hassanchipua8454 5 жыл бұрын
Haya watumeni somali km ni wanajeshi kweli
@boyjopar8717
@boyjopar8717 5 жыл бұрын
Baba unajua wale ni copy ee
@badmanvibees
@badmanvibees 5 жыл бұрын
Awatume wakafanye nn
@erickmsilu6308
@erickmsilu6308 5 жыл бұрын
Hassan Chipua kwani Somalia wameitaji msaada wa kijeshi? Wakihitaji watapewa na wataenda
@nicholausmongi6689
@nicholausmongi6689 5 жыл бұрын
Acha usenge ww
@hassanchipua8454
@hassanchipua8454 5 жыл бұрын
@@nicholausmongi6689 usenge kanifundisha mamako
@mpwanihalisi6257
@mpwanihalisi6257 5 жыл бұрын
Haha still laughing .this is not how army display their weapons.enemies wakiona hii video ni rahisi kuwavamia.silaha zenu duni sana hyo machine gun ilitumika wakati wa Idi amin dada mpaka leo iko haha.vita vya sasa ni vya kitechnologia
@kiluwajr5972
@kiluwajr5972 5 жыл бұрын
Omar Abdalla Hata ww ukivaa nguo kuna nguo huvai mpka sikukuu sasa kama unaamini hivo ndio vifaa vya mwisho ukihitaji kujua nenda jeshi
@mpwanihalisi6257
@mpwanihalisi6257 5 жыл бұрын
Kiluwa tuwache silaha . training gani hii kwani jeshi la tanzania ni marebel
@jamesfrancis98
@jamesfrancis98 5 жыл бұрын
@@kiluwajr5972 daah ndugu mbna unajua kueleza iviii "short and clear" saaaafi sana kk hatuwez kuonesha silaha hatari kwa mazoez km hayo ila kuna vitu hatari amour (jengo la kuhifadhi silaha)
@badmanvibees
@badmanvibees 5 жыл бұрын
@@kiluwajr5972 bright
@rashyramy8066
@rashyramy8066 5 жыл бұрын
@@kiluwajr5972 Safi sana mkuu.... Huyo anahisi mazoezi ya kijeshi ni sawa na mafunzo yakijeshi..! Hapo hapo nahisi anachukulia hayo mazoezi kama vile wasafi festival kwamba unaonesha ufundi wote jukwaani...! Ndio maana likaitwa jeshi.!
@ngalisoilaizer5438
@ngalisoilaizer5438 5 жыл бұрын
Lakini kuna baadhi ya wanajeshi wanaonea RAIA mtaani kisa tu wao wanajeshi
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 5 жыл бұрын
Acha kulalamika chini chini fatilia ujue kambi yake na ukamripoti kwa wakuu wake wa kazi Ila usimuonee huruma wata kapoanza kumshughulikia
@ngalisoilaizer5438
@ngalisoilaizer5438 5 жыл бұрын
@@nasibugunda7927 mbona umenipa tahadhari tena kuwa nisije waonea huruma
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 5 жыл бұрын
Dah wanapeana adhabu Kali sana hao jamaa
@dr.isihaka7393
@dr.isihaka7393 5 жыл бұрын
824 kJ
@msaniamosi438
@msaniamosi438 4 жыл бұрын
Check me
@mtotomzuri8821
@mtotomzuri8821 5 жыл бұрын
Ujeshi wenu kwa raia wasio na ata jiwe mkononi km wanaume nendeni somali uko alshababi wako uko kudadadeki kakimbia marekani anopita angani na ana kila kifaa cha kisasa
@johneegeorge3704
@johneegeorge3704 5 жыл бұрын
Mtoto mzuri Jitafakari
@jrumesele9843
@jrumesele9843 5 жыл бұрын
Kuna wakati Amani ikiwepo mnakuwa vipofu unachokizungumza unakijua lkn
@geofreyngoloka2036
@geofreyngoloka2036 5 жыл бұрын
Yaani wewe unaamini somalia ndo hawafagi akili za move izo somalia siasa usifikili yale makundi hayawezi kupigwa kuna kinga
@noelnyingi8663
@noelnyingi8663 5 жыл бұрын
Nakubali mazee piga mzigo
@noelnyingi8663
@noelnyingi8663 5 жыл бұрын
Ujui lolote wewe tz kuna jeshi
@josephnjeno2582
@josephnjeno2582 5 жыл бұрын
Mnahamu na vita hiyo si ni chokochoko sasa
@bjzee1981
@bjzee1981 5 жыл бұрын
Mkuu. Unaita combat za kijeshi kitenge. To me is not right ila sijui kwa walio pitia jeshi
@katabazinelson2127
@katabazinelson2127 5 жыл бұрын
Consider deep meaning,not surface meaning! Thank me later!! in addition TPDF is the only army in africa haijawahi kupoteza battle!
@ELLYSTVONLINE
@ELLYSTVONLINE 5 жыл бұрын
Ni kawaida jeshini tunaitaga hivo
@kiluwajr5972
@kiluwajr5972 5 жыл бұрын
Kama huelewi tulia
@bjzee1981
@bjzee1981 5 жыл бұрын
@@ELLYSTVONLINE . Ok. But to me it sounds funny
@litclass7178
@litclass7178 5 жыл бұрын
@@bjzee1981 who are you?
What is happening in Southern Azerbaijan? | Documentary
18:53
БОЙКАЛАР| bayGUYS | 27 шығарылым
28:49
bayGUYS
Рет қаралды 1,1 МЛН
Komando Koplo Ali Khamis Omary kutoka Tanzania, afunguka.
6:01
Habari za UN
Рет қаралды 617 М.
MASHUHUDA WA TUKIO LA MAUAJI YA ASKARI DAR
4:38
TBConline
Рет қаралды 231 М.
БОЙКАЛАР| bayGUYS | 27 шығарылым
28:49
bayGUYS
Рет қаралды 1,1 МЛН