Askofu Gwajima aongea baada ya kutajwa na Paul Makonda

  Рет қаралды 258,112

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Askofu Gwajima wa kanisa la Ufufuo na uzima ameongea na Waandishi wa habari baada ya jina lake kutajwa kwenye orodha ya sakata la dawa za kulevya na mkuu wa mkoa Paul Makonda.

Пікірлер: 181
@festokalengela4176
@festokalengela4176 7 жыл бұрын
Bishop Josephat gwajima Mungu awe upande wako kikubwa zaidi Nyenyekea chini ya mkono wa Bwana tupo pamoja Baba yangu
@andrewmlamba
@andrewmlamba 7 жыл бұрын
Sasa picha zima nimelipata,wale wa kwanza kina TD na kina Wema nikafara,mtu anayepigwa vita ni huyu askofu Gwajima,kisa na maana alimsupport Lowassa.Kucheza na akili za wabongo kila siku mikutano na waandishi wa habari kumbe muna chuki zenu za kisiasa mwataka kulipiza kisasi
@fatmasingano7852
@fatmasingano7852 7 жыл бұрын
hatari sana
@mzazisubs2369
@mzazisubs2369 7 жыл бұрын
kweli
@ellierolland1809
@ellierolland1809 7 жыл бұрын
manji nae katajwa au yy alimsapot hashim rungwe
@diplomatic_justice.
@diplomatic_justice. 7 жыл бұрын
Mullermba Chusa so true
@jacobleonard2129
@jacobleonard2129 7 жыл бұрын
kwahyo wema na wengne na wao walkuwa kwa lowasa achen hzooo..kma umecngziwa c yataisha coz hujakamatwa umeitwa tatzo nn bhana
@mwanahella9650
@mwanahella9650 7 жыл бұрын
😆😆😆😆 maumivu yakizidi kamuone daktari🙈🙈🙈
@hassanovajunior3006
@hassanovajunior3006 7 жыл бұрын
Mwanahamisi Hella pwahahahaha
@zakarialimo2733
@zakarialimo2733 7 жыл бұрын
Hahaaaa
@fredrickisaiah4444
@fredrickisaiah4444 7 жыл бұрын
Utaongea yote Gwajima Hata acha kuwanyoosha hadi mtanyooka tuu!!!
@halimambwego8287
@halimambwego8287 7 жыл бұрын
Hahaha
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 жыл бұрын
Majeshi majishi/ majeshi ya bwanaaaaa!!!!gwajima kiboko
@christsflowe.r
@christsflowe.r 7 жыл бұрын
Good job Gwajima Mungu yupo nawe
@halimambwego8287
@halimambwego8287 7 жыл бұрын
We nenda ukweli utaukuta huko huko ww unamjua mungu na unamuabudu hasa mtangulize mungu mbele nenda kasikilize wito
@josephgomalo41
@josephgomalo41 7 жыл бұрын
Hili jipu.. linalojificha kanisani. Wasiwasi wake ni kupoteza wachanga michango kila jumapili .. Kama hana hatia ya nini makelele? Kama kuitwa polisi ni kosa mshitaki Makonda mahakamani .. Kutaka Makonda abadilishwe kazi maana yake you have something to hide.. ! Makonda sjhikia chini hao mbwa.. hakuna cha Mchungaji wala nani..!
@fredrickisaiah4444
@fredrickisaiah4444 7 жыл бұрын
Lazma uongee upuuz...Mi nadhani unaitaji akili ata mbwa anakuzidi akili wewe!! Gwajima oyee
@diplomatic_justice.
@diplomatic_justice. 7 жыл бұрын
Joseph Gomalo u must be an idiot
@josephgomalo41
@josephgomalo41 7 жыл бұрын
Hivi ni watu wangapi wamekusaidia hadi ukaandika huo ung'eng'e aisee?? LMAO..!!! Kuhojiwa na polisi ni suala la kawaida. Mimi sioni shida hapo. Gwajima hayuko juu ya sheria kama mtu ye yote yule. Kama mapadri wanakamatwa wakilawiti watoto ..! Maana yake hao ni binadamu .. na binadamu hufanya makosa au kuvunja sheria..including Gwajima.. You motherfuckers who think only coz Gwajima is a church minister .. and that should guarantee his sainthood.. you are gravely mistaken.. Muuza unga ye yote mwenye akili huwarubuni na kuwatumia au kuwalazimisha (blackmail) watu na kutumia sehemu au njia ambazo vyombo vya dola havitazami au kukagua; kama ziara za wanamichezo na watu wa dini, makanisa, misikiti au majeneza kama maficho ya madawa.. Wewe endela na imani ya kijinga inayokufanya kipofu.. Makonda knows what he is doing..! And you are simply a fucking dickhead ..!
@diplomatic_justice.
@diplomatic_justice. 7 жыл бұрын
i didn't say he was above the law ila your being disrespectful with thing that you dont have any knowledge on brother what if it was you ahh there your laughing your ass off like seriously
@diplomatic_justice.
@diplomatic_justice. 7 жыл бұрын
Joseph Gomalo keep trying bro the only one being insulted here is you simply youu
@nicojonas9375
@nicojonas9375 7 жыл бұрын
movie continue, let wait and seee,naipenda sana tanzania kwa burudani kama hizi maana ni burudani tuuuuuuu
@daybrelimite7039
@daybrelimite7039 7 жыл бұрын
duh huyu makonda ni gumzo sasa! Makonda ndo Habari ya mjini! Hamna cha njaa tena
@rizikialmas4877
@rizikialmas4877 7 жыл бұрын
Kweli kabisa
@diplomatic_justice.
@diplomatic_justice. 7 жыл бұрын
Daybre Limite hahaha i agree
@daybrelimite7039
@daybrelimite7039 7 жыл бұрын
its allmighty :Umeona broo!
@elishajoshua4892
@elishajoshua4892 7 жыл бұрын
I love this Man.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 7 жыл бұрын
safi,sio kuomba tu na kufanya kazi na kufungua miradi
@bernardkuloba2993
@bernardkuloba2993 7 жыл бұрын
Safi sana Mchungaji, nimekuelewa sana wewe ni kichwa na kamwe usikubali kuwa mkia. Huyu jamaa ni.................
@sphrb1063
@sphrb1063 7 жыл бұрын
i love that movie
@amadeusmrope4953
@amadeusmrope4953 7 жыл бұрын
good Ngwajima asikofu
@boniphacelaurian3847
@boniphacelaurian3847 7 жыл бұрын
Gwajima subir makonda afanye uchunguzi usipaniki
@kizimkazi3443
@kizimkazi3443 7 жыл бұрын
kwa jinsi anavyojitahidi kujielezea naanza kupata mashaka sasa
@christsflowe.r
@christsflowe.r 7 жыл бұрын
kizi mkazi anajibu maswali anayoulizwa kwa taarifa yako
@ezekielitengeneza1613
@ezekielitengeneza1613 7 жыл бұрын
ccm Mbele kwa mbele....
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 жыл бұрын
Ezekieli Tengeneza oyeeeeeeeeee
@sambae925
@sambae925 7 жыл бұрын
Ezekieli Tengeneza teinaa.........
@ashleypetertv5894
@ashleypetertv5894 7 жыл бұрын
If at all you are innocent man of God , you don't need to panic...
@moureenjude3802
@moureenjude3802 7 жыл бұрын
wacha tuisome namba bwana weee😜😂
@winnifridannko4890
@winnifridannko4890 7 жыл бұрын
Safi sana baba!!!!
@hassanovajunior3006
@hassanovajunior3006 7 жыл бұрын
mbona unababaika wewe unauza tu wacha kelele za chura
@fredrickisaiah4444
@fredrickisaiah4444 7 жыл бұрын
Nyie waislam lazma mmuchukie atazidi kuwanyoosha!!!!
@diplomatic_justice.
@diplomatic_justice. 7 жыл бұрын
Hassanova junior mmh poor youu
@user-rl1vr1fd1r
@user-rl1vr1fd1r 7 жыл бұрын
mwambie makonda aje alite vyeti aache kulialia hapa, arudi atoe vyeti
@juliusnyonyi9616
@juliusnyonyi9616 7 жыл бұрын
hii match raha sana
@imagepower3641
@imagepower3641 7 жыл бұрын
gwajima uko sawa,hata usipomjibu huyo jamaa
@furahah9437
@furahah9437 7 жыл бұрын
Acha ngendembwe ww karipot
@fredrickisaiah4444
@fredrickisaiah4444 7 жыл бұрын
Huna Akili
@christinadevic9432
@christinadevic9432 7 жыл бұрын
huyu MTU MTU kweli simwezi wasukuma wamekutana Kwa kweli,ila mungu akutenze baba akili ya maendeleo uliyonayo ni kubwa sana kila hatuwezi kukuelewa,
@henrystanley4077
@henrystanley4077 3 жыл бұрын
Hahahahaha..askofu upo vzur Sana na umemuonyesha kwamba wewe ni mkubwa kiakili zaidi yake...sasa meli imepinduka juu chini
@sameeradam4696
@sameeradam4696 7 жыл бұрын
We mzee ucjipe shda ww unaxema hawez kuongoza mkoa kixa kakuita huko Pollice mbn Hjaxema kitaambo km huwz we fny uende mngne yatajulikana hukohuko.....
@davidsamson8292
@davidsamson8292 7 жыл бұрын
kwahiyo hii nchi ukiwa unapesa ww unauza unga sasa mbona wenye mapesa wengi
@user-de7nf8pp3w
@user-de7nf8pp3w 7 жыл бұрын
jmn me naona hapo anajifagharisha tu mara namilik ndeg mara ktu gan cjui usiingzie sias hapo me nasubir kesho c ndo ijumaa
@jahrean-tc8561
@jahrean-tc8561 7 жыл бұрын
hakuna cha lecture wala nini cha msingi wewe unadhaniwa nenda maneno mengi ya nini sasa ndege sijui nn si zinatuhusu nini
@ramadhanurassa2410
@ramadhanurassa2410 7 жыл бұрын
picha linazidi kunoga kudadeki
@tongonoabdala5365
@tongonoabdala5365 7 жыл бұрын
Ramadhan Urassa
@jahrean-tc8561
@jahrean-tc8561 7 жыл бұрын
tumechoka na madawa ukiitwa hata njian popote nenda na hadi unatajwa kuna wahusika wapo centro wakutaja na sio makonda sasa vita hii si ya Makonda ni watanzania wote pia hata uwe na fedha au umaarufu huwezi kuwa juu ya sheria
@nestorymashishanga4810
@nestorymashishanga4810 7 жыл бұрын
hongera sana mkuu Gwajima
@husseinsanda681
@husseinsanda681 7 жыл бұрын
Nestory Mashishanga hongera kwa kuchangia kuharibu vijana
@christsflowe.r
@christsflowe.r 7 жыл бұрын
Hussein Sanda acha chuki
@christianluvanga2673
@christianluvanga2673 7 жыл бұрын
Siasaa nje njee
@veilamoshi9302
@veilamoshi9302 2 жыл бұрын
Na ndani ya Yesu Kuna utajiri usio pimika na bodo Watazidi kuwa matajiri wa Kiroho na kimwili pia Mia ya Mia hapa baadaye Mbinguni
@bianaramadhani5406
@bianaramadhani5406 7 жыл бұрын
tunasubir season. ya ngap vile?
@rajabomary5280
@rajabomary5280 7 жыл бұрын
duh! kama movie ya kihindi vile
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 жыл бұрын
Rajab Omary hahhahahah wacha iendelee
@mamarama6360
@mamarama6360 7 жыл бұрын
mapovu yann nenda kaitike wito ukatoe mapovu kwa Siro
@masaudmasaud4084
@masaudmasaud4084 7 жыл бұрын
askofu wewe nenda katangaze dini jela mmezoea kuharibu vijana nyie pesa mnapata wapi pesa nyie mtaropoka sana mwakaa huu
@daybrelimite7039
@daybrelimite7039 7 жыл бұрын
Jaman mbn...Mbowe aongei?....
@kulwajames855
@kulwajames855 7 жыл бұрын
makonda ashafeli, ataftiwe kaz nyngne
@bashiryahaya3795
@bashiryahaya3795 7 жыл бұрын
gwajima atari sana
@fatmaalrashdi1577
@fatmaalrashdi1577 7 жыл бұрын
makonda anataka kusaficha uchafu unao.haribu vijana wa tz na hao nyoka kelele tupu
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
Mkuu WA mkowa WA ss ivi ajui kz amekuwa chawa WA wasani ndo maana mondi uwa hamsikilizi
@josephemmanuel9009
@josephemmanuel9009 22 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂askofuuuuuuuuuuu
@consolathashayo7499
@consolathashayo7499 7 жыл бұрын
haija tangazwa mtandaon ona hata ww hujui ndo mana unauliza mxeeeeee ongelea social sio individual upo.......
@jumamchalaganya8761
@jumamchalaganya8761 7 жыл бұрын
katika taarifa taarifa imesema kuna watu walioitwa kusaidia taarifa, wanaohusika kwa shughuli kufanyika katika maeneo yao, kushiriki kutumia, n.k hivyo hujatajwa upo kundi lipi. nenda kawaone vyombo vya habari kwa ajili ya biashara ndio wanalileta kwa mtazamo ambao inaonekana kama ni kutuhumiwa kuhisika moja kwa moja
@user-xe3fo1bh5s
@user-xe3fo1bh5s 8 ай бұрын
Kwaiyo wewe papa tapeli mkubwa wewe unawatapeli watanzania hata shule yako ni ndogo sana unapenda sifa sana ngwajima
@allybububu9757
@allybububu9757 7 жыл бұрын
alafu mbona anajisifia Sana muhaya nini?
@zackysambo5800
@zackysambo5800 7 жыл бұрын
ally bububu Ni msukuma huyo, kama alivyo mheshimiwa Paul Makonda.
@Simeonesaph13
@Simeonesaph13 7 жыл бұрын
😂😂😂😂 baba gwajima
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
Alafu serikal msicheze na iki kichwa iko kichwa nimoto jmn akiogopi wala halina wasi wasi
@user-de7nf8pp3w
@user-de7nf8pp3w 7 жыл бұрын
jmn mbowe bado me napenda kwl kufuatilia hawa mapapa hao akina recho tupa kule
@ahmedalshammari9372
@ahmedalshammari9372 7 жыл бұрын
wa tz mnamambo haya pia cc wakenya tuko na letu
@mzeejuma8237
@mzeejuma8237 7 жыл бұрын
Ok
@kharidyblauda7046
@kharidyblauda7046 7 жыл бұрын
unajitetea nin sasa we vp,,,,!?
@ummusahili6399
@ummusahili6399 7 жыл бұрын
Kwanza ilo lakuuliza?? Waumini wako unaohao apo wengine wanalala na njaa sukuma twende ndio mlo wao tena Mara moja kwanini mipesa ulionayokwanini atamwaka Mara moja mbona hatukuwahi kusikia???kwaiyo nenda zogo lanini?
@happybraysoni7373
@happybraysoni7373 7 жыл бұрын
Subiri uchunguzi
@jacquelineadrian7041
@jacquelineadrian7041 7 жыл бұрын
Sasa nilikuwa na heri kopter nikageuza herikopta ndo nini sasa nan hajui una herikopta
@juliusnyonyi9616
@juliusnyonyi9616 7 жыл бұрын
unaonekana unajiamini sana lakini sijui mungu akutangulie
@kakanicodemus3632
@kakanicodemus3632 Жыл бұрын
Time is always telling the true
@user-de7nf8pp3w
@user-de7nf8pp3w 7 жыл бұрын
heee ktk dunia hii kuna watakatifu jmn
@sebprincemalunde9536
@sebprincemalunde9536 7 жыл бұрын
Gwajima hata simuelewi anachojaribu kukisema. Inaonekana amebaha
@ummusahili6399
@ummusahili6399 7 жыл бұрын
Sasa kwani kumeombwa ushauri?? Au umepewa taarifa Wende polisi? Zogo la nini? Ndugu zetu wanazidi kuteketea kwamadawa zogo lanini benk ndege umeulizwa?? Wewe nenda bwana wee
@emmanuelaggery6877
@emmanuelaggery6877 7 жыл бұрын
kwa gwajimaaa wanakazi
@didaskimario4444
@didaskimario4444 7 жыл бұрын
kudadadeki
@aishabashiru4850
@aishabashiru4850 7 жыл бұрын
tobaaaa comment zane zimenitia nguvu nilukowa na homa maana mh !
@chyzoman7264
@chyzoman7264 7 жыл бұрын
wachane mzee
@thabitithabiti8789
@thabitithabiti8789 7 жыл бұрын
😆😆😆😆anaongea vitu vingi dah
@joycemichaellovelove2221
@joycemichaellovelove2221 7 жыл бұрын
mmmmmmh
@masseanadir2904
@masseanadir2904 7 жыл бұрын
gwaji umetisha kinoma hahah
@benjaminpatrick6364
@benjaminpatrick6364 3 жыл бұрын
Now umekuwaaa mwanasiasaaaaaa
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 7 жыл бұрын
atamnyoosha nani mtu kama ngwajima. anakunyoosha wewe binafsi labda unamtegemea ktk maisha yako. waislam tunamtegemea mmoja tuu aliyenyanyua mbingu saba basina kua na nguzo. khaaaa ya ngwajima huko huko hayatuhusu.
@ahmedalminshad1211
@ahmedalminshad1211 7 жыл бұрын
😂😂😂😂 wee nenda umeitwa bahna
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 7 жыл бұрын
kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji. eti makonda hawezi kazi hahahahaha
@flova7022
@flova7022 3 жыл бұрын
Kama anaweza Yuko wapi leo hahahahahaha
@user-de7nf8pp3w
@user-de7nf8pp3w 7 жыл бұрын
mh hatar
@rosemarybenjamin5866
@rosemarybenjamin5866 7 жыл бұрын
daras wambie waache mnano meng waend policy
@daybrelimite7039
@daybrelimite7039 7 жыл бұрын
Weka mbali na watoto!
@charlesmagere9020
@charlesmagere9020 7 жыл бұрын
Gwajima unajilinganisha na papa....hivi hujui papa ni mkuu wa nchi na anaongoza dunia....!!!? hahahaaa....
@veronicalucas580
@veronicalucas580 7 жыл бұрын
hakujui huyooo amuulize jk
@hassanrashid9775
@hassanrashid9775 7 жыл бұрын
picha limeanza kama movie ya solomon
@tongonoabdala5365
@tongonoabdala5365 7 жыл бұрын
Hassan Rashid
@wilfredjohn85
@wilfredjohn85 7 жыл бұрын
Ghafla vumbi linazidi wajanja tunavaa miwani. . HAhahaha
@ibrahimsimsokwe450
@ibrahimsimsokwe450 7 жыл бұрын
angekuwa babako ndo katajwa ungejickiaj..
@sambae925
@sambae925 7 жыл бұрын
umwambie rahisi amfukuze kazi ww kama nani? hiyo nikazi yake pia na ndio mana kasema anadili na dar tu coz ni ikochini yake dar hata hao poli wapo chini yake
@hajihamisi5212
@hajihamisi5212 2 жыл бұрын
Ppl
@eliudijastin1597
@eliudijastin1597 7 жыл бұрын
ipokazi @millardayo
@lugendodaniel5266
@lugendodaniel5266 2 жыл бұрын
Fanya kazi ya BWANA
@venmason1949
@venmason1949 7 жыл бұрын
hahaha
@jescajonas5247
@jescajonas5247 7 жыл бұрын
hekaheka
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 7 жыл бұрын
bravo
@fredyjulius6933
@fredyjulius6933 7 жыл бұрын
hatutaki kelele nenda kaitike wito
@annaracheldaniel5132
@annaracheldaniel5132 7 жыл бұрын
jamani mm nazunguka kusoma comments tuu, maana kwenye comments ndio kuna uhondo zaidi tiririkeni jamani wenye madukuduku
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 жыл бұрын
mama wawili mbarikiwa /hahahahahhahah- Aiseee hata mimi nimechoka kukoment
@ramlak_dramafans8807
@ramlak_dramafans8807 7 жыл бұрын
wenendatuu hatutaki maelezoo
@vjabnassir0017
@vjabnassir0017 7 жыл бұрын
ume panic braza😂😂😂😂😂😂😂
@fredrickisaiah4444
@fredrickisaiah4444 7 жыл бұрын
Miislamu ndo inakuja kumponda Gwajima atawanyosha...Pelekeni upuuz wenu mecca
@vjabnassir0017
@vjabnassir0017 7 жыл бұрын
mwengine ka panic😂😂😂😂😂, we mwenyewe wataka mtu akufundishe, ati lecture ya kidini Japan ,na kizungu hicho
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
Gwajima ni kichwa. Ndo mwana magufur qlimtaka uyu mtu
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 7 жыл бұрын
David Thomas+acha unafiki na upumbavu. unasema waislam wanamchukia ngwajima? Kwani aliyemuita police ni mwislam? ohooooooo''unayaka eeeee. pool makonda ni sheikh au ustaadh huyo aliyesema ngwajima aende kituo cha polisi.??? jiangalie sana. angeitwa na waislam huyo ngwajima wenu ungesema waislam hawampendi.
@christsflowe.r
@christsflowe.r 7 жыл бұрын
Rahma Shaban ndio mko negative ndio maana kama una macho utaona majina ya negative comments ni kina nani
@ibrahimharuta7333
@ibrahimharuta7333 7 жыл бұрын
umepanic sasa kesho ww nenda tuu
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 7 жыл бұрын
unaham eeh nawe
@kelvin_papaa_ya_warembo8313
@kelvin_papaa_ya_warembo8313 7 жыл бұрын
huyu jamaa ni msanii sijawah ona asee
@godwinmpazi1560
@godwinmpazi1560 5 жыл бұрын
Wewe unaonekana una ngoma wewe.
@mangumbamnyili6033
@mangumbamnyili6033 7 жыл бұрын
Nihatari kitete tupu
@stvchannel1639
@stvchannel1639 7 жыл бұрын
gwajima unaongea sanaa naisii kunakitu inside apo kanisani. why you people mnasingizia mambo ya kanisa iyo ni personal issue ww unatumia madawa au utumii baci cyo kureta taarabu apo kanisani. na unaudaktari wwote. makonda kashasema uko japani kunakitu na tutakijua 2. mkono wa mungu ni mkubwa
@joshuakwelimoto6494
@joshuakwelimoto6494 7 жыл бұрын
waeleze wajinga hao
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 жыл бұрын
Mungu wetu tusaidie-nampenda sana bishop gwajima
@consolathashayo7499
@consolathashayo7499 7 жыл бұрын
kama uliweza kulala na mke wa mtu.. je??? utashidwaje kuuza madawa ya kulevya?????? kukuamin ww ni vigumu baba pambana na hali yako........
@goldmansun8983
@goldmansun8983 7 жыл бұрын
baba ako unajua amelala na wake watu wangap??? mbona unamuamini, je mama yako, una uhakika we sio mtoto wa mume wa mtu, mbona bado unamuamini
@joshuakwelimoto6494
@joshuakwelimoto6494 7 жыл бұрын
dingi yako mwenyewe kicheche humkatai kuwa sio dingi yako
@fredrickisaiah4444
@fredrickisaiah4444 7 жыл бұрын
Yaani unaongea kama ulikuwepo vile utapigwa pigo kwa kumsema mtumishi wa mungu ww..afu utabak umesema umelogwa
@JohnNjengaCOCO
@JohnNjengaCOCO 7 жыл бұрын
This guy is reacting like a guilty man would
@christsflowe.r
@christsflowe.r 7 жыл бұрын
Njenga John hujui unachoongea wewe
@sajidabakari9809
@sajidabakari9809 7 жыл бұрын
sasa kama mtu ulikuwa biz na hukupata taarifa kwenye media, nn kinafanyika?!? makonda anahitaj uchunguzi gwajima baba, namm nahitaj hizo millions
Askofu Gwajima alivyotembelea Clouds Media Group leo
20:09
Millard Ayo
Рет қаралды 286 М.
"Unapotangaza mtu aje Polisi saa 5, wewe ni nani?" - MBOWE
12:00
Millard Ayo
Рет қаралды 692 М.
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 59 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 6 МЛН
Makonda Ataja Majina Mengine 65 ya Watuhumiwa wa Kuuza ‘Unga
10:39
Global TV Online
Рет қаралды 14 М.
MAKONDA ALIVYOCHARUANA na BOSI wa MAJI ARUSHA - WANANCHI WASHUHUDIA.
41:29
MAHOJIANO YA ASKOFU GWAJIMA NA TBC KUHUSU TUHUMA ZA MAKONDA
17:56
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 131 М.