Askofu Gwajima wa kanisa la Ufufuo na uzima ameongea na Waandishi wa habari baada ya jina lake kutajwa kwenye orodha ya sakata la dawa za kulevya na mkuu wa mkoa Paul Makonda.
Пікірлер: 181
@festokalengela41767 жыл бұрын
Bishop Josephat gwajima Mungu awe upande wako kikubwa zaidi Nyenyekea chini ya mkono wa Bwana tupo pamoja Baba yangu
@andrewmlamba7 жыл бұрын
Sasa picha zima nimelipata,wale wa kwanza kina TD na kina Wema nikafara,mtu anayepigwa vita ni huyu askofu Gwajima,kisa na maana alimsupport Lowassa.Kucheza na akili za wabongo kila siku mikutano na waandishi wa habari kumbe muna chuki zenu za kisiasa mwataka kulipiza kisasi
@fatmasingano78527 жыл бұрын
hatari sana
@mzazisubs23697 жыл бұрын
kweli
@ellierolland18097 жыл бұрын
manji nae katajwa au yy alimsapot hashim rungwe
@diplomatic_justice.7 жыл бұрын
Mullermba Chusa so true
@jacobleonard21297 жыл бұрын
kwahyo wema na wengne na wao walkuwa kwa lowasa achen hzooo..kma umecngziwa c yataisha coz hujakamatwa umeitwa tatzo nn bhana
@mwanahella96507 жыл бұрын
😆😆😆😆 maumivu yakizidi kamuone daktari🙈🙈🙈
@hassanovajunior30067 жыл бұрын
Mwanahamisi Hella pwahahahaha
@zakarialimo27337 жыл бұрын
Hahaaaa
@fredrickisaiah44447 жыл бұрын
Utaongea yote Gwajima Hata acha kuwanyoosha hadi mtanyooka tuu!!!
@halimambwego82877 жыл бұрын
Hahaha
@mamatuishi-mamatuondoke88227 жыл бұрын
Majeshi majishi/ majeshi ya bwanaaaaa!!!!gwajima kiboko
@christsflowe.r7 жыл бұрын
Good job Gwajima Mungu yupo nawe
@halimambwego82877 жыл бұрын
We nenda ukweli utaukuta huko huko ww unamjua mungu na unamuabudu hasa mtangulize mungu mbele nenda kasikilize wito
@josephgomalo417 жыл бұрын
Hili jipu.. linalojificha kanisani. Wasiwasi wake ni kupoteza wachanga michango kila jumapili .. Kama hana hatia ya nini makelele? Kama kuitwa polisi ni kosa mshitaki Makonda mahakamani .. Kutaka Makonda abadilishwe kazi maana yake you have something to hide.. ! Makonda sjhikia chini hao mbwa.. hakuna cha Mchungaji wala nani..!
Hivi ni watu wangapi wamekusaidia hadi ukaandika huo ung'eng'e aisee?? LMAO..!!! Kuhojiwa na polisi ni suala la kawaida. Mimi sioni shida hapo. Gwajima hayuko juu ya sheria kama mtu ye yote yule. Kama mapadri wanakamatwa wakilawiti watoto ..! Maana yake hao ni binadamu .. na binadamu hufanya makosa au kuvunja sheria..including Gwajima.. You motherfuckers who think only coz Gwajima is a church minister .. and that should guarantee his sainthood.. you are gravely mistaken.. Muuza unga ye yote mwenye akili huwarubuni na kuwatumia au kuwalazimisha (blackmail) watu na kutumia sehemu au njia ambazo vyombo vya dola havitazami au kukagua; kama ziara za wanamichezo na watu wa dini, makanisa, misikiti au majeneza kama maficho ya madawa.. Wewe endela na imani ya kijinga inayokufanya kipofu.. Makonda knows what he is doing..! And you are simply a fucking dickhead ..!
@diplomatic_justice.7 жыл бұрын
i didn't say he was above the law ila your being disrespectful with thing that you dont have any knowledge on brother what if it was you ahh there your laughing your ass off like seriously
@diplomatic_justice.7 жыл бұрын
Joseph Gomalo keep trying bro the only one being insulted here is you simply youu
@nicojonas93757 жыл бұрын
movie continue, let wait and seee,naipenda sana tanzania kwa burudani kama hizi maana ni burudani tuuuuuuu
@daybrelimite70397 жыл бұрын
duh huyu makonda ni gumzo sasa! Makonda ndo Habari ya mjini! Hamna cha njaa tena
@rizikialmas48777 жыл бұрын
Kweli kabisa
@diplomatic_justice.7 жыл бұрын
Daybre Limite hahaha i agree
@daybrelimite70397 жыл бұрын
its allmighty :Umeona broo!
@elishajoshua48927 жыл бұрын
I love this Man.
@christinewomanoffaith54797 жыл бұрын
safi,sio kuomba tu na kufanya kazi na kufungua miradi
@bernardkuloba29937 жыл бұрын
Safi sana Mchungaji, nimekuelewa sana wewe ni kichwa na kamwe usikubali kuwa mkia. Huyu jamaa ni.................
@sphrb10637 жыл бұрын
i love that movie
@amadeusmrope49537 жыл бұрын
good Ngwajima asikofu
@boniphacelaurian38477 жыл бұрын
Gwajima subir makonda afanye uchunguzi usipaniki
@kizimkazi34437 жыл бұрын
kwa jinsi anavyojitahidi kujielezea naanza kupata mashaka sasa
@christsflowe.r7 жыл бұрын
kizi mkazi anajibu maswali anayoulizwa kwa taarifa yako
@ezekielitengeneza16137 жыл бұрын
ccm Mbele kwa mbele....
@azizayassin36237 жыл бұрын
Ezekieli Tengeneza oyeeeeeeeeee
@sambae9257 жыл бұрын
Ezekieli Tengeneza teinaa.........
@ashleypetertv58947 жыл бұрын
If at all you are innocent man of God , you don't need to panic...
@moureenjude38027 жыл бұрын
wacha tuisome namba bwana weee😜😂
@winnifridannko48907 жыл бұрын
Safi sana baba!!!!
@hassanovajunior30067 жыл бұрын
mbona unababaika wewe unauza tu wacha kelele za chura
huyu MTU MTU kweli simwezi wasukuma wamekutana Kwa kweli,ila mungu akutenze baba akili ya maendeleo uliyonayo ni kubwa sana kila hatuwezi kukuelewa,
@henrystanley40773 жыл бұрын
Hahahahaha..askofu upo vzur Sana na umemuonyesha kwamba wewe ni mkubwa kiakili zaidi yake...sasa meli imepinduka juu chini
@sameeradam46967 жыл бұрын
We mzee ucjipe shda ww unaxema hawez kuongoza mkoa kixa kakuita huko Pollice mbn Hjaxema kitaambo km huwz we fny uende mngne yatajulikana hukohuko.....
@davidsamson82927 жыл бұрын
kwahiyo hii nchi ukiwa unapesa ww unauza unga sasa mbona wenye mapesa wengi
@user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын
jmn me naona hapo anajifagharisha tu mara namilik ndeg mara ktu gan cjui usiingzie sias hapo me nasubir kesho c ndo ijumaa
@jahrean-tc85617 жыл бұрын
hakuna cha lecture wala nini cha msingi wewe unadhaniwa nenda maneno mengi ya nini sasa ndege sijui nn si zinatuhusu nini
@ramadhanurassa24107 жыл бұрын
picha linazidi kunoga kudadeki
@tongonoabdala53657 жыл бұрын
Ramadhan Urassa
@jahrean-tc85617 жыл бұрын
tumechoka na madawa ukiitwa hata njian popote nenda na hadi unatajwa kuna wahusika wapo centro wakutaja na sio makonda sasa vita hii si ya Makonda ni watanzania wote pia hata uwe na fedha au umaarufu huwezi kuwa juu ya sheria
@nestorymashishanga48107 жыл бұрын
hongera sana mkuu Gwajima
@husseinsanda6817 жыл бұрын
Nestory Mashishanga hongera kwa kuchangia kuharibu vijana
@christsflowe.r7 жыл бұрын
Hussein Sanda acha chuki
@christianluvanga26737 жыл бұрын
Siasaa nje njee
@veilamoshi93022 жыл бұрын
Na ndani ya Yesu Kuna utajiri usio pimika na bodo Watazidi kuwa matajiri wa Kiroho na kimwili pia Mia ya Mia hapa baadaye Mbinguni
@bianaramadhani54067 жыл бұрын
tunasubir season. ya ngap vile?
@rajabomary52807 жыл бұрын
duh! kama movie ya kihindi vile
@azizayassin36237 жыл бұрын
Rajab Omary hahhahahah wacha iendelee
@mamarama63607 жыл бұрын
mapovu yann nenda kaitike wito ukatoe mapovu kwa Siro
@masaudmasaud40847 жыл бұрын
askofu wewe nenda katangaze dini jela mmezoea kuharibu vijana nyie pesa mnapata wapi pesa nyie mtaropoka sana mwakaa huu
@daybrelimite70397 жыл бұрын
Jaman mbn...Mbowe aongei?....
@kulwajames8557 жыл бұрын
makonda ashafeli, ataftiwe kaz nyngne
@bashiryahaya37957 жыл бұрын
gwajima atari sana
@fatmaalrashdi15777 жыл бұрын
makonda anataka kusaficha uchafu unao.haribu vijana wa tz na hao nyoka kelele tupu
@nishaabdula50152 жыл бұрын
Mkuu WA mkowa WA ss ivi ajui kz amekuwa chawa WA wasani ndo maana mondi uwa hamsikilizi
@josephemmanuel900922 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂askofuuuuuuuuuuu
@consolathashayo74997 жыл бұрын
haija tangazwa mtandaon ona hata ww hujui ndo mana unauliza mxeeeeee ongelea social sio individual upo.......
@jumamchalaganya87617 жыл бұрын
katika taarifa taarifa imesema kuna watu walioitwa kusaidia taarifa, wanaohusika kwa shughuli kufanyika katika maeneo yao, kushiriki kutumia, n.k hivyo hujatajwa upo kundi lipi. nenda kawaone vyombo vya habari kwa ajili ya biashara ndio wanalileta kwa mtazamo ambao inaonekana kama ni kutuhumiwa kuhisika moja kwa moja
@user-xe3fo1bh5s8 ай бұрын
Kwaiyo wewe papa tapeli mkubwa wewe unawatapeli watanzania hata shule yako ni ndogo sana unapenda sifa sana ngwajima
@allybububu97577 жыл бұрын
alafu mbona anajisifia Sana muhaya nini?
@zackysambo58007 жыл бұрын
ally bububu Ni msukuma huyo, kama alivyo mheshimiwa Paul Makonda.
@Simeonesaph137 жыл бұрын
😂😂😂😂 baba gwajima
@nishaabdula50152 жыл бұрын
Alafu serikal msicheze na iki kichwa iko kichwa nimoto jmn akiogopi wala halina wasi wasi
@user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын
jmn mbowe bado me napenda kwl kufuatilia hawa mapapa hao akina recho tupa kule
@ahmedalshammari93727 жыл бұрын
wa tz mnamambo haya pia cc wakenya tuko na letu
@mzeejuma82377 жыл бұрын
Ok
@kharidyblauda70467 жыл бұрын
unajitetea nin sasa we vp,,,,!?
@ummusahili63997 жыл бұрын
Kwanza ilo lakuuliza?? Waumini wako unaohao apo wengine wanalala na njaa sukuma twende ndio mlo wao tena Mara moja kwanini mipesa ulionayokwanini atamwaka Mara moja mbona hatukuwahi kusikia???kwaiyo nenda zogo lanini?
@happybraysoni73737 жыл бұрын
Subiri uchunguzi
@jacquelineadrian70417 жыл бұрын
Sasa nilikuwa na heri kopter nikageuza herikopta ndo nini sasa nan hajui una herikopta
@juliusnyonyi96167 жыл бұрын
unaonekana unajiamini sana lakini sijui mungu akutangulie
@kakanicodemus3632 Жыл бұрын
Time is always telling the true
@user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын
heee ktk dunia hii kuna watakatifu jmn
@sebprincemalunde95367 жыл бұрын
Gwajima hata simuelewi anachojaribu kukisema. Inaonekana amebaha
@ummusahili63997 жыл бұрын
Sasa kwani kumeombwa ushauri?? Au umepewa taarifa Wende polisi? Zogo la nini? Ndugu zetu wanazidi kuteketea kwamadawa zogo lanini benk ndege umeulizwa?? Wewe nenda bwana wee
@emmanuelaggery68777 жыл бұрын
kwa gwajimaaa wanakazi
@didaskimario44447 жыл бұрын
kudadadeki
@aishabashiru48507 жыл бұрын
tobaaaa comment zane zimenitia nguvu nilukowa na homa maana mh !
@chyzoman72647 жыл бұрын
wachane mzee
@thabitithabiti87897 жыл бұрын
😆😆😆😆anaongea vitu vingi dah
@joycemichaellovelove22217 жыл бұрын
mmmmmmh
@masseanadir29047 жыл бұрын
gwaji umetisha kinoma hahah
@benjaminpatrick63643 жыл бұрын
Now umekuwaaa mwanasiasaaaaaa
@rahmashaban86937 жыл бұрын
atamnyoosha nani mtu kama ngwajima. anakunyoosha wewe binafsi labda unamtegemea ktk maisha yako. waislam tunamtegemea mmoja tuu aliyenyanyua mbingu saba basina kua na nguzo. khaaaa ya ngwajima huko huko hayatuhusu.
@ahmedalminshad12117 жыл бұрын
😂😂😂😂 wee nenda umeitwa bahna
@rahmashaban86937 жыл бұрын
kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji. eti makonda hawezi kazi hahahahaha
@flova70223 жыл бұрын
Kama anaweza Yuko wapi leo hahahahahaha
@user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын
mh hatar
@rosemarybenjamin58667 жыл бұрын
daras wambie waache mnano meng waend policy
@daybrelimite70397 жыл бұрын
Weka mbali na watoto!
@charlesmagere90207 жыл бұрын
Gwajima unajilinganisha na papa....hivi hujui papa ni mkuu wa nchi na anaongoza dunia....!!!? hahahaaa....
umwambie rahisi amfukuze kazi ww kama nani? hiyo nikazi yake pia na ndio mana kasema anadili na dar tu coz ni ikochini yake dar hata hao poli wapo chini yake
@hajihamisi52122 жыл бұрын
Ppl
@eliudijastin15977 жыл бұрын
ipokazi @millardayo
@lugendodaniel52662 жыл бұрын
Fanya kazi ya BWANA
@venmason19497 жыл бұрын
hahaha
@jescajonas52477 жыл бұрын
hekaheka
@mandyfitnesstv67387 жыл бұрын
bravo
@fredyjulius69337 жыл бұрын
hatutaki kelele nenda kaitike wito
@annaracheldaniel51327 жыл бұрын
jamani mm nazunguka kusoma comments tuu, maana kwenye comments ndio kuna uhondo zaidi tiririkeni jamani wenye madukuduku
@mamatuishi-mamatuondoke88227 жыл бұрын
mama wawili mbarikiwa /hahahahahhahah- Aiseee hata mimi nimechoka kukoment
mwengine ka panic😂😂😂😂😂, we mwenyewe wataka mtu akufundishe, ati lecture ya kidini Japan ,na kizungu hicho
@nishaabdula50152 жыл бұрын
Gwajima ni kichwa. Ndo mwana magufur qlimtaka uyu mtu
@rahmashaban86937 жыл бұрын
David Thomas+acha unafiki na upumbavu. unasema waislam wanamchukia ngwajima? Kwani aliyemuita police ni mwislam? ohooooooo''unayaka eeeee. pool makonda ni sheikh au ustaadh huyo aliyesema ngwajima aende kituo cha polisi.??? jiangalie sana. angeitwa na waislam huyo ngwajima wenu ungesema waislam hawampendi.
@christsflowe.r7 жыл бұрын
Rahma Shaban ndio mko negative ndio maana kama una macho utaona majina ya negative comments ni kina nani
@ibrahimharuta73337 жыл бұрын
umepanic sasa kesho ww nenda tuu
@rahmashaban86937 жыл бұрын
unaham eeh nawe
@kelvin_papaa_ya_warembo83137 жыл бұрын
huyu jamaa ni msanii sijawah ona asee
@godwinmpazi15605 жыл бұрын
Wewe unaonekana una ngoma wewe.
@mangumbamnyili60337 жыл бұрын
Nihatari kitete tupu
@stvchannel16397 жыл бұрын
gwajima unaongea sanaa naisii kunakitu inside apo kanisani. why you people mnasingizia mambo ya kanisa iyo ni personal issue ww unatumia madawa au utumii baci cyo kureta taarabu apo kanisani. na unaudaktari wwote. makonda kashasema uko japani kunakitu na tutakijua 2. mkono wa mungu ni mkubwa
@joshuakwelimoto64947 жыл бұрын
waeleze wajinga hao
@mamatuishi-mamatuondoke88227 жыл бұрын
Mungu wetu tusaidie-nampenda sana bishop gwajima
@consolathashayo74997 жыл бұрын
kama uliweza kulala na mke wa mtu.. je??? utashidwaje kuuza madawa ya kulevya?????? kukuamin ww ni vigumu baba pambana na hali yako........
@goldmansun89837 жыл бұрын
baba ako unajua amelala na wake watu wangap??? mbona unamuamini, je mama yako, una uhakika we sio mtoto wa mume wa mtu, mbona bado unamuamini
@joshuakwelimoto64947 жыл бұрын
dingi yako mwenyewe kicheche humkatai kuwa sio dingi yako
@fredrickisaiah44447 жыл бұрын
Yaani unaongea kama ulikuwepo vile utapigwa pigo kwa kumsema mtumishi wa mungu ww..afu utabak umesema umelogwa
@JohnNjengaCOCO7 жыл бұрын
This guy is reacting like a guilty man would
@christsflowe.r7 жыл бұрын
Njenga John hujui unachoongea wewe
@sajidabakari98097 жыл бұрын
sasa kama mtu ulikuwa biz na hukupata taarifa kwenye media, nn kinafanyika?!? makonda anahitaj uchunguzi gwajima baba, namm nahitaj hizo millions