Ama kweli kifo ndo mwisho wetu, Major General anawekwa kwenye but la bus
@JumaGendeye-sv6yl2 сағат бұрын
Bab kwani unafikiri ukifa utakuwa na thamn Tena iyoo imeishaaa rip
@tomatonyanya673145 минут бұрын
Yani sio mchezo
@maryamsuleiman63409 минут бұрын
Hakika sisi viumbe sio lolote mbele ya Allah zaidi yautii ktk hii Duni ,mana lazima kwake tutarejea ,basi tuwe wema kwamatendo yetu ,mana mauti ndio mwisho wakuyaacha yote ya Dunia, Mungu tusamehe tunapokosea ,😢Amiin
@SalmanMughal-lq5lt2 сағат бұрын
SubhanaAllah kwenye buti mwisho wetu huo
@MohamedAthuman-wn7mdСағат бұрын
Hilo ni gari maalumu la kubeba mwili hajawekwa kwenye but
@JustineWangi-j2tСағат бұрын
Mwili wa Meja general unawekwa kwenye buti la tata!😮siwange ubeba kwenye pick up ama kigari cha kukodi,mtu alikuwa na manyota adi tumboni kafa thamani yake imekwisha ndio mjifunze viongozi wa majeshi mnaotumika vibaya kuwanyanyasa wananchi mwisho wa siku sisi ndio tunaokuja kulia kwenye misiba yenu.
@yasiniSwedi-qg5oc3 минут бұрын
Nilimkubali Sana huyo genelo sizani kwasasa kamakuna askali mzalendo Kama mbuge namabeyo pamojana saimonisilo
@rahema1992Сағат бұрын
Polen sana familia mwenyez mung awape nguvu na subra
@AbdallahMohammed-u2vСағат бұрын
Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi Ameen
@SabiliFarijalaСағат бұрын
Wanajeshi wameonyesha utovu wa nidhamu sana yaani mwili wa meja general unapita tena ukiwa umefunikwa na bendera ya ya taifa lkn wanashindwa kutoa heshima (saluut) hata kwa bendera ya taifa 😮😮
@philiplugalia372432 минут бұрын
Huyu ama aliekewa kitu kwa chakula 😢😢😢
@FettyMsalaСағат бұрын
Poleni sana makamanda
@mohdhussein35162 минут бұрын
Pumzika kwa amani kiongozi ulitulea vizuri katka uongozi wako
@HezroniJonhСағат бұрын
Mungu ana mchezo ata mkienda kutibiwa india mtakufa hizi hospital zetu kwa ajili ya wanyonge nyinyi viongozi mnapelekwa nje 😅😅
@VeronicaAdam-lx8yd57 минут бұрын
😂😂Ww nae si uwend kwn wanaoenda India niviongoz Taft hel pumbv zak
@dorothmsuya168640 минут бұрын
Kwani wewe umenyimwa kwenda huko India??
@Oldskulgemini999135 минут бұрын
Hii yote ni akili ya umasikini inakusumbua😂 kwani ulinyimwa kwenda huko India😃
@TumainiMbati2 сағат бұрын
Tutakukumbuka sana Kwa uchapakazi wako
@anawa432646 минут бұрын
Poleni wa Tanzania
@JamesJastin-bg1rx44 минут бұрын
Hatutaki kupoa
@took841428 минут бұрын
Mara inazd kupoteza watu muhimu kwa taifa
@Gamyalian3 минут бұрын
SIJAPENDA KUMUWEKA KWENYE BUTI YA BASI
@RachelLaizer-n2p2 сағат бұрын
We unaesema kazi yao ni kuchchea ccm ikae madarakani unataka wafanyeje shukuru Mungu tulivyo mnayataka ya kongo nini😢
@MasudiNangololoСағат бұрын
R.i.p kamanda
@aediayumgo8546Сағат бұрын
Hapo sijaelewa 😭 kwenye makalio ya basi
@mackjr52912 сағат бұрын
Kigurunyembe my school
@Planet_Zong2 сағат бұрын
Poleni wana Mara
@greytrevo9055Сағат бұрын
1
@JayUnique-r6cСағат бұрын
Kwer mtu akifa hana thamani tena
@maryobedi68072 сағат бұрын
Apumzike kwa Amani
@SaidChambi2 сағат бұрын
Amen
@ManenoSimkoko-df9yj2 сағат бұрын
Rip mbuge
@jumarajab53162 сағат бұрын
jeshi halina ambulance mpaka mwili unaekwa kwenye buti ya basi
@godfreyLeka2 сағат бұрын
Ambulance ni ya wagonjwa, ukifa ni buti tu hakuna namna
@AbuodSeleman2 сағат бұрын
mbona n kama zaid ya mabeyo
@SamiraameirSamira-qt9yn2 сағат бұрын
Mbunge wa jimbo gn huyu 😢
@spesiozabisansaba64242 сағат бұрын
Mbuge, jina lake mbuge bhana
@SamiraameirSamira-qt9ynСағат бұрын
@@spesiozabisansaba6424 cjauliza jina mm apo usikurupuke
@msauzbusiness5582 сағат бұрын
😢
@Ahmedseif-l5g2 сағат бұрын
muache aende tu kaziyao kubwa nikuiseidia ccm kukaa madarakani tu kwanguvu
@Sadati-mj2ub2 сағат бұрын
Hata wewe ambae hausaidii hyo ccm utakufa pia...
@berthabarozi2 сағат бұрын
We usiyeisaidia CCM hutaenda?
@Ahmedseif-l5g2 сағат бұрын
@@Sadati-mj2ub nikweli ila mm sisapot dhulma kma alivokua yy muache aende akayaone huko
@Ahmedseif-l5g2 сағат бұрын
@@berthabarozi mm nitaenda ila siwimiongoni mwao dhulma
@Sadati-mj2ub2 сағат бұрын
@@Ahmedseif-l5g una uhakika alkua anadhulumu??? Em taja dhuluma alosapot??
@HAMISICHACHA2 сағат бұрын
Bhamura bheto hai morenge motacha tomosabhere ai mura