RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU

  Рет қаралды 2,026,597

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

March 10 2016 Rais wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli alikwenda kwenye benki kuu ya Tanzania kwa kushtukiza, baada ya kufika ikabidi akae kuongea na wahusika kuhusu ishu mbalimbali.

Пікірлер: 887
@wilikinsmauti5573
@wilikinsmauti5573 3 жыл бұрын
Wale mko hapa, Baadaya ya kifo chake nipee nilekes za JPM. He was the best president in the whole african continent. HAUKUWA RAISI WANGU, ILA SIKU ZOTE NTAKUKUMBUKA JPM. To our sister and brothers in Tanzania tutasimama nanyi siku zote! 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@sponsor7882
@sponsor7882 3 жыл бұрын
Vp mandela
@kennirochok5067
@kennirochok5067 3 жыл бұрын
Hivi wazazi wako walikosa jina ingine?. Rip magufuli
@diboykaman2169
@diboykaman2169 3 жыл бұрын
xmsm
@namahegatabu8819
@namahegatabu8819 3 жыл бұрын
Pýou0mp
@florancemarealle3746
@florancemarealle3746 3 жыл бұрын
Tanzanian will d Some of them will discover letter the reality
@charxsymon1954
@charxsymon1954 6 жыл бұрын
Rais bora kabisa afrika kama unakubali piga like
@awadhally1052
@awadhally1052 3 жыл бұрын
Yesiii
@ramadhantahila9131
@ramadhantahila9131 3 жыл бұрын
Nani apinge kwa mfanoo
@onelife7850
@onelife7850 3 жыл бұрын
Pole sana hayupo tena Raisi wetu
@samuelmore2926
@samuelmore2926 3 жыл бұрын
The best president of our time,
@sponsor7882
@sponsor7882 3 жыл бұрын
Nonsense
@agustomeshack4043
@agustomeshack4043 3 жыл бұрын
Tulikuhitaji sana baba yetu sema Mungu ndo ana madaraka juu ya uhai wetu pumzika kwa aman.
@carlosmzena548
@carlosmzena548 3 жыл бұрын
Legend never die They lives in people's heart
@karago88
@karago88 8 жыл бұрын
The new King of Africa is there Mr Magufuli.... God bless this president of Tanzania with more protection.
@issakibegi9356
@issakibegi9356 3 жыл бұрын
watanzania 2muombee du@ rais we2 magufur mungu amuweke mahali pema pepon kwa sote 2seme amin
@evansnjoki6723
@evansnjoki6723 3 жыл бұрын
Such a true leader ,pan African and a son of the soil We appreciate all you did for Tanzanians and Africa ,rest well sir. Our hearts are heavy
@KIM-xl6zs
@KIM-xl6zs 3 жыл бұрын
He was not a Pan-African
@dominicmutuawamulenyu8878
@dominicmutuawamulenyu8878 3 жыл бұрын
This was a true leader my people!! continue resting in piece Mr President 🤦👏👏👏👏🙏🙏
@davinchmonzano8299
@davinchmonzano8299 8 жыл бұрын
Tuliyekua tunamtafuta tumempata ....God Bless Him
@ahmedmahamudu4140
@ahmedmahamudu4140 3 жыл бұрын
Na sasa katutoka sasa
@harrymorgan4387
@harrymorgan4387 Жыл бұрын
😢😢😢😢
@jacklinemuhanika1238
@jacklinemuhanika1238 9 жыл бұрын
Nakupenda bure my president. Mungu akulinde na kukubariki!!!
@leamgonja680
@leamgonja680 5 жыл бұрын
Jaman tumkumbushe raisi wetu magufuli atembelee navijijini maana kumejaa wazembe mpk mafisadi
@gervaskadala7221
@gervaskadala7221 5 жыл бұрын
Jackline Muhanika hy.mh
@neymarmbilinyi9735
@neymarmbilinyi9735 5 жыл бұрын
Jackline MUHANIKA nakupenda SANA naomba NAMBA yako
@steveswakei9600
@steveswakei9600 5 жыл бұрын
Eti wampenda raisi bure?? Wacha wongo wewe
@neymarmbilinyi9735
@neymarmbilinyi9735 5 жыл бұрын
MUKULU akipitiah koment yako ATAKUPA mkoa fulan UUSIMAMIE kwa SABAB Kuwa Mkuu Wa MKOA lazima Uwe ni MZALENDO Fulani iv kama Jackline Muhanika Ahahaa
@ahmedshahar728
@ahmedshahar728 3 жыл бұрын
Kuondoka kwake...ni pengo kubwa sana kwa Tanzania na Watanzania 😢💔. RIP mzee wetu
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 3 жыл бұрын
Hakuna pengo lolote aliloacha hapa nchi iko imara kuliko alivyokuwa yy nchi ilikuwa inaingia shimoni ..!
@priscamrekoni3451
@priscamrekoni3451 Жыл бұрын
​@@hassanmfaume4522unahuwaki au unaropoka tu😬😬😬
@neemacurthbert
@neemacurthbert Жыл бұрын
​@@hassanmfaume4522nyie ndo vyeti feki watumishi hewa navibalaka wa mabebelu always hamuwezi kumpenda huyu mzee
@MYME-u5d
@MYME-u5d 5 ай бұрын
Kweli kabisaaa unachosema hao ndio weny vyet fek hawawez kumkubali kwa sabb aliwafagia
@Ahikigufa
@Ahikigufa 11 ай бұрын
Wale tunaokumbuka stori hii gonga like
@rosenamilia4140
@rosenamilia4140 9 жыл бұрын
R Mungu akupe afya njema Raisi wetu JP MAGUFULI. Wewe ndiye yule wanyonge wote Tanzania walikuwa wanakusubiria.Endelea kufunga mianya yote ya Mafisadi. Milard Ayo thanx for habari hii nzito. Keep it up Men👍☝👍👍👍👍.
@azizayassin3623
@azizayassin3623 8 жыл бұрын
Rosena Milia ameen
@bensonirungu4547
@bensonirungu4547 5 жыл бұрын
U r Joshua to take Tanzanian to the land of promise b blessed JP
@hosearioner3637
@hosearioner3637 3 жыл бұрын
I will forever live to remember your Good deeds to your people..Kenya will miss you too as well as mama Africa.😢😢
@alloycedisheni232
@alloycedisheni232 9 жыл бұрын
Vizuri sana Mhe. Rais wangu kazi yako ni nzuri sana ndiyo maana tulikuchagua wewe, kiongozi wa nchi ni sawa na baba mwenyumba mwenye kutaka kujua kiasi cha akiba ya chakula na matumizi yake nyumbani ili kuwa na heshima ya kukitumia vizuri. Big up wewe ni baba wa nyumba yetu Tanzania.
@geophreyadrian1374
@geophreyadrian1374 3 жыл бұрын
Jembe letu limeenda.....mwanga wa milele umuangazie eenh baba apumzike kwa amani #unforgetablepresident
@DottRoBroc
@DottRoBroc 3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!
@videoyamapenzkss7299
@videoyamapenzkss7299 6 жыл бұрын
Mh raisi hogera kwa kazi nzuri unayoifanya inapendeza kweli kwann ulichelewa kua raisi ingekua raisi awamu zilizopita tungekua mbali kimaendeleo hongera Mh Raisi wetu Mungu akuweke uzidi kututetea Ss watanzania ccm oyeeee karibu Pemba tena tunahamu uje Na Ss tunakero zetu Mh Raisi
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 9 жыл бұрын
safi sana mtu wangu millad kwa kutusogezea mastory. mungu akupe afya nyema na ueledi zaid
@badmanno.1650
@badmanno.1650 3 жыл бұрын
Hatatokea rais kama huyu Tanzania... Rest in peace
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema atatuvusha hapa alipoishia Jemedari wetu, Mungu ampe pumziko la Amani
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 3 жыл бұрын
Haitotokea Tena kwa Tanzania kupata Chuma au Mfalme Kama JPM
@theopistamwayeya1764
@theopistamwayeya1764 3 жыл бұрын
Amen
@suleimanjenipandu2582
@suleimanjenipandu2582 8 жыл бұрын
Hongera Mh. Rais kwa juhudi zako! sisi wengine tulipokuwa katika mchakato wa kura za maoni kuomba ridhaa ya kuwatumikia wananchi tulikuwa na nia kama hii lakini bahati mbaya watu hawajui kilichomo ndani ya nyoyo za watu! Mungu akupe maisha marefu mzee wetu!!!!!!!!!
@seifrengwe2542
@seifrengwe2542 6 жыл бұрын
asante sana Raisi, tunaomba pia kwenye bunge pia turushiwe live coverage ya mambo ya bnajeti za mwaka ili wananchi kuona na kuelewa yazungumzwayo. tunataka siasa za ukweli na siyo fekifeki.Hongera raisi kwa kupigana na mambo ya rushwa yaliyojaa hapo Tanzania ambayo yanasababishwa na viongozi wezi na FekiCheki kwenye mabenki.
@mannievann4715
@mannievann4715 8 жыл бұрын
Magufuli may God bless you tremendously. We wish our Kenyan president was atleast half ur style
@AddisNeger22
@AddisNeger22 9 жыл бұрын
TanzanianS we Ethiopians are jealous of ur president, I don't even speak the language but I just love ur president from what I hear
@begumisaegbert3588
@begumisaegbert3588 7 жыл бұрын
Our president is a good man who loves his country and all the people in it. And that is what makes the difference.
@شاعرالعجمي
@شاعرالعجمي 6 жыл бұрын
Am Ethiopian but I was born in Tanzanian
@AbdulAziz-rf2ro
@AbdulAziz-rf2ro 6 жыл бұрын
I
@efpexcellentfilmingproduct7095
@efpexcellentfilmingproduct7095 6 жыл бұрын
Hongera Raisi wangu👍
@dickaugustino2214
@dickaugustino2214 6 жыл бұрын
Be blessed ,us also we are so proud of him.
@mejagenerally3748
@mejagenerally3748 2 жыл бұрын
The real definition of a leader. I really believed in this man🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@christophertanu1880
@christophertanu1880 Жыл бұрын
Daaaa, Rais Bora kuwahi kutokea Tanzania
@livingstonebatawe7434
@livingstonebatawe7434 9 жыл бұрын
Tisha sana #MyPresident nimeipenda Pia Big Up Kwa #AyoTV na crew nzima kwa Ujumla kwa Taarifa. God Bless Tanzania God Bless Africa.
@cosmascosmas7390
@cosmascosmas7390 9 жыл бұрын
Haya yote mkapa, kikwete, mwinyi hawajawahi kufatilia hii nchi imeibiwa sana, naona saivi ndio tumekua na Raisi.. Mungu akujalie maisha marefu tupo nyuma yako.
@tomleeabdulkadir5835
@tomleeabdulkadir5835 8 жыл бұрын
natoka kenya watanzania muombeeni mungu sana john magufuli is the right man I like him much and I will always proud of him hio bahati uchukueni ifadhini ili iwafae kesho na kizazi chenu
@azizayassin3623
@azizayassin3623 8 жыл бұрын
Tomlee Abdulkadir ameen ameen thumma ameen
@dickaugustino2214
@dickaugustino2214 6 жыл бұрын
Good, speech
@lilcastol7699
@lilcastol7699 3 жыл бұрын
Tunashukuru sana ndugu na sasa hatunae tena
@harounbuzohera4797
@harounbuzohera4797 3 жыл бұрын
Tumempoteza mtetezi wa wanyonge. Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi. AMINA.
@edwardwangombe2358
@edwardwangombe2358 3 ай бұрын
Iam a kenyan but this is a man i so much loved and adored a pure pan Africanist.
@someless
@someless Жыл бұрын
Magufuli forever 😢 . We will always keep your soul in our hearts♥️♥️♥️♥️
@meshackotieno222
@meshackotieno222 3 жыл бұрын
This is why I keep shedding tears for this man
@aishajami6826
@aishajami6826 3 жыл бұрын
If they follow his way of leadership, they will succeed but if they don't, they will go with him!
@jacobaliet3351
@jacobaliet3351 5 жыл бұрын
This guy is the best. Kenya needs this kind of leadership.
@davidkokomushagalusa6566
@davidkokomushagalusa6566 3 жыл бұрын
My role model. Rest in power ✊🏾
@albertkyejo2626
@albertkyejo2626 9 жыл бұрын
Asante sana Raisi Magufuli. Tumengojea muda mrefu sana kupata kiongozi kama wewe. Ni mzalendo kama Mwalimu Nyerere. Wachunguzwe zaidi. Wapelekwe mahakamani kufuatana na ushahidi uliopatikana. Wahukumiwe, wafungwe, mali yako kutokana na wizi irudishwe kwa wananchi. Pongezi pia kwa Waziri Mkuu Majaliwa. Mungu awalinde. Mungu ibaraki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
@barakagodfrey6013
@barakagodfrey6013 5 жыл бұрын
in
@MagufulificationOfAfrica
@MagufulificationOfAfrica 2 жыл бұрын
KUMBUKUMBU YA RAIS #MAGUFULI ALIPOKUWA ANASISITIZA TUACHANE NA UMEME WA MATAPELI | JUN 28, 2017 | kzbin.infoMpbt21tpAEI
@basiliusgiligwa7177
@basiliusgiligwa7177 9 жыл бұрын
Huyu jamaa alikua wapi siku zote hizi? Duh, inabidi Watanzania tumuombee sana huyu jamaa. Hadi nahisi kuiona Tanzania ya miaka kumi ijayo...
@jameschacha2242
@jameschacha2242 8 жыл бұрын
zari
@azizayassin3623
@azizayassin3623 8 жыл бұрын
Basilius Giligwa ameen
@kenethmkumbo1859
@kenethmkumbo1859 7 жыл бұрын
mwanzo mwisho babaaa
@alisaleh8501
@alisaleh8501 7 жыл бұрын
q
@piusgidion7279
@piusgidion7279 7 жыл бұрын
hapa kazi 2 wabishi kufa
@mentuhotepii2641
@mentuhotepii2641 7 жыл бұрын
May Allah The beneficent the merciful protect and guide Rais Magufuli. This president loves his people!
@gorillaezra7448
@gorillaezra7448 8 жыл бұрын
Magufuli is real OG ,, statistically he's the best E.African President viva magufuli !!!!!!!!
@soccerilrul
@soccerilrul 6 жыл бұрын
Gorilla Ezra Amen trying to end corruption
@abdullahinuh3470
@abdullahinuh3470 5 жыл бұрын
Manshallah makufuli uko sawa sana
@fatmajarwan6545
@fatmajarwan6545 5 жыл бұрын
👍
@hassanturky7511
@hassanturky7511 6 жыл бұрын
Sawa sawa mheshimiwa, na pia naomba ufute zero Moja TU ktk peze zetu za kitzn. Tutajataririka. Allah akupe imani,akuendeleze Kati nchi mpaka mwisho wapumzi zako amin
@mummyange
@mummyange 7 жыл бұрын
Tough! man this deserves a Nobel prize! perhaps even the BEST PRESIDENT IN THE WORLD! he is certainly the price of Africa. he is not perfect, but he is sacrificing a lot to promote his noble agenda which is to serve the people who elected him... he has stayed in touch! which few leaders can manage.
@khalidali1130
@khalidali1130 6 жыл бұрын
Mzee wamezoea kula nguvu zetu hao wanajiona kama pesa zao na kutuona sisi tulowapa wadhifa mabwege hawajazoea kutuwa mikono hao wamezoea kujiongezea mazero ila mwisho wao upo allah anawona na mungu akubariki sana Rais wetu atakulipa kwa huruma yko juu ya watanzania
@crausmasala8572
@crausmasala8572 3 жыл бұрын
Ni huzuni kubwa sana kumpoteza rais wetu magufuli
@mosewekesa5763
@mosewekesa5763 8 жыл бұрын
Am a Kenyan..i wish Magufuli was a Kenyan leader...our country is full of ghost workers and corruption,,,,,may God bless Tanzania
@rehemaahamadiahmadi566
@rehemaahamadiahmadi566 6 жыл бұрын
God bless you my friend your my near l love you so much am from+255
@yaedlifemedia3203
@yaedlifemedia3203 6 жыл бұрын
Ameen
@samwelwamalwa7822
@samwelwamalwa7822 6 жыл бұрын
Mdaki mosses ✊✊
@mainahwahumainah89
@mainahwahumainah89 6 жыл бұрын
Absolutely ... we would be far interms of development
@edwinwanjala7812
@edwinwanjala7812 6 жыл бұрын
haaaaa
@monicaashery1
@monicaashery1 8 жыл бұрын
May the blood of our Lord Jesus Christ protect you from left and right, front and back, above and below! You are a walking angel.
@Wallacenyusi3326
@Wallacenyusi3326 5 ай бұрын
Tutakukumbuka daima Mh. Rais wetu JPM. Mungu ailaze roho yako mahali pema mapeponi
@leilabuisha1952
@leilabuisha1952 5 жыл бұрын
Natamani President wa Kenya awe kama Mh Magufuli' Maana kule kenya Corruption ni nyingi mno na hakuna wa kuwatetea wanyonge kule' kule hakuna haki kabsaaa na ndomana uizi umezidi sana' ma police wanapenda hongo kwa wanyonge' President Magufuli nakuombea Umri mrefu Baba na niko very proud na wewe yaani nakupenda sana.. Naona ata nitabadilisha Uraiya wa Kenya niombe kuwa raia wa Tz.😍😚
@ayoubbenta4499
@ayoubbenta4499 8 жыл бұрын
mungu akubariki rais wetu mpendwa kwa kupenda wanyonge fanya kazi tupo nyuma yako inshaalah.
@norahmgoodluck3554
@norahmgoodluck3554 9 жыл бұрын
Watu wamenuuuuuna,utafkiri izo sura zao zilizokunjika zinamzuia Dr kuongea ukwel. Mungu mpe uhai mrefu raisi wetu.
@azizayassin3623
@azizayassin3623 8 жыл бұрын
Norah Goodluck M ameen
@mwendapoleee
@mwendapoleee 7 жыл бұрын
Norah Goodluck M wamenyamaza cheeee!
@minyugeminyuge6753
@minyugeminyuge6753 5 жыл бұрын
Wezi wote hao, ona sura zao!!?? wapo kwa taharuki, na nyodo zilizokua mjini’ kumbe wezi watupu. Magu dua kwa sana kwake wallah’
@lulendakamata9184
@lulendakamata9184 5 жыл бұрын
Hahahaa acha mzee wetu achape kaz
@marsum4363
@marsum4363 5 жыл бұрын
@@azizayassin3623 mali instead of biwa
@sangkibet8275
@sangkibet8275 3 жыл бұрын
Magufuli was atrue reflection of areal leader you will forever be remembered legend RIP.
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 8 жыл бұрын
Amakweri inchi imepata mmiliki najivunia kua mtanzania nikiwa chini ya Raisi Magufuri nakuombea kwa M/ Mungu uishi miaka mingi yenye mafanikio na uendelee kutetea wanyonge. Ahsante
@dominicsomola402
@dominicsomola402 7 жыл бұрын
Sakayonsa Kihunga hahahahahaaaaa
@elishajegeje6482
@elishajegeje6482 3 жыл бұрын
Duuuh kwael jamani Baba yetu
@msafiriomary893
@msafiriomary893 2 жыл бұрын
RAIS wetu MUNGU akuweke sehemu sarama urikuwa unatufurahisha sana wanainchiturikupenda sana,
@maretekings
@maretekings 7 жыл бұрын
Ongeera Raisi Maufuli, how can other African Presidents and leaders learn. I envy Dr. Magufuli God bless this Man. Marete JK
@johnsonmwise7672
@johnsonmwise7672 3 жыл бұрын
R.i.p. pumuzika kwa Amani raisi wetu
@bonfaceandala5850
@bonfaceandala5850 2 жыл бұрын
This man never die.He still lives on.
@chrismutisya
@chrismutisya 8 жыл бұрын
Japo kuna tetesi za udikteta, nampenda huyu raisi. Mimi ni Mkenya lakini tunahitaji viongozi kama hawa Africa.
@dickaugustino2214
@dickaugustino2214 6 жыл бұрын
Wanaomuita dicteta ni wale waliokuwa wakila bata wakiwa serikalini matumisi ya hovyo ya pesa za walipakodi yaani wananchi wanyonge, na sasa magufuri kazipiga marufuku.what do you expect? Let them speak bad upon him, but magufuri is 1st best presedent we ever had b4 or experienced!
@cherehanitanzania8503
@cherehanitanzania8503 5 жыл бұрын
Safi
@zefamange7281
@zefamange7281 5 жыл бұрын
Wanao sema dicter ni mafisad
@lazizerujanabose8802
@lazizerujanabose8802 5 жыл бұрын
Christopher Mutisya sio udectater ndio ginsi ilivyo uli uongoze wezi na wadhulumati pia wala rushwa na poraji sababu akiwabembeleza hawatomuishimu nivizuri kuwa force ili kila kitu kiwe saw na ndio kazi alio ahidi waraia kipindi chakuchaguliwa kama hatimizi basi yey katili
@reubenbusanji2904
@reubenbusanji2904 5 жыл бұрын
History inaonyesha mtu yeyote aliyewahi kufanya mageuzi ya kiuchumi taifa lolote hakuwahi kuwa na historia nzuri kuhusu kile kinachoitwa haki za binadamu. Fanya utafiti
@rubenmegiro303
@rubenmegiro303 5 жыл бұрын
nandomaana nakupenda unafanya kazi kwauhakikaa nakwaumakinii munguu akulinde
@fidelisvenance6431
@fidelisvenance6431 3 жыл бұрын
HIKI KILIKUA NI KICHWA 💪💪💪
@davidkokomushagalusa6566
@davidkokomushagalusa6566 8 жыл бұрын
if congo had such a president it'll be one of the powerful country in the world
@reubenbusanji2904
@reubenbusanji2904 5 жыл бұрын
Exactly
@nampijjanazifah6358
@nampijjanazifah6358 3 жыл бұрын
I think Congo is the richest country in Africa and the world at large.
@daudmwaipasi5672
@daudmwaipasi5672 3 жыл бұрын
True
@davidkokomushagalusa6566
@davidkokomushagalusa6566 3 жыл бұрын
@@nampijjanazifah6358 it’s but poor leadership has destroyed it. Congo needs its true son a patriotic leader not a puppet
@nampijjanazifah6358
@nampijjanazifah6358 3 жыл бұрын
@@davidkokomushagalusa6566 true most African countries luck patriotic leaders
@sunyareh
@sunyareh 8 жыл бұрын
mungu akulinde..akujaalie afya na umri mrefu ili Tanzania ijue thamani yake na inufaike. na kotekomeza unynyasaji wa wanyonge..ASANTE SANA ndugu yetu mzee wetu. na kiongozi wetu..
@thedeo472
@thedeo472 9 жыл бұрын
Mr. President, so far so good. Keep it up.👍👍
@johngitonga4380
@johngitonga4380 5 жыл бұрын
Ur number 1 President in the world mwenye hataki uongo na mchezo kazini GOD bless you.
@yunissheikh4882
@yunissheikh4882 3 жыл бұрын
The best E.African president.. Commenting from Kenya
@IssaBacar-i2i
@IssaBacar-i2i 3 ай бұрын
Pumzika kwa amani baba mwana harakati ambaye umetutetea sana tinshukuru mungu kwa ulivyo tutendea.
@jamesmwangi8598
@jamesmwangi8598 3 жыл бұрын
Hongera baba ondoa ufisadi Tanzania kabisa tukimaliza ufisadi Tanzania ni tajiri mno
@sawanialfred970
@sawanialfred970 6 жыл бұрын
DR, KUYA kweetu, UGANDA, tunataaka wantu kama wewe, our east african president, keep the spirit
@tongolbanguot1964
@tongolbanguot1964 6 жыл бұрын
How I wish all the African Presidents were like Dr. John Pombe Magufuli #admiration
@2coolking370
@2coolking370 5 жыл бұрын
My most favorite President in Africa, love him so much.he's so real and ready to make Africa great again
@ramadhanmgonja1698
@ramadhanmgonja1698 8 жыл бұрын
You are the best president Mr Magufuli, keep it up
@kalokoamiry9422
@kalokoamiry9422 6 жыл бұрын
Ramadhan Mgonja mm mm mahujajl
@kalungawanje7526
@kalungawanje7526 7 жыл бұрын
This is a tough president. its what we need in Kenya.
@jessewakaba9270
@jessewakaba9270 3 жыл бұрын
nyinyi watu wa reggae na bbi
@magrethbenjamin4969
@magrethbenjamin4969 3 жыл бұрын
Mwenyez Mungu awe pamoja na Muheshimwa Rais mama Samia Suruh awe na upeo zaid wa huu Marehem 😭other wise tutaibiwa san
@hamisizetz8942
@hamisizetz8942 3 жыл бұрын
Amna kitu. Tumepigwa
@sifasanga7866
@sifasanga7866 7 жыл бұрын
Magufuri I love youuuuuu......uwiiiiii yemweeeeee! walahi nilikungoja mimi.
@praygodmakundi5182
@praygodmakundi5182 3 жыл бұрын
Like baba wa taifa akili mingi sana 🔥🔥🔥
@jamesmasila6873
@jamesmasila6873 3 жыл бұрын
Wha,samahani ametuacha
@immaxkiyenze6261
@immaxkiyenze6261 3 жыл бұрын
#Like Kama umerudia hii video baada ya kuzikwa shujaa shujaa wetu
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 3 жыл бұрын
Tulikuwa Tunakupenda sana Yaan JPM, Chuma cha Africa, Africa lmelia
@smkinuthia6094
@smkinuthia6094 5 жыл бұрын
This man is a powerful and straight forward person, i wish him the best in future, can he come in Kenya and be our President for just 5 years. Wa Tanzania please give us your President for a loan.
@abbouramsey154
@abbouramsey154 9 жыл бұрын
wakipimwa presha apo ni hataree kuna ambao roho zinawadunda kama mpira wa fainali za UEFA....mtanyooka mwaka huu....MAGU sio mzee wa Msolwa
@alimakame8134
@alimakame8134 5 жыл бұрын
Duuuuuu
@sharifuhsharifuhh8471
@sharifuhsharifuhh8471 5 жыл бұрын
hahahaaa
@ramadhanshaban3238
@ramadhanshaban3238 5 жыл бұрын
Taarabu jiwa
@andrewmgaya310
@andrewmgaya310 5 жыл бұрын
😅😅😅😅😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@Almisbahy9551
@Almisbahy9551 5 жыл бұрын
Hahahhaha
@daniellembile9988
@daniellembile9988 3 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Baba kazi uliyoifanya inaonekana tumekumiss sana Rais wetu
@josephmatonyi1802
@josephmatonyi1802 3 жыл бұрын
😭😭👏👏mungu akusaidie kwenye kaz yako mze Joseph pombe magufuli 🙏
@sadiyakb8498
@sadiyakb8498 3 жыл бұрын
Rip
@ramadhanimussa882
@ramadhanimussa882 7 жыл бұрын
Usimamizi na uwajibikaji uliotukuka nauona kwa Rais wangu Allah ibariki Tanzania
@issakibegi9356
@issakibegi9356 3 жыл бұрын
Kibeg! Issaya apa mungu ametoa na mungu amechukua baba magufuri kalale mahali pema pepon amin na kumbuka watanzania kila nafc itaonja umaut
@eugenenkandu1287
@eugenenkandu1287 2 жыл бұрын
This was the real leader
@ashurahassan2714
@ashurahassan2714 6 жыл бұрын
Kaz nzur mheshimiwa ,Mungu akupe afya njema uzd kutupigania tz
@yasinisaidy7601
@yasinisaidy7601 3 жыл бұрын
Naumia mimi jamani, hatutapata Raisi kama huyu Tanzania, pumzika kwa amani baba
@wanjirunyambura2708
@wanjirunyambura2708 3 жыл бұрын
It's really a huge loss to Africa as a whole. Very smart and deligent! Shine on your way our leader
@ShSh-my8cw
@ShSh-my8cw 3 жыл бұрын
Pole dr kz ya Mungu haina makosa
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 жыл бұрын
Pumzika kwa AMANI shujaa Wetu wa Africa 😭😭😭😭
@ShSh-my8cw
@ShSh-my8cw 3 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yke mahal pema peponi
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 жыл бұрын
@@ShSh-my8cw Ameeen yarrab 🙏
@bahelanya
@bahelanya 5 жыл бұрын
With him Pdt Magufuli, Africa must follow his style of ruling for a better and developed Africa. Viva Tanzania....
@EdwinWachoriTV
@EdwinWachoriTV 9 жыл бұрын
Proud of You Mr President, restoring sanity galore..
@hadijaangura6572
@hadijaangura6572 3 жыл бұрын
Jembe limenda jamani poleni Tz 😭😭😭
@ericmdemu2876
@ericmdemu2876 9 жыл бұрын
Hakika Mama Tanzania sasa amepata Baba...si bora Baba, ila ni Baba Bora ajiaye wajibu wake na katu asomkosa juu ya miktadha kwa yale yalo kuntu! Baba alikufa pia akafariki..upweke ulidara na kuzizima, ila Ahsante kwa Yeye alojuu zaidi kwani amemrejesha tena Baba si kwa Sura ila kwa Utashi, utu wema na ukweli sanjari upendo vyote vi ndanie...Ee Mwenyeenzi na Utukufu..ninakuomba Mlinde na sitara iwe juuye yote madhila yafanye yawe Baraka kwake!.
@jennipherray7001
@jennipherray7001 3 жыл бұрын
Kama kweli kifo cha Magufuli kilisababishwa na mtu Aiseeeee machozi ya watanzania hayatamuacha salama pumzika kwa amani My Hero 💔😭
@noelsanga6853
@noelsanga6853 9 жыл бұрын
Kwa namna hii uchaguzi wa 2020 usifanyike utakuwa upotezaji wa pesa bure
@jumajuma5306
@jumajuma5306 7 жыл бұрын
Noel Sanga mwbana arisamata matokeo ya jana ngenki
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 6 жыл бұрын
Magufuri na mitandao nayo vipi ya tanzania inauza vocha rakini cha ajabu uduma zao mbaya wachunguzwe wanaofanya kazi je wameitimu shure hau kutugeuza watanzania kuwa washamba wa mawasiliano
@raziambwana2145
@raziambwana2145 5 жыл бұрын
Noel Sanga kweli kabsa
@mengihamisi3567
@mengihamisi3567 5 жыл бұрын
Daaaa hiii safi
@mengihamisi3567
@mengihamisi3567 5 жыл бұрын
@@awadhirajabu7754 mada gani
@shijaomarymbaruku4871
@shijaomarymbaruku4871 9 жыл бұрын
My president you have all qualities of a leader so very exllent
@athumanimnazalety4676
@athumanimnazalety4676 6 жыл бұрын
Utuba yajafali alubaii
@sajukijohn2791
@sajukijohn2791 5 жыл бұрын
Watanyoka tuu warizani kama zamani kupiga mahesabu hewq
@samuelmoleli6964
@samuelmoleli6964 4 жыл бұрын
Karibu orkesumet baba
@casineobote9989
@casineobote9989 8 жыл бұрын
good leadership.salute mheshimiwa rais.
@twahaally1969
@twahaally1969 2 жыл бұрын
RIP bahanaa...! Tunamkubuka sana... Dr Magufuli. tutakukumbuka daima. 2022
@Chapesamedia
@Chapesamedia 3 жыл бұрын
Nafurahi kupata kuona a mfano mzuri wa uwongozi pumzika pema chema huku hali sio shwari tozo kibaoo hadi utahisi kufa.
@connan9923
@connan9923 9 жыл бұрын
Kwa mwendo huu aongoze tu nchi to a batter day "WE DON'T NEED ELECTIONS ANY MORE WE FOUND OUR SAVIOR "
@cheupegmailcomHhcheupe
@cheupegmailcomHhcheupe 9 жыл бұрын
true
@youngdady7901
@youngdady7901 3 жыл бұрын
Humu kuna maswali mbanano Mungu akupumzishe Hayati Mh. Rais
@mwemaesube8872
@mwemaesube8872 3 жыл бұрын
Mimi ni from DRC watanzania poleni kwa kupoteza jembe kama nailo
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 3 жыл бұрын
Asante
@augustinoevarist9350
@augustinoevarist9350 6 жыл бұрын
Mungu azidi kukuongoza Rais wetu.
@eliamanigolitagolitamsengi9348
@eliamanigolitagolitamsengi9348 5 жыл бұрын
Rais Magufili we ni Kichwa. Mungu akulinde daima. Kama kuna watenda kazi 10 kama wewe nyuma yako Tz itakuwa Paradise.
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН
Magufuli aamsha dude jingine bandarini
7:49
Azam TV
Рет қаралды 1,1 МЛН
UTAPENDA: MBWEMBWE ZA MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE SHEREHE ZA UHURU MWANZA
12:00
Global TV Online
Рет қаралды 1,1 МЛН
"HUYU NDIYE MKUU WA USALAMA TANZANIA, WALA SIMFICHI" - JPM
4:07
Global TV Online
Рет қаралды 427 М.
Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa
16:08
Azam TV
Рет қаралды 121 М.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 768 М.
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
Rais Magufuli ametaja mshahara wake leo
12:08
Millard Ayo
Рет қаралды 448 М.