March 10 2016 Rais wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli alikwenda kwenye benki kuu ya Tanzania kwa kushtukiza, baada ya kufika ikabidi akae kuongea na wahusika kuhusu ishu mbalimbali.
Пікірлер: 887
@wilikinsmauti55733 жыл бұрын
Wale mko hapa, Baadaya ya kifo chake nipee nilekes za JPM. He was the best president in the whole african continent. HAUKUWA RAISI WANGU, ILA SIKU ZOTE NTAKUKUMBUKA JPM. To our sister and brothers in Tanzania tutasimama nanyi siku zote! 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@sponsor78823 жыл бұрын
Vp mandela
@kennirochok50673 жыл бұрын
Hivi wazazi wako walikosa jina ingine?. Rip magufuli
@diboykaman21693 жыл бұрын
xmsm
@namahegatabu88193 жыл бұрын
Pýou0mp
@florancemarealle37463 жыл бұрын
Tanzanian will d Some of them will discover letter the reality
@charxsymon19546 жыл бұрын
Rais bora kabisa afrika kama unakubali piga like
@awadhally10523 жыл бұрын
Yesiii
@ramadhantahila91313 жыл бұрын
Nani apinge kwa mfanoo
@onelife78503 жыл бұрын
Pole sana hayupo tena Raisi wetu
@samuelmore29263 жыл бұрын
The best president of our time,
@sponsor78823 жыл бұрын
Nonsense
@agustomeshack40433 жыл бұрын
Tulikuhitaji sana baba yetu sema Mungu ndo ana madaraka juu ya uhai wetu pumzika kwa aman.
@carlosmzena5483 жыл бұрын
Legend never die They lives in people's heart
@karago888 жыл бұрын
The new King of Africa is there Mr Magufuli.... God bless this president of Tanzania with more protection.
@issakibegi93563 жыл бұрын
watanzania 2muombee du@ rais we2 magufur mungu amuweke mahali pema pepon kwa sote 2seme amin
@evansnjoki67233 жыл бұрын
Such a true leader ,pan African and a son of the soil We appreciate all you did for Tanzanians and Africa ,rest well sir. Our hearts are heavy
@KIM-xl6zs3 жыл бұрын
He was not a Pan-African
@dominicmutuawamulenyu88783 жыл бұрын
This was a true leader my people!! continue resting in piece Mr President 🤦👏👏👏👏🙏🙏
@davinchmonzano82998 жыл бұрын
Tuliyekua tunamtafuta tumempata ....God Bless Him
@ahmedmahamudu41403 жыл бұрын
Na sasa katutoka sasa
@harrymorgan4387 Жыл бұрын
😢😢😢😢
@jacklinemuhanika12389 жыл бұрын
Nakupenda bure my president. Mungu akulinde na kukubariki!!!
@leamgonja6805 жыл бұрын
Jaman tumkumbushe raisi wetu magufuli atembelee navijijini maana kumejaa wazembe mpk mafisadi
@gervaskadala72215 жыл бұрын
Jackline Muhanika hy.mh
@neymarmbilinyi97355 жыл бұрын
Jackline MUHANIKA nakupenda SANA naomba NAMBA yako
@steveswakei96005 жыл бұрын
Eti wampenda raisi bure?? Wacha wongo wewe
@neymarmbilinyi97355 жыл бұрын
MUKULU akipitiah koment yako ATAKUPA mkoa fulan UUSIMAMIE kwa SABAB Kuwa Mkuu Wa MKOA lazima Uwe ni MZALENDO Fulani iv kama Jackline Muhanika Ahahaa
@ahmedshahar7283 жыл бұрын
Kuondoka kwake...ni pengo kubwa sana kwa Tanzania na Watanzania 😢💔. RIP mzee wetu
@hassanmfaume45223 жыл бұрын
Hakuna pengo lolote aliloacha hapa nchi iko imara kuliko alivyokuwa yy nchi ilikuwa inaingia shimoni ..!
Kweli kabisaaa unachosema hao ndio weny vyet fek hawawez kumkubali kwa sabb aliwafagia
@Ahikigufa11 ай бұрын
Wale tunaokumbuka stori hii gonga like
@rosenamilia41409 жыл бұрын
R Mungu akupe afya njema Raisi wetu JP MAGUFULI. Wewe ndiye yule wanyonge wote Tanzania walikuwa wanakusubiria.Endelea kufunga mianya yote ya Mafisadi. Milard Ayo thanx for habari hii nzito. Keep it up Men👍☝👍👍👍👍.
@azizayassin36238 жыл бұрын
Rosena Milia ameen
@bensonirungu45475 жыл бұрын
U r Joshua to take Tanzanian to the land of promise b blessed JP
@hosearioner36373 жыл бұрын
I will forever live to remember your Good deeds to your people..Kenya will miss you too as well as mama Africa.😢😢
@alloycedisheni2329 жыл бұрын
Vizuri sana Mhe. Rais wangu kazi yako ni nzuri sana ndiyo maana tulikuchagua wewe, kiongozi wa nchi ni sawa na baba mwenyumba mwenye kutaka kujua kiasi cha akiba ya chakula na matumizi yake nyumbani ili kuwa na heshima ya kukitumia vizuri. Big up wewe ni baba wa nyumba yetu Tanzania.
@geophreyadrian13743 жыл бұрын
Jembe letu limeenda.....mwanga wa milele umuangazie eenh baba apumzike kwa amani #unforgetablepresident
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!
@videoyamapenzkss72996 жыл бұрын
Mh raisi hogera kwa kazi nzuri unayoifanya inapendeza kweli kwann ulichelewa kua raisi ingekua raisi awamu zilizopita tungekua mbali kimaendeleo hongera Mh Raisi wetu Mungu akuweke uzidi kututetea Ss watanzania ccm oyeeee karibu Pemba tena tunahamu uje Na Ss tunakero zetu Mh Raisi
@ramamabinda50639 жыл бұрын
safi sana mtu wangu millad kwa kutusogezea mastory. mungu akupe afya nyema na ueledi zaid
@badmanno.16503 жыл бұрын
Hatatokea rais kama huyu Tanzania... Rest in peace
@felixmagulu61423 жыл бұрын
Mungu ni mwema atatuvusha hapa alipoishia Jemedari wetu, Mungu ampe pumziko la Amani
@smukelomkhize97753 жыл бұрын
Haitotokea Tena kwa Tanzania kupata Chuma au Mfalme Kama JPM
@theopistamwayeya17643 жыл бұрын
Amen
@suleimanjenipandu25828 жыл бұрын
Hongera Mh. Rais kwa juhudi zako! sisi wengine tulipokuwa katika mchakato wa kura za maoni kuomba ridhaa ya kuwatumikia wananchi tulikuwa na nia kama hii lakini bahati mbaya watu hawajui kilichomo ndani ya nyoyo za watu! Mungu akupe maisha marefu mzee wetu!!!!!!!!!
@seifrengwe25426 жыл бұрын
asante sana Raisi, tunaomba pia kwenye bunge pia turushiwe live coverage ya mambo ya bnajeti za mwaka ili wananchi kuona na kuelewa yazungumzwayo. tunataka siasa za ukweli na siyo fekifeki.Hongera raisi kwa kupigana na mambo ya rushwa yaliyojaa hapo Tanzania ambayo yanasababishwa na viongozi wezi na FekiCheki kwenye mabenki.
@mannievann47158 жыл бұрын
Magufuli may God bless you tremendously. We wish our Kenyan president was atleast half ur style
@AddisNeger229 жыл бұрын
TanzanianS we Ethiopians are jealous of ur president, I don't even speak the language but I just love ur president from what I hear
@begumisaegbert35887 жыл бұрын
Our president is a good man who loves his country and all the people in it. And that is what makes the difference.
@شاعرالعجمي6 жыл бұрын
Am Ethiopian but I was born in Tanzanian
@AbdulAziz-rf2ro6 жыл бұрын
I
@efpexcellentfilmingproduct70956 жыл бұрын
Hongera Raisi wangu👍
@dickaugustino22146 жыл бұрын
Be blessed ,us also we are so proud of him.
@mejagenerally37482 жыл бұрын
The real definition of a leader. I really believed in this man🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@christophertanu1880 Жыл бұрын
Daaaa, Rais Bora kuwahi kutokea Tanzania
@livingstonebatawe74349 жыл бұрын
Tisha sana #MyPresident nimeipenda Pia Big Up Kwa #AyoTV na crew nzima kwa Ujumla kwa Taarifa. God Bless Tanzania God Bless Africa.
@cosmascosmas73909 жыл бұрын
Haya yote mkapa, kikwete, mwinyi hawajawahi kufatilia hii nchi imeibiwa sana, naona saivi ndio tumekua na Raisi.. Mungu akujalie maisha marefu tupo nyuma yako.
@tomleeabdulkadir58358 жыл бұрын
natoka kenya watanzania muombeeni mungu sana john magufuli is the right man I like him much and I will always proud of him hio bahati uchukueni ifadhini ili iwafae kesho na kizazi chenu
@azizayassin36238 жыл бұрын
Tomlee Abdulkadir ameen ameen thumma ameen
@dickaugustino22146 жыл бұрын
Good, speech
@lilcastol76993 жыл бұрын
Tunashukuru sana ndugu na sasa hatunae tena
@harounbuzohera47973 жыл бұрын
Tumempoteza mtetezi wa wanyonge. Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi. AMINA.
@edwardwangombe23583 ай бұрын
Iam a kenyan but this is a man i so much loved and adored a pure pan Africanist.
@someless Жыл бұрын
Magufuli forever 😢 . We will always keep your soul in our hearts♥️♥️♥️♥️
@meshackotieno2223 жыл бұрын
This is why I keep shedding tears for this man
@aishajami68263 жыл бұрын
If they follow his way of leadership, they will succeed but if they don't, they will go with him!
@jacobaliet33515 жыл бұрын
This guy is the best. Kenya needs this kind of leadership.
@davidkokomushagalusa65663 жыл бұрын
My role model. Rest in power ✊🏾
@albertkyejo26269 жыл бұрын
Asante sana Raisi Magufuli. Tumengojea muda mrefu sana kupata kiongozi kama wewe. Ni mzalendo kama Mwalimu Nyerere. Wachunguzwe zaidi. Wapelekwe mahakamani kufuatana na ushahidi uliopatikana. Wahukumiwe, wafungwe, mali yako kutokana na wizi irudishwe kwa wananchi. Pongezi pia kwa Waziri Mkuu Majaliwa. Mungu awalinde. Mungu ibaraki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
@barakagodfrey60135 жыл бұрын
in
@MagufulificationOfAfrica2 жыл бұрын
KUMBUKUMBU YA RAIS #MAGUFULI ALIPOKUWA ANASISITIZA TUACHANE NA UMEME WA MATAPELI | JUN 28, 2017 | kzbin.infoMpbt21tpAEI
@basiliusgiligwa71779 жыл бұрын
Huyu jamaa alikua wapi siku zote hizi? Duh, inabidi Watanzania tumuombee sana huyu jamaa. Hadi nahisi kuiona Tanzania ya miaka kumi ijayo...
@jameschacha22428 жыл бұрын
zari
@azizayassin36238 жыл бұрын
Basilius Giligwa ameen
@kenethmkumbo18597 жыл бұрын
mwanzo mwisho babaaa
@alisaleh85017 жыл бұрын
q
@piusgidion72797 жыл бұрын
hapa kazi 2 wabishi kufa
@mentuhotepii26417 жыл бұрын
May Allah The beneficent the merciful protect and guide Rais Magufuli. This president loves his people!
@gorillaezra74488 жыл бұрын
Magufuli is real OG ,, statistically he's the best E.African President viva magufuli !!!!!!!!
@soccerilrul6 жыл бұрын
Gorilla Ezra Amen trying to end corruption
@abdullahinuh34705 жыл бұрын
Manshallah makufuli uko sawa sana
@fatmajarwan65455 жыл бұрын
👍
@hassanturky75116 жыл бұрын
Sawa sawa mheshimiwa, na pia naomba ufute zero Moja TU ktk peze zetu za kitzn. Tutajataririka. Allah akupe imani,akuendeleze Kati nchi mpaka mwisho wapumzi zako amin
@mummyange7 жыл бұрын
Tough! man this deserves a Nobel prize! perhaps even the BEST PRESIDENT IN THE WORLD! he is certainly the price of Africa. he is not perfect, but he is sacrificing a lot to promote his noble agenda which is to serve the people who elected him... he has stayed in touch! which few leaders can manage.
@khalidali11306 жыл бұрын
Mzee wamezoea kula nguvu zetu hao wanajiona kama pesa zao na kutuona sisi tulowapa wadhifa mabwege hawajazoea kutuwa mikono hao wamezoea kujiongezea mazero ila mwisho wao upo allah anawona na mungu akubariki sana Rais wetu atakulipa kwa huruma yko juu ya watanzania
@crausmasala85723 жыл бұрын
Ni huzuni kubwa sana kumpoteza rais wetu magufuli
@mosewekesa57638 жыл бұрын
Am a Kenyan..i wish Magufuli was a Kenyan leader...our country is full of ghost workers and corruption,,,,,may God bless Tanzania
@rehemaahamadiahmadi5666 жыл бұрын
God bless you my friend your my near l love you so much am from+255
@yaedlifemedia32036 жыл бұрын
Ameen
@samwelwamalwa78226 жыл бұрын
Mdaki mosses ✊✊
@mainahwahumainah896 жыл бұрын
Absolutely ... we would be far interms of development
@edwinwanjala78126 жыл бұрын
haaaaa
@monicaashery18 жыл бұрын
May the blood of our Lord Jesus Christ protect you from left and right, front and back, above and below! You are a walking angel.
@Wallacenyusi33265 ай бұрын
Tutakukumbuka daima Mh. Rais wetu JPM. Mungu ailaze roho yako mahali pema mapeponi
@leilabuisha19525 жыл бұрын
Natamani President wa Kenya awe kama Mh Magufuli' Maana kule kenya Corruption ni nyingi mno na hakuna wa kuwatetea wanyonge kule' kule hakuna haki kabsaaa na ndomana uizi umezidi sana' ma police wanapenda hongo kwa wanyonge' President Magufuli nakuombea Umri mrefu Baba na niko very proud na wewe yaani nakupenda sana.. Naona ata nitabadilisha Uraiya wa Kenya niombe kuwa raia wa Tz.😍😚
@ayoubbenta44998 жыл бұрын
mungu akubariki rais wetu mpendwa kwa kupenda wanyonge fanya kazi tupo nyuma yako inshaalah.
@norahmgoodluck35549 жыл бұрын
Watu wamenuuuuuna,utafkiri izo sura zao zilizokunjika zinamzuia Dr kuongea ukwel. Mungu mpe uhai mrefu raisi wetu.
@azizayassin36238 жыл бұрын
Norah Goodluck M ameen
@mwendapoleee7 жыл бұрын
Norah Goodluck M wamenyamaza cheeee!
@minyugeminyuge67535 жыл бұрын
Wezi wote hao, ona sura zao!!?? wapo kwa taharuki, na nyodo zilizokua mjini’ kumbe wezi watupu. Magu dua kwa sana kwake wallah’
@lulendakamata91845 жыл бұрын
Hahahaa acha mzee wetu achape kaz
@marsum43635 жыл бұрын
@@azizayassin3623 mali instead of biwa
@sangkibet82753 жыл бұрын
Magufuli was atrue reflection of areal leader you will forever be remembered legend RIP.
@sakayonsakihunga34968 жыл бұрын
Amakweri inchi imepata mmiliki najivunia kua mtanzania nikiwa chini ya Raisi Magufuri nakuombea kwa M/ Mungu uishi miaka mingi yenye mafanikio na uendelee kutetea wanyonge. Ahsante
@dominicsomola4027 жыл бұрын
Sakayonsa Kihunga hahahahahaaaaa
@elishajegeje64823 жыл бұрын
Duuuh kwael jamani Baba yetu
@msafiriomary8932 жыл бұрын
RAIS wetu MUNGU akuweke sehemu sarama urikuwa unatufurahisha sana wanainchiturikupenda sana,
@maretekings7 жыл бұрын
Ongeera Raisi Maufuli, how can other African Presidents and leaders learn. I envy Dr. Magufuli God bless this Man. Marete JK
@johnsonmwise76723 жыл бұрын
R.i.p. pumuzika kwa Amani raisi wetu
@bonfaceandala58502 жыл бұрын
This man never die.He still lives on.
@chrismutisya8 жыл бұрын
Japo kuna tetesi za udikteta, nampenda huyu raisi. Mimi ni Mkenya lakini tunahitaji viongozi kama hawa Africa.
@dickaugustino22146 жыл бұрын
Wanaomuita dicteta ni wale waliokuwa wakila bata wakiwa serikalini matumisi ya hovyo ya pesa za walipakodi yaani wananchi wanyonge, na sasa magufuri kazipiga marufuku.what do you expect? Let them speak bad upon him, but magufuri is 1st best presedent we ever had b4 or experienced!
@cherehanitanzania85035 жыл бұрын
Safi
@zefamange72815 жыл бұрын
Wanao sema dicter ni mafisad
@lazizerujanabose88025 жыл бұрын
Christopher Mutisya sio udectater ndio ginsi ilivyo uli uongoze wezi na wadhulumati pia wala rushwa na poraji sababu akiwabembeleza hawatomuishimu nivizuri kuwa force ili kila kitu kiwe saw na ndio kazi alio ahidi waraia kipindi chakuchaguliwa kama hatimizi basi yey katili
@reubenbusanji29045 жыл бұрын
History inaonyesha mtu yeyote aliyewahi kufanya mageuzi ya kiuchumi taifa lolote hakuwahi kuwa na historia nzuri kuhusu kile kinachoitwa haki za binadamu. Fanya utafiti
@rubenmegiro3035 жыл бұрын
nandomaana nakupenda unafanya kazi kwauhakikaa nakwaumakinii munguu akulinde
@fidelisvenance64313 жыл бұрын
HIKI KILIKUA NI KICHWA 💪💪💪
@davidkokomushagalusa65668 жыл бұрын
if congo had such a president it'll be one of the powerful country in the world
@reubenbusanji29045 жыл бұрын
Exactly
@nampijjanazifah63583 жыл бұрын
I think Congo is the richest country in Africa and the world at large.
@daudmwaipasi56723 жыл бұрын
True
@davidkokomushagalusa65663 жыл бұрын
@@nampijjanazifah6358 it’s but poor leadership has destroyed it. Congo needs its true son a patriotic leader not a puppet
@nampijjanazifah63583 жыл бұрын
@@davidkokomushagalusa6566 true most African countries luck patriotic leaders
@sunyareh8 жыл бұрын
mungu akulinde..akujaalie afya na umri mrefu ili Tanzania ijue thamani yake na inufaike. na kotekomeza unynyasaji wa wanyonge..ASANTE SANA ndugu yetu mzee wetu. na kiongozi wetu..
@thedeo4729 жыл бұрын
Mr. President, so far so good. Keep it up.👍👍
@johngitonga43805 жыл бұрын
Ur number 1 President in the world mwenye hataki uongo na mchezo kazini GOD bless you.
@yunissheikh48823 жыл бұрын
The best E.African president.. Commenting from Kenya
@IssaBacar-i2i3 ай бұрын
Pumzika kwa amani baba mwana harakati ambaye umetutetea sana tinshukuru mungu kwa ulivyo tutendea.
@jamesmwangi85983 жыл бұрын
Hongera baba ondoa ufisadi Tanzania kabisa tukimaliza ufisadi Tanzania ni tajiri mno
@sawanialfred9706 жыл бұрын
DR, KUYA kweetu, UGANDA, tunataaka wantu kama wewe, our east african president, keep the spirit
@tongolbanguot19646 жыл бұрын
How I wish all the African Presidents were like Dr. John Pombe Magufuli #admiration
@2coolking3705 жыл бұрын
My most favorite President in Africa, love him so much.he's so real and ready to make Africa great again
@ramadhanmgonja16988 жыл бұрын
You are the best president Mr Magufuli, keep it up
@kalokoamiry94226 жыл бұрын
Ramadhan Mgonja mm mm mahujajl
@kalungawanje75267 жыл бұрын
This is a tough president. its what we need in Kenya.
@jessewakaba92703 жыл бұрын
nyinyi watu wa reggae na bbi
@magrethbenjamin49693 жыл бұрын
Mwenyez Mungu awe pamoja na Muheshimwa Rais mama Samia Suruh awe na upeo zaid wa huu Marehem 😭other wise tutaibiwa san
@hamisizetz89423 жыл бұрын
Amna kitu. Tumepigwa
@sifasanga78667 жыл бұрын
Magufuri I love youuuuuu......uwiiiiii yemweeeeee! walahi nilikungoja mimi.
@praygodmakundi51823 жыл бұрын
Like baba wa taifa akili mingi sana 🔥🔥🔥
@jamesmasila68733 жыл бұрын
Wha,samahani ametuacha
@immaxkiyenze62613 жыл бұрын
#Like Kama umerudia hii video baada ya kuzikwa shujaa shujaa wetu
@smukelomkhize97753 жыл бұрын
Tulikuwa Tunakupenda sana Yaan JPM, Chuma cha Africa, Africa lmelia
@smkinuthia60945 жыл бұрын
This man is a powerful and straight forward person, i wish him the best in future, can he come in Kenya and be our President for just 5 years. Wa Tanzania please give us your President for a loan.
@abbouramsey1549 жыл бұрын
wakipimwa presha apo ni hataree kuna ambao roho zinawadunda kama mpira wa fainali za UEFA....mtanyooka mwaka huu....MAGU sio mzee wa Msolwa
@alimakame81345 жыл бұрын
Duuuuuu
@sharifuhsharifuhh84715 жыл бұрын
hahahaaa
@ramadhanshaban32385 жыл бұрын
Taarabu jiwa
@andrewmgaya3105 жыл бұрын
😅😅😅😅😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@Almisbahy95515 жыл бұрын
Hahahhaha
@daniellembile99883 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Baba kazi uliyoifanya inaonekana tumekumiss sana Rais wetu
@josephmatonyi18023 жыл бұрын
😭😭👏👏mungu akusaidie kwenye kaz yako mze Joseph pombe magufuli 🙏
@sadiyakb84983 жыл бұрын
Rip
@ramadhanimussa8827 жыл бұрын
Usimamizi na uwajibikaji uliotukuka nauona kwa Rais wangu Allah ibariki Tanzania
@issakibegi93563 жыл бұрын
Kibeg! Issaya apa mungu ametoa na mungu amechukua baba magufuri kalale mahali pema pepon amin na kumbuka watanzania kila nafc itaonja umaut
Naumia mimi jamani, hatutapata Raisi kama huyu Tanzania, pumzika kwa amani baba
@wanjirunyambura27083 жыл бұрын
It's really a huge loss to Africa as a whole. Very smart and deligent! Shine on your way our leader
@ShSh-my8cw3 жыл бұрын
Pole dr kz ya Mungu haina makosa
@saumusalimuhassan24993 жыл бұрын
Pumzika kwa AMANI shujaa Wetu wa Africa 😭😭😭😭
@ShSh-my8cw3 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yke mahal pema peponi
@saumusalimuhassan24993 жыл бұрын
@@ShSh-my8cw Ameeen yarrab 🙏
@bahelanya5 жыл бұрын
With him Pdt Magufuli, Africa must follow his style of ruling for a better and developed Africa. Viva Tanzania....
@EdwinWachoriTV9 жыл бұрын
Proud of You Mr President, restoring sanity galore..
@hadijaangura65723 жыл бұрын
Jembe limenda jamani poleni Tz 😭😭😭
@ericmdemu28769 жыл бұрын
Hakika Mama Tanzania sasa amepata Baba...si bora Baba, ila ni Baba Bora ajiaye wajibu wake na katu asomkosa juu ya miktadha kwa yale yalo kuntu! Baba alikufa pia akafariki..upweke ulidara na kuzizima, ila Ahsante kwa Yeye alojuu zaidi kwani amemrejesha tena Baba si kwa Sura ila kwa Utashi, utu wema na ukweli sanjari upendo vyote vi ndanie...Ee Mwenyeenzi na Utukufu..ninakuomba Mlinde na sitara iwe juuye yote madhila yafanye yawe Baraka kwake!.
@jennipherray70013 жыл бұрын
Kama kweli kifo cha Magufuli kilisababishwa na mtu Aiseeeee machozi ya watanzania hayatamuacha salama pumzika kwa amani My Hero 💔😭
@noelsanga68539 жыл бұрын
Kwa namna hii uchaguzi wa 2020 usifanyike utakuwa upotezaji wa pesa bure
@jumajuma53067 жыл бұрын
Noel Sanga mwbana arisamata matokeo ya jana ngenki
@awadhirajabu77546 жыл бұрын
Magufuri na mitandao nayo vipi ya tanzania inauza vocha rakini cha ajabu uduma zao mbaya wachunguzwe wanaofanya kazi je wameitimu shure hau kutugeuza watanzania kuwa washamba wa mawasiliano
@raziambwana21455 жыл бұрын
Noel Sanga kweli kabsa
@mengihamisi35675 жыл бұрын
Daaaa hiii safi
@mengihamisi35675 жыл бұрын
@@awadhirajabu7754 mada gani
@shijaomarymbaruku48719 жыл бұрын
My president you have all qualities of a leader so very exllent
@athumanimnazalety46766 жыл бұрын
Utuba yajafali alubaii
@sajukijohn27915 жыл бұрын
Watanyoka tuu warizani kama zamani kupiga mahesabu hewq
@samuelmoleli69644 жыл бұрын
Karibu orkesumet baba
@casineobote99898 жыл бұрын
good leadership.salute mheshimiwa rais.
@twahaally19692 жыл бұрын
RIP bahanaa...! Tunamkubuka sana... Dr Magufuli. tutakukumbuka daima. 2022
@Chapesamedia3 жыл бұрын
Nafurahi kupata kuona a mfano mzuri wa uwongozi pumzika pema chema huku hali sio shwari tozo kibaoo hadi utahisi kufa.
@connan99239 жыл бұрын
Kwa mwendo huu aongoze tu nchi to a batter day "WE DON'T NEED ELECTIONS ANY MORE WE FOUND OUR SAVIOR "
@cheupegmailcomHhcheupe9 жыл бұрын
true
@youngdady79013 жыл бұрын
Humu kuna maswali mbanano Mungu akupumzishe Hayati Mh. Rais
@mwemaesube88723 жыл бұрын
Mimi ni from DRC watanzania poleni kwa kupoteza jembe kama nailo
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Asante
@augustinoevarist93506 жыл бұрын
Mungu azidi kukuongoza Rais wetu.
@eliamanigolitagolitamsengi93485 жыл бұрын
Rais Magufili we ni Kichwa. Mungu akulinde daima. Kama kuna watenda kazi 10 kama wewe nyuma yako Tz itakuwa Paradise.