MACHOZI YA MSANII RECHO, ALIA KWA UCHUNGU WATU KUMTENGA, KUMTAKA KIMWILI ILI WAMSAIDIE

  Рет қаралды 21,185

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 82
@WatanzaniaULaya
@WatanzaniaULaya 10 күн бұрын
Daaaàaaa, Binadam tunapitia mengi ila huwa nasemaga maisha ni katili sana zaidi hata ya maumivu ya kuchomwa na kisu , polle recho sote tunapita magumu hauko pekeako usilie amka uanze upyya unaweza , recho unaweza , recho bado unaweza amka Dunia inakusubuli
@SteveMassawe-xh6lz
@SteveMassawe-xh6lz 10 күн бұрын
Kabisa
@g_forcemusician4242
@g_forcemusician4242 7 күн бұрын
Tatizo walikufanya mbadala wa ray c .ndo unapita mulemule omba mungu sana
@josephatSwai
@josephatSwai 8 күн бұрын
Nakuomba sana okoka tuu rechoo
@elishaelishaedward9454
@elishaelishaedward9454 7 күн бұрын
DAAAH IMENIUMA SANA DADA RECHO ILA PIGA MOYO KONDE MTI WENYE MATUNDA NDO UNAPIGWA MAWE NA WEWE UNAKITU NAAMINU HIVO ISHI KWENYE KATIKA KILA KITU KINATOKEA KWA SABABU NA MSHUKURU MUNGU KWA KILA JAMBO LIWE JEMS AU BAYA.
@theresaelizabethelijah117
@theresaelizabethelijah117 9 күн бұрын
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe wameona nyota yako kali utawashinda ndio wanajaribu kuizima usijali Queen Recho mimi nitakutafuta tufanye colabo moja kali tuwaibishe mashetani ❤❤❤
@JENNIFER-q4k4r
@JENNIFER-q4k4r 9 күн бұрын
Utamjua Rafiki wa kweli kipindi cha Matarizo Watanzania sisi wanafikj Sana...ao waliondoka katika Maisha yqko awakua Marafiki wa kweli
@edwinfweni
@edwinfweni 10 күн бұрын
🙌🙌 Mungu amsaidie huyu binti...
@mohayussuf2057
@mohayussuf2057 9 күн бұрын
Mziki ni mgumu sana una siri nyingi
@SOPHIANJIGE
@SOPHIANJIGE 9 күн бұрын
Jaman recho nakupenda sana
@emanueluroki6160
@emanueluroki6160 8 күн бұрын
Recho she is beautiful ❤️
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 10 күн бұрын
pole dada nakuelewa!unasaut nzur mnoooo
@latifamakiadi575
@latifamakiadi575 10 күн бұрын
Ongea na nady Jamani akusaidie
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 10 күн бұрын
Roho mbaya yule
@zefrinkasian2118
@zefrinkasian2118 10 күн бұрын
Huyu j melod akimuandikia nyimbo kama 3 hivi na akasaidiwa kurekodi atawafunika sana hawa
@bigboys016
@bigboys016 8 күн бұрын
Hata nandy anaweza kumvusha mahali wanamatch sana
@SabraAbuu-f5z
@SabraAbuu-f5z 10 күн бұрын
Watu ni wabaya sana, tena mwenye anakumaliza ni yule alie karibu yako.pole dada recho lakini mungu yuko na wewe kila wakati.lakini jitaidi kuangalia ni marafiki wa aina gani uko nao.
@MamaHanisa-i8z
@MamaHanisa-i8z 9 күн бұрын
Mungu ametupatia akili na hekma ukipotea ni kupenda kwako awache nafsi lawama😢😢😢😢
@rukiamadati336
@rukiamadati336 10 күн бұрын
Ila umaarufu au usani kazi Sana jamani pole sana
@MariamMagege
@MariamMagege 10 күн бұрын
Dah! Pole sana
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 10 күн бұрын
Duuuh aiseee Mwenyezi Mungu amsimamie kwa karibu
@HemedyMohamedy-o1m
@HemedyMohamedy-o1m 10 күн бұрын
Daaah ila ifike wakati wanaume tuache hii mambo bc sio sawa kabisa kunaleo na kesho
@Barackswai
@Barackswai 10 күн бұрын
Mh ila unakuta mtt n mkal namsaidia akaf anakula mwingine pia inaumaa😅😅😅
@husseinpatel2956
@husseinpatel2956 10 күн бұрын
​@@Barackswaitrue 😂😂😂
@peacemwakyombe
@peacemwakyombe 10 күн бұрын
Daah sio sawa kabisa ​@@Barackswai
@lenatusdismas-s9q
@lenatusdismas-s9q 10 күн бұрын
​@@Barackswaichukulia ni dada yako unajiskiaje
@mrishojumaamrisho3212
@mrishojumaamrisho3212 7 күн бұрын
Pole xan kipenz 😢😢😢dunia ina magumu sana
@JacobMbuni
@JacobMbuni 10 күн бұрын
Pole sana recho
@MarryDode
@MarryDode 9 күн бұрын
Kwenye maisha yangu nimejifunza kutokutia huruma coz kwenye maisha hakuna mtu wakukuhurumia kabla hujajihurumia na ukiona hik hakiendi lazima hufanye hicho hicho? Mziki haulipi tafuta kitu kingine kitakacho lipa yan usipende watu wakuhurumie omba mungu jitafakari songa mbele
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 7 күн бұрын
Binadam wabaya sana 😢
@DINASSOUR
@DINASSOUR 10 күн бұрын
Uyo boss wenu....anapata MSHAHARA wake huko aliko......
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 10 күн бұрын
Maskn😢😢 pole recho❤❤❤nampenda na anajua kuimba.ray c mtupu
@japhetnjovu853
@japhetnjovu853 10 күн бұрын
Unatakiwa uchague watu sahihi wa kuwa nao au ndiyo hivyo utaishia kulia! Wana sema samaki mmoja akioza wameoza wote 😢
@emanueluroki6160
@emanueluroki6160 8 күн бұрын
Recho daaa nimejisikia sad sana na pia nimegundua hakuwa na mtu wa kumtua nguvu sana karibu ndio maana alikata tamaa na kuona aibu so recho pole sana
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 8 күн бұрын
Daaaah 😢hawa polis hawa na wakuu wa mikoa 😢😢 pole sna Rachel utakuwa sawa you have talent no Kama RAYC . CHED BEANZ na CHILLA kuna muda unatengwa Ila usijar
@Abelsikaonga-p2v
@Abelsikaonga-p2v 8 күн бұрын
Kwa kweli watuewana roho mbaya jamani tunakupenda sana
@rachelpatrick3749
@rachelpatrick3749 10 күн бұрын
Jamanii Tumemkumbuka Huyu dada 🙌🙌
@Isakamaganigani
@Isakamaganigani 10 күн бұрын
Pole dada makonda imerudisha watu nyuma sana
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 10 күн бұрын
Kwaiyo we unaamini alikuwa anawaasingizia je na kama alikuwa anwasingizia kwanin asiende mahakamali kama alizaliliswa kweli
@MamaHanisa-i8z
@MamaHanisa-i8z 9 күн бұрын
Watanzania wacheni hizo makonda alifànya nn Tena awache nafsi lawama 😂😂😂
@JacquelineAdrian-w5r
@JacquelineAdrian-w5r 7 күн бұрын
Sio kwel
@SakinaValy
@SakinaValy 10 күн бұрын
Recho ulikuwa mzuri na bado ni mzur,,inamaanisha kweli umekosa msaada mpaka iv sasa
@Shadia544
@Shadia544 10 күн бұрын
Huyu dada jamaniii alipotea sana pole sana ila walimwengu jamaniii 😢😢😢
@vibetz9991
@vibetz9991 6 күн бұрын
Muziki ni Kazi ya kishetani hakuna upendo
@jumazahoro3537
@jumazahoro3537 7 күн бұрын
Njo nikuoe
@JenniferJackson-m5t
@JenniferJackson-m5t 9 күн бұрын
people's people's people's jamni people's wabaya nyiie haya😢
@Anoniem123-u5m
@Anoniem123-u5m 10 күн бұрын
Duuuh pore😭
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 10 күн бұрын
Nilikua namkubali sanaaa huyu dada basi tu
@AliBakar-f5k
@AliBakar-f5k 10 күн бұрын
Tatizolako were mwanamke unazarau uliwahikusema katika maishayako huwapendi wanaume 8:07 weusi yani wewe na wazungu warabu ndio mabwanazako ulikua na kiburi kwa umarufu was mdamchache kwaiyo ililie nafsiyako
@8pistons194
@8pistons194 7 күн бұрын
Hiyo ni kutafta tu tension mjomba acha kumuhukum hata ww unazambi
@tonyjr8720
@tonyjr8720 10 күн бұрын
Duuuuu aseee
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 10 күн бұрын
Ila watu 😢
@jizzotheking9238
@jizzotheking9238 7 күн бұрын
Sasa hata wakimtak kwan yy ni bikra??
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 10 күн бұрын
Kwa wanawake kawaida kutakwa.. Ila UNASEMA HAPANA AU KATA MTAMA HUYO ANAEKUTAKA
@devothaignatius5256
@devothaignatius5256 10 күн бұрын
Pole sana dada
@IrakozeJuliette-so1iu
@IrakozeJuliette-so1iu 10 күн бұрын
Pole sana, Aliye kupeleka police ni Ex wako
@SabraAbuu-f5z
@SabraAbuu-f5z 10 күн бұрын
@@IrakozeJuliette-so1iu 😂😂😂 ni kweli kabisa 😂😂😂 ni mpuuzi sana.
@SteveMassawe-xh6lz
@SteveMassawe-xh6lz 10 күн бұрын
Makonda sio mtu nashangaa watu mnamtetea nakusema anaroho nzuri namchukia yule baba nisiwe muongo alifanya agness akatangulia😢
@devothaignatius5256
@devothaignatius5256 10 күн бұрын
Nikweli umenikumbusha agness masogange
@annethsongwe6063
@annethsongwe6063 7 күн бұрын
Waliomtaja ndo sio watu
@PeterBaton-x7b
@PeterBaton-x7b 9 күн бұрын
Kwa Maisha Yakibongo Bongo Tena Kwa Watoto Wakike hili hutobowe Ningumu Sana Maana Utatumika Nautatumika Kimwili Mpk Uzeeke🤣🤣
@uwimanacitegetse9926
@uwimanacitegetse9926 10 күн бұрын
Ndomana zuchu hatakimazoweya yakupigapiga mapichanawatu akisemahataki wanasema ha anajiona kupirwapica na tiyedi tu kumemuhalibiya lecho 🤦🏾‍♀️😭
@JanetAhmad-v3h
@JanetAhmad-v3h 10 күн бұрын
midawa ya kulevya njo zinawaponza
@augustinookore6172
@augustinookore6172 10 күн бұрын
Pisi kali sanaa hii
@penielmbise5388
@penielmbise5388 10 күн бұрын
Mungu akutie nguvu na ujasili
@NajmaMohammed-sn4vh
@NajmaMohammed-sn4vh 10 күн бұрын
Si nandy amsaidie
@HaikaFredrick
@HaikaFredrick 9 күн бұрын
Hawezi wakati anamnyanyua msanii wake Yammy ambaye naye anamikato kama ya Recho na Ray C
@MashakaShabani-s5m
@MashakaShabani-s5m 10 күн бұрын
Asaidiwe hyu dada kuna wapuuzi wachache huwa wanaharibia watu maisha yao sasa amekosa nini mpaka umtangazie vibaya ni ujinga sana sana
@linnerphilip4260
@linnerphilip4260 10 күн бұрын
Mmmh tatizo ulifanana na rayc ndio maana😢
@RonnieBertin
@RonnieBertin 10 күн бұрын
Mzee umepigaje hapo nilivyoona picha yake nilifikili Ray c macho yake anyway watu duniani tuko wawili wawili hata mimi watu wananifanisha na sadio mane
@mwasitigervas2624
@mwasitigervas2624 10 күн бұрын
Tulia tu pesa ya chakula na chumba ,,ulituumiza sana pole ila tuliumia kukulipia
@Mikeys-m9w
@Mikeys-m9w 10 күн бұрын
Asituchoshi Bana Ashapotea Myaka Mingi Sana 🧐 Ila Pole Yake 😢
@DINASSOUR
@DINASSOUR 10 күн бұрын
Atafute shamba akalime...watanzania hatumshiki mkono yyte ...aolewe azae alee watoto...ukimshika mkono atakuja kukaa uchi majukwaami
@SwaumChawage
@SwaumChawage 10 күн бұрын
😳😳😳😳
@MwantumuAbdy
@MwantumuAbdy 10 күн бұрын
Umemaliza mi niseme nn ss
@NikrahAyubu
@NikrahAyubu 10 күн бұрын
😂😂
@kamarhelo
@kamarhelo 10 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 jamani
@SteveMassawe-xh6lz
@SteveMassawe-xh6lz 10 күн бұрын
Ila maisha yanaumiza sana bas tu
@osupatkarenolesieku
@osupatkarenolesieku 10 күн бұрын
Nini shida tena huku
@BabyCappuccinoBabyCappuccino
@BabyCappuccinoBabyCappuccino 9 күн бұрын
Basi waandishi wa habari wa online kama nawaona baada ya interview hii mwezi mzima watamtafuta wamuhoji na maswali ni haya haya ya huku
Sigma girl VS Sigma Error girl 2  #shorts #sigma
0:27
Jin and Hattie
Рет қаралды 124 МЛН
БОЙКАЛАР| bayGUYS | 27 шығарылым
28:49
bayGUYS
Рет қаралды 1,1 МЛН
ССЫЛКА НА ИГРУ В КОММЕНТАХ #shorts
0:36
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
Spirituality Vs Witchcraft & Science || Dr. Mwaka
1:56:49
Dr. King'ori
Рет қаралды 277 М.
VUNJA BEI AFUNGUKA WHOZU KUONDOKA TOO MUCH MONEY, KUACHANA NA WEMA
19:45
BALAAA! WAREMBO WOTE WAMEMPENDA MR RIGHT HANDSOME - S04E12
14:59
ST BONGO TV
Рет қаралды 184 М.