mb zangu zinaishi kwa ajili ya makonda kila hatua dua kwako hongera sana
@matridamwalyoyo17356 ай бұрын
Mpk Mimi dea
@oscarkomba72586 ай бұрын
Anafanya sana kaz dah
@oscarkomba72586 ай бұрын
@matridamwalyoyo1735😅
@awadhally10526 ай бұрын
Kwel ata mm
@angelanaftael79655 ай бұрын
Hata mie hata usk wa manage usingizi ukikata nasikiliza
@mohamedwwnurumasagcom81716 ай бұрын
Ahsante rais Samia kwa kumleta Paul makonda hakika ni mtetezi wa wanyonge mwenezi wetu ni mchapakazi
@nebartmuyagala95456 ай бұрын
Mh. Mimi binafsi nilianza kukufatilia tangia ukiwa mkuu wa mkoa dar ww unakitu ndani yako Mungu amekuwekea 💪
@jamesraphaelmdima47296 ай бұрын
Huyu jamaa siku tatu kabla huyu jamaa hajateuliwa,Roho wa Mungu alinionyesha maono niliona mambo ambayo siwezi kuyaeleza hapa!
@misembe6 ай бұрын
Kweli kabisa
@user-hw8jt1pq9b6 ай бұрын
Atasoma akif😂🎉
@mwemamella14835 ай бұрын
@@jamesraphaelmdima4729Na kabla hajapigwa Lissu Risasi hukuonyeshwa aliyewatuma wampige Risasi?? Tuache unafiki Mungu ni wa wote hana ubaguzi. Mtu mwenye mikono yenye damu za watu, mtekaji, muuaji anawezaje kuwa Malaika mbele ya Mungu? Nijibu
@aliciamwalimu5825 ай бұрын
@@jamesraphaelmdima4729 sasa umeulizwa?
@ritapiusnicolaus70686 ай бұрын
Makonda Mungu akulinde🙏🙏❤️❤️
@josephwilliammnyune54646 ай бұрын
Makonda upo peke yako. Unaona uozo huo. Je na viongozi wenzako wanauona?
@JoJo-xh7ph6 ай бұрын
Samia aliona mbali sana kutuletea makonda
@willydugilo32585 ай бұрын
Kaka mungu akupiganie!! Unajitahidi
@charleskuyeko44005 ай бұрын
Haleluyaaaaa. Mungu akubariki sana Mheshimiwa Makonda.
@KassimHanga-xr7rb6 ай бұрын
Allah akbar hata tuwe na akina Makonda 1000 hatutatatua matatizo ya dhulma katika nchi hii ikiwa wale wanaofanya dhulma hawatachukuliwa hatua yoyote
@emmanuelmwatujobe84506 ай бұрын
Umeona ehee
@adilimbuba70444 ай бұрын
Ni kweli kabisa
@roviykamage54236 ай бұрын
Inaumiza sna , tenzi ya rohoni imenitoa machozi sna . Makondo makonda baba Mungu akuinue sna
@Hometradersforex5 ай бұрын
I don't know Swahili but this guy ambition is 🔥his politics are intact , he carries late magufuli leadership ideologies, rule by fear & religion , these ideologies are masterpiece in ruling people , build trust as well as motivate people to do full fill their responsibility as they fear of superior power
@stevensteve75195 ай бұрын
It is true but what you need to understand is what he is advocating for is the failure of their administration system. He belongs to causers of the existing problems. We need complete reforms in our country not dealing with problems by addressing public gathering. Otherwise there's no need of having government machinery or system.
@merinahassan41575 ай бұрын
😂😂😂
@danieljoseph49124 ай бұрын
Very true 👍
@hemedmwipopo7806 ай бұрын
Mhe. Makonda manyanyaso yamezidi kwa wananchi iwe kazini hasa katika sekta binafsi huku ni mbaya mheshimiwa.
@adkajisi45364 ай бұрын
Duh Pole ndugu
@lizzykoyo93075 ай бұрын
Makonda pole kaka hii kazi ningumu saa
@nurdinkassim6 ай бұрын
Makonda viatu ulivyo Vaavinakutosha mungu akubariki saaaana simama na wanyonge mungu atakulipa
@asingizibwejacobkalokola73515 ай бұрын
Makonda Mungu akulinde maana Watendaji wa Serikari wamegeuka Mungu Watu. Tunakusubili Dar.
@omarybakunda25546 ай бұрын
Makonda iongezewe mda wa kazi.
@ngugimundia63066 ай бұрын
Mimi mfuasi wa mh paul makonda tangia akiwa mkuu wa mkoa dar...hapa kenya 🇰🇪 tunatamani kua na mtu au cheo hiki...cha kuzikiza kero za wananchi...hongera tanzania 🇹🇿...
@mwarabumbarak43425 ай бұрын
Sonko
@liverpoolfootballclub9985Ай бұрын
Huwezi apply hii system kenya. Kenya ni capitalist na Tanzania ni socialist ujamaa village.
@Maria-cx4kn5 ай бұрын
Nawadhangaa watumishi wengine badala ya kujifunza na kupoga kazi wanajaribu kujisafishakwa kuponda kazi ya makonda bila hata aibu. Kama hawanaa ubavu wakes pembeni wamwache kuja a wa mungu achape kazi ya kimungu
@AleiHadji-js3ed6 ай бұрын
Sidhani kama. Mwanasheria Mkuu atabakia Salama
@johnkapesula1226 ай бұрын
Laaah kumbe ahsante Mungu kumbe watetezi wa wanyonge bado wapo.
@anorderick7162Ай бұрын
KAKA kazi unayo ....! Ila Nguvu za Mungu wa kweli zitakulinda... Kaka ❤🎉
@mwinshehenassib48534 ай бұрын
Miongoni mwa mafisadi wakubwa wa nchi hii ni watu wa wizara ya ardhi.
@user-qu1mq2ik2e2 ай бұрын
God fearing leader be blessed
@ShanayaLeah20236 ай бұрын
Shirima amenyea kambi ya jeshi😂😂😂😂
@sabojanvierjaja20076 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@muddymuzungu43575 ай бұрын
😂😂😂😂😂😢🎉🎉😂😂😂
@user-td9rq5vl1v4 ай бұрын
Atachekechwa Mwaka huu😂😂😂
@user-td9rq5vl1v4 ай бұрын
Atachekechwa Shirima Mwaka huu😅😅😅
@juliusjoseph48896 ай бұрын
Kwa staili hiii nchi imeozaaaaaa kabsa......watu wananyimwa haki zao huku taasisi za serikali zikizidi kuwalaghai watu kwa rushwaaaaa........MAKONDA ana kazi kubwa sana daaaaah
@user-rg2hx3le6h6 ай бұрын
Mweshimwa mim natokea manyara wilaya ya kiteto natamani sana sana ufike kule kijijini kwetu kuona mambo yanayo tokea millard ayo mufikishe komenti hii kwa mwwnesi wa ccm watu wanaumia sana
@RobertMsaula5 ай бұрын
Ila li MAKONDAAA hili jamaaaa nomaaa lina ushawishi.. linapiga mpk nyimbo za dini😂😂😂
@wilbroadgrarcian12596 ай бұрын
Kazi ipooo watumishi waseme kama wanaonewaa
@josephnjellah2806 ай бұрын
Mbona mabangoalisema,asiyaone wahusika wrote wamechukuliwa hatua gani?
@prepaframark80972 ай бұрын
Mungu muumbaji wa mbingu na nchi akubariki Mh. Makonda. Akutunze, dumu kumtukuza ktk nafasi aliyokupa. Amina 🙏
@charlesmillinga9925 ай бұрын
Tunakuombea sana Mhe. Makonda. Mama kapata Chuma haswaaa. Piga kazi kaka. Watumishi tusiojipanga kwemye maeneo yetu, 😂😂😂 Moto Mwingine huooooo.
@kingelieshabani72358 күн бұрын
mweshimiwa MAKONDA unani bariki sanaaaa kwa hekima yako Mungu azidi kuku bariki naku ku lindaaaaaaaa
@felixkamkala33036 ай бұрын
Mama afanye mabadiliko haraka sana na mabadiliko yajayo yasiangalie mavyeti yao waangaliwe vijana Wazalendo wenye uchungu na Taifa letu TIS ilisadie Taifa letu uteuzi wa vimemo waachana navyo aisee
@matridamwalyoyo17356 ай бұрын
Ukipewa nafasi yakusimamia watu tusiwe chanzo cha watu kufeli bali tuwe daraja
@Worldunite6 ай бұрын
Makonda ukigombea urais, mi nitakuwa wakwanza kukupigia kura
@user-fr7jj1bo7y6 ай бұрын
hamna haya ni maigizo tu hana uwezo wa kumsaidia mtu zaidi ya familia yake
@selemanindege99336 ай бұрын
Matako yako@@user-fr7jj1bo7y
@nuruurio83195 ай бұрын
Snaweza ujesahau akiwa mkuu wa mkoa wa daresalam alivyokua anafanya vizur@@user-fr7jj1bo7y
@WilliamDaniel-hm4cr5 ай бұрын
Urais unafikiri matako
@Worldunite5 ай бұрын
@@WilliamDaniel-hm4cr hata wewe ukitia nia unaweza kugombea urais
@alexmatt95045 ай бұрын
Big up Makonda,kazi tunaiona.Sasa cha muhimu hao wotendaji wote wa Serikali uliowashika na hayo makosa ya kutotimiza wajibu,kudhulumu wananchi,kutesa wananchi inabidi wapate adhabu kali ikiwa ni pamoja na kulipa fidia na ikiwezekana walipokosea kisheria wafunguliwe mashtaka na kufukuzwa kazi.Msiwaache hivi hivi kirahisi vinginevyo wengine baki wataigiza kwa sababu wataona hakuna hatua zinazochukuliwa kwa wakosaji.
@parkerheritier8179Ай бұрын
kama ingewezekana Mkatuazima makonda akaja kwetu Congo aisee angeinyosha kikamilifu Mungu akubariki kweli wew nimtetezi wawanyonge natamani hatakulia kwakweli wananchii wanateseka sana
@user-en1nl2tu8v6 ай бұрын
Very impressive. Dr. Suluhu vision is excellent and beyond examples. A bulldozer layed the path, The finishing touches on that path are beyond redemption. Dr. Suluhu, watutoleya albu sisi wafrica. Your next mission is Africa Union president.
@Bombomaa5 ай бұрын
w
@Worldunite5 ай бұрын
Angekuwa Gaddafi african Union president, but there's no such position
@Maria-cx4kn5 ай бұрын
Wasiopenda kazi za amonda walie tu kwa wivu. Kuja a Snapchat’s kazi si mchezo
@michaelmwalimu60576 ай бұрын
Mimi binafsi nampenda sana makonda, alipotoka kuwa mkuu wa mkoa na kuwa nje ya mfumo niliwaambia atarudi kwa nguvu kubwa Na mwaka 2024 niliwaambia watu kuwa mwaka huu kuna fagio litapita nchi nzima
@user-nn6zq1ok7i6 ай бұрын
WEWE SIO NI goli kipa hujui kitu
@user-nn6zq1ok7i6 ай бұрын
HAITUSAIDII SISI TUNATAKA MAISHA BORA YATOKANAYO NA KATIBA SIYO MTU AKIONDOKA ANAONDOKA NAYO
@adkajisi45364 ай бұрын
Ndugu umeongea point mnapiga hatua baadaye zinakuwa kama za mlevi.
@golebenson45972 ай бұрын
Katiba ni maandishi tuu kama watu wenyewe ndio Hawa iyo katiba itafanya kazi yenyewe
@fathimadaid34296 ай бұрын
Kwauongozi Tz sitaki uongozi Daa
@ramadhanisalehe96812 ай бұрын
Katapila makonda huyu asee nakosa laha sana Pele ninapo muona naulizia mchache akae jukwaa lake na walizi wake hao watu viongozi wenzie asiwaamini ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@salimmalaka2566 ай бұрын
HAYA MAJITU YALIOWEKWA KUSAIDIA KUJENGA NCHI WAO WANAIBOMOWA NCHI UTADHANI YANAOMBWA PEPO NA WAO NDIO WAMILIKI WA HIYO PEPO KUMBE YANALIPWA MISHAHARA.SHENZI KABISA.
@kuhaniPetroCn5 ай бұрын
Hiyo Bwana Yesu asifiwe nimeipenda sana😄🙌🙏 makonda akaamua apige na Tenzi🙌
@jacobnorbertchenga94656 ай бұрын
Makonda anawapatia anavyo waingizia hizi nyimbo za kikatoriki
@SylvesterMbago6 ай бұрын
Hizi ni comedy kwenye maisha ya binadam mtwambie ni lini serikali itapunguza mfumuko wa bei kwenye bidhaa
@christinamwakitwile57076 ай бұрын
Baba yetu makonda mungu akubariki sanaaaa
@stevensteve75196 ай бұрын
Kweli upo gizani
@bakaromar88656 ай бұрын
Mm mwenyewe mb zangu zinaisha kila nikiweka kwa sababu ya kumfuatilia makonda huyu jamaa ni hatari sana
@duncannjau1223Ай бұрын
Enchi Wa TZ, mshukuruni Mungu sana kwa sababu ya kazi njema ya Bw Makonda.
@user-tm3dx2ey7j6 ай бұрын
Hivi Hawa watumishi mbona wanajisahau kiasi hicho hawajui kama Kuna kufa
@stevensteve75195 ай бұрын
Siyo kwamba watumishi wanajisahau ila wao ndiyo wanasababisha watumishi WA umma wasiwatumikie wananchi kwakuwa huwapa maelekezo ya kuwaonea na kuwakandamiza wananchi.
@israelimarco64655 ай бұрын
my God protect kiongozi wetu makonda Kuna mahali anaenda
@judicalosika76426 ай бұрын
HUYU JAMAA INAWEZEKANA ANA HARUFU YA MAGU.!!!
@StewartUkason4 ай бұрын
This is very serious...Mh Makonda endelea kupiga kazi. Mungu azidi kukutetea maana kazi hii si rahisi.
@josephjozack46356 ай бұрын
Hongera sana Makonda MUNGU akubariki sana mtetezi wa wanyonge .2030 🤴
@happypiusi38016 ай бұрын
Makondaaaaaa upo na Mungu nakuombea kila siku natamani Hadi kulia 🙏
Congo🇨🇩 tumebarikiwa kila kitu ila bado atuna kama makonda wa Tanzania
@fezafataki5311Ай бұрын
Mungu akuweka Baba Maconda
@FRANCISRAHHI19 күн бұрын
Hongera makonda ubarikiwe baba
@MweriJosephАй бұрын
Ahsante sana RPC Paul makonda MUNGU aendelee kukubariki, kukulinda na kukupa afya njema utetee haki za wanyonge wewe hakika ndio roulmodel wa Rais John pombe magufuli because of their self sacrifice
@monicagabriel43882 ай бұрын
Heri wenye huruma kwa maana nao watahurumiwa.Hongera Mheshimiwa Mungu akujaze na Akutunze
@lawmaina785 ай бұрын
Mtu mmoja utazunguka nchi yote mpaka lini, muhimu sana kuboresha mifumo. Hebu angalia huko kwenye kandamnasi watu wamenyanyua mabango na makaratasi ya kero zao, Makonda hataweza kuongea na wote.
@user-br4tl7jv9j6 ай бұрын
Mama mpaka kapata preshaaa 😂😂😂
@gfydfdf88696 ай бұрын
Da pole sana mama ,😮😮😮 huku urabuni,hakuna mambo kama hayo...
@user-pc7qt4rp8s5 ай бұрын
Mungu ni mwema
@teachingtruthmission21406 ай бұрын
Lichi Lina mijitu ya hovyo sana .Yani Naomba Mungu ampe Nguvu Raisi atimue mijitu maofisini
@JoslienShaban2 ай бұрын
Nakupend Sana mweshimiwa na guswa Sana jaman
@user-rc1dp6ux3k4 ай бұрын
Msimdhiaki Mungu
@sayuni123-kl6xk2 ай бұрын
Hakika Magufuli amefufuka ,bado Mungu yupo pamoja na Tanzania Hakika Mungu anatupenda Tanzania
@josephwilliam47276 ай бұрын
Daah! Hatali sana kweli makonda kazi unayo
@danieljoseph49124 ай бұрын
Bless you my brother,nice dhuluma kila Konami,Mungo akutunze
@user-fl7jl7vk3n6 ай бұрын
Tunataka katiba mpya watanzania wanateseka
@user-jk2ov7qs3kАй бұрын
Good job.mkenya hapa tunahitaji kiongozi kama wwe Makonda
@festinamwakipale3919Ай бұрын
Makonda Tz Mungu awainue wengine wengi wengi wakina makonda Mungu awasaidie na wakuu wa mikoa wengine
@user-ue2nz3vc4j6 ай бұрын
Uonevu mtupu wqnafanyiwa wananchi dhidi ya viongizi wasio na sifa jeshi la polisi tunaomba msaada wenu sasa.
@003Watch5 ай бұрын
Kwani Kenya hatuna kina makonda
@user-it4uh7vu5c6 ай бұрын
Hiyo ndiyo ccm imeleta shida Kila mahali hapa Tanzania. Hao wote Kila mtu ana shida na malalamiko,Nchi gani hii?
@felisterjoshuamollel39304 ай бұрын
My. Muhenezi Mungu akulinde Sanaaa ❤
@JuliusMlengeswaАй бұрын
Hawa wamethubutu kuongea. Hakika kuna wengi wanaoonewa lakini wanaogopa kuongea kama huyu mama. Wakuu wa Mikoa mingine fuatilieni, msisubiri kuletewa taarifa na na ha watendaji waliowekwa
@user-it6zi7zw8yАй бұрын
mueshimiwa makonda ukisha jua watu wanaoiba watie ndani miaka kumi kila anae dhurum jela
@user-tk5yy6vj3b5 ай бұрын
God bless you Makonda mungu akutunze
@feelNice-vi3lo5 ай бұрын
Siasa haya endeleeni kwa hiyo 25 ni nyie tena kuumiza maisha magumu kikokotoo umeme maji yamejaa mno ya pasua umeme nguzo zimeoza wastafu mnawatunzia hela zao mungu bariki kazi za mikono yangu mwenye baya na mm anza na familia yake na mwisho malizana na yy mwenyewe
@marthabaruani10872 ай бұрын
😂😂😂 jaman Mungu akutunze Makonda
@ndayansetv26722 ай бұрын
Hahaah mh bwana ni nimemkubali sana jmn achen utan mpk tenzi 😂😂😂😂😂😂
@buberwakemibaro60605 ай бұрын
Safi Sana Hawa wanfanyakazi serikalini wanawatesa watu Sana🙂👍👏
@salmahanai2 ай бұрын
Muheshimiwa makondo Mungu akupandishe darajà
@johnsimbaАй бұрын
Makonda wewe sio bure ni mkono wa Mungu uko nawe piga kazi baba Mungu yuko pamoja nawe haki ukiweka jina ata kampeni aupigi kaa tu
@matridamwalyoyo17356 ай бұрын
Shirima
@CatherineMbatta2 ай бұрын
Hapo Ardh kazi ipo ila katika mlima wa Bwana haki ya mtu itapatikana
@michaelsamson96636 ай бұрын
Watu wanasaugi shida zote wanakuwa Kama wehu naiyo ccm
@AllyGibu-cz2vo6 ай бұрын
Kama una akili huyo ni Makonda na sio ccm ndo maana Magufuli alikuwa anasema kwenye kampeni Chagua Magufuli na sio Ccm
@michaelsamson96636 ай бұрын
@@AllyGibu-cz2vo siluhusiwi kutoa maoni yangu
@adilimbuba70444 ай бұрын
@@michaelsamson9663 ndugu yangu watanzania wepesi Sana kusahau ata kama huyo makonda akiwauliza shida zao atatenda lolote!? Hizo ni sera tu ,Kuna vijiji vingapi Tanzania atafika kote ?. Mimi nafikiri viongozi tu wawajibike watimize mahitaji ya jumla ya wananchi huyo yupo Kwa ajili ya kunadi chama chake tu. Kila mtanzania ana dukuduku ataweza kusikiliza na kutatua .?
@FausitnePonera-fq9pj6 ай бұрын
Hapo manispaa kuna majipu mpka yanatoa usaaa wasaidie wana lringa baba