RAIS AMUITA IKULU MUENDESHA BODABODA ALIYEOKOTA MILIONI 115 NA KUZIRUDISHA KWA MUHUSIKA

  Рет қаралды 181,639

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Kijana Emmanuel Tuloe (19) ambaye ni Dereva wa Bodaboda Nchini Liberia amejikuta akiitwa Ikulu ya Nchi hiyo na kukutana na Rais George Weah wa Nchi hiyo kutokana na kitendo chake cha kiungwana cha kuokota begi la pesa lenye Dola za kimarekani 50,000 (Tsh. milioni 115.2) na kuzirudisha kwa mwenye nazo, nini kimeendelea? tazama ripoti hii

Пікірлер: 428
@pastortimothyjoshua3304
@pastortimothyjoshua3304 2 жыл бұрын
Safi sana maana uaminifu ni bidhaa adimu sana kwa sasa kwahiyo mkimpata mtu kama huyu kijana kwenye jamii muhimu atunzwe
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
Nikweli
@hamisiseleman370
@hamisiseleman370 2 жыл бұрын
@@rahmaabdulla4949 ...... .
@jamesvmusic2677
@jamesvmusic2677 2 жыл бұрын
You have already been rewarded for your honesty.See how God works 🙏
@sabrinaiboma2444
@sabrinaiboma2444 2 жыл бұрын
ALLAH amzidishie imaan na uaminifu MaashaAllah...kibongo bongo daah
@abuuking
@abuuking 2 жыл бұрын
Amiin
@sophialusonzo3594
@sophialusonzo3594 2 жыл бұрын
Nakwambia angekubali kufa kuliko kuzirudisha
@aminaathumani6832
@aminaathumani6832 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana pamoja na wazazi wako aminii. 🙏🤲🙏🤲🙏🤲🙏nakizazi chako utakacho zaa kikufate nyao zako
@janeangoche4464
@janeangoche4464 2 жыл бұрын
This guy is a really hero.In the world today there are very very few people who are honest especially with money.May God Bless him abundantly. 🙏
@johariclifford1817
@johariclifford1817 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu na yenye Amani na furaha.kwa usingekuwa na Imani usinge ziludishia mwenye nazo.Imani itakulinda Daima
@ashamwandu6572
@ashamwandu6572 2 жыл бұрын
Hongera Saaanaaaa kwa uaminifu, Mungu akupe nawewe riziki harali,wabongo angesepa,,
@AishaAisha-rh1fc
@AishaAisha-rh1fc 2 жыл бұрын
Hii habari nilijua bongo ,,,,kumbe uko kwa wenzetu Kijana umelewa vyema Mungu Amfanyie wepesi kila utakacho kiwe na kheri na ww
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 2 жыл бұрын
Bongo hilo linakuwa ni Zali la Mentali
@eddymenas
@eddymenas 2 жыл бұрын
@@samsonmagesa3959 😂
@alqaasim_a_tz2412
@alqaasim_a_tz2412 2 жыл бұрын
Bongo Iliwahi Kutokea Na Mtu aliokota Ml 150 akatangaza Watu wakasema ni Magumashi mpaka mwenye nazo akapatikan
@matatomlik1846
@matatomlik1846 2 жыл бұрын
Maashallah maashallah pongezi kwa wazazi wa kijana huyo kwa kumlea katika maadili mema mungu awabariki
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 жыл бұрын
Wangap tusingeweza kuludisha tuwe wakwel,mm wa kwanza🤣🤣🤣🤣🤣🏃‍♂️
@shakirasaidi7657
@shakirasaidi7657 2 жыл бұрын
Namimi hapa
@mwanaimamsangi971
@mwanaimamsangi971 2 ай бұрын
Mie na mkoa nahama
@oliverhhary9035
@oliverhhary9035 Ай бұрын
Mm nahama nchi kbsa😂😂😂😂
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 2 жыл бұрын
Mungu wetu ni mwaminifu.naye snapenda tuwe waminifu.hivyo kavaa sura ya Mungu.pia familia yao wana hofu ya Mungu.hata aliyepoteza anamcha Mungu.Mungu wetu aliye mwaminifu atampa utajiri na heshima
@elizasulley1799
@elizasulley1799 2 жыл бұрын
Amina kwa kweli Mungu anapenda uaminifu Mungu atusaidie tuwe na hofu yake
@johariclifford1817
@johariclifford1817 2 жыл бұрын
God bless you President of Liberian
@herimphubusa7454
@herimphubusa7454 2 жыл бұрын
Nguvu ya uaminifu❤️❤️❤️
@ahmadbadawi9664
@ahmadbadawi9664 2 жыл бұрын
Allah atampa zaid ya hizo na atakuwa tajiri zaid ya hizo pesa
@hamidaala2832
@hamidaala2832 2 жыл бұрын
Saaana
@ngombegeorge3577
@ngombegeorge3577 Жыл бұрын
Amejitahd saiv mtu akidondosha karatasi tu. Imekunjwa mwingine akahisi umo Kuna hela haumbiwi
@user-zl6hg9so6s
@user-zl6hg9so6s 2 ай бұрын
Wewe ungeludisha kweli😊😂
@meshackchibaladya6152
@meshackchibaladya6152 2 жыл бұрын
Ee Mungu hii mitihani naomba uniepushe nayo... Nijaribu kwa mengine lakini sio hili la hela..
@donnihope1768
@donnihope1768 2 жыл бұрын
😂😂😂
@marianajohn360
@marianajohn360 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 2 ай бұрын
😅
@oliverhhary9035
@oliverhhary9035 Ай бұрын
😂😂😂😂😂 kwakweli sio ya hela maana kurudisha siwezi
@elipidtesha5466
@elipidtesha5466 2 жыл бұрын
Hongera sana sana siku zote uaminifu hulipa tenas familia yake niwaaminifu..nimi ninedondosha pesa mara tatu simu kubwamara tatu na simu ndogo sehemu.mbalimbali za bongonchiyetu sikuwahi kurudishiwa mungu akulinde huo.ndo mwanzo na mwanga wa maisha yako nami ningejua mawasiliano yako ningeongeza kwenye fungu la reward
@komboomar8275
@komboomar8275 2 жыл бұрын
*Duuuh! jamaa uaminifu wake umempa vingi kuliko hizo pesa alizookota kwa wenye akili zilizokaa sawa ndio wanalijuwa hilo*
@killylevenson
@killylevenson 2 жыл бұрын
Tambua ingekuwa kibongo bongo angeonelana fara na hata rais asingemuita na asngepewa chochote
@komboomar8275
@komboomar8275 2 жыл бұрын
@@killylevenson inawezakana ila jamaa ako na moyo sana ingekuwa mm kwanza naona ninge fanya kikao na halmashauri yangu ya kichwa wiki 3
@salmaseif9731
@salmaseif9731 2 жыл бұрын
Very much indeed
@seifmassoud2686
@seifmassoud2686 2 жыл бұрын
@@komboomar8275 🤸🏻‍♂️🤸🏻‍♂️😂
@nissamwapoladi7345
@nissamwapoladi7345 2 жыл бұрын
Kabisa
@tynoblack5996
@tynoblack5996 2 жыл бұрын
Uzur ni kwmba sio Tanzania ...maana wenzetu wameona thaman yake..ona sas amepata nafas yakuendelea kusoma..pia pesa kapewa pamoja na pikipiki...ingekuwa Tanzania ungekuwa na kesi ya kujibu
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 2 жыл бұрын
Dogo amefanya jambo zuri sana, Amejiwekea hazina kubwa sana kwa Mungu, Pengine asingezirudisha huyo mama aliyezipoteza angeweza kupata hata msongo wa mawazo.
@devothasimbi1055
@devothasimbi1055 2 жыл бұрын
Huenda hâta kupoteza Maisha ya aliyepoteza hizo pesa kisha muokotaji Laana ikimfuata n’a kula kizazi Chake.
@sarahkadugu4367
@sarahkadugu4367 2 жыл бұрын
🤲🤲🙏🙏🧎‍♀️Uaminifu umempeleka mbali sasa
@zainabually2968
@zainabually2968 2 жыл бұрын
Uaminifu ni mzur sana ingekua tz apo asingerudisha
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 2 жыл бұрын
@@devothasimbi1055 Ni kweli kabisa usemayo, Alichokifanya huyo kijana amejitengenezea hazina kubwa kwa Mungu na utajri mkubwa Duniani kwa maisha yake yajayo, Tayari ameshatengeza channel kwa kiongozi wa Nchi yake.
@zainaseleman3043
@zainaseleman3043 2 жыл бұрын
.
@johariclifford1817
@johariclifford1817 2 жыл бұрын
God Bless Emmanuel.
@dottoabel3455
@dottoabel3455 2 жыл бұрын
Congratulation young boy Be blessed
@eliamwasomola578
@eliamwasomola578 2 жыл бұрын
Ingekuwa bongo watakuita mwizi nakufungwa jela akina kingai wanakufunga
@bekabakari7394
@bekabakari7394 2 жыл бұрын
Mwizi utarudishaji hela tena?
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 Жыл бұрын
waooh hongera sana kijana Mungu alikuwa ana makusudio yake hicho ulicho kipata siyo kidogo tuna sema alhamdullha
@user-in2gi6ho3t
@user-in2gi6ho3t 2 жыл бұрын
Hata mimi narudisha ili nipate radhi za ALLAHU subhaanahu wata'ala.
@joezeno8
@joezeno8 2 жыл бұрын
Unarudisha begi hamna kitu
@nth3512
@nth3512 2 жыл бұрын
Uislam nao umeelekeza hivi ktk kuokota mali. Namuomba ALLAH amuongoze kijana
@joezeno8
@joezeno8 2 жыл бұрын
Kuna tafauti kati ya Uislamu na muislamu
@ibrahimngurungu5607
@ibrahimngurungu5607 2 жыл бұрын
@@joezeno8 maana yake wewe unaujua uislam kuliko tuujuavyo sisi wenyewe?
@joezeno8
@joezeno8 2 жыл бұрын
@@ibrahimngurungu5607 Wanaogeuza dini kuwa biashara ni kina nani? Chunguza Bongo Masheikh na wachungaji wengi wanageuka kuwa waganga na kutapeli watu kupitia dini
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
Heee🤔nyie vp yamekua hayo tena mbona hamjielewi mada iliyoko hapo sio ya uislam wala dini mada hapo uwaminifu unaweza ukawa Muislam au Mkristo na usiwe na sifa ya uwaminifu kbsaa embu jitambueni nyie
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 2 жыл бұрын
🤝 MaashaaAllah Jazaakumullahu khairan 🙏
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 2 жыл бұрын
Kwa hali yoyote ile MUNGU akitaka kukuinua anakuinua tu kwa mfano huu udhamini aliopatiwa wa masomo ni zaidi hata ya alichookota mnaomponda endeleeni kumponda ipo siku tu mtaelewa bado hamjaelewa
@kelvinngenzi8578
@kelvinngenzi8578 2 жыл бұрын
Acha zako wewe ujinga mtupu
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 2 жыл бұрын
@@kelvinngenzi8578 mjinga ni wewe usiyejielewa
@ericrukamba6802
@ericrukamba6802 2 жыл бұрын
God bless good boy. 🙏🙏🙏🙏🙏
@zainabamran6716
@zainabamran6716 2 жыл бұрын
Kweli mtoto mtiifu una tamaa yakwako utaitafuta kwa jasho lako hongera sana
@willyngowi3162
@willyngowi3162 2 жыл бұрын
Mwaminifu hafi njaa👏👏🙌
@juliuswilliammtana3610
@juliuswilliammtana3610 2 жыл бұрын
Ongera sana mdoangu kwa uaminifu wako
@NemesMasawe
@NemesMasawe 25 күн бұрын
Mashalaah mungu ambarikii
@farajhassan1775
@farajhassan1775 2 жыл бұрын
Congratulations my dear brother 💪🤝
@marympango9247
@marympango9247 2 жыл бұрын
Duuuh Mungu amsaidie huyumtt jmn!!!! .. Dah.
@reginacharles1913
@reginacharles1913 2 жыл бұрын
Uaminifu utakulinda siku zote za maisha yako, atakachokipata huyo kijana ni kikubwa kuliko hiyo pesa aliyoikota
@aishandwata2207
@aishandwata2207 2 жыл бұрын
Kafanaya vizuri sana.hongera moyo waimani
@salumugidion
@salumugidion 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu anaishi 🙏. Mimi nilimlaumu babu yangu aliomrudishia mzungu mfuko wa dhahabu kwa kumkimbiza kwa mguu huku mzungu akiwa kwenye pikipiki mpaka akamkuta. Mzungu akamwambia iko nini WEWE unafanya? Utakufa masikini. Akampa kibiriti na bakuli la chumvi 😭😭😭. Kipindi babu anatuadithia hivyo na kuona maisha yetu nililia sana 😭🙏
@christopherdimagaaaikopouw916
@christopherdimagaaaikopouw916 2 жыл бұрын
Babu alijichanganya apo mzungu hiyo zahabu alipola kwetu akamludishia tena Aisee
@ammyskills5588
@ammyskills5588 2 жыл бұрын
@@christopherdimagaaaikopouw916 🤣🤣🤣labda tumuulize wana nini saivi🤣🤣
@ammyskills5588
@ammyskills5588 2 жыл бұрын
Hee😎🤏
@ammyskills5588
@ammyskills5588 2 жыл бұрын
Alijichanganya sana huyo😃
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 2 жыл бұрын
@@christopherdimagaaaikopouw916 Babu alirejesha mali ambayo si yake haijalishi mwenyewe kaipataje.
@emanuelmaro8471
@emanuelmaro8471 2 жыл бұрын
Safi Sana wajina,,
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 2 ай бұрын
Mungu akupe afya njema kabisa katika maisha yako tanzania 🇹🇿 ❤❤❤❤❤
@neemambunda2004
@neemambunda2004 2 жыл бұрын
The fear of the Lord is the beginning of all wisdom
@johnbogonko4315
@johnbogonko4315 2 жыл бұрын
Wahenga walisema, wema hauozi! Sasa kijana atasoma hadi penye yeye atataka. Tena ile kuwa ambassador wa kuona kuwa hakuna rushwa nchini liberia, bado hizo ni pesa. Bado wahenga walisema- Tenda wema uende zako. Mema yatakufwata tuu.
@wardaheluwa734
@wardaheluwa734 2 жыл бұрын
Kama ni Kenya sijui kama angezipa kamili zengeregeshwa lakin asingepata zote
@benjaminkapelah7664
@benjaminkapelah7664 2 жыл бұрын
Ameeen
@salehsuleiman8519
@salehsuleiman8519 2 жыл бұрын
Ni adim sana watu kama hawa mungu amjaze iman
@Smartmoneymakerz
@Smartmoneymakerz 2 жыл бұрын
Yani leo nimeshuhudia boda boda kadondosha kiroba cha mchele na hajajua, sasa hao vijana wameokota wakasepa na fuko la kilo 25 la mchele😂😂nawaza kama ndio zingeanguka hizo dola ngapi sijui wangefanyeje😂😂
@leahmgunda177
@leahmgunda177 2 жыл бұрын
The curriculum is highly concerned.God bless Emanuel.
@annachales9623
@annachales9623 2 жыл бұрын
Yaani amepata makubwa zaidi ya hiyo aliyoiokota.Tujifunze Mungu hukupima kwa kidogo ukione kikubwa ili akupime imani yako.Mungu akitaka kukupa anakupa kwa njia yake
@deusdedithjoseph7588
@deusdedithjoseph7588 2 жыл бұрын
Hongera sana kwa uaminifu mdogo wangu
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 2 жыл бұрын
Mungu ambariki sana
@philipowyinjones9645
@philipowyinjones9645 2 жыл бұрын
Waooo
@ridhwanfaki9738
@ridhwanfaki9738 2 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah hiyo ni uwezo wa mungu ulivyo mkubwa kwa waja wake ,huyo kijana hiyo ndio ilikuwa rizki yake alopangiwa na mungu .na km asingezirejesha huenda asingeweza kufanya llt zaidi ya kuziharibu kwaiyo ona ss amepata heshma kubwa ktk inchi yake na duniani kwa ujumla ,hakuna kitu chema km uwaminifu duniani .Dola elfu moja ,alopewa km zawadi kwa muhusika ,pikipiki 2 alopewa na rais ,kusomeshwa na rais mpk mwisho wa elimu yake ,kuwa balozi wa kupinga rushwa nchini mwake SI mambo madogo hakutarajia maishani mwake ,Allah Akbar .mungu ni muweza wa Kila jambo .
@adamdemarch5565
@adamdemarch5565 2 жыл бұрын
Mungu anagawa ridhiki kwa aina tofauti mtot Hana bahati uyo
@makazimakazitelevision1284
@makazimakazitelevision1284 2 жыл бұрын
Ningeokota mm nisingeregesha coz mungu alikua na sababu Kwanini yy ndo aliokota hilo begi
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 2 жыл бұрын
Mungu atuongoze 💓
@danieltoroka7281
@danieltoroka7281 2 жыл бұрын
Super man
@sophiakitaly2843
@sophiakitaly2843 2 жыл бұрын
ukisikia kulala masikin kuamka tajiri ndo hivo sasa, ukiskia paah wa mwisho anakua wa kwanza na wakwwwanza anakua wa mwisho....goodboy honestlyboy
@alfredmwanyika3158
@alfredmwanyika3158 2 жыл бұрын
Uaminifu wa kweli ni kitu ambacho hakipatikani kwa urahisi kwenye ulimwengu wa Sasa @bodaboda wenzangu tuchape kazi kwa uaminifu Mungu yupo 🙏
@johanesjoseph4747
@johanesjoseph4747 2 жыл бұрын
Jichanganye kwa Bongo hii uokote kiasi km hicho halafu ukirudishe tuone km utaitwa hata ofisi ya mtendaji wa kata. Refer jamaa wa Zanzibar sina kumbukumbu zaidi lakini ni kati ya mwaka 2019-2021. Aliokota million 150 na mwenye nazo alikuwa ameshaondoka nchini yuko zake uarabuni huko. Jamaa akaweka hadi hela ya kutolea ili mwenye nayo akiipata atoe kiasi kamili (150m). Jamaa aliishia kuandikwa kwenye magazeti tu na Millard
@shijawilibard4001
@shijawilibard4001 2 жыл бұрын
Duu! Hatari sanaaa
@zezezeze8408
@zezezeze8408 2 жыл бұрын
muaminifu sana na utazidi kubarikiwa km ataendelea kuwa hivo
@boncenagottalent
@boncenagottalent 2 жыл бұрын
Jingaaà kabisa kuku hili
@omaryjuma8002
@omaryjuma8002 2 жыл бұрын
Tujalibu tu kuwa waminifu kwe haya maisha Lakini sio bongo🤣
@adamdemarch5565
@adamdemarch5565 2 жыл бұрын
😅😅😅
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 2 жыл бұрын
Ingekuwa ww Ingekuwa vp? Sema ukweli mm ningepita Nazo barabarani Ningekujua Mungu amesha nipambania🤣🤣🤣big Up Sana kijana mwenzetu mfano wa kuigwa ila kwa hapa kwetu🤔Wapo 🇹🇿
@julitamassawe3104
@julitamassawe3104 2 жыл бұрын
Sawa
@aminaothman2136
@aminaothman2136 2 жыл бұрын
Mashallah
@alluabdallah6893
@alluabdallah6893 2 жыл бұрын
Kwel muung kaahid uaminifu ni kitu pekee ktk hii dunia Bodaboda 2 Udhamin wa masomo dunian popote had upeo wake wa akili Milion 21 Balozi wa rushwa mchin kwao kwakwel hivy ulivyopat ni Zaid ya milion 100 Congratulations KIJAN hakik umeshafunguka
@NaitwaChongx
@NaitwaChongx 2 жыл бұрын
Umesahau dola elfu moja na miatano alizopewa na mwenye pesa🔥🔥🔥🙏
@hajeralqaidi2115
@hajeralqaidi2115 2 жыл бұрын
@@NaitwaChongx ndo mana tunaambiwa tusikate tamaa na rehma ya mwenyezi mungu❤
@mselematrans3474
@mselematrans3474 2 жыл бұрын
Safi sana kwani uaminifu nikitu muhimu sana katika maisha ya hapa Duniani
@edlumala9428
@edlumala9428 2 жыл бұрын
Nguvu ya uaminifu hiyo, karudisha milini 100 karudisha lakini kapata fursa ya kusoma life time “ambayo ni zaidi ya 100m” kapata zawadi 20% ya pesa alizookota, kapata pikipiki 2, Kawa karibu na rais na kajulikana dunia nzima! Lakini la mwisho kabisa ana fungu lake kwa Allah kwa uaminifu aliyoufanya.
@dullywamashairi121
@dullywamashairi121 2 жыл бұрын
Wengi waliompongeza na kumuunga mkono maamuzi ya huyu kijana ni baada ya dogo kuzawadia zawadi ya pkpk mbili na kiasi cha pesa pamoja na kuendelezwa kimasomo. Vinginevyo asingepewa chochote basi watu wengi wangetahaluki na kumkosoa dogo na kumtakia maisha mabaya zaidi. Ukweli upo hivyo
@lazarokiiza9429
@lazarokiiza9429 2 жыл бұрын
Kweli kabisa, na angekuwa bongo alikuwa anapita ivi🤣
@maidamhanje5993
@maidamhanje5993 2 жыл бұрын
Hicho ndicho kimemfanya apongezwe asingerudisha labda hata asingejua atumie nn lkn kwa kurudisha kapata kuaminika na kutambuliwa na kupiyia Hilo anaweza pata ubalozi zaidi Kila kitu Kuna faida na hasara yake tunampongeza kwa uaminifu haijalishi angepata pesa au laaaa huwezi jua angeiliwa pia kwa hizo pesa vile vile
@arafatharoub6215
@arafatharoub6215 2 жыл бұрын
Jamani walioona nguv ya mungu muumba wa vyote naomb tujuane
@emmansabu9300
@emmansabu9300 2 жыл бұрын
There is always something about this guy's called EMMANUEL
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 2 жыл бұрын
Aliandaliwa baraka za.kimbingu.
@emmanueljohn8970
@emmanueljohn8970 2 жыл бұрын
Emmanuel Mungu pamoja nasi
@verombwambo3703
@verombwambo3703 2 жыл бұрын
Hongera kwa walezi wake
@charlesmyamba8531
@charlesmyamba8531 2 жыл бұрын
Uaminifu ni mzuri sana
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
Sana ukiwa muaminifu hata nafisini mwako uanajisikia raha sana . Halafu kwao wanaoneka wote waamifu hata mamayake mdogo aliempa begi alihifadhi hakuzichukua kalihifadhi mpaka mwenyewe katokea
@salimahmed6005
@salimahmed6005 2 жыл бұрын
Dah eti mimi mtot Wa mama Johary nirudishe begi La pesaa maan hizo sio hela ni pesaa..
@kasimhamisi9855
@kasimhamisi9855 2 жыл бұрын
Mwenye kuliacha jambo kwa ajili ya Allah, Allah humpa kilicho bora zaidi ya kile alichokiacha. Allah akujaalie mwisho mwema.
@suzankasile8093
@suzankasile8093 2 жыл бұрын
Jamani MUNGU wetu sote tusichoke kuwa waaminifu hakuna kitu kizuri Kama chakulewa na Mungu tusichoke kungoja kwa wakati wake atatubariki na kuushangaza ulimwengu
@lainakanani3662
@lainakanani3662 2 жыл бұрын
Mungu aendelee kumubariki.Tuseme Amina
@ndagatv
@ndagatv 2 жыл бұрын
CAPABLE GOD
@islamrashid5451
@islamrashid5451 2 жыл бұрын
Maneno ya mtume yanasema uaminifu huleta riziki...na hapa imedhihirika kwa uaminifu aliouonesha amepiga hatua nyengne ya mafanikio... Allaah amuongezee uaminifu wake 🙏
@shamilanamkubarisanasultan1018
@shamilanamkubarisanasultan1018 2 жыл бұрын
swadakta kaka imani iyo na uaminifu Allah aenderee kumfungulia milango ya riziki🤲🙏
@islamrashid5451
@islamrashid5451 2 жыл бұрын
@@shamilanamkubarisanasultan1018 aamiyn
@thomasalphonce4248
@thomasalphonce4248 2 жыл бұрын
Daaaaa hiiii Itabaki kusema daaa ingekuwa Mimi nisingeludisha ira kwangu Noooo Wara nisingeludisha
@janemhango5884
@janemhango5884 2 жыл бұрын
Kwakweri Mungu ni mwema nimefurahi Sana na atakuwa tajiri kuliko hizo pesa
@thereseuwezo9449
@thereseuwezo9449 2 жыл бұрын
Uhaminifu ni walazima sana ongera sana Emmanuel Mungu ana makusudi na wewe
@halimahamis3742
@halimahamis3742 2 жыл бұрын
Ajengewe sanamu lake Na mafisadi wa nchi hii wajitathimini
@hannajoseph645
@hannajoseph645 2 жыл бұрын
Safiikabsaaaa kwa uaminifu mwingine angesema amewini maishaa
@anordgerison8639
@anordgerison8639 2 жыл бұрын
Wema una lipa .... Good luck .... MUNGU hutoa njia pasipo na njia ... Kama Wana wa Israel walipo fika bahari ya shamu
@marialudovick8938
@marialudovick8938 2 жыл бұрын
Kabisaaa
@jesusmyeverything9179
@jesusmyeverything9179 2 жыл бұрын
Amina sana.
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 жыл бұрын
Kwa bongo ata ukiwa mwaminifu wa hvyo unapewa kesi ya uhujumu uchumi nan sasa aludishe🤣🤣🤣🤣🤣🏃‍♂️
@lahnisalim4899
@lahnisalim4899 2 жыл бұрын
Hhhh
@purityneema218
@purityneema218 2 жыл бұрын
Mungu amzidishe uyo kijana
@ahamadially8351
@ahamadially8351 2 жыл бұрын
Aiseee
@samweliandrea7802
@samweliandrea7802 2 жыл бұрын
Mungu akitaka kukubariki anakupima nakitu kidogo t
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 2 жыл бұрын
Dah mungu ambariki Sana" lait ingekuwa kijana wa tz hz pesa zisingerudishwa🤣🤣lkn hata yy kapata zawad ambazo hajazitegemea
@user-br3sc8bm4t
@user-br3sc8bm4t 2 жыл бұрын
Waoo that nice
@immajuzo2440
@immajuzo2440 2 жыл бұрын
Hongera kwa wazazi wake najiskia kulia sana
@MaridadiRashidilikwesoLikweso
@MaridadiRashidilikwesoLikweso 2 ай бұрын
mmmh Mungu hakupi zawadi kwenye bahasha
@phabianmathew9484
@phabianmathew9484 2 жыл бұрын
Good boy
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 2 жыл бұрын
Safi sana Mungu amtangulie
@Papaahansmo
@Papaahansmo 2 жыл бұрын
Bongo usijidanganye ukarudisha Yani utajuta 😭😭😭😭😭
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 2 жыл бұрын
😁😁😁
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣bongo hakuna mwaminifu wa hvyo
@ruthmariki6462
@ruthmariki6462 2 жыл бұрын
Aise nomaaaa hiii
@emmanuelmwamlima1027
@emmanuelmwamlima1027 2 жыл бұрын
Hakika ukisema hakuna waaminifu duniani hakuna waaminifu, unajiongopea na ninampongeza kijana Emmanuel.
@geraldsija9472
@geraldsija9472 2 жыл бұрын
God bless him b
@husseinomary4466
@husseinomary4466 2 жыл бұрын
Kibongo bongo mamdogo aliekabidhiwa furushi hilo mapemaa yupo China
@hasnasaif1075
@hasnasaif1075 2 жыл бұрын
Hujakosea
@HadijaDaffo
@HadijaDaffo 3 ай бұрын
😂😂😂
@pmall8867
@pmall8867 2 жыл бұрын
Hawa Akina Emmanuel wa Tz🇹🇿...sizani Kama wangeweza ...lazima tunge kutana kidibwi tu😂😂
@hagarbills4023
@hagarbills4023 2 жыл бұрын
Uaminifu na nusu ManshaAllah
@idrisaally7986
@idrisaally7986 2 жыл бұрын
Maisha hayana formula ww tu kuchagua namna ya kufanikiwa
DEREVA WA BODA BODA
6:00
VEROYVERA TV
Рет қаралды 1 МЛН
Mpox Shots Arrive in DRC; China Bolsters Africa Ties | Africa Amplified
23:07
HARUSI YA KIJESHI, ANGALIA MAKAPELA WALIVOINGIA KUHAKIKISHA USALAMA
8:39
Europas ekonomi och teknisk analys
45:56
EFN Ekonomikanalen
Рет қаралды 2 М.