Safi sana kuibiana kwenu wenyewe mnaonyesha jinsi mlivyoandikisha watoto wa shule chini ya miaka 18 na mpaka marehemu wamejiandikisha hii ndo ccm
@KhalidiMsuya-h6o2 сағат бұрын
Mungu naomba uwavuruge awa watu kuanzia ngazi ya chini adi juu
@hamisachacha8104Сағат бұрын
Mungu hajibu Maombi mabaya
@jacklinelyimo740720 сағат бұрын
Mungu naomba vuruga kila kitu kwenye uchaguzi uwanze upya wa haki na kweli Mungu wewe hujawahi kushindwa walipambana na Chadema ila Mungu jidhihirishe
@marafikistation12 сағат бұрын
😂😂😂😂
@Rahimhassan22 сағат бұрын
Kila sehem kimewaka...hamko salama...Mungu atawalipa tuuu.Mungu humlipa kila mtu haki yake
@adambakari927621 сағат бұрын
sasa km wenyewe kwa wenyewe wanaibiana haya watashindwa vip kuwaibia wapizani😂
@ajiaally326921 сағат бұрын
Mungu uwa halipi kwa style hiyo kwa sababu hta uko kwenu ni ujuma tu mwenyekiti wa kidumu
@Rahimhassan21 сағат бұрын
@@ajiaally3269 kwetu wap?
@yassinnabwera4273Күн бұрын
Kazi kwako Makala,naona uko bize na Chadema huku kwako CCM kunavuja kila kona Tanzania
@ajiaally326921 сағат бұрын
Ndio wanashinda shida hamna hta akili watz mnatolewa kwenye reli nyinyi mnabaki kuangalia matukio nyuma ya panxia wao lao moja .sawasawa na ugomvi wa karibuni kati ya ally kamwe na manara watu wakabakia kwenye ugomvu mwishowe simba anakufa .
@Adrianmellow20 сағат бұрын
Wao kwa wao
@djfunk25523 сағат бұрын
Kushachangamka sasa , Muungu ibarki Tanzania inshallah 🙏🏽
@stephanokaaya188112 сағат бұрын
Huku Kwetu Meru tumelalamika Wilaya wakasema uchaguzi uendelee malalamiko baadae
@Juma-e8l15 сағат бұрын
Wacha chuma kinwewe chua😂😂😊
@sjosephmashany-eu6rf5 сағат бұрын
Nimesimamia salama namshukuru mungu
@JohnSelelii3 сағат бұрын
Kila kona ya nchi uchaguzi wa ndani ya chama ni kelele za hujuma je uchaguzi wenyewe utakuwa halali kweli
@LucasMwijage-oc5nx17 сағат бұрын
Kazi ipo! Kumekucha!
@joycemassawe17117 сағат бұрын
😂😂chuma kinanoa chuma mpaka mseme
@Juma-e8l15 сағат бұрын
Ulikua wap umepita mlemle😂😂😂😂
@hamzaabdallah863715 минут бұрын
Sehemu nyingi Madiwani wamevuruga uchaguzi, wanaingiza Hadi udini. Niombe wa Tanzania wenzangu acheni njia hizi za UDINI ni hatari kuyaendekeza yatatuletea kupata iongiz wasikuwa na sifa.
@Joppa55522 сағат бұрын
Nimependa hii...CCM ndo leo naona wanalalamika hahahahahahah😂😂😂😂
@MawazoKitumbo5 сағат бұрын
Mngu yasambalatishe had yashidwe kuelewana ili yaone uchungu nayenyewe kama wanavyo fanyiwa wapinzan
@kakorejrboyz64474 сағат бұрын
LION MASK YUKO BIZE NA UBUNIFU KUHUSU TECHNOLOGY MPYA YA MAGARI . SISI TUKO BIZE NA KUIBA KURA😭😭
@abedysteven493020 сағат бұрын
Wapiga mwaka huu mhhh kaz mnayo !! Hata huo mda wa kuumizana kwenye folen Sina!! Mana upige kura usipige ccm ndo itapita xaxa nipige kura za nn?
@salama111320 сағат бұрын
tujiulize hii wenyewe kwa wenyewe amkeni acheni unyabumbu😂😂😂😂
@FloridaAdelinus18 сағат бұрын
Kumbe na wao wanataka haki itendeke, mhm. nimekubali, mwizi akiibiwa mhmh. MUNGU TUSAIDIE
@AshaMwamba-i7g16 сағат бұрын
Hahahahahha
@JosephineKabuka3 сағат бұрын
Ccm majiziiiiiiii
@melch309715 сағат бұрын
Mungu yupo upande wa chadema, maovu yote mnaofanyia chadema, malipo ndio hayo
@AkilinyoMussanyo38 минут бұрын
Hakuna ugomvi hapo wakimaliza hapo wanakua wamoja CCM wanajitambua
@JosephineKabuka3 сағат бұрын
Ccm imegeuka kansa haina tiba! Tuikataeeeee!!!
@BUDIDACHOYAСағат бұрын
Sasa hapo chama kubwa kama CCM tunatoa funzo gani kwa wenzetu!
@iddynjonjo22 сағат бұрын
Daini tume ya uchaguzi
@AshaMwamba-i7g16 сағат бұрын
Wanaaanza kuibiana wenyewe kwa wenyewe hahahahaha kwa wakina baba levo
@victorernest770223 сағат бұрын
Sasa mnaposena chadema wanalalamika sasa kwann nyie msitulie? Ni jinsi gani CCM mmejihaibisha wenyewe majizi nyie 😂😂😂😂waliojiandikisha watu 297 Kura zmeptikana539😂😂😂😂😂😂🙌🙌
@ZainabuBakari-g8e23 сағат бұрын
Shabani..
@AyubuChacha-u6u15 сағат бұрын
Mmezoea maelekezo sana ndugu wezi wamejiiba tena hapo ccm hawaaminiki mpaka Mungu atakapo kuja au mwisho wa dunia mnafanya vituko sana kweli😂😂😂😂😂😂😂😂 wananchi wanaililia ccm na polisi wake mnatupeleka wapi mpaka sasa.
@KhalidiMsuya-h6o2 сағат бұрын
Tukisema awa watu ni wezi wa kura wanakataa Sasa ona sasa wao kwa wao wanaibiana kura je kwa mpinzani itakuaje ?
@AyubuChacha-u6u15 сағат бұрын
Ccm mnaibiana nyinyi kwa nyinyi hata hamna aibu ndugu zangu kweli tumefika hapo kweli kama mnafanyiana hivyo je upinzani mtawafanyije sasa polen sana maana mmezoea kuiba hamuaminian kumpe mnachoka na wezi basi kukumbuka kuwa mnavyoumia hivyo ndipo chadema wanaumia sana na zaidi kumpe mmejulikana ndugu zangu.
@ommymsangi918216 сағат бұрын
Chaguzi hizi zitawa vuruga sana ccm kwani kuibiana kwao kura kutawagawa makundi.
@nikodemmwahangila333413 сағат бұрын
Mbona hii kwenye wenye viti haijawai tokea hii nini
Kuna jambo limejificha ndani ya hicho chama soon tutaligundua haiwezekani miaka yote hawagombanii hivyo au tuseme wana hofu CCM ikitoka watakosa pakupiga😂😂
@benardbonephace489618 сағат бұрын
Sio huko tu hata huku kura zinapigwa naa hata na watoto na wasio na kadi za chama
@FloridaAdelinus19 сағат бұрын
YALE YALE YA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA TAYARI KURA BANDIA ZIMECHOMEKWA KAMA WALIVYOCHOMEKA MAJINA BANDIA.
@LameckMbele23 сағат бұрын
Wote hao makao yao ni jehanamu matendo yao yanawahukumu
@Selemlaki13216 сағат бұрын
He kumbe Kuna mambo makubwa ivi, uchaguzi mkuu utakuaje sasa
@pena_tz23 сағат бұрын
😅
@Juma-e8l15 сағат бұрын
HII IMEINGIA KWENYE RECORD WATU 297 WANAPIGA KURA MATOKEO YANAONEKANA 500 MAANA NUSU YA WATU NI KURA HEWA MKUMBUKE DC WA LONGIDO ALICHOKISEMA UKWEL N KWAMBA HAKI IKITENDEKA WATAWALA WANAJUA UKWEL UTAKUWAJE😅😅😅
@rafaelmbaga654313 сағат бұрын
CCM mbele kwa mbele kwa wizi😅
@elizabethismile682723 сағат бұрын
Sa nane usku nachelewa kulala waiii😂😂😂.
@noelbryson784018 сағат бұрын
PANYA KAMUIBIA PANYA 😅
@Oman-p8x15 сағат бұрын
Kushaaza kuchangamka
@rogerabdallah4397 сағат бұрын
Watu samia awataki
@FrankNzombo-k3j22 сағат бұрын
Kweli ss ccm atujitambui kura zetu wenyewe tunaibiana je tukienda kura za kushindana na vyama vingine itakuwaje
@KanikiIkinda15 сағат бұрын
Ningekuwa RAIS..
@HamdanAmli12 сағат бұрын
Kwaiyo mnataka samia na nchimbi alete watekaji sio
@ferdinandikubila366919 сағат бұрын
Ukiuwa kwa upanga na ww utauawa kwa upanga na hivyo ndio mnavyo fanyaga uchaguzi selikali kuanzia wenye viti hadi wabunge na rais
@AyubuChacha-u6u15 сағат бұрын
Ccm hao haya ngoja tuwaone mnavyokwenda hapo basi mjue kuwa mmezoea ujambazi na wizi makala fanya na hayo tuone.
@nelsonnyamle22 сағат бұрын
Kama ndani ya chama ndo hivi wapinzani je watafanyiwa nini?
@shaphiasabani576020 сағат бұрын
Neno moja kwa wapizani onesheni mfano tena
@YassinRajabu16 сағат бұрын
kwani hawa nao chadema? maana sikuzote tunaambie ndani ya chadema akuna demoklasia
@meshacknyandongo57713 сағат бұрын
Mtoboane macho nyie wenyewe hapo ila Mimi hata kura siendi kupigia maana kura yangu inawezakuchangia kuongeza wezi
@AmosPedeshee-gn7gc15 сағат бұрын
Mwizi akiibiwa huwa mkali sn ngoja mchuane
@hamissomary686913 сағат бұрын
Majizi watupu hpo mmezoea kuiba kula
@DAVDChalse-db6tz23 сағат бұрын
Kudadek kumbe mpaka wao kwa wao wanachapana
@christinewomanoffaith547923 сағат бұрын
😂😂
@MatokeoJoseph.Fonkol23 сағат бұрын
family moja baba mmoj
@sebastiansalamba31314 сағат бұрын
Madiwani wameweka watu wao
@FrankNzombo-k3j21 сағат бұрын
Huu ni ujinga na niaibu kwetu Wana ccm kumwona makala anaangaika kujichatu kwenye mtandao kuwakosoa upinzani Aya twambie na ujinga huu unaofanyika wakuiba kura maoni
@MlendaKapama22 сағат бұрын
Chukuwa weka ndani ote wanaaatakisha amani ya nchi
@sharifanyumayo6314Күн бұрын
Haya mambo ya ovyo yapo Kila sehem hata kwetu wamedirik kuchukua wanafunzi kupiga kula ili TU apate za kutosha ni ujinga TU haya mambo kiufupi.
@alexvenas269919 сағат бұрын
Nabado uozo wenu utawekwa wazi mpaka muaibike. 😡
@muhamadsalim529521 сағат бұрын
Nyinyi wenyewe munakulana mudambakisha nani sama
@YohanaPetro-xv9tp20 сағат бұрын
Wezi Bhn Yani Hadi Wao Wenyewe Wanaibiana Sasa Wata Acha Kuiba Mali ZaNchi
@2116-n20 сағат бұрын
😂😂😂😂
@zariadunia632822 сағат бұрын
Nilijua haya yatqtokea chama kimeweka michakato mibaya ya kutotaka wanachama kuwachagua wqnqo wqtaka
Hata nyie kumbe mnakubali mnaburuzwa na mnataka uhuru wa kuongozwa na mt mnaemtaka, n vzr ila hata mkimpata huyo mtu bado ataharibiwa na maagizo kutoka juuu, solution chagueni mt wa upinzani imeisha hyo.
@StanslausSindani20 сағат бұрын
Hahahahahaha😂😂😂 Yani hata kama wasingeiba kura lakini Kuna watu hawana sifa za kuwa wagombea wa mtaa wa mwanga sokoni kiongozi ni mmoja tu jamani tusipepese macho #twendeni na ELIA KIMERA MFAUME hao wengine 👇👇👇
@muddyausi847022 сағат бұрын
Bado. wabunge ndo ttzo ukiweka haukuchagulia
@samwelclement810823 сағат бұрын
Saaaaaf. Umaneni. Nyie. Kwa. Nyie
@YassinRajabu16 сағат бұрын
bola mpigane
@WilhelmMmari22 сағат бұрын
Hiyo ndio ccm
@MilembeLugwila23 сағат бұрын
Hata mwanza
@emanuelinaman824019 сағат бұрын
Hahaha
@annafredinandmatandiko8438Күн бұрын
Wakwanza leo
@JemaMhagama-oz6meКүн бұрын
Waache wafu wazike wafu wao
@samwelclement810823 сағат бұрын
Wa. Ccm huwa. Ila wa chadema huwa. Mnasema uko. Sawa
@chalokalunde942923 сағат бұрын
Kuna watu mm nawashangza eti wanadai turudi mfumo wa chama kimoja.vurugu zipo tu,na mambo mabaya kama yaliyopo Sasa hayatakoma.Itazuta ukanda, ukabila, udini nk.Katiba mpya ndio dawa.
@B23-i8p22 сағат бұрын
Hivi ni kipindi kipi Rais alitaka kupinduliwa zaidi ya mara 7,mbona ktk vyama vingi hatujawahi hata kusikia zaidi ya kuzuiliwa maandamano tu
@JoshuaSiara23 сағат бұрын
🙅
@Joppa55522 сағат бұрын
Hata muuwane Safi tu...si mnaonaga mzuka sana kuibia kura wengine..😂😂😂kweli mkuki kwa nguruwe,uwaneni kabisa ikibidi yan pasipoe hapo kigoma tafadhalini sana