HOFU YA KUKOSEKANA KWA ARV YATANDA, TAKWIMU ZINASEMAJE KWA TANZANIA?

  Рет қаралды 4,518

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер
@AngelMazola
@AngelMazola 8 сағат бұрын
Jamani Mungu atusaidie maana dawa zikiwa adimu zile zama zamabega kupanda juu na nywele kunyonyoka zitarudii😂😂😂😂😂mara papu watu nywele kama manyoya ya paka😂😂😂😂😂Mungu atunusuru jamani😂😂
@AmanLaizer-rb5rt
@AmanLaizer-rb5rt 7 сағат бұрын
Sasa unacheka nini K wewe
@evakessy3282
@evakessy3282 3 сағат бұрын
Sasa ata akilia itasaidia nini jamani😂😂😂 au na wewe ni victim​@@AmanLaizer-rb5rt
@LucasRuben-x1t
@LucasRuben-x1t 2 сағат бұрын
Nikunyoa nywele zote
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 28 минут бұрын
Itakuwa ni rahisi kuwajua wenye nao
@jeremiahevodius925
@jeremiahevodius925 49 минут бұрын
Ati uyo ndo kiongozi majibu yake mepesi ajuwi kwa esabu za alaka alaka kila walipo watu 65 kuna mwenye ukimwi mmoja 1 yani kila mtaaa wapo watu wenye kuishi na vvu 100 afu anachukulia pow viongozi wa nchi hi mashaka kweli
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 24 минут бұрын
Asilimia 4 ni sawa na watu 2.6 ya kila watu 65. Hivyo kwenye kila watu 65 watu zaidi ya wawili ni waathirika. Na hapo ni kwa wale waliopima
@MauriceHaseen
@MauriceHaseen 7 сағат бұрын
Kuhusu swala zima la upatikanaji wa dawa zinazopunguza makali ya VVU ni hivi- Baada ya Trump kuiondoa marekani katika ufadhili wa shirika la USAID siku chache zilozopita; Raisi Trump amerejesha msimamo wake na kuamuru ufadhili wa dawa za ARV , PREP, PEP pamoja na upimaji wa VVU utaendelea kama awali hadi Aprili huku wakijadiliana njia mbadala kwasababu shirika la USAID linakisiwa kuwa na ubadilifu wa fedha. Ila hajatoa tamko kuwa amesitisha ufadhili wa dawa na vilevile ni lazima Senate liweze kujadili mswada huo. Mbali na hayo yoooote, TUTUMIE KINGA, TUACHE MICHEPUKO, TUSIZINI, TUMIA DAWA ULIVYO ELEKEZWA, JUA AFYA YAKO na CHUKUA BIMA YA NHIF.
@Saggy-z4q
@Saggy-z4q 12 сағат бұрын
Hongera Ayo tv mpo makini sana🎉🎉
@LuluAquai
@LuluAquai 10 сағат бұрын
Huyu demu Frida mkali,napenda sana madem wa style izi
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 22 минут бұрын
Unapenda ma tom boi ww😂
@Bibi_Chaka
@Bibi_Chaka 11 сағат бұрын
HANSBOY Wangu Milard Ni Kama Nimekuelewa Hv
@ImaniBalankwaya
@ImaniBalankwaya 9 сағат бұрын
kucha sasa
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 48 минут бұрын
NGOJA INYESHE TUONE PANAPO VUJA MAANA MURIKUWA MUNATUCHANGANYA IRIKUWA NI NGUMU KUTAMBUA US 🇺🇸 OYEEEEEE KITAEREWAKA TU
@PeterBaton-x7b
@PeterBaton-x7b 11 сағат бұрын
Mvua Nyesha Tuone Panapo Vuja🤣🤣
@ramahamidu
@ramahamidu 12 сағат бұрын
Mimi WA kwanza jamani nipeni like zangu🎉
@EGM-TZ
@EGM-TZ 12 сағат бұрын
From #EconomicallyGrowthMusicians Duh Guys hatari sana anyway Enjoy Muziki Mzuri kutoka EGM
@tekashichannel
@tekashichannel 11 сағат бұрын
Tutumie dendilion badala ya kutumia ARV
@PlickaChacha
@PlickaChacha 11 сағат бұрын
Hyo mama nayo hajielewi maambukizi yapo chini sawa swala tunaongelea waathirika wanapata dawa ?kama dawa zitapatikana na ghalama zake zisiwe rafika unadhani waathirka wataweza kuzinunua hizi dawa watakaposhindwa kuzinunua hyo takwimu uloitaja kwa english 64M people sio number itajimultiply rapidly na kumbuka kizazi hichi gen Z wanavyopenda zinaa bila kinga
@allhailkingjesus6484
@allhailkingjesus6484 8 сағат бұрын
Asilimia 4.7 ya mil 65 ni watu mil 3+. Anawezaje kusema ni hiyo idadi ndogo tuu? Hiyo ni mikoa miwili eti! Hao ni watanzania wenye mchango mkubwa, tegeo la sasa na baadae. Embu basi tupewe majibu yenye mikakati, siyo kupuuzia idadi! Ikiwa idadi si kitu, basi msiba wa mafuriko ya Hanang uta-tu-paint kama sisi ni watu wa double standard!
@juliusdonard933
@juliusdonard933 11 сағат бұрын
Huyu hata mm namzid , watanzania tupo 65 M? Sio kwel around 70M
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 23 минут бұрын
Kvp
Vimbwanga: Ruto na Gachagua wapambana
7:05
NTV Kenya
Рет қаралды 180 М.
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
🔴#Live: RWANDA YADAI DRC INAPANGA SHAMBULIZI 'KUBWA' DHIDI YAKE-VOA
29:26
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.