KIJANA AKUTWA NA CHUPA ZA MKOJO CHUMBANI KWAKE, MWENYE NYUMBA, MAJIRANI WAELEZA

  Рет қаралды 70,535

Millard Ayo

Millard Ayo

Ай бұрын

Пікірлер: 336
@cloudngoko.2679
@cloudngoko.2679 Ай бұрын
Hii hali ipo sana hasa kwa sisi wakiume hizi plastiki tunapozitumia kukojolea ina fika mahla mtu anajaza chupa mbili na mwisho wa siku chupa 3 na kisha unakuwa adicted. Ila kwa wenzetu wanawake wao wanatoboa tobo kubwa huoni akibadilisha chombo cha kukojolea.
@patriciamrina2275
@patriciamrina2275 16 күн бұрын
Mpaka nimesikia harufu ya mkojo humu kwenye cm😂😂😂
@YustaMlilile
@YustaMlilile 29 күн бұрын
Alikuwa anashindwa kwenda choo kwao sababu anaogopa hana kod
@winfridambwambo9830
@winfridambwambo9830 Ай бұрын
Jamani siku hizi kuna ugojwa wa shida ya akili vijana wengi sasa tuna shida ya akili asaidiwe huyo kwa kina inasikitisha mno
@AwaziRajab
@AwaziRajab Ай бұрын
Ayo Mambo Wengi Tunafanya Lakini Unakua Na Kidumu Unakojoa Asubuhi Unaenda Kumwaga Kwasababu Ya Usumbufu Wa Kutoka Inje Mala Kwa Mala Mana Usiku Unakunywa Maji Mengi Lakini Sio Kwa Ayo Mambo Uyo Kichaa Sio Bule Wenda Kapewa Shaliti Na Mganga Wa Kienyeji Akizani Atapata Utajili Mashaliti Ayo Ya Mganga Alizani Zitabadili Ziwe Pesa
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 Ай бұрын
😂😂 umetisha kabisa ni usumbufu sana
@salumahmadasalum1556
@salumahmadasalum1556 Ай бұрын
ATAKAE KUJA KUPANGA KWANGU AJE NA CHETI CHENYE KUTHIBITISHA AKILI YAKE
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Ай бұрын
😂😂😂
@elizabethismile6827
@elizabethismile6827 Ай бұрын
Ila kwa kwelii khaa uyu kijana sio mzima haki😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z Ай бұрын
Tzz 😂huyu mama mwny nyumba alikuwa mkali kutumia choo chake😂 ila ukwl tu kodi ya nyumba inaumizaga vichwa Sana sema tutafika tu
@salimfaraj5509
@salimfaraj5509 26 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😂
@brightonchedego8100
@brightonchedego8100 Ай бұрын
Labda alikuwa na mpango wa uzalishaji wa umeme kwa kutumia gesivunde(biogas), wakati wa kulala jamaa anawasha na feni kabisa,mwamba umetisha sana na umeingia kwenye rekodi ya dunia😂😂😂😂
@floramlowe7078
@floramlowe7078 Ай бұрын
Mmmh kuna watu wanatisha jamani sio kwa Uchafu huo
@godfreykameme6644
@godfreykameme6644 Ай бұрын
Wamsamehe tu alikuwa anajificha kupia Kodi Ili asionane na mama mwenye nyumban🤣🤣🤣
@naomisamwel18
@naomisamwel18 Ай бұрын
Alikuwa anatita wap😂😂
@naomisamwel18
@naomisamwel18 Ай бұрын
Alikuwa anatita wap😂😂
@humphreyfungo7669
@humphreyfungo7669 Ай бұрын
Alikutwa na beseni mavi ndani ya chumba chake
@mariumseif6751
@mariumseif6751 Ай бұрын
Yaani mkojo mpaka ujae beseeni ni miezi ht 4 kwa hiyo haikua anaogopa kodi atakuwa na mambo ya ushirikina tu.maana hata uvivu wa kumwaga usingefikia hapo
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 Ай бұрын
😃😃😃yaani imenibidi nicheke kwanza. Yaani kakojoa ndani kwenye Dasani zote hizo pamoja na kunya kwenye mabeseni halafu akija kulala anavaa Barakoa 😃😃😃 Huko si kukwepa Kodi tu ya nyumba huyo atakuwa na shida kichwani kabisa. Hata Kama uvae Barakoa harufu haikwepeki hata kidogo.
@MartinLaban
@MartinLaban Ай бұрын
Kwangu Nina lita 20 na nimefika juu karibu linajaa😂😂😂
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Ай бұрын
Geita😂🙌
@msatibongonyuzi14
@msatibongonyuzi14 Ай бұрын
Mwamba hatari anavaa barakoa ili alale kwenye chumba chenye mavi kijana sharobaro😂😂😂😂
@humphreyfungo7669
@humphreyfungo7669 Ай бұрын
Anakuja saa 8 usiku anatoka saa 10 alfajiri , kisa kukwepa kulipa kodi analala masaa mawili tu .
@kimaronemes5689
@kimaronemes5689 Ай бұрын
😂😂
@LeilaWilfred-zc7gn
@LeilaWilfred-zc7gn 27 күн бұрын
Daaaa
@kephafrancis7177
@kephafrancis7177 25 күн бұрын
Ukishiwa kodi ndio utajua aya mbona madogo kabisa
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b Ай бұрын
Mchafu uyo kijana ndio huweke mikojo ndan asimwage
@LeilaWilfred-zc7gn
@LeilaWilfred-zc7gn 27 күн бұрын
Daaa mwacheni kaka wa Mungu jamnii' cha msingi atafutiwe mke aoe
@vibetz9991
@vibetz9991 Ай бұрын
Wapo wengi sana watu wa hivyo mitaani😂😂😂sema uyo kazingua kufika hadi milladayo,,,😂😂😂katoa siri ya kambi😂😂
@nickmkude7571
@nickmkude7571 Ай бұрын
😅😅
@SuzanMairy
@SuzanMairy Ай бұрын
😅😅😅😅😅kula chuma
@user-qw3yi6hy6d
@user-qw3yi6hy6d Ай бұрын
Mwamba kama mwamba,,,huyo ni mvivu wakutoka kujisaidia usiku😂
@StanleyJ214
@StanleyJ214 Ай бұрын
Meamba anaona uvivu 😃
@salomethomas6469
@salomethomas6469 Ай бұрын
Hata asubuh kumwaga awezi
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 Ай бұрын
@@StanleyJ214 mnamshangaa huyo dar dsm maghetto ya waschana wanakojoa jagi anautuza asubuhi ananawia usoni ili usowake uwe sofiti yaani hao wapo wengi mno hawaumbui
@Fx_expertmoneymaker001
@Fx_expertmoneymaker001 Ай бұрын
​@@joshuasamson9618huoni huyo katunza kama vile anataka kuuza yan.. 😢😢. Bora anaemwaga..
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 Ай бұрын
@@Fx_expertmoneymaker001 Goja ni kupe siri ya mkojo ni utajiri mkubwa Ajabu yaani watu wengi hawafahamu ila sio kwa Jia kama ya huyu Maghati LA porini hajui kitu, Ukitaka mambo yako yayooke sawasawa kila unachokifanya ukipokee tumia mkojo wako uonge saa Tina usiku Mara saba marajiri watakuamini ajabu ukiwaomba pesa milioni Mia watakupa wajua tawarundushia imetoka hiyo ila uwe na Pesa iliyotengenezwa na mkoloni pesa Ina Madi ya dhahambu Alimasi Mekirii ukiwa nayo matariji wanasahau kama walikupa pesa hawakukubuku yaani usije ukaonga mkojo kama huna hiyo pesa nitafute takuuzia hiyo pesa ninazo yaan
@nasrahozza9231
@nasrahozza9231 Ай бұрын
Mmmmm hii kali 😂
@MigomgoMigali-ky1jl
@MigomgoMigali-ky1jl Ай бұрын
Duuuh huyu atakua ana matatizo ya akili sio bure khaah😅
@happynkya9770
@happynkya9770 Ай бұрын
sasa huko kituoni mmempeleka kwa sabbu ya kukojoa ndani au kwasabb hajalipa kodi au kwasabbu alitaka kupigana na polis jamii
@ALCADOJAMES
@ALCADOJAMES Ай бұрын
Laiza katuumbua staili yetu da!😂😂😂😂
@gidammatagi2723
@gidammatagi2723 Ай бұрын
🦧🦧🦧🦧🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂
@juliusdonard933
@juliusdonard933 Ай бұрын
Vitu vya kawaidaa , mama wa nyumba mkali Choo chakee
@maryamsuleiman6340
@maryamsuleiman6340 Ай бұрын
Mtihani ktk mitihani ,tunamengi viumbe tunayoyaamua bila kupenda ,kwahali yakawaida huwez kufanyahivo , Mungu awasimamie kimaamuz viumbe wake sisi
@zawadimpayo3839
@zawadimpayo3839 Ай бұрын
Kwani hakuna vyanzo vingine vya habari🤣🤣🤣
@eliyasanga6374
@eliyasanga6374 21 күн бұрын
😂😂😂alikuwa ana ogopa kutoka nje ndio maana 😷
@DamarisDuuTausi
@DamarisDuuTausi 14 күн бұрын
Nihofu tu ya kudaiwa kodi muachilie aondoke bure nimaisha magumu.hata wewe mama pia elewa.hiyo tu.
@claudiajames2003
@claudiajames2003 Ай бұрын
Ila we mama labda ulimbana mpangaji wako khs kodi mpk akaanza kuogopa hata kwenda chooni
@talentshow2024
@talentshow2024 Ай бұрын
😂
@reginamichael-eh8yy
@reginamichael-eh8yy Ай бұрын
😂
@gloriadaniel3827
@gloriadaniel3827 Ай бұрын
Atashtakiwa Kwa kosa gani?😅😅
@nesielias9493
@nesielias9493 Ай бұрын
Tuone sura yake Binti zetu wasije kukumbana nae😢
@user-mf6vv1mf6x
@user-mf6vv1mf6x Ай бұрын
😂
@user-es7pv6nf5r
@user-es7pv6nf5r Ай бұрын
😂😂
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini Ай бұрын
Wehuna mototo mkubwa kiasi hiko😂😂😂😂
@snico2275
@snico2275 Ай бұрын
Binti yako atamwaga😅
@FiollaIsaya
@FiollaIsaya Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@bina2557
@bina2557 Ай бұрын
Tumuone jamani 😂😂😂😂
@shakilarajabu8059
@shakilarajabu8059 Ай бұрын
Mmh hizi nyumba tunazopanga imagine unaenda zako kupanga chumba kumbe kunamtu alifanya mambo yake kama Lazier doooh
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Ай бұрын
Mmmmmmh jamani,hali ngumu kiasi cha kujisaidia ndani ndo usilipe kodi,sio sahihi,
@siamnyone8403
@siamnyone8403 29 күн бұрын
😂😂😂😂😂nimecheka mm jamaan ety anawasha fen na barakoa..... MUNGU huyu bc ty😂😂😂😂
@arthurherman-rn8ko
@arthurherman-rn8ko Ай бұрын
Tatizo Inavyo Onekana Landlord ANAMDOMO SANA
@jackiekimario9324
@jackiekimario9324 Ай бұрын
Yaan najiuliza alikuwa anatawaza na nini akinnyaaaaa😂😂😂😂
@pendobaharia5598
@pendobaharia5598 29 күн бұрын
Ayooooo laizer 😂😂😂
@mikalwila9342
@mikalwila9342 20 күн бұрын
Sasa anatuumiwa kama anaogopa kukojoa nje jamani 😂😂😂😂😂
@user-og4wh1xr2c
@user-og4wh1xr2c Ай бұрын
Mm nninapoishi kulitotea stori Kama hii...nlishuhudia live jirani alikuwa anakojoa na.kunya mwenye beseni...mpaka kukatokea.mabuu..
@SakinaSakinat-qd9rs
@SakinaSakinat-qd9rs Ай бұрын
😂😂😂 dah hatar 🤣
@oneplustv3862
@oneplustv3862 18 күн бұрын
Samahani jamani naombeni msaada amehukumiwa kwa kosa gani sijaona kosa lake as long vilikua vyote ni vyake 😅😅 kosa lake hasa ni lipi naombeni msaada
@AlindaJoel-xy4vz
@AlindaJoel-xy4vz Ай бұрын
Niliambiwa kua uyaone mbona naona mpaka yananizidia😮
@Sangaligospel
@Sangaligospel 25 күн бұрын
Daaar pole kijana nichangamotoza kukosa kodi mwachieni huyo kijana akaendeleee kutafta maisha yake
@HusseinAlly-fq9il
@HusseinAlly-fq9il Ай бұрын
Jengeni vyumba na choo ndani ....Hana kosa huyo 😂
@MaryamMaryam-wp5yk
@MaryamMaryam-wp5yk Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mariamjuma5957
@mariamjuma5957 Ай бұрын
Ss siakamwage😂😂
@HusseinAlly-fq9il
@HusseinAlly-fq9il Ай бұрын
@@mariamjuma5957 😂😂😂 au Kuna sehem anauza nini?
@doreenmsafari2945
@doreenmsafari2945 Ай бұрын
​@@HusseinAlly-fq9ilnimecheka vile ulikata 🤣🤣🤣🤣
@elimidakashumba2422
@elimidakashumba2422 Ай бұрын
Kama ameshindwa kulipa Kodi Kwa chumba hicho je self container ataweza?
@IsaacLameck-nz8yr
@IsaacLameck-nz8yr Ай бұрын
Nilikuwa sijaona vituko vyote aisee
@donathajasson6401
@donathajasson6401 22 күн бұрын
akauze mkojo ni mbolea apate kodi
@sonicaghendewa9886
@sonicaghendewa9886 Ай бұрын
Hata kuangalia siezi mimi😂
@user-po2ho6iv8p
@user-po2ho6iv8p Ай бұрын
Kwani si angekuwa anadamka kumwaga jamani mbona kajitesa ivyo😂😂😂
@OmanOman-vb4uj
@OmanOman-vb4uj Ай бұрын
Hahahaha 🤣🤣🤣 anavaa barakoa analala zake
@user-qg9nj2yw7e
@user-qg9nj2yw7e Ай бұрын
Hahahaaa anavaa balakowa kwa ajili ya halufu isimpate 😂😂😂
@nishamwenendi-vh4wk
@nishamwenendi-vh4wk Ай бұрын
😂😂😂😂😂dah
@RahimaIdd-yf9jo
@RahimaIdd-yf9jo Ай бұрын
Nchi za mwenzetu kinyesi na mikojo ni dili sasa nyinyi na umbea wenu mnahalibu madili ya watu unamponza mwenzenu awe masikin😂😂😂
@BatazalNdifwa-nk2hl
@BatazalNdifwa-nk2hl Ай бұрын
Gooooooooood. Mavi ni Mbolea nzuri Sana na Mkojo ni dawa nzuri Sana ya vidonda. Ok
@bensonlameck6348
@bensonlameck6348 Ай бұрын
Daaah huyu mwamba,asee mavi na mkojo....
@Jonsking
@Jonsking Ай бұрын
Hii nilishaonaga😂😂
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 Ай бұрын
Kosa liko wapi?
@redtk2971
@redtk2971 Ай бұрын
Huyu mimi kabisa uvivu kwendAa chooni nje jamani msitulaumu
@claudiajames2003
@claudiajames2003 Ай бұрын
Mmhhhhh😅😅😅😅😂😂😂katibiweni akili jamani
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 Ай бұрын
Ndo ukikojowa usimwage haiwezekani
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 Ай бұрын
Mkojo inafaa ukaukojoe chooni mda unaamka mkojo unakuuma kimbofu nenda chooni ukakojoe sababu ukikojolea ndoo au sadolini au chupa mkojo unatabia kujichuja ukienda kuumwanga asubuhu utasababisha maabukizi ya magonjwa kwa watu wengine
@mariamjuma5957
@mariamjuma5957 Ай бұрын
​@@mariamdullazy8166apo maajabu nayo wengi wakojoa mekebeni lakini wamwaga
@bensonwissa5777
@bensonwissa5777 Ай бұрын
Ukiona Ivo jua kijana hakuna na mademu huwezi kuacha chimba kichafu ivo
@Kabwela776
@Kabwela776 Ай бұрын
Ni mgonjwa wa akili kuna magonjwa mengi ya akili sio lazima mtu hujue ni mgonjwa wa akili ila anakuwa Na mambo ya ajabu, anatakiwa akutane Na daktari wa mambo ya magonjwa ya akili Na sioni hiyo ni taarifa ya maana ya kutoa kwenye vyombo vya habari
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 Ай бұрын
Huenda umeona tukio hili LA kwanza kwako na yule mzee wa mwaka Jana alikutwa madumu is ishirini yamejaa mikojo tupu dar dsm mburahati huyo mtasema mgonjwa wa akili ukiona mtu anakojoa mikojo ndani combo chumbani ni huluka yake Ee
@Kabwela776
@Kabwela776 Ай бұрын
@@joshuasamson9618 kwani kuna limit ya wagonjwa wa akili Na si wanajulikana kutokana na matendo yao au unafikiri mgonjwa wa akili lazima atembee uchi kuna magonjwa mengi sana ya akili ya taarifa yako hiyo sio hulka ya kawaida ni ugonjwa huo na huyo wa dar
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 Ай бұрын
@@Kabwela776 Hakuna mgonjwa wa Akili hapo kama vitendo viazie kwa watu wanamiliki nyumba zao Wana vyuo ndani yaani Choo Wana ishi na mavi chumbani mikojo hao ni wagonjwa wa akili watu wengi nyakati za usiku wanatenga ndoo ya kukojolea mkojo usiku wanachoka sana makazini kwao goja Nikusimulie kisa hiki mwaka1985 ilipita Ladirova jamaa walitupa mfuko wa Marimboro waliufunga vizuri watu wakakimbilia Gari imedodosha mfuko watu kusukumana na fuko ulipasua watu waliyaonga mavi ya wazungu yaani, Kuna siku ulikaa unamsumbilia mtu alioko ndani choon atoke ndo wewe uingie chooni haya mtu anatoa unafungua mlango unakutana mavi tena mama kanya mavi nje ya shimo wewe unatakiwa uyandeki utafanyaje mwanamke kaondoka Amekunya mavi hajalenga shimoo
@ussiussi3413
@ussiussi3413 Ай бұрын
Living in nature, acha awe kwenye sehemu ya Ekolojia.
@jacklinemsechu221
@jacklinemsechu221 Ай бұрын
😂
@amedeusfredrick1614
@amedeusfredrick1614 Ай бұрын
Ngoja nitoe yangu mapema maana ndo miezi
@Enjoy-ge5cy
@Enjoy-ge5cy Ай бұрын
Mbona hawa maelezo yanachengana sasa mara mlango ulikuwa wazi mara wapelelezi wakafungiwa mara tukatikisa mlango ukafunguka tuelewe nn
@kemmymartine4884
@kemmymartine4884 22 күн бұрын
😮😮😮😮
@SitiboWilson
@SitiboWilson Ай бұрын
Heeeerrr 😂😂😂😂😂😂 syoatari bana iyonikama tabiatu sema yeye kapitiliza mpaka amepatumia kama selufu akapangishe selufu ataki foleni vyoo vyakupanga nikama changa moto kuna mtualiwai tokewa alikamaiyo😂😂
@IssaTayari
@IssaTayari 20 күн бұрын
Alikuwa anaogopa kwenda kwachoo kissa kod
@ZainabuHassani-fe8ur
@ZainabuHassani-fe8ur Ай бұрын
Sijui twende wapi jmn
@rmars333
@rmars333 Ай бұрын
Mboni maelezo ya upande mmoja tu.. na kosa lake nn?
@user-nb2jw4km6f
@user-nb2jw4km6f Ай бұрын
Mmmm😮😮
@mayengoanna7237
@mayengoanna7237 Ай бұрын
Huyo ana afya ya akili sio bure
@hanifamziray277
@hanifamziray277 Ай бұрын
Hy ni mmasai laiza
@gcrack067
@gcrack067 Ай бұрын
Dah ana roho ngumu, sasa kama alikuwa anataka choo cha ndani angesema.😂😂😂
@MariamIbrahim-zz2hu
@MariamIbrahim-zz2hu Ай бұрын
😂😂 kwa kweli
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
Hahaa
@spreadlove5300
@spreadlove5300 Ай бұрын
Aisee yaani kanya hadi kajaza beseni😮😮😮
@mariamjuma5957
@mariamjuma5957 Ай бұрын
😂😂
@mariamjuma5957
@mariamjuma5957 Ай бұрын
​@@spreadlove5300😂😂
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija Ай бұрын
Mtihani kwakweli hata kama mvivu huwenda anakichaa dah😮duniani kuna vituko 😮😮
@user-zn6pq4su6b
@user-zn6pq4su6b Ай бұрын
Mashart ya mganga
@BatazalNdifwa-nk2hl
@BatazalNdifwa-nk2hl Ай бұрын
Elimu Elimu Elimu. Huo ni udhalilishaji. Tuache kutesana Watanzania. Hali mbaya mno ccm ipi kazini. Mpe notsi kwanza sio mitandaoni humu Aibu. Ok
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa Ай бұрын
Hata mimi nimewahi kuwa na mpangaji wa ivo mamae🤣
@NuruZebedayombise-ie5zb
@NuruZebedayombise-ie5zb 25 күн бұрын
Kumbe geita hiyo kawaida yao😂😂😂😂
@lakiabalozi5633
@lakiabalozi5633 Ай бұрын
,😂😂😂😂masai au😂😂
@johnmeshack4431
@johnmeshack4431 Ай бұрын
Laizar ndyo
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 Ай бұрын
Duniani kuna mengi jamani.waaah!!!
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Ай бұрын
😂unaweza ukadhani ulishamaliza kuona yote kumbe hata robo bado
@irhamseif
@irhamseif Ай бұрын
😂😂😂 kunammoja walimtoaga huko manzese akitoka ndan shati limenyooka hatar kuja kuingia ndan ni gari tatu za taka walitoa na mikojo mpaka kwenye majaba chupa za soda sijui ni ugonjwa 😂😂😂
@doreenmsafari2945
@doreenmsafari2945 Ай бұрын
​@@irhamseifnimecheka mieeeee 🤣 mtaniua 🤣🤣🤣🤣🤣
@personpeter2221
@personpeter2221 Ай бұрын
​@@irhamseifunanivunja mbavu 😂😂😂😂
@BalksGitya
@BalksGitya Ай бұрын
Sasa kosa nn kulipa Kodi au kukaa na mikojo ndani?
@vero57
@vero57 Ай бұрын
Hiyo sio mzima kabisa, tatizo la dish
@hameezhami7795
@hameezhami7795 Ай бұрын
Linayumba ama😅
@personpeter2221
@personpeter2221 Ай бұрын
Joja na mm nianze taratibu make hyu mama mwenyenyumba haishi kunizogoa nifkishe japo chipa mia na besen 5 za mavi
@user-wc4eq9eh6f
@user-wc4eq9eh6f 23 күн бұрын
wapo wengi nimewai kushuhudia
@yunisimaiko
@yunisimaiko Ай бұрын
Mpeni maua yake mwamba uyo😂
@rickiefisher1085
@rickiefisher1085 Ай бұрын
kosa likowapi sasa😂😂😂
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 Ай бұрын
Afya ya akili jamani jamani😅😅😅😅 watu wanaumwa
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 Ай бұрын
Mama anamdomo sana kijana wa kimasai kaamua kuweka choo cha mobile😂
@raymondwilliam3042
@raymondwilliam3042 Ай бұрын
Kijana wa hovyo kabisa
@elidiustudoy2640
@elidiustudoy2640 Ай бұрын
Ukute ni petrol yenyewe 😅😅😅
@musampanda3643
@musampanda3643 Ай бұрын
Sema kijijin bhn watu wanafatiliana sana mno ingekuwa mjn akuna Mambo kama hayo
@nadiatanzania
@nadiatanzania Ай бұрын
Mtihan😅😅😅😅
@EgibathDastani
@EgibathDastani Ай бұрын
Mpen mauwa yake
@frankmhengilolo1584
@frankmhengilolo1584 Ай бұрын
Ayo Lizer
@user-id8bu6lw8x
@user-id8bu6lw8x Ай бұрын
Ayolaizer
@Nashoora8
@Nashoora8 Ай бұрын
hayo ni mashaliti ya mganga msi mshagae anataka utajili huyo🤣🤣🤣
@mariamjuma5957
@mariamjuma5957 Ай бұрын
😂akakae msituni tu
@calvinmaro6445
@calvinmaro6445 24 күн бұрын
Lizer mfanabiashara wa mkojo UTI sugu
@josephpeter2343
@josephpeter2343 Ай бұрын
Hannah designed hapo
@fanboy.1-tz
@fanboy.1-tz Ай бұрын
Bangi ya majani ya mpapai na gundi avijawai mwacha Mtu salama
@samwelikmollel
@samwelikmollel Ай бұрын
Hi kitaa mbona kawaida sana hasa mjini
@user-rk3fn9we8x
@user-rk3fn9we8x Ай бұрын
Mbona kijana yupo sahihi tu, isipokuwa suala la kukosa kipato ni suala la muda tuu, na alihisi ni choo hicho maaana nyumba yenyewe haieleweki. Yaani mimi sioni kosa kabisa maana bibi huyu naye anongea pointless
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Ай бұрын
Kawaida sana mbona😂😂
@mariamjuma5957
@mariamjuma5957 Ай бұрын
Mmmh skweli
@seifmiraji43
@seifmiraji43 Ай бұрын
Hiyo kawaida hata mm ndani kwangu zipo kibao ​@@mariamjuma5957
@ashurakiaga7812
@ashurakiaga7812 Ай бұрын
Ukute hadeki choon na ukute wapangaji wenzie wanamfungia choo ili asiingie.na yy kaona isiwe tabu ngoja amplifier ndani kl kt
@SamwelomariOmari
@SamwelomariOmari Ай бұрын
Kuna tofauti Gani na vyumba vya self?
@RachelNathan-yv5zc
@RachelNathan-yv5zc Ай бұрын
😂😂😂 jaman dunia ina watu
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 38 МЛН
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 6 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 41 МЛН
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 6 МЛН
Dit lees je tussen de regels door in het nieuwe akkoord
21:28
Nieuwsuur
Рет қаралды 151 М.
SIMULIZI YA MAMA WAWILI KUMGOMBANIA MTOTO,MTOTO AONGEA
8:27
Millard Ayo
Рет қаралды 27 М.
tagesschau 20:00 Uhr, 26.05.2024
16:17
tagesschau
Рет қаралды 146 М.
Gen Z in China: unsicher und unzufrieden I Weltspiegel
11:15
Weltspiegel
Рет қаралды 262 М.
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 38 МЛН