KIMEUMANA! BASHE AMVAA HALIMA MDEE “USINILISHE MANENO ,UMECHANGIA", SPIKA AINGILIA KATI

  Рет қаралды 65,618

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 133
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Жыл бұрын
Bashe you are visionary na unajua ukweli kuhusu uchumi, asante sana kwa kulihimiza hili . God bless you!
@deogratiashaule8958
@deogratiashaule8958 Жыл бұрын
Hakika ninamkubali sana Bashe , ni one of our think tanks in the country. Great job
@mteweleannon9293
@mteweleannon9293 Жыл бұрын
This is the vision we need in Agricultural. I support you ideas
@jesusiscoming237
@jesusiscoming237 Жыл бұрын
I repeat this once again katika widhara ambazo mama kalamba dume ni hii
@AMBINHED
@AMBINHED Жыл бұрын
Mh Bashe nakukubali upo vizuri sana . Halima Mdee kachemsha. Bashe 🫡
@willibroadwilliam6798
@willibroadwilliam6798 Жыл бұрын
Brother uko vizuri sana Watanzania tuige mfano wako.
@JaneMlangwa-qd1jc
@JaneMlangwa-qd1jc Жыл бұрын
Hongera sana kaka Bashe!Nakuelewa sana! Mungu akutangulie na kukulinda kukunua katika mipango hiyo mizuri,wenyefikra tofauti Mungu awatie upofu!!
@abubakaryduma5374
@abubakaryduma5374 Жыл бұрын
Keep on pushing the horizons Brother, This is modern wisdom . May Godbless our Madam president and all Cabinet members
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 Жыл бұрын
Bashe ni wazuri Bora sana wakilimo haijawahi kutokea .Mimi namkubali sana yaani nimeamua kulima
@glassdubaialuminiumprofile2026
@glassdubaialuminiumprofile2026 Жыл бұрын
Ww ni kijana pia hazina kwa taifa brother MUNGU akutunze. I wish all the best
@innaenock2074
@innaenock2074 Жыл бұрын
Bashe mi nakuelewa Sana we sio mnafiki🇹🇿👍
@mustaphampandi137
@mustaphampandi137 Жыл бұрын
hongera sana waziri wa kilimo bashe Mimi mwanyewe na omba shamba
@karenstephen8738
@karenstephen8738 Жыл бұрын
This is my president for sure !!
@kalolontungo8476
@kalolontungo8476 Жыл бұрын
Nakupenda Sana kaka Bashe
@babuusemvua4831
@babuusemvua4831 Жыл бұрын
Safi sana wazir Bashe Mungu akusaidie
@weastekadmin5760
@weastekadmin5760 Жыл бұрын
Bashe uko vizuri nakubaliana na unachosema. Lazima kama nchi tulenge kuondoka mashambani kuingia viwandani na maofisini ndivyo uchumi unavokua
@mdz.d.k360
@mdz.d.k360 Жыл бұрын
He's right on all points. nakupa mkono waziri I second the Motion😍👍
@happyyohana9881
@happyyohana9881 Жыл бұрын
Kazi zuri kaka Mungu akubariki sana
@eddovanny
@eddovanny Жыл бұрын
What a Speech....!!!
@monicamsile2284
@monicamsile2284 Жыл бұрын
Hongera Bashe,unabusara Sana,na utulivu wa kujibu hoja,hiyo ni sifa mojawapo ya kiongozi anayejitambua
@salimliemba3458
@salimliemba3458 Жыл бұрын
Mh bashe on fire halima punguza kuvuta 🎉
@issaabdi471
@issaabdi471 Жыл бұрын
Waziri bashe wapambanie vijana wakitanzania hao ndio taifa lakesho wasikukwamishe
@juliasmwambulukutu3461
@juliasmwambulukutu3461 Жыл бұрын
Wizara ya Kilimo umempata Waziri, hao Wabunge wasio jielewa wa kuachana nao. Bashe Hoyeeeeee
@bakarimohammed2796
@bakarimohammed2796 Жыл бұрын
Jamaa Anajua Sana
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 Жыл бұрын
Kama Mheshimiwa Bashe namuelewa Alafu Simuelewi vile !!
@jeromepantaleo8356
@jeromepantaleo8356 Жыл бұрын
Bashe keep it up,you are visionary
@elimuvisioncenter
@elimuvisioncenter Жыл бұрын
saaaaf sana Waziri Wangu 👏
@emmanuelsamwel9970
@emmanuelsamwel9970 Жыл бұрын
Nakuheshimu sanaa mheshimiwa waziri. Bwana YESU azidi kukupa nguvu, hekima, na maarifa. Ameen.
@yusufunkondo512
@yusufunkondo512 Жыл бұрын
Agriculture for Young's is now.Kwa mazingira haya wanaweza.
@chrisskazimoto675
@chrisskazimoto675 Жыл бұрын
Bashe uko vizuri Mungu akulinde
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 Жыл бұрын
Huwezi kuchukua wakulima kutoka mjini vyuoni ukasema kuna impact utaiona, nendeni kwa wale wale walio field muone impact kubwa kwa muda mfupi
@stanleyevanda797
@stanleyevanda797 Жыл бұрын
I support you brother kwenye BBT wamejikoroga ,wangesupport kwanza waliopo
@superbillionairea5987
@superbillionairea5987 Жыл бұрын
MH bashe nakuona ktk uongoz yajuu kabisaa.
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 Жыл бұрын
Watu km hawa chakushangza hawatawekwa katika ugombea urais mbeleni hyu mwamba ana vision yenye mantiki mtu muhimu san hyu kwenye hii nchi na ndo umuhimu wamawaziri wenye knowledge ya uongozi iliyo Shiba
@yusufunkondo512
@yusufunkondo512 Жыл бұрын
Good work,agriculture is only solution to build our country.
@zedymicheal9407
@zedymicheal9407 Жыл бұрын
Bashe wewe ndo Raisi wa baadae
@fenrickmsigwa7437
@fenrickmsigwa7437 Жыл бұрын
🙌🙌
@lianaelgomezulu2259
@lianaelgomezulu2259 Жыл бұрын
Bashe akili nyingi sn!! Mengine sijui.
@winnifridaashery4449
@winnifridaashery4449 Жыл бұрын
Safi Bashe,waambie🙏🙏
@christineluhanga6664
@christineluhanga6664 Жыл бұрын
Bashe ni Kijana safi sana!
@peaceappolinarygahene9646
@peaceappolinarygahene9646 Жыл бұрын
Safi sana,hawo bado wanamawazo ya kikoloni ya mwaka 1960.
@namsamson3443
@namsamson3443 Жыл бұрын
Huyu jamaa apewe urais
@florianminja8427
@florianminja8427 Жыл бұрын
Acha unafki
@hilmialjahdhami9787
@hilmialjahdhami9787 Жыл бұрын
Flora unafiki gani Bashe Anasifa ya kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
@dlumala
@dlumala Жыл бұрын
Pls week greenhousemoja k ila wilaya
@brightonchedego8100
@brightonchedego8100 Жыл бұрын
Safi sana👏👏👍👍
@emmanuelsamwel9970
@emmanuelsamwel9970 Жыл бұрын
What a leader
@mohamednassor4294
@mohamednassor4294 Жыл бұрын
Hyu jmaa apewe uraisi tuu future
@FoodAsMedicine-mb5dj
@FoodAsMedicine-mb5dj Жыл бұрын
Visionary!! a dedicated Agri Minister!!
@chummaulid7115
@chummaulid7115 Жыл бұрын
Bashe ni wazir namba moja TX nzima
@aretassilayo3587
@aretassilayo3587 Жыл бұрын
Mungu atusaidie
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 2 ай бұрын
Huyu waziri huwa simuelewi kabisa,
@obeymunisi2059
@obeymunisi2059 Жыл бұрын
Bashe yuko vizuri sana hii sector anaiwezea
@salumjuma3152
@salumjuma3152 Жыл бұрын
Sometimes unafikiri hawa kina halima wanachotaka nn
@otiatobakari752
@otiatobakari752 Жыл бұрын
Safi sana bashe
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Жыл бұрын
Bashe waelezee hapo hakuna wazalendo, wote wanaokuuliza haya maswali hawana uzalendo!
@julianmadosh2951
@julianmadosh2951 Жыл бұрын
Bashe wewe Ni kiongozi Wa uwakika pambana Kaka achana Na Halima uyo Ni Wa mchongo nenda katimize malengo ya watu wengi
@amosepimack399
@amosepimack399 Жыл бұрын
Waziri yuko sahihi.
@JosephJoseph-tz8cj
@JosephJoseph-tz8cj 3 ай бұрын
Huyu ni kiongozi wa taifa letu badae
@haidaryjoe5546
@haidaryjoe5546 Жыл бұрын
Bahat mbaya kazunguka sana na mwsho wa siku hajajibu hoja za msing...Kwa hili Bashe na wafuas wake wanaomtetea hapa 'KIPOPOMA' wamepuyanga ! ...Bahati nzur Muda n hakimu mzuri Sana..hatuombei Mabaya lkn Lina kila dalili kwamba hili Suala Halina 'Mataharisho'.....
@JosephJoseph-tz8cj
@JosephJoseph-tz8cj 3 ай бұрын
Wa mpe urais huyu anatufaa
@frankrowland2884
@frankrowland2884 Жыл бұрын
Halima amezingua
@timboxlee919
@timboxlee919 Жыл бұрын
Ni kweli watapewa watoto wa maskini,au hiyo ardhi mtajilipa wenyewe
@dativamachary
@dativamachary Жыл бұрын
Yes
@EliudNnko-rw8fm
@EliudNnko-rw8fm Жыл бұрын
Piga kazi kijana wetu! Nimekuwa kwenye sekta ya Kilimo zaidi 30; ila umefanya mabadiliko makubwa kwenye sekta mama ya Kilimo piga kazi jembe letu.
@ellymathewkika5568
@ellymathewkika5568 Жыл бұрын
😭😭😭 keep moving bro
@samsonkatigiri2344
@samsonkatigiri2344 Жыл бұрын
shida sio kumilikisha vijana shida ni kuanzisha mashamba mapya,wakulima wapo kwa nini msipime hayo maeneo ambayo tayari yanamashamba ili muyawekee hizo huduma za kisasa? hapo ndipo utaona upigaji,
@SAPABoY114
@SAPABoY114 Жыл бұрын
OUR NEXT PRESIDENT ❤
@peaceappolinarygahene9646
@peaceappolinarygahene9646 Жыл бұрын
Tanzania tunahitaji mawaziri kama Bashe.
@emmanuelsamwel9970
@emmanuelsamwel9970 Жыл бұрын
What I leader
@jofreydaudishamdilu1321
@jofreydaudishamdilu1321 Жыл бұрын
Halima noma
@furahamandai6628
@furahamandai6628 Жыл бұрын
Jaman mwachen basi mh bashee ajibu oja sasa mnatakaje basi akae kimya tunataka kumuelewa
@jamesbella6692
@jamesbella6692 Жыл бұрын
Kiongozi uko sahihi piga kazi
@malkavoice2570
@malkavoice2570 5 ай бұрын
Lkn hawa vijana mmewasomesha kwa pesa za serikali na mnawaandalia kazi kwa pesa kubwa mno na tunavyofahamu wakihitimu wanatakiwa kulipia boom za vyuoni je hii garama mnayoitumia kwao kujiajiri utaratibu wa kuja kuilipa endapo watafail au wakadumaza mafanikio ukoje?
@AbdallahSaidi-xe1se
@AbdallahSaidi-xe1se Жыл бұрын
akimaliza mama tumpe nchi bashe
@ayububrantaya6624
@ayububrantaya6624 Жыл бұрын
Chuma lingine hili nakubal man
@danielkanso
@danielkanso Жыл бұрын
Huyu mheshimiwa yuko vizuri
@ezekielmabwai4614
@ezekielmabwai4614 Жыл бұрын
Kilimo cha makaratasi Si mnakuwaga wazuri kwa kuandika na utekelezaji Ina kuwa ZERO?
@brigithadidas5128
@brigithadidas5128 Жыл бұрын
Hivi Bashe huna mpango wa kuchukua fomu ya raisi? Maana sekta nyingi zinahitaji such a visionary leader na kwa kuwa hatuwezi kukuweka kote at once, a presidential post itakufaa sana
@user-rs8tm5bq9b
@user-rs8tm5bq9b 3 ай бұрын
Wazr umetsha
@aminakasim1198
@aminakasim1198 Жыл бұрын
Halima mdeee ajee OMANI ajifunzee maishaa ndoatajua Tanzania ni matajir tuipendee tanzania jamani
@happyyohana9881
@happyyohana9881 Жыл бұрын
😂😂😂 umeona
@suzyjoseph6706
@suzyjoseph6706 Жыл бұрын
Kabisa
@evelina9621
@evelina9621 2 ай бұрын
Hapana.;bei.garama Ya.kulima.kubwa.mno
@manufredmbai9322
@manufredmbai9322 Жыл бұрын
Alima umefeli. Base una akili kubwa sana.
@piuspanga864
@piuspanga864 Жыл бұрын
Kwani Mzumbe ni Chuo?
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 Жыл бұрын
mwamba uyu hapa
@johnmacha2194
@johnmacha2194 Жыл бұрын
😁😁😁 Indirect villagilization is back. Agriculture should be more capitalist and not socialistic. It takes an ordinary farmer 10years to adopt into Agriculture to be extraordinary, acheni siasa. I have been in the game for the past 10years its not easy it has never been easy, it takes sweat and blood my friends. Let's make Agriculture more capitalist and not socialistic, to some extent i am sailing with Halima, kwa attitude ya vijana wetu😁😁😁😁, Mungu atupe umri mrefu.
@nyembobea7285
@nyembobea7285 Жыл бұрын
Mimi namshukuru MUNGU kwa kuzaliwa bashe pia namshukuru mh rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania samia suluhu hassan kumchagua hussein bashe huyu ndio waziri wa kilimo haswa
@filbertfaustine7357
@filbertfaustine7357 Жыл бұрын
Kuna kitu hapa mtakuja kuniambia baadae
@The7101987
@The7101987 Жыл бұрын
Vijana wangapi bana hee!? Wezesha kwanza waliopo mashambani bana acha maneno mengi. Unavyojihakikishia kama vile utakuwa hapo miaka yote, kesho tu Mama akileta mkeka mpya ushahamishwa wizara
@silasjacob9132
@silasjacob9132 Жыл бұрын
Acha makasiriko anamikakati ...bashe. mungu amuongoze tyu
@rev.thobias2756
@rev.thobias2756 Жыл бұрын
BASHE HONGERA SANA HARIMA MCHONGANISHI TU WALA SIO MPINZANI SPIKA MTULIVU TUSISAPOTI MTU HATA KAMA NI CHAMA CHAKO THAPOTI UKWELI ILI TUONDOKANE NA UMASKINI TANZANIA
@hamisipolenisanaissa8859
@hamisipolenisanaissa8859 Жыл бұрын
umeongea ukweli
@jesusiscoming237
@jesusiscoming237 Жыл бұрын
Mtu na nusu huyu
@saketnicholaus9962
@saketnicholaus9962 Жыл бұрын
Geneus
@princekagame8203
@princekagame8203 Жыл бұрын
Chapa kazi kaka natamani siku 1 polepole awe the president and. U Minister of Agriculture
@barakamanyasi3719
@barakamanyasi3719 Жыл бұрын
The upcoming magufuli, #husseinbashe
@J4UPro
@J4UPro Жыл бұрын
Wewe mwamba ni kiboko
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 Жыл бұрын
Bashe apewe nchi,awe raisi
@vicentdasilva4518
@vicentdasilva4518 Жыл бұрын
nawaza Ccm wakija kumpa nafac ya rais itakuw xafi xana
@princewilliam6662
@princewilliam6662 Жыл бұрын
Kingereza kiiiingi asa babu na bibi yangu ambao ndo wanataka mbolea wataelewaje hiyo lugha?
@malkavoice2570
@malkavoice2570 5 ай бұрын
Ni busara kama mgepunguza mitaala ya elimu ili wakulima waanzie sekondari na sio chuo kikuu ni upotevu wa pesa usiokuwa na maana kabisa,chuoni waende watakao anzisha viwanda only na kuajiriwa ktk secta ya viwanda. Waziri bashe unakurupuka alafu unataka kuwa mbishi,utakuja kulia
@Stevelosa
@Stevelosa Жыл бұрын
alichokuwa anakitaka halima amekipata
@manwoka4078
@manwoka4078 Жыл бұрын
Vingereza Vingi,ni dalili ya utumwa wa kiakili.kiswahili kinajitosheleza
@mcback4384
@mcback4384 Жыл бұрын
Ndio lugha mwanao anaitumia shuleni
@furahamandai6628
@furahamandai6628 Жыл бұрын
Tulia namuelewa basheee bado
BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa
11:41
Millard Ayo
Рет қаралды 663 М.
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 196 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 72 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 11 МЛН
这是王子儿子吗
00:27
落魄的王子
Рет қаралды 20 МЛН
Povu la Hussein Bashe Bungeni Kuhusu Sakata la Madini, Msikie Hapa
5:13
Global TV Online
Рет қаралды 40 М.
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 196 МЛН