SIMBA NGUVU MOJA 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖 mashabiki bora barani Africa 🇹🇿
@jofreymhagule75058 ай бұрын
Bravo miraji kwakutusanua akili wanamsimbazi kuusu unafiki wa utopolo
@allyshabani34048 ай бұрын
Hamed Ali hekma nyingi busara anajuwa kuongeya.bila matusi ana maneno mazuri ya kuliwaza mashabiki na kuwapoza wanakapo kuwa wapo kwenye maumivu Hamed Ali akifungwa anakubali hana ubishi.
@mdudamduda12848 ай бұрын
Hamedy ni komedian ana ubora wowote kazi kubwa anayo ifanya ni kuwa fix makoro
@user-wk2bg8zf3l8 ай бұрын
dada kua mvumilivu na miraji atakipiga mabegani mpaka mwisho wa intavyu 😂😂😂😂
@romariohullah44108 ай бұрын
Kumbe Kuna asec hapa bongo😅😅😅😅
@saidkhamismasoud82648 ай бұрын
Skuizi miraji unapotea unapoteza mashabik zako na nnawasiwasi cjuwi kama huchukui bahasha mana fakty zako ckuiz zipo chini ya kiwango kama Cha onano na Hafiz cocon amini miraji unazinguwa tokea kupijwa 5g?
@OkinadNdashao8 ай бұрын
Ahamed Ally muongo sana kawazi wote kwa uongo
@edwardmizambwa2378 ай бұрын
Wewe sema tu ni matopolo wakiongozwa na bosi wao. Hvi na sisi hatuwezi tukatembea nao? Wana Simba tafadhalini tulale nao hao titi fo tati, wasitunyanyase ki hivyo! Hapa Power Dynamos utopolo walicheza sana.
@vaxminja90538 ай бұрын
Ahmed Ally hana siyo msemaji ni muimba taarabu
@maxwell80078 ай бұрын
ally kamwe yupo vizuri kuliko hai wote huliowataja mi kiukweli napenda nimsikilize huyo ally kamwe sbb ni mtu anazungumza fact sana kuliko Hamed ally ni muongo2