Рет қаралды 20,176
Mahitaji
Maini kiasi 700 gms
Mafuta ( kama utapenda)
Bizari za kurost
Kijiko 1 cha kula bizari ya uzile
Kijiko 1 cha kula pilipili manga nzima
Kitunguu thom kiasi chembe
Tangawizi mbichi ukubwa wa kidole cha gumba
Majani ya nanaa ( kama utapenda)
Ndimu au limao
Mafuta ya zeti au yoyote kjk 1 kikubwa au zaidi
Chumvi kiasi
Kjk 1 cha kulia mchanganyiko wa
Bizari na pilipili manga
Urojo wa Ukwaju
Roweka ukwaju kiasi gram 50-70 kwenye kikombe 1 cha maji ya moto
½ kikombe cha urojo wa ukwaju
Chembe 2-3 za kitunguu thom
Kipande chembamba cha tangawizi mbichi
½ kjk cha chai chai bizari ya ya pilipili manga
Chumvi kiasi
Sukari ½ kjk cha chai
Nyanya 1 kubwa ( ilochemshwa)
Maji ya ndimu au limao ½ kjk cha chai
Pilipili mbich nyekundu au kijani 1 au zaidi
ENGLISH VERSION OF THIS RECIPE CAN BE FOUND ON THIS LINK • CALF LIVER MISHKAKI WI...
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas kzbin.info?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world