Hii ngoma ilitakiwa iwe na views hata 1bln moja ya ngoma inayoishi
@christianmichael53314 жыл бұрын
Neno Mitaa ya kati hapo ndipo likakaa midomoni kwa vijana "Oi wapi hiyo.....Mitaa ya kati hapo" Respect Production nzuuri kutoka Bongo Record chini ya P funk Majani
@eggesilo80705 жыл бұрын
Bonge ra beat bonge ra chorus bonge ra verse
@kbmhd3 жыл бұрын
Hiyo nyimbo haina chorus hiyo inaitwa hooks
@ESTONIATV4 ай бұрын
Naam
@georgesajiro14024 жыл бұрын
Ivi huumuziki utakuja kuludi kweli, miiningeomba hawa wasanii waanzishe ata kampeni ya kuutetea muzikiwao ili tusisikie nyimbo zahovyo
@rajabuseifr20653 жыл бұрын
Ni ngumu sana hii vitu kurudi,wanaoelewa kuwa huu ndio ulikua muziki ni wachache sana kama vile mm na ww!
@deusdeditswebe89303 жыл бұрын
Sidhanii kama utarejea.... Huu mziki wa kiwango hiki
@maximilianjohn56943 жыл бұрын
Sawa
@epimackoscar253 жыл бұрын
Tisini kurudi nyuma ndio tuna kiu Sana na nyimbo hizi sio watoto wa elfu 2 awaelewi kitu ndio wenye miziki ya ovyo
@yogaatypeshulichindikayoha227027 күн бұрын
Hautakuja kurudi na hakuna msanii atakaeweza kuja kufanya kama hivi.
@generalmwegama33845 жыл бұрын
Nimekuja apa baada ya kumsikia jamaa kwenye interview ya Blue chin ya lilly ommy
@brahmsbabaa64114 жыл бұрын
Tupo wengi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jirac14564 жыл бұрын
Twamsikiza hadi Mombasa.
@amanimshana89793 жыл бұрын
Pure talent no kiki!
@tumainimatandala18473 жыл бұрын
Incredible rapper ever happen in this HIP HOP music in our Country . Thank you Abbasi
@frankmuyoba58076 ай бұрын
nikisikiliza nyimbo hi moyo wasuzika wale wezangu nami gonga 💪
@abdulmwengo88272 жыл бұрын
Bongo Hip Hop at it's very Best. Salute to Sir Nature and Majani. Too much contents on Verses Respect Imam Abbas
@sebastianmwita914910 ай бұрын
True dats, i salute Sir nature
@abubakarishariff84896 ай бұрын
Ni uwandishi mkubwa Sana kwa wanaokuwa hip hop wataelewa
@kibasamohamedi80292 жыл бұрын
Imam Abbas ulikuwa unatoaga Sana enzi ,ako
@nelsonmilinga3314 жыл бұрын
Sir Juma Nature... respect brother
@omarymakungu15204 жыл бұрын
Juma nature... legend
@shabanrufumbo37012 жыл бұрын
huyu ndioo alikuwa juma nature chorus hapana.... hiki kipaji jmn! respect sir nature Bonge la Ngoma kutoka bongo record ...Majani pfunk hakika uliutendea haki mziki wa bongo Flava.
@XylaxTzАй бұрын
Unyamaa 💥💥💥💥
@hamzaadrin9414 жыл бұрын
Bila sanaa ningekua mkabaji mitaa ya kati Bila sanaa ningekua mtaja mitaa ya kati
@ozzyrichi3 жыл бұрын
Listen 🎧 till now 💪🏽🇹🇿
@yvesyveldinhomzee.5682Ай бұрын
Legend
@adamjackson72692 жыл бұрын
Naikubali Sana hii truck inspection Sana kuusu life ya street dah asee nibonge la truck Nature hajawahi poteza kuusu vitikio mbambie tu atafanya na akifanya hakosei nawakubali Sana wanangu wanguvu
@happyapolynal14754 жыл бұрын
Mkali wa mitaa.... Abbas
@Pahalintu5 жыл бұрын
Nice 🤩
@adinanitimandembo2765 жыл бұрын
Kama ww umeletwa Apo na nyandu tozy gonga dole tujuane
@hamisiussiku11513 жыл бұрын
TIA moja
@kabezijoshua541311 ай бұрын
Sasa hivi wana hiphop wana chambana😅😅😅😅
@frankkajoba837228 күн бұрын
hili goma si mchezo😂
@youngdula54094 ай бұрын
hip hop kama hip hop ♥️ 2024
@jessekusipa73253 жыл бұрын
Bonge moja ya beat+ngoma
@kilianraymond1862 Жыл бұрын
hatari sana,real hip hop aisee,kiblaaaaa
@DonSompo4 жыл бұрын
HoT Rap!!!.. HoT Rapper!
@tulisanga20233 жыл бұрын
Kipindi ik nilikuwa naishi mabibo daaah nakumbuka mbali saana
@richardkirongo48352 жыл бұрын
Nasikia sauti kwa mbali kama ya Balozi hivi, dah 2022 kitu bado kina dunda ....
@kindulijumanne76324 ай бұрын
It was Fan Imam kama hayupo vile
@mabudaissere22954 жыл бұрын
Jamaa siku hz swala tano
@shaibuosman75794 жыл бұрын
Yuko wap?
@shedrackelkana61084 жыл бұрын
Nimeletwa na Nyandu Tozzy
@jandaboytzz27553 жыл бұрын
Namimi
@festohaule14992 жыл бұрын
Majani alikua ananyonga beat za kuchana kina 50 cent daah noma sana kama drdre
@buruanisaidi2411 Жыл бұрын
Hili goma ni historical 2023
@deusdeditswebe89303 жыл бұрын
Bila sanaa... 👍👍👍👍👍👍👍
@sixbertbudodi2 жыл бұрын
Emmam Abbas 🔥🔥🔥
@mudmudmkeche56625 жыл бұрын
Imamu Abass
@tomitohumphrey96305 жыл бұрын
Kiongozi wa mitaa ya kati
@cosmaskamwela49213 жыл бұрын
Aisee respect hip-hop 💪💪💪
@chachasagara19853 жыл бұрын
#Bila Sana! Bongomotoni. #Mitaayakati
@EliasKilalwe9 ай бұрын
Hii bit Ni hatari sana,kiitikio nature Amelia sana