MIZUKA YA PACOME 🙌 LIGI IANZE TU! ONA TIZI LAKE HAPA AKIJIFUA BILA KUCHOKA

  Рет қаралды 46,497

Yanga TV

Yanga TV

Күн бұрын

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi #Pacome

Пікірлер: 99
@imanikubwa2896
@imanikubwa2896 3 ай бұрын
Nakuombea Sana Pacome asipate majeraha kabisaa Halafu awe vizuri kiakili na kimwili
@patridabernard9148
@patridabernard9148 3 ай бұрын
Namuomba Mungu mwenye rehema awape nguvu na uwezo mkubwa ili tufanye vizuri katika Kila ligi yaan ngao,lig kuu, clab BINGWA , Toyota cup na shirikisho tubebe makombe yote katika jina la YESU kristo Amen
@GodfreyKarino
@GodfreyKarino 3 ай бұрын
Pacomeeeeeeeeee tuna kupenda sana wanchiiiii love you
@barakawabuge5285
@barakawabuge5285 3 ай бұрын
Eeh Mola mwepushe Pacome na adha ya majeraha msimu huu
@revocatusandrew2356
@revocatusandrew2356 3 ай бұрын
Mwenyezi mungu uwlinde wachezaji wetu na wale wote wenye husuda
@RobertSanyangi
@RobertSanyangi 3 ай бұрын
Emwenyezi Mungu awatangulie katika mashindano yote
@veelmng7746
@veelmng7746 3 ай бұрын
Mungu awape afya njema wanajeshi wetu. Juhudi hizi zitatulipa sana msimu huu.
@faridaamenye8405
@faridaamenye8405 3 ай бұрын
Daah napenda sana timu yangu
@RamseykingGenius
@RamseykingGenius 3 ай бұрын
All the best My team 💚💚💚💚💚✅🤲🏻🤲🏻🤲🏻🏆🔜🔝✌🏿
@hashimkakozi7752
@hashimkakozi7752 3 ай бұрын
Daima mbele nyuma mwiko Tujitahidi kulipa ada zetu ili furaha idumu daima
@amaniomar1755
@amaniomar1755 3 ай бұрын
Wewe ni mtu wa maana sana na umeongea kitu cha maana sana
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 3 ай бұрын
Tutajitahidi kufanya hivyo 🎉🎉🎉
@josephathmeijo8094
@josephathmeijo8094 3 ай бұрын
Umeupiga mwingi sana😂
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 3 ай бұрын
Safi sana
@revocatusandrew2356
@revocatusandrew2356 3 ай бұрын
Mungu awaepushie mbalimna majeraha kipindi chote cha msimu
@RashidMbunda
@RashidMbunda 3 ай бұрын
Timu kubwa mambo makubwa
@GodwiniFwelo
@GodwiniFwelo 3 ай бұрын
Hadi raha
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 3 ай бұрын
Mungu Muweza yote awapiganie katika kila hatua
@amaniomar1755
@amaniomar1755 3 ай бұрын
Zidane wa Africa 🎉🎉🎉
@cynthiapwani1383
@cynthiapwani1383 3 ай бұрын
Mungu tulindie team yetu yanga❤❤❤🎉
@Fruge-e8w
@Fruge-e8w 3 ай бұрын
My team 💚💛💚💛
@patricklaiton8939
@patricklaiton8939 3 ай бұрын
NEXT BIG NAME IN NBC PREMER LEUGUE
@aishabakari8040
@aishabakari8040 3 ай бұрын
ROHO ❤️
@danyboytz2744
@danyboytz2744 3 ай бұрын
Pacome 💚💛💯
@andersonbruno6255
@andersonbruno6255 3 ай бұрын
🔥🔥🔰🔰 Professor pacome
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 3 ай бұрын
Kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@Allyjully98
@Allyjully98 3 ай бұрын
Watasema tu kama chama ni Mzee au wao ndo wanaukataa uzee 😂😂
@patridabernard9148
@patridabernard9148 3 ай бұрын
Naomba mungu awalinde na majeraha na kitu chochote kibaya na wenye macho ya husda pia
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo 3 ай бұрын
Wee pacome weeee hadi rahatupu kipenzi cha wana yanga
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 3 ай бұрын
Aziiz 🎉🎉🎉
@kelvinshao2888
@kelvinshao2888 3 ай бұрын
let's go
@kassimchuo5290
@kassimchuo5290 3 ай бұрын
All the best to my lovely team yangaaaaa all the way from QATAR penda Sanaa yangaaaaaaaaaa
@MalinoKadwame-u1c
@MalinoKadwame-u1c 3 ай бұрын
Muda wa kazi
@AbbasPuyaga
@AbbasPuyaga 3 ай бұрын
YANGA FIRE 🔥
@MoajGraphics
@MoajGraphics 3 ай бұрын
Huyu ndiye atakuwa shujaa wa msimu ujao
@adolfmathew9698
@adolfmathew9698 3 ай бұрын
Sahihi kbs. Pacome ataimbwa sana. Narudia pacome zouzou ataimbwa sana ni moto wa kuotea mbali. Muda utasema tusubiri
@ceciliadaudi1632
@ceciliadaudi1632 3 ай бұрын
Surely 🎉🎉🎉🎉
@kanyeshahigirimana5686
@kanyeshahigirimana5686 3 ай бұрын
Inshaallah Amin na iwe hivyo
@sofiamsuya2254
@sofiamsuya2254 3 ай бұрын
Atawamalizaaaa
@apolnaryjohn92
@apolnaryjohn92 3 ай бұрын
Good job idara ya habari maudhui🎉🎉🎉 mko juu sana ata kwa antenna hawawafikii🎉😂😂
@RoseKayola
@RoseKayola 3 ай бұрын
Tuwaombee sanaa wachezaji wetu
@richardmaziku246
@richardmaziku246 3 ай бұрын
Mpenii no 6 ..auu 11
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 3 ай бұрын
Yanga 🔥🔥
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo 3 ай бұрын
Bacca ana vaa namba 2 lakini naona leo ame vaa azizi andambwile
@helpfootball
@helpfootball 3 ай бұрын
Njooni Tuangalie Bonog Data
@Adrianolaurian
@Adrianolaurian 3 ай бұрын
Munataka wasilete timu😮
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 3 ай бұрын
Kibabage🎉🎉🎉🎉
@DittoAlly-er5yz
@DittoAlly-er5yz 3 ай бұрын
Yanga raha sanaaa
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 3 ай бұрын
Chama🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ntakakasendebayi9992
@ntakakasendebayi9992 3 ай бұрын
Love you yangasc💚💚💛💛🔰
@malietamaliet
@malietamaliet 3 ай бұрын
😂😂😂mwenye Ako karibu na pacome amuulizie anatumiaga Nini meno yake adi yanakua hivo nimechoka kua mmasai uku mm ni mkurya
@Enock-sy2en
@Enock-sy2en 3 ай бұрын
Acha maswal ya kijinga ww
@MirumbeMarwa-eo2yl
@MirumbeMarwa-eo2yl 3 ай бұрын
Kama huna Cha kusema unakaa kimy
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 3 ай бұрын
​@@MirumbeMarwa-eo2yl😂😂😂jamani kilamtu ana uhuru wa kuzungumza😂😂😂
@malietamaliet
@malietamaliet 3 ай бұрын
@@MirumbeMarwa-eo2yl ubwaa wewe nitolee kiele ele chako nimekuuliza wew na domo kama mwijaku ninyamaze umeninunulia bundle maku we na uyo mwenzako
@malietamaliet
@malietamaliet 3 ай бұрын
@@Enock-sy2en kijinga vip mm nimejisikia kuccoment hivi na sio kwamba Niko serious ningekua serious nisingeweka emoj za kuvheka ila nyie ndo mnajiona mnajuaga Kila kitu hapa mtandaon kama mnaleta usilias uku mtateseka sana
@revocatusandrew2356
@revocatusandrew2356 3 ай бұрын
We love u man
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 3 ай бұрын
Sure boy🎉🎉🎉🎉
@stapinuswilliam860
@stapinuswilliam860 3 ай бұрын
Prof
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 3 ай бұрын
Yaooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 3 ай бұрын
Muda🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 3 ай бұрын
Job doc🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 3 ай бұрын
Pacome 🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 3 ай бұрын
Max🎉🎉🎉🎉
@bakariomarimndeme6059
@bakariomarimndeme6059 3 ай бұрын
Alafu eti kambi Misiri ya nini.
@elikindomondo3569
@elikindomondo3569 3 ай бұрын
💚💚💚💚💚💚
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 3 ай бұрын
Nkane🎉🎉🎉🎉🎉
@allysinde6208
@allysinde6208 3 ай бұрын
Kuna mchezaji kavaa jezi ya Bacca.. Halaf Bacca mwenyewe haionekani.. Kulikoni jamaniii.. Msituambie eti wachezaji wanavaliana jezi😢
@zakiakondo2849
@zakiakondo2849 3 ай бұрын
Uongozi unajua zaidi wewe lipa ada yako
@jovinmashauriTv
@jovinmashauriTv 3 ай бұрын
tulia bacca yupo sana kashaongeza mkataba
@RehemaDavid-f2l
@RehemaDavid-f2l 3 ай бұрын
Hyo ni kawaida2,mbna Chama kavaa jezi no 10 ambayo ni ya pacome?, kwahyo ni kawaida2,icwaze baca yupo
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 3 ай бұрын
Mzizeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 3 ай бұрын
Capten 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉mwamnyeto🎉
@RozaliaStanslausRaphael-zw7zj
@RozaliaStanslausRaphael-zw7zj 3 ай бұрын
Kwa haya mazoezi kama hajafa mtu kwa majirani sijui
@fabianmwinuka1395
@fabianmwinuka1395 3 ай бұрын
Acha vyuma viongee
@RoseKayola
@RoseKayola 3 ай бұрын
Wawooooo
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 3 ай бұрын
Farid🎉🎉🎉🎉
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 3 ай бұрын
Wananchi! İbrahim Bacca na mkude hawajaripoti?🙏🙏🙏
@zakiakondo2849
@zakiakondo2849 3 ай бұрын
Nenda kwenye app
@zakiakondo2849
@zakiakondo2849 3 ай бұрын
App lipia kaka
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 3 ай бұрын
@@zakiakondo2849 nalipiaaaa mdogo wangu! Unajua na mm pia ni Ukoo wa KONDO
@DatyVena-ph3sz
@DatyVena-ph3sz 3 ай бұрын
el professor
@AntonyNdayanse
@AntonyNdayanse 3 ай бұрын
Tukutane 8 8
@onesmomnyeke3477
@onesmomnyeke3477 3 ай бұрын
Aucho yupo wapi
@paulclementmakune3661
@paulclementmakune3661 3 ай бұрын
Aucho Baka Azizi Gift Msonda hawajaripot
@onesmomnyeke3477
@onesmomnyeke3477 3 ай бұрын
Maana tuseme ukweli bila aucho kuna mechi tutapoteza point
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 3 ай бұрын
Kikubwa wawepo tu wasiondoke Ndiyo wasiwasi wetu
@zakiakondo2849
@zakiakondo2849 3 ай бұрын
Kalipieni app maswali humu hayasaidii
@zakiakondo2849
@zakiakondo2849 3 ай бұрын
​@@onesmomnyeke3477lipa app upate taarifa
@SamwelLaizer-y2y
@SamwelLaizer-y2y 3 ай бұрын
Mabingwa wa kila muda
@pambaboniface1199
@pambaboniface1199 3 ай бұрын
Ipo siku jitu litakufa 8-0
@FrankMlaponi-hz4ns
@FrankMlaponi-hz4ns 3 ай бұрын
Vitaro wameyatimba
@MohammedBahezwa
@MohammedBahezwa 3 ай бұрын
Mbona namba ya bacca amevaa mchezaji mwingine ndio wametunyang'anya nini
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 3 ай бұрын
Aisee hii yanga bwana league ianze tu ila jamani mkude yuwapi na musonda?
@kmuhema2021kmuhema
@kmuhema2021kmuhema 3 ай бұрын
aaaa
@chollejr_
@chollejr_ 3 ай бұрын
Alaf aje aguswe mtu mseme faulo
@RobertSanyangi
@RobertSanyangi 3 ай бұрын
Mnona Baka aonekani na msonda kulikoni
Every parent is like this ❤️💚💚💜💙
00:10
Like Asiya
Рет қаралды 25 МЛН
REAL 3D brush can draw grass Life Hack #shorts #lifehacks
00:42
MrMaximus
Рет қаралды 5 МЛН
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Browney
Рет қаралды 44 МЛН
Yanga SC 3-2 Azam FC - Highlights | NBC Premier League - 23/10/2023
10:29
MAZOEZI YA KWANZA YA CHAMA/VYUMA VIMEKAA/HUYU MTU ANA BALAA.
8:01
Что то пошло не по ПЛАНУ
1:00
БЕЗУМНЫЙ СПОРТ
Рет қаралды 953 М.
Роналдо ПРЕТВОРИЛСЯ БОМЖОМ
1:00
BallStories
Рет қаралды 540 М.