Nakuombea Sana Pacome asipate majeraha kabisaa Halafu awe vizuri kiakili na kimwili
@patridabernard91483 ай бұрын
Namuomba Mungu mwenye rehema awape nguvu na uwezo mkubwa ili tufanye vizuri katika Kila ligi yaan ngao,lig kuu, clab BINGWA , Toyota cup na shirikisho tubebe makombe yote katika jina la YESU kristo Amen
@GodfreyKarino3 ай бұрын
Pacomeeeeeeeeee tuna kupenda sana wanchiiiii love you
@barakawabuge52853 ай бұрын
Eeh Mola mwepushe Pacome na adha ya majeraha msimu huu
@revocatusandrew23563 ай бұрын
Mwenyezi mungu uwlinde wachezaji wetu na wale wote wenye husuda
@RobertSanyangi3 ай бұрын
Emwenyezi Mungu awatangulie katika mashindano yote
@veelmng77463 ай бұрын
Mungu awape afya njema wanajeshi wetu. Juhudi hizi zitatulipa sana msimu huu.
@faridaamenye84053 ай бұрын
Daah napenda sana timu yangu
@RamseykingGenius3 ай бұрын
All the best My team 💚💚💚💚💚✅🤲🏻🤲🏻🤲🏻🏆🔜🔝✌🏿
@hashimkakozi77523 ай бұрын
Daima mbele nyuma mwiko Tujitahidi kulipa ada zetu ili furaha idumu daima
@amaniomar17553 ай бұрын
Wewe ni mtu wa maana sana na umeongea kitu cha maana sana
@Carolina-sm5zt3 ай бұрын
Tutajitahidi kufanya hivyo 🎉🎉🎉
@josephathmeijo80943 ай бұрын
Umeupiga mwingi sana😂
@slimmuhabesh24003 ай бұрын
Safi sana
@revocatusandrew23563 ай бұрын
Mungu awaepushie mbalimna majeraha kipindi chote cha msimu
@RashidMbunda3 ай бұрын
Timu kubwa mambo makubwa
@GodwiniFwelo3 ай бұрын
Hadi raha
@Carolina-sm5zt3 ай бұрын
Mungu Muweza yote awapiganie katika kila hatua
@amaniomar17553 ай бұрын
Zidane wa Africa 🎉🎉🎉
@cynthiapwani13833 ай бұрын
Mungu tulindie team yetu yanga❤❤❤🎉
@Fruge-e8w3 ай бұрын
My team 💚💛💚💛
@patricklaiton89393 ай бұрын
NEXT BIG NAME IN NBC PREMER LEUGUE
@aishabakari80403 ай бұрын
ROHO ❤️
@danyboytz27443 ай бұрын
Pacome 💚💛💯
@andersonbruno62553 ай бұрын
🔥🔥🔰🔰 Professor pacome
@naliakafatuma98703 ай бұрын
Kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@Allyjully983 ай бұрын
Watasema tu kama chama ni Mzee au wao ndo wanaukataa uzee 😂😂
@patridabernard91483 ай бұрын
Naomba mungu awalinde na majeraha na kitu chochote kibaya na wenye macho ya husda pia
@ShafiiHungo3 ай бұрын
Wee pacome weeee hadi rahatupu kipenzi cha wana yanga
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Aziiz 🎉🎉🎉
@kelvinshao28883 ай бұрын
let's go
@kassimchuo52903 ай бұрын
All the best to my lovely team yangaaaaa all the way from QATAR penda Sanaa yangaaaaaaaaaa
@MalinoKadwame-u1c3 ай бұрын
Muda wa kazi
@AbbasPuyaga3 ай бұрын
YANGA FIRE 🔥
@MoajGraphics3 ай бұрын
Huyu ndiye atakuwa shujaa wa msimu ujao
@adolfmathew96983 ай бұрын
Sahihi kbs. Pacome ataimbwa sana. Narudia pacome zouzou ataimbwa sana ni moto wa kuotea mbali. Muda utasema tusubiri
@ceciliadaudi16323 ай бұрын
Surely 🎉🎉🎉🎉
@kanyeshahigirimana56863 ай бұрын
Inshaallah Amin na iwe hivyo
@sofiamsuya22543 ай бұрын
Atawamalizaaaa
@apolnaryjohn923 ай бұрын
Good job idara ya habari maudhui🎉🎉🎉 mko juu sana ata kwa antenna hawawafikii🎉😂😂
@RoseKayola3 ай бұрын
Tuwaombee sanaa wachezaji wetu
@richardmaziku2463 ай бұрын
Mpenii no 6 ..auu 11
@barikilangoy47373 ай бұрын
Yanga 🔥🔥
@ShafiiHungo3 ай бұрын
Bacca ana vaa namba 2 lakini naona leo ame vaa azizi andambwile
@helpfootball3 ай бұрын
Njooni Tuangalie Bonog Data
@Adrianolaurian3 ай бұрын
Munataka wasilete timu😮
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Kibabage🎉🎉🎉🎉
@DittoAlly-er5yz3 ай бұрын
Yanga raha sanaaa
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Chama🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ntakakasendebayi99923 ай бұрын
Love you yangasc💚💚💛💛🔰
@malietamaliet3 ай бұрын
😂😂😂mwenye Ako karibu na pacome amuulizie anatumiaga Nini meno yake adi yanakua hivo nimechoka kua mmasai uku mm ni mkurya
@Enock-sy2en3 ай бұрын
Acha maswal ya kijinga ww
@MirumbeMarwa-eo2yl3 ай бұрын
Kama huna Cha kusema unakaa kimy
@FirdausyAbubakary-bl2wo3 ай бұрын
@@MirumbeMarwa-eo2yl😂😂😂jamani kilamtu ana uhuru wa kuzungumza😂😂😂
@malietamaliet3 ай бұрын
@@MirumbeMarwa-eo2yl ubwaa wewe nitolee kiele ele chako nimekuuliza wew na domo kama mwijaku ninyamaze umeninunulia bundle maku we na uyo mwenzako
@malietamaliet3 ай бұрын
@@Enock-sy2en kijinga vip mm nimejisikia kuccoment hivi na sio kwamba Niko serious ningekua serious nisingeweka emoj za kuvheka ila nyie ndo mnajiona mnajuaga Kila kitu hapa mtandaon kama mnaleta usilias uku mtateseka sana
@revocatusandrew23563 ай бұрын
We love u man
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Sure boy🎉🎉🎉🎉
@stapinuswilliam8603 ай бұрын
Prof
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Yaooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Muda🎉🎉
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Job doc🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Pacome 🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Max🎉🎉🎉🎉
@bakariomarimndeme60593 ай бұрын
Alafu eti kambi Misiri ya nini.
@elikindomondo35693 ай бұрын
💚💚💚💚💚💚
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Nkane🎉🎉🎉🎉🎉
@allysinde62083 ай бұрын
Kuna mchezaji kavaa jezi ya Bacca.. Halaf Bacca mwenyewe haionekani.. Kulikoni jamaniii.. Msituambie eti wachezaji wanavaliana jezi😢
@zakiakondo28493 ай бұрын
Uongozi unajua zaidi wewe lipa ada yako
@jovinmashauriTv3 ай бұрын
tulia bacca yupo sana kashaongeza mkataba
@RehemaDavid-f2l3 ай бұрын
Hyo ni kawaida2,mbna Chama kavaa jezi no 10 ambayo ni ya pacome?, kwahyo ni kawaida2,icwaze baca yupo
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Mzizeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Capten 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉mwamnyeto🎉
@RozaliaStanslausRaphael-zw7zj3 ай бұрын
Kwa haya mazoezi kama hajafa mtu kwa majirani sijui
@fabianmwinuka13953 ай бұрын
Acha vyuma viongee
@RoseKayola3 ай бұрын
Wawooooo
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Farid🎉🎉🎉🎉
@muddymuzungu43573 ай бұрын
Wananchi! İbrahim Bacca na mkude hawajaripoti?🙏🙏🙏
@zakiakondo28493 ай бұрын
Nenda kwenye app
@zakiakondo28493 ай бұрын
App lipia kaka
@muddymuzungu43573 ай бұрын
@@zakiakondo2849 nalipiaaaa mdogo wangu! Unajua na mm pia ni Ukoo wa KONDO
@DatyVena-ph3sz3 ай бұрын
el professor
@AntonyNdayanse3 ай бұрын
Tukutane 8 8
@onesmomnyeke34773 ай бұрын
Aucho yupo wapi
@paulclementmakune36613 ай бұрын
Aucho Baka Azizi Gift Msonda hawajaripot
@onesmomnyeke34773 ай бұрын
Maana tuseme ukweli bila aucho kuna mechi tutapoteza point
@Carolina-sm5zt3 ай бұрын
Kikubwa wawepo tu wasiondoke Ndiyo wasiwasi wetu
@zakiakondo28493 ай бұрын
Kalipieni app maswali humu hayasaidii
@zakiakondo28493 ай бұрын
@@onesmomnyeke3477lipa app upate taarifa
@SamwelLaizer-y2y3 ай бұрын
Mabingwa wa kila muda
@pambaboniface11993 ай бұрын
Ipo siku jitu litakufa 8-0
@FrankMlaponi-hz4ns3 ай бұрын
Vitaro wameyatimba
@MohammedBahezwa3 ай бұрын
Mbona namba ya bacca amevaa mchezaji mwingine ndio wametunyang'anya nini
@mhinajerome59643 ай бұрын
Aisee hii yanga bwana league ianze tu ila jamani mkude yuwapi na musonda?