Waogope sana watoto, Unaweza ukanung'unika kwa nia nzuri tu ila Mtoto akakugombanisha na ndugu bila huruma Andunje kachomesha.
Пікірлер: 468
@priscakakwaya3399 Жыл бұрын
Nimecheka sana yaan big up Joti
@noelbigirimana36643 жыл бұрын
Tuna miss tajili sopa ,kipande na mama van dame
@4kcreative1003 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pYXNnGydZbyBl9U
@nyamshertvonline38313 жыл бұрын
Oya Apo anko angekuwepo Sopa ingekaa fresh,sopa mlikosana nin
@zenaycechanzinho67022 жыл бұрын
Itakua mkataba
@jeniffermasha25402 жыл бұрын
Kawaida ya watoto hawafichi,waambiwacho Na wazazi,, Mama mchoyo, mtoto pia lazima awe mchoyo.pia akufukuzaye hakwambii toka utaona votendo tuu..jeniffer from Kenya
@evanchimbi71213 жыл бұрын
Nakupendaga bure kk joti🥰
@hawasaid71513 жыл бұрын
Mjomba wakat mnabishana nipe iyo ndiz😂😂😂🙌
@smarty10643 жыл бұрын
Hawa Said njoo uchukue ndizi wakati bado tunabishana 😂😂😂🙌😂😂😂🙌😂😂😂🙌
@MrNdanguza3 жыл бұрын
Hahahaha aisee nimecheka 🤣
@jumafanfula56403 жыл бұрын
Hawa VP uko poa kweli
@PUKTTAMEDIA3 жыл бұрын
Hawa Mamboo
@piuspaul70403 жыл бұрын
Anyonyeshi Ila ukiutaka utaunyonya😅😅
@bhokemwita99383 жыл бұрын
Nakupenda ww kaka vituko vyako vituko kweli sio vya ku force
@AncyMerci-un2nu Жыл бұрын
Sasa ww Joti mbona style zote unaweza uzee utoto hata mwanamke unaweza aswa ukiwa mtoto ndo unaniuwa sana kwa kweli 👌👌👌
@marcosfrancis56783 жыл бұрын
Hahahahahahah jot jaman nimecheka Sana aisee khaaaaa🤪🤪🤪🤪🤪
@mariamgodfrey533 жыл бұрын
Joti mdaku sana mjomba na wewe umezidi unaenda kwa watu na ndizi 1
@sanisani52663 жыл бұрын
Wachoyo wapo sana tena sana ndio mana bora unaenda kwa rafiki kuliko ndugu tunakula tunafrah usikii unafki wowote
@elizabathsasu54543 жыл бұрын
Ata rafiki anakuchoka lazm mtu uwe na aibu maisha magum
@sanisani52663 жыл бұрын
@@elizabathsasu5454 Labda lafiki yako sie uo ujinga atuna tunatembeleana sana2 anichoke kivipi kwani naenda kukaa ama namtegemea yeye
@elizabathsasu54543 жыл бұрын
@@sanisani5266 hta huyo rafiki yako anakua amekuchoka hawez tu kukwambia, Yani Kama Kuna mtu unamfanyia hivyo unamtegemea yeye tu acha unamkwaza Sana ni bas tu mim ndo nakwambia sasa
@sanisani52663 жыл бұрын
@@elizabathsasu5454 Wedada samahani wekamamchoyo kivyako unaniona miniwakutegemea mtu hama ujaelewa nilichosema naona unataka kuingilia vitu ambavyo aviusiani kabisa nawewe
@aishaabrahaman99573 жыл бұрын
@@elizabathsasu5454 muache huyo hajui marafiki siku izi kila mtu na maisha yake uende kujijaza kwa mtu inahuu
@mchaganaduka3 жыл бұрын
Jisifie kula tu kuna hella😁😁
@saidimgawe65483 жыл бұрын
Hahaha fundi sim kumbe unaweza
@khadijambuya7943 жыл бұрын
Ahaha jot umenishinda tabia 🤣🤣🤣🙌🙌🙌ukaona Bora ufunguke ,ahahahaha.
@anithaswalleh58373 жыл бұрын
andunje, wakat mnabishana nipe ndizi kwanza
@vitalisvedastus51913 жыл бұрын
Joti una balaaa wewe dah noma sana
@dhuluufiklihassan5373 жыл бұрын
Watching from Dubai, natamaani kurudi nyumbani Tanzania
@lovehawa47583 жыл бұрын
Hahaha we tuvumilie tu
@lovehawa47583 жыл бұрын
@@mohamedslh5478 nik sharjah
@proviousnatukunda38922 жыл бұрын
My number one kiboga
@MstaarabuTv3 жыл бұрын
Haipingiki joti ni comedian,, east africa hakun km yy
@newsongalert3 жыл бұрын
Good job mr joti i like it🙌🙌🔥🔥
@justinmoshi76793 жыл бұрын
your support. 👇 kzbin.info/www/bejne/eqCboIqXi7B0opo
@jafari00153 жыл бұрын
kzbin.info/door/fC9gIbkeBxtjCVkK3QHCIQ
@halimarajabu89193 жыл бұрын
hachangii ht luku🤣🤣🤣
@fatemafatema85813 жыл бұрын
Joti ww nom xan kwny comedian
@magletpeter91303 жыл бұрын
Aaaaah atali san jot
@vanderkakwenzile21593 жыл бұрын
Uncle wa mchongo
@issakamangila41433 жыл бұрын
Uko vzr sn joti
@seyfally64033 жыл бұрын
Nipe ndizi kwnza 🙌🙌😅
@khalidismail13772 жыл бұрын
Saruti kwako broo
@mweefezzymwee49943 жыл бұрын
Kimeumanaaa
@chrispinchris703 жыл бұрын
Joti is the best comedian in tz
@4kcreative1003 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pYXNnGydZbyBl9U
@emmanuelikuwa60602 жыл бұрын
ukiwa na strees mwanglie joti
@adamumbise97553 жыл бұрын
Wa pili jmn naombeni like za joti hapa 😂😂
@justinmoshi76793 жыл бұрын
your support. 👇 kzbin.info/www/bejne/eqCboIqXi7B0opo
@angelbwija95473 жыл бұрын
Team andunje tujuwane jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@godfreyubwa98042 жыл бұрын
Hie
@binthkhamisi10973 жыл бұрын
Mwanaa hyooooooo
@noordndmn24433 жыл бұрын
Wow 😃 es lo más de Tanzania grande joty y su elenco
@mashramadhani19893 жыл бұрын
Kweli kabisa
@eddysimba68293 жыл бұрын
Yesi yesi
@emmyminah12613 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Wallah jot mama asinge kuzaa angepat tabu 😂😂😂nimecheka kam chizi 😂😂sasa ndizi ile unaitak wew utaki ale wali kwnn😂😂uchoyo Uo ushamsadifu shangazi ako😂😘😘i lov jot tv Wallah it make me happy every day,💃💃💃💕
@manjaruu6793 жыл бұрын
Ankoo wakati mnabishana leta ndizi basi😂😂😂😂😂😂
@nurukagina3343 жыл бұрын
your support. 👇 kzbin.info/www/bejne/eqCboIqXi7B0opo
@kimeveline70033 жыл бұрын
😁😁😁 na anko alivyoinuka kainuka nayo 😁
@manjaruu6793 жыл бұрын
@@kimeveline7003 noma snaa
@florajames75583 жыл бұрын
Ankoo wakat mnabishana naomba ndizi 😅😅😃😃😃😃😃😃
@finiaskalist7473 жыл бұрын
Mtoto mbea wewe eti wewe ndio mbayaaa hahahaha
@ARAPHAJUMA-ws6mo Жыл бұрын
Kafanya vizir
@jenipherlubamba18973 жыл бұрын
hahahahahaha Joti hii umenichekesha sanaaaa
@ernestadriano95733 жыл бұрын
😂😂 ukovizur sema kaka kwenye vipande Kama ivi chq mtoto akikisha nywele uweke atakitu kichwan ambacho akitatoa taswira ya usika kwenye vipande Kama iv ushauliwangu tu 🔥🔥🔥🔥
@jaclinemoshi98513 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Joti bhana umenifurahisha,Ila haya maisha ni ukweli mtupu
@nurukagina3343 жыл бұрын
your support. 👇 kzbin.info/www/bejne/eqCboIqXi7B0opo
@cedricmaina45233 жыл бұрын
Mtoto mbea wewe, wewe ndio mbaya 😂😂😂
@4kcreative1003 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pYXNnGydZbyBl9U
@giftyjohn38523 жыл бұрын
Good sana brother
@nurukagina3343 жыл бұрын
your support. 👇 kzbin.info/www/bejne/eqCboIqXi7B0opo
your support. 👇 kzbin.info/www/bejne/eqCboIqXi7B0opo
@bensonmwangudza47642 жыл бұрын
😂😂😂😂huyu jamaa....he is really great
@ahmadsaid48783 жыл бұрын
Andunje skuhiz mmbea sana 😂 juz alimchomesha dada Betty
@4kcreative1003 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pYXNnGydZbyBl9U
@jeangodelo53493 жыл бұрын
Andunje kama Andunje 🤸🤸🤸
@kibasamohamedi80293 жыл бұрын
Dah mechelewa
@rithakuyala99513 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂hongera kwa kazi nzuri joti
@abdulazizimohamed30933 жыл бұрын
Mjomba kaja na ndizi kabisa amejipanga
@selemankishema57803 жыл бұрын
Inafika mahala mtu anasahau kabisa kwamba anamtupa ndugu yake kwa kitu tunasahau kwamba wazazi wao walishakaa katika udogo wao wakiwalisha chakula sahani moja mafunzo mazuri saana
@4kcreative1003 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pYXNnGydZbyBl9U
@rashdiyange77583 жыл бұрын
Ih akya mungu kwetu tokea kabsa ndugu wa jitu kubwa alitak kufnya kaz ana tgea mishale yakula kuna siku tuka stuk ksma leo watu ndan wapik yule bwana alikaa mpka siku mbona tulitoa wenyyewee🤣🤣🤣🤣🤣
@roi2554 Жыл бұрын
Anko anko wakati nyi munabishana mi nipe ndizi😂😂😂😂
@tatuomary20083 жыл бұрын
Achangii hata ruku😄😄😄😄
@tatuheke14833 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣jamaniiii umemuweza huyo mjomba
@mariamhamisi5983 жыл бұрын
Jaman Mbavu zangu 😂😂😂
@ferouzmasoud48703 жыл бұрын
Mjomba ni Mama ila hunyonyeshi Lkn ukiutaka unanyonya 😂😂😂