Mkojani time yako muko vizuri sana munaonesha mambo yalioko manake Kuna wazee kadhaa wanakula mali ya watoto wa ndungu zao😢
@lukasimapesa4762 Жыл бұрын
444444a44b4a44
@toilidaniel4278 Жыл бұрын
Kutoka 254 nawakubali wazito wangu
@hasedyrashid7275 Жыл бұрын
Kiiukweli tiniwt na mkojani wakiwa wanaigiza pamoja wanafanya vizuli Sana kuliko saivi
@jamesmsaki4371 Жыл бұрын
🥳🥳🥳
@doreenpeter7771 Жыл бұрын
Bora msamehane muwe wote mana mlikuwa mnaendezana haswa Yani kundi ili linoge inatakiwa mkojani tin samofi nagwa mambwende msikose kabisa Yani nyie ni comedian wazur na mnatufurahisha Sana wadau wenu