😂😂😂😂 daah kweli ndio maana sijawahi penda supu ya matumbo na ulimi wa ngiri yaani uzinduzi wa caf champions league 😂😂😂😂 kweli wanadhidi kudhihirisha kuwa wenye akili ni wawili tu nimecheka sana vipi na ule uzinduzi wa simba sc na al ahly ya African football league hiyo tutaitaje kweli kuna watu wanateseka sana kupambana na simba sc simba ishajiweka kwenye level yake
@hassanrashid94362 ай бұрын
tena kumbe inawaumiza sana ule ufunguzi😂😂😂 mama zao hata waoge uchi hawawezi kuweka rekodi kama ile😅😅.
@eliwazadaniel65352 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂@@hassanrashid9436
@BoniphaceLikingo-lm9be2 ай бұрын
Hakuna uzinduzi apo Kuna mchezo wa yang na vital'o elewen wachambuzi na mashabiki hakuna uzinduzi wa kitu wakati kilishafanyika
Yani hawa vyura 🐸🐸🐸 wana tapatapa kijifananisha mnyama Simba 🦁🦁🦁
@alihumaid34922 ай бұрын
Huyo Ali kamwe bangi zime muelemea sana..... MASIKINI
@VictorBugobola2 ай бұрын
😂😂😂mtakuwa mnavuta ote umejua Kama zmemuelemea 😂
@PembeSalehe2 ай бұрын
Nyuma kuna vitambaa garage hapo au
@iddfundikira28172 ай бұрын
Yote kwa yote hakuna timu ya kuifunga yanga hapa Tz kwa sasa kwa hiyo lazima isemwe semwe vibaya na ma underdog wetu
@bonifacealphonce4902 ай бұрын
Ushindi hata uwe wa goli 100 hazitoi ukubwa wa timu!Mbaya timu ambayo inataka kuzindua ndio iwe timu ya mashindano ya awali?Kwanini hata magoli ya hatua hiyo hazihesabiwi?Wajinga ndio waliwao.
@dkasfilmstudio46412 ай бұрын
Mimi Yanga ila hili la ufunguzi tulikua tumepigwa 😂😂😂
@eliwazadaniel65352 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@samahakihange64212 ай бұрын
Hahaha semajiii hawa nyuma mwiko bwana wanataka kujipaisha lakini wapi
😂😂😂😂 unajua watu wanataka kushindana na simba sc wakati simba ipo kwenye dunia yake
@NeemAmianaMramiFamily2 ай бұрын
Dunia ni moja tu
@gabrielnybala21652 ай бұрын
@@NeemAmianaMramiFamily sawa maana Mars,Jupiter ni vidimbwi simba sc is on another level 🔥🔥
@yuzofx69732 ай бұрын
@@gabrielnybala2165 Sasa hizo ni Dunia au sayari?
@OmayOmmy2 ай бұрын
@@gabrielnybala2165 Kumbe akili huna sasa hzo ulizozitaja ni ndio dunia ungesema basi ipo kwenye sayari yake maana hzo ni sayari na dunia ni moja ya sayari katika sayari tisa
@edwardsoteli90752 ай бұрын
Utopolo nini wadogo wakubwa
@MahamuduLiwowa2 ай бұрын
Ehemedi Ali anatia huluma sana amekonda sana hakuwa Ivo Simba njaa kali duu kalibu yanga uje uludishe mwili wako
@Ibbz-sk3vv2 ай бұрын
ee alie k0nda n hy0 ehemed wak0😂 ila Ahmed we2 yuk0 full kbs
@jaraphy62632 ай бұрын
Mimi nimeshika hapa ibiris kukapembeni😂😂😂😂😂😂
@clarencemeena16282 ай бұрын
Utopolo Bangi nyingi, wanahangaika na vitu vya hovyo hovyo tu ili kujifariji.😂😂😂
@Kasika-hi6hf2 ай бұрын
Asa kujifariji Nini? Wao wanatakiwa kujifariji kweli? Au madunduka ndo wanatakiwa jifariji? 😂😂😂😂
@josephgomalo412 ай бұрын
@@Kasika-hi6hf Sasa nyie ni wa 13 katika Afrika mtafungua ligi ipi ambayo haijafunguliwa? Punguzeni umatako aisee.. mnatia aibu!
@Kasika-hi6hf2 ай бұрын
@@josephgomalo41 Sasa matusi ya Nini? 😅😅😅 Huyu wa 13 yupo champions league wewe wa 7 upo wapi?
Mambo ya champion legier yaachwe kwa machampioni wenyewe nyie wengine pambaneni na shirikisho huko...
@swaijeremia2 ай бұрын
Utasikia mashabiki wa makolo ooh Fred alikuwa mzuri kuliko huyu mlio mleta hawa kawii hwaa
@maulidkipaga17032 ай бұрын
Ivii Hawa Utopolo watakuwa na tabia kuwadanganya jamaa zao Hadi lini!!!😮😮😮
@JapharyJustine2 ай бұрын
Ila viongizi wayanga wapo sahih kwasababu mashabiki wayanga ni mambogo kila wakiambiwa wapo tu sijuh Yale masupu ya vibudu ndo yamewachanganya akili,hawataki kutuiga sisi wanasimba daa inatia uluma sana hii ndiy ubya ubwela
@AyubuMohamedi2 ай бұрын
YANGA bingwa 😁😁
@VictorBugobola2 ай бұрын
Kwahgo 😂Mnabishana na CAF Mambo ya utani nkama uadui Sasa Kwan ukikubali wanafungua Kuna ubaya au unabadilika nn sometimes wivu tu na Roho baya 😂
@Ibbz-sk3vv2 ай бұрын
imekuuma ee😂
@AlcherausMalinzi2 ай бұрын
Hiyo ni danganya toto.Unazindua mashindano wakati ligi iliishaanza na wengine walishaaga macmshondano?😂😂😂😂
@VictorBugobola2 ай бұрын
Hayo ya danganya Toto unayajua ww bishana na caf
@AlcherausMalinzi2 ай бұрын
@@VictorBugobola CAF kwenye taarifa zake hakuna ujinga huo.Utopolo mnadanganya mazuzu wenu waje uwanjani.Alafu mechi yenyewe inachezwa chamazi.Utopolo mmeogopa kwa mkapa hakutajaa.
@AlcherausMalinzi2 ай бұрын
GOMBANIA GORI FC mpooooo?
@careemdulla16292 ай бұрын
Na bado hamjasema
@josephgomalo412 ай бұрын
Usisahau kuwa gongo wazi huenda wakaalikwa kufungua ligi ya Somalia pia! Hao ni wataalamu wa ufunguzi..!
@dstaroficial2 ай бұрын
Majeruh imeanza jamn
@athumanishabani11432 ай бұрын
Mpaka mthemeeeee!!!!
@stanslausbereghe38192 ай бұрын
Huyu jamaa wa mchongooo nini? Mdomo mdomo tuuuu...
@HusseinHussein-f7n2 ай бұрын
semaj kagoma Ana shida gani mbn hachezi
@nicolausmadatamalembela52912 ай бұрын
Semaji ananepa mwezi mmoja unaofuata anakonda anashida gani?
@HABIBHASSAN-wf5mr2 ай бұрын
TIMU YA YANGA IMEWAPIGA SIMBA GOLI 8 MWAKA NDIO TIMU NDOGO HIYO ? TIMU YA YANGA KWA SASA AFRIKA NI NO 1 KWA BEST PERFORMANCE IKIWA NA POINT 88 NA YANGA KWSSB DUNIANI INASHIKA NAFASI YA 4
@masoyendege56232 ай бұрын
Ww akili zipo kweli
@bonifacealphonce4902 ай бұрын
Hakujawahi kuwa na vigezo kama hivyo kwenye mpira wa miguu bali performance ya timu inapimwa kwa kushinda na kuchukua kombe husika,yanga ameshinda kombe gani Africa?Kwanini hayupo timu bora 10 za Africa?Jiwekeeni vigezo na mjikweze haibadili kitu.
@edwardsoteli90752 ай бұрын
shemeji hakika lingua sana😂😂😂😂😂
@butorichard39712 ай бұрын
Inathibitisha kweli Simba mmesajili totozi mpaka wanalia wafungeni nepj😂😂😂
@dicksonmzao83762 ай бұрын
T f f wana endelea kuwa beba sana ili kuwa faliji mkae kilelen
Hawanaga maneno ya kusema ni kuongeaga ujinga tuuu
@aishaadam99332 ай бұрын
Anabalas mambo apo unawauma jaman
@AbuuSumaiyah2 ай бұрын
Ww dogo sisi tunaongelea ufunguzi wa Champion league ww unasema Simba ndio alitakiwa awepo kwenye uzinduzi,kwani Simba yupo kwenye Champion league au yupo kwenye Shirikisho????
@stanslausbereghe38192 ай бұрын
Mbona unajivutia kwako?
@NapeDkilia2 ай бұрын
Naww nae unaingizwa mjini unamaliza nguvu zakuongea
@djfoxfoxthedj652 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@LuckySmtowe2 ай бұрын
Nae uyu musemaje kweli au mchekeshaji
@sospeterlaurent44282 ай бұрын
Hahaha!!
@stanslausbereghe38192 ай бұрын
Wewe si ungeacha TFF watoe tamko wenyewe?
@malietamaliet2 ай бұрын
😂😂😂Kumbe umesikia nilizani ujasikia ila ujue kesho Kuna press ya uzinduzi apo makao makuu ngoja uongelee shirikisho bhn angekua mtu wa yanga anaiongelea Simba ungesikia makolo mara ooh ongelea timu yako tuachie timu yetu Sasa uyu anaiongelea Gani 🙄🙄🙄🤣😂✋✋ comasavva
@bone1022 ай бұрын
Hatukushangai sababu Tunajua wenye Akili yanga ni wawili na ww kwenye hao wawili haupo
@gabrielnybala21652 ай бұрын
@@bone102😂😂😂😂 eti uzinduzi wa CAF champions league kweli nimeamini wenye akili ni wawili tu kwenye kituoa cha wanywa supu
@castrocastro96152 ай бұрын
Uzinduzi hauwezi kufanyika mechi za pili za mashindano. Ingekuwa ndivyo uzinduzi ulipaswa kufanyika mechi za kwanza za mashindano
@gabrielnybala21652 ай бұрын
@@castrocastro9615 nimecheka sana siku sio nyingi watazindua kombe la dunia,Afcon na netball
@kichefuchefu23822 ай бұрын
Huyu mjingatuuu
@mwambehaji692 ай бұрын
😂😂😂😂
@SaidAlly-uh4qw2 ай бұрын
Huyu nae anachokiongea hata akielewi ila si mlaumu hapo ana ganga njaa tu
@bone1022 ай бұрын
Sasa mwenzako ana ubalozi kampuni kibao ana kampuni ya kuagiza magar bado yupo Simba anakula raha halafu wewe usiye julikana unasema ana ganga njaa😂😂
@Brince-ls6pv2 ай бұрын
Sasa anaukataaje wakati wao wako shirikisho uko kwenye kombe la loose
@hamishatibu6992 ай бұрын
Ufunguzi wa CAF unafanywa na bigwa wa CAF na Bigwa wa Federation ndio wanacheza mchezo wa ufunguzi. Akili za kamwe kuwadanganya wanayanga ni vile hawana akili ya hizi mashindano ya CAF
@pinomjata6782 ай бұрын
Gombania goli sandakalawe 😂😂😂
@SurprisedFullMoon-gg9vu2 ай бұрын
Hv utopolo mbn timu yao ime kuwa ya uongo uongo hv?mara aziz k anatakiwa na mamelod"kumbe uongoo mtupu
@josephgomalo412 ай бұрын
wenye hela hawanunui wazee.. huyo asubiri kuwa kocha tu..!
@SurprisedFullMoon-gg9vu2 ай бұрын
@@josephgomalo41 hahahahah
@azizajamary5762 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂gombania gori
@AbdullaAzizi2 ай бұрын
Hili analozungumza yanaingia akilini
@ErastoChilanza2 ай бұрын
Unaongea unajiamini utadhani una timu kumbe bangi tupu ngoja tukutane tuwazime kabisa
@rashidgogo55582 ай бұрын
Wew endelea kudangaywa kama demu
@JuliusJohn-ce7hr2 ай бұрын
Mbona unatumia nguvu nyingi sana kujieleza sana kumbe tunafanya vitu vinawauma sana😅😅😅
@stanslausbereghe38192 ай бұрын
Maswali hayo wewe MWANDISHI?
@HasnaduKope2 ай бұрын
Wajinga ndo waliwao 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ManizoTheboy-ko1hw2 ай бұрын
Kwe wewe semaji la caf
@JohnSulle-q6p2 ай бұрын
Fungueni bc nyie
@giftmvungi-ui1dm2 ай бұрын
Hawana thaman wemekufunga mara tatu mfululizo
@NeymaTarimo-uk1zw2 ай бұрын
Kwa kuwa wewe uhawahi kufungwa na Simba?
@Emanueli-vz6fd2 ай бұрын
@@NeymaTarimo-uk1zwsio mfululizo ss chefu
@NeymaTarimo-uk1zw2 ай бұрын
@@Emanueli-vz6fdkwaiyo kama umemfunga simba ndo sababu ya kufanya ufumbuzi