Jamani brother feisal kila mda naomba kila siku naomba arudi yanga nampenda sana fei sana tena sana rudi❤❤❤❤❤ 2:29 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@halimasawa611Ай бұрын
Siku zote mtto kwa mzazi haku...fei ❤yanga n nyumban njoo wala usione haya wala usijipe mawazo....wanayanga wengi wetu tunakupenda sana ....yan iyo siku ukirud wallah nitafurah sana juu we n mchezaj wangu pendwa❤
@LauMagwajaАй бұрын
Achen unafik utopolo umeona ajafel ndio mnamtqman 😂😂😂😂
@halimasawa611Ай бұрын
@@LauMagwaja hisia zako izo za kijinga usifikirie kila mtu ana hakili km zako
@TheShakazulu02Ай бұрын
Yale matusi yote mliyomshushia je?
@halimasawa611Ай бұрын
@@TheShakazulu02 uliniona me nikitusi ama....me sio mtu wamatus ...i respect everyone in this world
@malietamalietАй бұрын
uwe unajibu hivi ila sio majibu yakitoto utafika mbali sana lastborn wa mama ukitaka kurudi yanga kuja upambane ndo maisha yako achana na wanaokujaza
@arafatmbaruku8927Ай бұрын
Hawez kurudi utopolo hyo miaka mia
@OmaryKiwambiloАй бұрын
😊😊@@arafatmbaruku8927
@PhinaNassoro23 күн бұрын
Akirud je@@arafatmbaruku8927
@sabriysoudy5623Ай бұрын
Umeongea vzuri sana, very professional
@roudhamahmoud763Ай бұрын
Nimependa leo umejibu kiukubwa na siyo yale majibu utumbo hongera na mungu akupe zaidi kipaji
@FatmaSalm-jn4xuАй бұрын
Mdogo wangu fei pambana mungu atakupa hitaji la moyo wako❤ nakupenda sana
@RealngwangwaАй бұрын
❤❤
@AllyNakopaАй бұрын
Fei mpira ni kazi karibu nyumbani
@renatusngeleka6059Ай бұрын
Msimu ujao atacheza Njano na Kijani tunzeni ujumbe huu na atakuwa mchezaji wa ndani anae lipwa fedha nyingi
@Yassirjuma-i1cАй бұрын
Hii ndy maan ya wznzibar tofaut na nchi nyengne
@AyubuNgunwa4 күн бұрын
Kaka njooo yanga ni nyumbani kwako
@ansigarymbele8446Ай бұрын
Sahiz ungekuwa mbali
@muhiddinmustafa-r9jАй бұрын
Rudi nyumbani Fei tunakungoja na tutakupokea kwa mikono miwili, ww ni mchezaji mkubwa na unastahili kuendelea kuchezea Yanga, Karibu sana dogo.
@dynamoowamajukwaa175818 күн бұрын
Omba mungu sana urudi jangwani dogo
@TheShakazulu02Ай бұрын
Mara nyingi ukirudi kwa ex wako, mambo huwa sio kama mara ya kwanza. Timu ziko nyingi, angalia huko kwingine utapata furaha na amani ya moyo. Penzi jipya ni tofauti na penzi la ex wako.
@pacomezouzoua9175Ай бұрын
Zanzibar finest🎉
@hasanimkamba8377Ай бұрын
Kalibu sana dogo yanga ipo tu
@KasimChaulaАй бұрын
Mashabiki wa yanga ni wanafiki mno huyu fei mlisema anamloga azizi k ndo 7bu azizi kutofanya vzr Leo mnasema tunakupenda Rudi Mara fei ana gundu duuuh wabongo tuacheni roho mbaya
@Carolina-sm5ztАй бұрын
Mashabiki ndivyo tulivyo huoni hata wachezaji tunavyo wabeza pindi wasipo fanya vizuri huwa tunasahau yote inabidi tubadilike
@stevensosipitaАй бұрын
IKIWA YEYE BINAFSI KAAMUA KURUDI YANGA NA UONGOZI UMEKUBALIANA NAE SISI MASHABIKI TUNANGUVU GANI YAKUPINGA?NA UNAFIKI WETU UKO WAPI?KUWA NA AKILI BWEGE WEWE
@Sanjey-vp1fmАй бұрын
Yanga wote manara kawaona kama wote hamnazo mbumbumbu, unafiki mwingi kwaiyo akirudi yanga azizi k atakaa bench tena maana mchawi wake atakua karudi. Yanga hamjielewi
@musapfute6608Ай бұрын
Hayaruhusu kolokwinyo,,,, nyie na matetron yenu Nan anawasema
@chuzilapweza651729 күн бұрын
mbona yeye Feisal alisema hawezi kurudi yanga mpaka hesri aondoke afu sasa hivi anasema nini kuhusu hersi..!!?? mwisho wa siku unatakiwa uelewe football sio kama mambo yenu ya vikoba huko mtaani kwenu
@JamesKasongo-m8bАй бұрын
Napenda unavyowatoboa manyoka fc sisi kijani fc tumeanza kukufor
@Carolina-sm5ztАй бұрын
Fei ni mwanetu haya mengine yote yanapita mana sisi Binadamu huwa tunataka mazuri tu na si mabaya Mungu akulinde Mwanetu
@simonlukiko2850Ай бұрын
FEI RUDI NYUMBANI MDOGO WANGU KUMENOGA KAKA
@LauMagwajaАй бұрын
Utopolo 😂😂😂 bado mjasema
@rogersiddyАй бұрын
Aje kufanya nini wewe acha mnafiki abaki huko huko Yanga wanakula ugali na sukali aendelee kula ramba ramba na mikate tu😡😡😡😡
Mtangazaji ndio huyu Sasa anauliza maswali mpaka unapenda
@JastinJerome-y5k28 күн бұрын
Rudi home utafte ugari kijanaa
@JosephNdobele14 күн бұрын
Aje mtoe nan yanga
@alvinkulasare148Ай бұрын
Nice jibu
@jumashedafaАй бұрын
Rudi yanga si dhani aliyekishair nan kwenda Azam ila pesa ulizofikiria hapo ni chache mno kama ungekuw mvumilivu kwa kichache ukaupiga mwingi kimataifa huend ungeend kupga pesa nyingi nje ya Tanzania mf; morocco, misri, tunisi n.k ila kwa Azam hiyo dah! Umejichimbia shimo kuonekan kimataifa ni ngumu..Kama ikishindikan yanga nenda ata simba tu kwa faida ya kupga mpunga nje wa kutosha na kuja kusaidia Taifa
@JafariNahimbaАй бұрын
Rudi yanga fei tunakusubili
@othmantv2654Ай бұрын
Fei rudi yanga...wananchi bado tunakupenda😢
@AhmadaHassan-gy5ujАй бұрын
Aje kula ugali na sukari? Sema unampenda sio tunakupenda
@LauMagwajaАй бұрын
Utopolo bado mjasema 😂😂😂
@isakajacob3758Ай бұрын
Kuhusu swali la kirejea yanga au simba... Kijana ataenda yanga tu maana kajilanyaga kweli kujibu😂😂 ni sawa na mtoto kutaka kula wali Kwa watu anajichatua kula kumbe anatamani
@mussakilo4916Ай бұрын
Mimi natamani urudi yanga au simba utaenda mbali lakini huko dahh nakuombea mungu ufike mbali
@musapfute6608Ай бұрын
Hana dam ya simba huyu😂😂😂😂
@danielaugustino705Ай бұрын
We si ulisemaaa raisi labda atoke ndo urd yangaa Leo tnaaaa....😂😂😂😂 Dah hilaaa fei
@rashidikhassim8125Ай бұрын
Yani hapo umejibu kinyangindo safi
@haidarysalehe9056Ай бұрын
IPO SIKU FEI utarud YANGA man NI home
@ansigarymbele8446Ай бұрын
We si wakucheza shirikisho Wala mechi mbili za club bingwa
Kuna sms humu za uto wanajikomba Kwa fei Hadi sibu
@johnbernad3990Ай бұрын
Sasa umekua mla sukari 😂
@sahraabdallah7242Ай бұрын
Fei rudi yanga bado tunakupenda wengine
@IddyNchamaАй бұрын
umeanza kuwa na upeo wa kukua na anae kushauri aendelee kukupa darasa
@loitengia4217Ай бұрын
Ukirudi yanga tunakuisha ugali na mchanga😅
@ReiphanLusunguАй бұрын
😂😂😂😂apo umeenda mbali sana
@shafiimdogwa1482Ай бұрын
Ona sasa Utakavyo Ongeza Follow Wengi Rudi Nyumban
@siliviasimon7970Ай бұрын
😮
@josephlambo2433Ай бұрын
Rudi yanga
@JumaJuma-g5eАй бұрын
Ubwela. Hamuna. Maana. Bhannaa
@safarimashimba5080Ай бұрын
Mchezaji mkubwa kwenye timu ndogo!😂😂😂
@FestusmartinBahariaАй бұрын
Cna maxhaka na kiwango cheke Rudi nyumbani
@KevinPhilberthАй бұрын
Nakubar saan kaka,,
@saidmakamo8764Ай бұрын
Paka mama yko cc tunasema tunamhitaji kama anakubali kosa lake atuombe radhi tu.
@mgallason...5686Ай бұрын
Hii nchi ngumu sana
@arafatmbaruku8927Ай бұрын
Hyo ndio kiboko ya mashabiki wa utopoloni
@shabanimbega40Ай бұрын
Wewe nenda huko Yanga hutarudi tena. Baki Azam au nenda timu nyingine
@rizikiabdalla2501Ай бұрын
Ok kumbe yanga ni ya baba ako na ww ndioo unae amu nani aje nani asije au
@HappyEel-wg4qxАй бұрын
Sema kweli acha unafiki wako
@braystuskibassa3842Ай бұрын
Hapo Azam kumbe upo kama kivuli tu ndo hujitumi mpuuzi kweli
@susumantalanta8505Ай бұрын
Na nyie watangazaji sometimes mnakuwa kama mafala, we mtu alishanukuliws akisema rais hapokei simu zake na hawezi rudi yanga hadi rais aondoke we bado unamuuliza kama hawako au wako vzr
@josephkusenha5916Ай бұрын
Uyu jamaa ana akili sana, anajibu kiutimamu
@SaidAlly-uh4qwАй бұрын
Ugali na sukar😂😂😂
@LimseyMassaweАй бұрын
1. Fei amejibu kiutuuzima, inaonyesha amekuwa maana anatumia muda wa sekunde kadha kuelewa swali. 2. Fei ni mtoto wa Jangwani, na engineer akiongeza gear kidogo tu " jezi number 6" itauzwa sana msimu ujao. 3. Mpenja TV, huyu mtangazaji muongezee mkataba, maboss wako wa azam wakimuona ufanye biashara, maana itabidi avunje mkataba na wewe😅
@robertphilip385Ай бұрын
We mtoto Rudi yanga utimize malengo Yako ya mafanikio Dunia ikuone
@waltermshanga4559Ай бұрын
Fei bado anaipenda yanga atarud huyu inshaallah
@EduardwarrenPlАй бұрын
Si ndo huyu huyu aliyesema kua Heris akitoka yanga anaweza kuendelea kucheza yanga... Leo anasema hawajawahi kuwa na tofauti
@FatmaSalm-jn4xuАй бұрын
Mbona wapo wengi wanagombana na wanaelewana kwani wewe hujawahi kugombana acha manenoyako
@neemamwijageАй бұрын
Sasa rais wa yanga ashaanza kumpigia simu aliona simba wanataka kumsajili akaanza kupiga simu ili asiende simba 😂😂
@CostantiniSabiniАй бұрын
Karibu unyamani
@MuhammeduallyАй бұрын
Hakuna kitu hapo,abaki hukohuko kwenye urojo
@Mawejr2012Ай бұрын
Ila Yanga bado ugali na sukari upo
@AhyadAbubakaryАй бұрын
Ukitaj kua na maendeleo ya soka achana na yanga
@greysonkisinda7390Ай бұрын
Aje simba au sio😂
@AhyadAbubakaryАй бұрын
@@greysonkisinda7390 ndio c mulimzarau
@AhyadAbubakaryАй бұрын
@@greysonkisinda7390 munalipa watu hela ndefu Nina mzarau
@jumanneenos2481Ай бұрын
Endelea kupata Raha, ulikosa Raha sasa unapewa Raha
@PauloAlfayo-qi1gnАй бұрын
Fei Leo nimekuelewa kumbe Huwa nakuchukia Bure kumbe watu ndio wAkuzaji rudi nyumbani bwana fei ongera na rais wa yanga una hekima kama injinia nimekusamee mdogo wangu
@MumewanguАй бұрын
Hamna lolote mulimtukana sana
@neemamwijageАй бұрын
@@Mumewanguyani ningekuwa yeye nisingerudi yanga wakati timu zipo nyingi
@YassirHaleem27 күн бұрын
Unprofessional fei as player wa Timu huwez kusema hadharani unaongea na boss wa Timu pinzani sana huwez kabisa watu watafkiria vibaya
@Shadia544Ай бұрын
Ukirudi yanga namia azam ili nikawe mshabiki wa azam tuu wewe ulisema kuwa yanga ulikuwa ugali na sukari 😂😂😂
@filbertntibasiga8093Ай бұрын
Rudi nyumbani dogo hujaua
@greysonkisinda7390Ай бұрын
Mchezaji gani asietaka kucheza yanga ilivoyamoto na yenye malengo makubwa? Hata watu mwenye akili huwa anaweka malengo na mtu mwenye blight future,siyo kila siku unarepeat pale pale huo ni ulemavu wa akili
@controlTheoryChampsАй бұрын
Blight future ndo inamaanisha nini, ha ha haha
@AbubaMuhamedAbubaАй бұрын
Siku atakayorudi yanga huyu timu itagawika vipande vipande.huo uzuri wake auoneshe Azam kwa kuchukuwa kombe .mwana kulitafuta
@HappyEel-wg4qxАй бұрын
Ww uongo umezidiwa tu maji ya shingo huna chakuonge
@attiliokasuga1764Ай бұрын
Huyu ni fala tu! Anafikiri wote ni watoto kama anavyoitwa yy. Ishia mbali na Yanga bwege we!
@MjapancompanylimitedАй бұрын
Kuwa muungwana bro! 😂
@SADICKITHOMASАй бұрын
Samatta akili zake ziliangalia mita mia nane cz aliona hili soka la bongo lingemfelisha
@rashidalihamad7228Ай бұрын
Ila wewe Mzee unaoneka umezeeka hata mawazo, chuki hazikusaidii na yeye kwa Kila mwezi anatengeneza zaidi ya milioni 20. Sawa wewe hangaika na chuki zako😂
@HamzaMillanzАй бұрын
Wew N Simba 😅😅😅
@shukurumgaya5950Ай бұрын
Rudi hom
@FadigaObetАй бұрын
❤😊😊😅
@AgnesJohn-f1rАй бұрын
Eti mnawasiliana vizuri tu 😂 Azam mwangalieni huyu haeleweki atawauza huyu mnawasiliana kuhusu nini Azam fukuza huyu paka 😂😂😂😂
Huna tatizo na Raisi leo hii haah wewe si ndie uliesema kuwa akiondoka leo Hersi Yanga wewe utabakia Yanga sio wewe kijana?wewe ni mnafiki kijana na Sahau kuhusu Yanga imeisha hiyo halas
@abdunnurahmedsilim7456Ай бұрын
Wewe Yanga si yako na inawezekana kabisa wewe ukawa kolokwinyo...Fei akitaka kurudi nyumbani anarudi tu na muda utaongea...sisi wananchi tunampenda na tunajua kwamba kuna mijitu mibaya ya upande wa pili na wengine walimrubuni...