No video

MPENZI WAKO AU MUMEO AU MKEO JE ANAKUFAA ? "SIKILIZA HII"

  Рет қаралды 77,711

Nyota Zenu

Nyota Zenu

Күн бұрын

Пікірлер: 106
@BabalandaSimon-fk2vy
@BabalandaSimon-fk2vy 2 ай бұрын
Asante
@ismailathman6647
@ismailathman6647 5 жыл бұрын
Inna lillahi wa inna ilaihi rajiun hii pia ni dalili ya kiama allah atuongoze
@abdulrazaqjuma6571
@abdulrazaqjuma6571 Жыл бұрын
Hii ni shirki jamani, zindukeni hakuna anaeweza kujuwa future ispokuwa Allah. Hakuna ukweli wwte kwenye nyota Allah nd anajuwa kakupangia nini na utadumu mpaka mda gani. Namuomba Allah atukinge na njama za shetani.😢😢😢😢
@katushabedotto2883
@katushabedotto2883 Жыл бұрын
Mm mchumba wangu tukikutana ndan ya gari na tunapendana Sana Sana
@eddamwinzi8663
@eddamwinzi8663 4 жыл бұрын
Asantee
@naomyalex5859
@naomyalex5859 5 жыл бұрын
Pole na kazi hv i au j na n wanaweza oana
@ibrahimmwanaidy9717
@ibrahimmwanaidy9717 5 жыл бұрын
uko sahihi mm nimempenda mtu anaeish.arusha
@jacklineibraheem65
@jacklineibraheem65 Жыл бұрын
Asalamlyuku Ustadhi kipindi nime Kuta mwisho nakila Niki sikiliza sielewi😂😂😂 nachanga nyikiwa mchumba angu herefu zake D na S Mimi pia natumia A tulikutana kwenye mtandao wa kijamii mpka Leo ntuna miaka 7 Sasa itakuwaje hapo ufafanuzi ana nifaa pia jina langu jingine Mimi J
@jeffmauzo5483
@jeffmauzo5483 5 жыл бұрын
Shukran sana
@hawaabdallah4782
@hawaabdallah4782 2 жыл бұрын
Nurati wew no ng,ombe
@isuphabdallah5400
@isuphabdallah5400 2 жыл бұрын
Yes
@tatuatut7542
@tatuatut7542 5 жыл бұрын
Jina langu ni t.mumewangu ni mganga.lakini sijampata ugangani
@zayanaalmarjibi4254
@zayanaalmarjibi4254 3 жыл бұрын
Wengine wanaowana kupitia ki halali, wachumba hawakutani popote, wazazi wanakwenda kuposa wakikubaliana watoto wanaozeshwa bila kujuana, na wanaishi daima milele kwa pamoja, inakuwa vipi watu hao
@fridaahid2700
@fridaahid2700 5 жыл бұрын
asante
@jamilashoo7749
@jamilashoo7749 5 жыл бұрын
Asalam alhekum sheikh erufu A na J wanaweza kuoana ahsante
@mwanaishamlima2047
@mwanaishamlima2047 3 жыл бұрын
Soma uislam wako achana na huu ushirikina kufanya ivyo utaingia Kenya ushirikina na mshikina 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@robinajohanssen697
@robinajohanssen697 4 жыл бұрын
Je Kuna tofauti gani na kufata utaratibu wa maji na udongo ama moto na upepo? Hata kama herufi hazipatani?
@bahatiandrew7847
@bahatiandrew7847 5 жыл бұрын
Salam sheikh unaweza ukaniambia (komesho LA usingizi)
@nicolauscostantine6395
@nicolauscostantine6395 4 жыл бұрын
Nimekutana Naye kanisani
@zuusaid6194
@zuusaid6194 4 жыл бұрын
Asalamghaleikm MM nyota yang niyang'ombe je naendana nanyota ya Nge ? Kimapenzi au Mme namme ?
@faithtrust6749
@faithtrust6749 4 жыл бұрын
Zuu Said mnaendana udongo na maji
@ayoubissa977
@ayoubissa977 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@yusufjuma1749
@yusufjuma1749 5 жыл бұрын
Mm nimeota kaka yangu amekufa na mm nikalia sana nikiamka ilikuwa saa nane na nusu usiku nilipolala Tena ndoto hiyo hiyo nikaiota Tena hadi saa kumi,in ashiria nn ndoto hiyo
@feisalsuleiman2795
@feisalsuleiman2795 5 жыл бұрын
Me ciamn haya
@nuratkalinga581
@nuratkalinga581 4 жыл бұрын
Mimi nimezaliwa tarehe 7/4 nyota yangu ni ipi?
@jacklinejackline7605
@jacklinejackline7605 2 жыл бұрын
kwakweli nyota yangu imeendan. na mahali. nilipompaata mwenza wangu😂😂😂😔
@mwaminiuwimana2916
@mwaminiuwimana2916 4 жыл бұрын
Sasa mbona mimi nachangia nyota na mwenza wngu je tunaendana kwer?
@jamilasaid1764
@jamilasaid1764 4 жыл бұрын
Jamani heluf m sijasikia
@asiyaasiya994
@asiyaasiya994 4 жыл бұрын
Mwalimu naomba kuuliza swali hivi herufu A na S zinaenda napiya mahusiano yetu ni yambali
@stellanyaga8197
@stellanyaga8197 4 жыл бұрын
Mimi nimeamini ayaa maneno
@sophiahassan4869
@sophiahassan4869 5 жыл бұрын
Mm n A mwenza wangu n S....n tulipatna kw simu he twaendana ?
@amenahimbwaga4696
@amenahimbwaga4696 5 жыл бұрын
Sophia Hassan, nimeipenda comment yako hapo,pia nami n A mwenza wangu ni S...Sasa hapo pia nangoja jibu atuambie,tunaendana ama hapana,same to you tulipatana kupitia njia ya simu😂😂😂😂
@salmaoman6347
@salmaoman6347 5 жыл бұрын
Mm ni S na mpenz wang ni A pia mmmmh
@andrewkilave3532
@andrewkilave3532 4 жыл бұрын
mtakuwa mnaendana
@feisalsuleiman2795
@feisalsuleiman2795 5 жыл бұрын
Co kwl
@ibrahimmwanaidy9717
@ibrahimmwanaidy9717 5 жыл бұрын
kweli umemrithi baba yako ingawajee huwez kurithi cha mtuuu Ila wewe umemrithi baba yako pureee kabisa
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 5 жыл бұрын
Safi Sana dokt hilo ni muhimu ulishawagi gusia hilo nyota flani na sehem za kukutana
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 5 жыл бұрын
Mim ndio mana kutafutiaga watu wapenzi au kutafutiwa sipendagi kumbe pia Kuna nyota nyingine haifai
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 5 жыл бұрын
Ushawai Sema hilo Kwa punda
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 5 жыл бұрын
Nyota yangu ya pili
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 5 жыл бұрын
Taasisi za feza hilo ulishawagi Sema na bara
@nuratkalinga581
@nuratkalinga581 4 жыл бұрын
Mimi nimezaliwa tarehe 7/4 nyota yangu ni ipi?
@fahimaumazi7048
@fahimaumazi7048 4 жыл бұрын
Mm ni erufi U na mpenz wngu ana erufi M na tuliptna mtandaoni je ni saa hihi huyo
@yumnahamis407
@yumnahamis407 4 жыл бұрын
Mimi herufi yangu y nimempata mpenzi herufi A nimempata kwenye cm je anafa mali au hafayi
@juliusngesela1571
@juliusngesela1571 5 жыл бұрын
Dawa ya kigugumizi
@khadijamshamu760
@khadijamshamu760 5 жыл бұрын
Ss mm sijui nyota yangu ng'e au ndoo naitwa KHADIJA nisaidie
@ednahabdillah9857
@ednahabdillah9857 4 жыл бұрын
Ndoo na mimi ni Khadija
@saidajuma4840
@saidajuma4840 4 жыл бұрын
Nikweli babu unavosema
@barakanimfa6773
@barakanimfa6773 4 жыл бұрын
Mbona N m kwani hawana nyoto ,mfano Neema/ Maria
@tundaclassic2704
@tundaclassic2704 5 жыл бұрын
Swadakta
@bobbymauzo4967
@bobbymauzo4967 4 жыл бұрын
Nakupenda Tunda
@tatuatut7542
@tatuatut7542 5 жыл бұрын
Mumewangu j.Mimi t.alinipata kwenyekazi alikuwa kikazi.pia tumeachana na bado ananitaka san
@josephmwita3131
@josephmwita3131 4 жыл бұрын
Ndio
@gracevulimu5460
@gracevulimu5460 5 жыл бұрын
Ni jina gani tunaangalia ....fast name or second name
@salmasaidi2875
@salmasaidi2875 4 жыл бұрын
First
@alphoncewilliam6864
@alphoncewilliam6864 4 жыл бұрын
Je ukikuta majina yanaanza na .a na a inakuaje
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 4 жыл бұрын
Sasa ndo inatokea mkanganyiko unakuta mfano huyo wakukutana Dukani sijiu atakutana nae Bara anampenda ,afu yule wa Bara nyota yake inasema atakutana na mpenzie kwenye masherehe au marafiki...😁😁😁patamu hapo sasa sijui inakuaje yule wa Bara akubali kuendelea na mambo yake au vip?
@faridamwamudu3704
@faridamwamudu3704 3 жыл бұрын
Na f
@millionsofreasons9806
@millionsofreasons9806 4 жыл бұрын
Sasa mwalimu , kama sisi tusojua tarehe zetu Za kuzaliwa tutajuaje nyota zetu!?
@josephemmanuel3175
@josephemmanuel3175 3 жыл бұрын
Njia pekee ni kujua jina la kwako na la mamaako la asili kwa kugawa kwa miez 12 itakayobaki ni ndo nyota yako
@pitamushi1198
@pitamushi1198 4 жыл бұрын
Mwongo tena ibilisi uyo tena tapeli mkubwa
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 4 жыл бұрын
Kabisa tena jizi jambazi
@nyotazenu3748
@nyotazenu3748 4 жыл бұрын
AHSANTE SANA KWA MATUSI YAKO KAMA UNAJUA HUU NI UONGO UNAANGALIA YA NINI WAACHIE WANAOAMINI WEWE NENDA KANISANI
@vanessaraphael669
@vanessaraphael669 4 жыл бұрын
😂😂kam una wapenz wa wili je? Na wote umekutana nao kweny simu😂😂😂😂😂
@ashurasss1044
@ashurasss1044 4 жыл бұрын
Haaaa wewesasa niatar🤣🤣🤣🤣
@saleheibrahim374
@saleheibrahim374 4 жыл бұрын
NAOMBA NIJULISHE HERUFI ZIPI ZINAPATANA KATI YA J NA K AU M NA K
@bahatiandrew7847
@bahatiandrew7847 5 жыл бұрын
Na pia dawa ya kigugumizi
@makelula3240
@makelula3240 5 жыл бұрын
Bahati Andrew m hii ninayo tuwasiliane
@mwanaishamlima2047
@mwanaishamlima2047 3 жыл бұрын
Ww mchawi kama wachawi wengine atakaye Mafata nae atakua mchawi na mchawi motoni
@nyotazenu3748
@nyotazenu3748 3 жыл бұрын
Ahsante Kwa maoni yako anayeamua Nani wa Motoni na Peponi ni Allah siyo wewe
@nyotazenu3748
@nyotazenu3748 3 жыл бұрын
Ahsante kwa maoni yako lakini ukiona mtu anamwambia mwenzie Mchawi basi ujue kuwa yeye ni MCHAWI MKUBWA maana mambo ya KICHAWI anayajua SISHANGAI
@everinapesambili6592
@everinapesambili6592 5 жыл бұрын
elufi E na p .sija isikia
@salmasaidi2875
@salmasaidi2875 4 жыл бұрын
Nyota ya simba kumpata kwa michezo na kadhalika
@fatumamomo5113
@fatumamomo5113 4 жыл бұрын
Kiukweli watu wanachukulia poa ila usiombe yakukute ,tujitahidi kusoma tuapte faida jamani
@salomeedson7975
@salomeedson7975 5 жыл бұрын
m
@zuhuramike1399
@zuhuramike1399 4 жыл бұрын
.
@norinyswai6978
@norinyswai6978 3 жыл бұрын
Me naitwa Irene nyota yangu nimapacha na mpenzi Wang nyota yake niya punda je tunaenda
@mdumbemalongo4518
@mdumbemalongo4518 Жыл бұрын
Acha uongo wewe mchawi.....haya mambo ya ulozi na vibuyu si katika uislam.....huu ni ukafiri....em muogopeni alieumba hii mbingu na ardhi......acheni kutukana uislam.....nyie washirikina
@Ashsultana
@Ashsultana 4 жыл бұрын
Mitandaoni 😂😂😂
@sarahyvonne4580
@sarahyvonne4580 4 жыл бұрын
Nyote ya mitandaoni jini hilo
@muddykivamba9998
@muddykivamba9998 4 жыл бұрын
Dah mimi nyota yangu ni punda na mke wangu ni punda kweli nilitafutiwa na rafiki
@jamilasaid1764
@jamilasaid1764 4 жыл бұрын
Kaaah
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 4 жыл бұрын
Muongo na mwizi mkubwa tena tapeli saana wewee!!!
@andarsonmartine627
@andarsonmartine627 3 жыл бұрын
We mgen ee?
@daynesalex2944
@daynesalex2944 3 жыл бұрын
Punguza madeni acha kumalizia hasira wt
@mashampulu5780
@mashampulu5780 3 жыл бұрын
mimchumba angu A nami M jetunaendana kwenyesoma inaonekana ote ni punda je zinaendana
@bahatiandrew7847
@bahatiandrew7847 5 жыл бұрын
Nataka nisiwe na sinzia ovyoovyo
@simbamweusi3410
@simbamweusi3410 5 жыл бұрын
Jivunje mguu maumivu Yake yakakufanya usisinzie at a kidogo
@somoechicccopa3498
@somoechicccopa3498 5 жыл бұрын
Jamm
@ednahabdillah9857
@ednahabdillah9857 4 жыл бұрын
Ni sahihi mimi ni nyota yangu ni ya ndoo herufi K,nilimpata mume wangu kupitia kwa shoga yangu,alikuwa rafiki yake akatukutanisha basi mpaka sasa tupo pamoja,hujaongopa nae nyota yake ni ya punda herufi A
@onesix4924
@onesix4924 4 жыл бұрын
Km nyota yako ya punda na mpnz wko ya punda je inakuwaje
@khadijamshamu760
@khadijamshamu760 5 жыл бұрын
Shekhe nyota ya punda inaweza kuoana yenyewe kwa yenyewe
@yahayab4u614
@yahayab4u614 4 жыл бұрын
Mushiliki
@deograsiashaule6685
@deograsiashaule6685 3 жыл бұрын
Deograsiasi haule
@ntareboniface1591
@ntareboniface1591 5 жыл бұрын
Asante
@mashampulu5780
@mashampulu5780 3 жыл бұрын
mimchumba angu A nami M jetunaendana kwenyesoma inaonekana ote ni punda je zinaendana
@rogersbarnabas7110
@rogersbarnabas7110 5 жыл бұрын
Asante
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 7 МЛН
拉了好大一坨#斗罗大陆#唐三小舞#小丑
00:11
超凡蜘蛛
Рет қаралды 14 МЛН
Just Give me my Money!
00:18
GL Show Russian
Рет қаралды 585 М.
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 57 МЛН
JE UNATAKA KUPATA BAHATI  ?
28:36
Nyota Zenu
Рет қаралды 10 М.
Kumjua Mpenzi wako Kama ni Mwaminifu
24:41
Nyota Zenu
Рет қаралды 4 М.
MSUKULE NI NANI NA ANACHUKULIWA VIPI" SIKILIZA HII"
12:55
Nyota Zenu
Рет қаралды 21 М.
NAMNA YA KUTATUA MATATIZO YAKO KWA KUTUMIA NAMBA
16:02
Nyota Zenu
Рет қаралды 25 М.
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 7 МЛН