Huyu ndio Mbuzi sasa *_GOAT_* 🙌🙌🙌🙌🙌 Kuna Mr Blue mmoja tuuuuuuuuuu *_Greatest Of All Time_*
@amriharuna42362 жыл бұрын
kabisa hapoi
@hiphop83252 жыл бұрын
Hhaaa tulikwambia Babylon
@DonMooSTUDIO_Express2 жыл бұрын
Angalia simulizi ya SALIMA .. 👇 kzbin.info/www/bejne/q3PWdYV-l8upqLM
@macochal44232 жыл бұрын
Ssa nani atapinga ilo
@KENYAALPHAMEDIA12 жыл бұрын
This song is on another level any Kenyan, Ugandan and Tanzanian in the house pitieni kwangu❤❤❤❤😘😘kindly Nipitie pia mama junior episode 3 kzbin.info/www/bejne/hn6QdYR3adpkkLs
@reubzdullahboymusic6852 жыл бұрын
Wakenya 🇰🇪🇰🇪tuko wapi nipeni likes za mkali Mr blue 🔥🔥🔥🔥
@Lilmbunda2 жыл бұрын
All Fans Of Mr Blue and Mr T Touch inside & Outside Tanzania 🇹🇿 let's gather here ❤️
@DonMooSTUDIO_Express2 жыл бұрын
Angalia simulizi ya SALIMA .. 👇 kzbin.info/www/bejne/q3PWdYV-l8upqLM
@KENYAALPHAMEDIA12 жыл бұрын
This song is on another level any Kenyan, Ugandan and Tanzanian in the house pitieni kwangu❤❤❤❤😘😘kindly Nipitie pia mama junior episode 3 kzbin.info/www/bejne/hn6QdYR3adpkkLs
@suleyhumoud25312 жыл бұрын
Mitaa ya kati mm ni KING kama kiba
@masmojree2 жыл бұрын
Mpaka waseme shikamoo baba 🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Tanzania ni yako wahuni wasiizoee
@abby1media2 жыл бұрын
Ukitaka maneno, me mzaramo mwenye Gubu....👽
@Ubu362 жыл бұрын
Rwandans we love mister blue. I wish to see him having collaboration with Bruce melodie
@sportsxtra54482 жыл бұрын
Utabaki kua #simba
@berryxmsanii2 жыл бұрын
Ukileta collabo kama hizi Mr,blue atakuficha...unacheka Nini una mapengo,Mr blue ana malengo. All the way from +254 to +255...Mr blue nakukubali vibaya Sana
@antonyprofesa67812 жыл бұрын
Tangu enzi za mapozi tunawaonyesha talent na hatuogopi....moto sanaa tu....big fan from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪 show love hiphop lovers🍻💯❤️
@vincentauxerbius75542 жыл бұрын
Nilishawah kuwaza yaan kama hawa miamba wakifanya collabo moja iyo itakua kali kinomaa yaan wote mmeua hii ngoma yaan naisikiliza daily sijawah kuichoka👍👍👍💪💪💪💪😄😄😄😄 gonga like kwA ndugu zetu hawa twende sawa
Huaga najiuliza why mashabiki hua awaoni sanani ya mziki wa Byser? Huyu ni msani mkubwa sana na anaitaji support yetu sana tusi subiri tumkose ili tuje kumsifu, big Up Mr. Bleu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤❤❤❤❤
@daudimdio49852 жыл бұрын
Mzee wa kazi. bonge moja la chupa kamanda. Salute man
@Emlend_StarBorn2 жыл бұрын
Walivaa kama blue.. wakarap wakaimba kama blue but guess waaaaaaat.... there is only one and only blue.. Byser always on top....
@glatestar2 жыл бұрын
Nomaa saana cheaf nimekubali arakat
@kingof96712 жыл бұрын
Kunatofauti kubwa sana katika wanyama kuna fisi kuna paka kuna mbuzi sipendi kuona mtuuh anawafannisha hawa wanyama na Mnyama nyani ngomnzur sana Bluu
@mcfabian21902 жыл бұрын
My favorite artist Mr Blue 💙 aka mr kabisa with my favorite producer Mr T touch from Kenya let's give love 💕
@iddmponda37796 ай бұрын
Hili goma naliona liki Hit sana pande za Kenya 🇰🇪. 🔥🔥🔥
@jacksonnguma85632 жыл бұрын
Safi sana brother byser
@shobimzawa2 жыл бұрын
Gangstar nimenuna, naitwa LANGA KILEO (R.I.P) ✌
@fakhiumeme83592 жыл бұрын
"""thug theory,,,,, unacheka Nini na unamapengo salute byser
@supertallone19022 жыл бұрын
Salute kwako Mr.Byser! Kwenye vita ya bunduki, unawauwa kwa mishale🔥🔥 #SIOGOPI
@manyanyazakaria2 жыл бұрын
Mi Toto LA mungu namtisha devil🙌🙌🙌🙌🙌🙏
@Meddy3602 жыл бұрын
Dunia ziiima mpaka peponi blue mmoja tuuuu miaka yooote nakupa respect kwa vipaji ulivyonyanyua bro
@barretobacca97542 жыл бұрын
Fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌 Always making good hip Hop hits
@macochal44232 жыл бұрын
MY BIG FISH 🐠 HUJAWAI KUKOSEA KATIKA GAME MY BRO KEEP IT UP LEGENDARY ✋
@kenyavunjambavu3822 жыл бұрын
Blu hajawai kukosea the legendary🔥🔥🔥tunakutambua toka Mapozi🇰🇪
@PhilemonSarkozyАй бұрын
Oui oui brow Wangu fresh
@galatonetz2 жыл бұрын
Kali
@officialmalekelly42892 жыл бұрын
My brother blue never dissapoint me
@eastzooadmin64162 жыл бұрын
Blue Babylon Micharazo forever. Much love kaka from Mombasa, tumeenukia ukiwa unatu inspire na mpaka kesho bado utatu inspire. 💙 🔵💯🔥
@danpool58162 жыл бұрын
🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪 blue babylon byser salute T Touch
@snagolden2 жыл бұрын
BIZZZZ KWENYE GAME 💣🔥🔥
@kombozakaria83502 жыл бұрын
Hujawahi niangusha master nakubali
@ngeliyosiria96112 жыл бұрын
Nakukubali Sana Mr Blue💙💙💙 Ngoma Ni Kali Kinoma🔥🔥🔥💘
@beenismailofficialali20242 жыл бұрын
we trust you on this only one in Tanzania keep going boss
@jumamofu95732 жыл бұрын
Hujawahi niangusha Babilon bizy byser
@Konde_0032 жыл бұрын
We demand a remix with Joh Makini dude kali sana
@dieumercimusokoni2 жыл бұрын
Mr Blue je suis votre vrai fan depuis la République Démocratique du Congo 🇨🇩 Je t'aime tellement 💚
@nicholausmaganza61922 жыл бұрын
Nyani zeee nakubali sana kaka, tangu nipo shule hadi Leo hujawahi niangusha kaka ♥️🔥
@izzo_boy2 жыл бұрын
Baadaa YA long time tume Rudi Tena 🙏🔥🔥
@chotaramswahili28352 жыл бұрын
I support mine I support om 🌹#swahili rap to the world
@savvytherealsavage2 жыл бұрын
Huyu ndo Blue naeza skiza... salute 🇰🇪
@yustinrockboy40912 жыл бұрын
Byser bes my favorite songwriter 🎵
@bizzouwezo2 жыл бұрын
Ostaz mwenye ujio wa jesus
@zainabmaulid96372 жыл бұрын
Vina mwanzo Kati na mwisho we jamaa hareeeeeeee Ila kiitikio angekuepo one six ingekuwa POA sana
@ommybrown5352 жыл бұрын
Mr blue never disappoint 🥰🥰🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@KENYAALPHAMEDIA12 жыл бұрын
This song is on another level any Kenyan, Ugandan and Tanzanian in the house pitieni kwangu❤❤❤❤😘😘kindly Nipitie pia mama junior episode 3 kzbin.info/www/bejne/hn6QdYR3adpkkLs
@williamkabaisa2 жыл бұрын
Mr blue, nakuheshimu kwenye rap. unapotengeneza wimbo mpya, unaweka maneno mapya, and Fid Q Mr Blue Young Killer all of you guys much respect ✊✊✊
@thabitkassim14442 жыл бұрын
Busy babillon...unacheka nn na unamapengo😂😂
@masauletitika3512 жыл бұрын
Hello Mr blue unatisha Sana nimefuraishwa na nyimbo zako congratulations l from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@isackhassan65512 жыл бұрын
Noma sana Babylon Biz
@mkazy65502 жыл бұрын
Blue Haezi ishaa Blueblueblue akaBaeserimeweza Nakubali
@Blackorchidtz882 жыл бұрын
Mr tee touch namfanisha na pancho Latino mtu nyingi inasubiri sana sema kiki za kibongo.
@drbanat24 Жыл бұрын
Nice ❤one
@azizimsese82102 жыл бұрын
Kazi nzr sana mkali wangu,,much respect to you Byser.
Nakubali sana mwamba mziki umezaliwa nao 🔥🔥🔥🔥🔥 boss wa huku na kule ,,,,...........bb saluuuut
@ntagazwameshaki4487 Жыл бұрын
Nakubal sna kaz z huy mwamba
@saidmtawa38182 жыл бұрын
Umetisha simba zeeeeh.
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
@2:13 “Mitaa yakati mi King Kama Kiba” Nimependa sana..💪💪
@ramadhanali7372 жыл бұрын
Kb apa na apa uyu Bro ni baba ndania uwanja wavita ya music mungu kufungua najuhud malifa teleeeeeeeee
@frankjosephmush45302 жыл бұрын
Best rapper blue nice job
@ramadhanjafali85572 жыл бұрын
Kaka hogela sana unajuwa sana wafundishi watoto wadogo
@kikoadventures69332 жыл бұрын
Ngoma kubwa, lines shule. Babylon beeeez 🔥🔥🔥🔥🔥
@sportsxtra54482 жыл бұрын
Umekuwaaa baba
@njiliclassic2282 жыл бұрын
Umetisha
@saidimkome38182 жыл бұрын
Nakubali sikupingi
@thestonetown33022 жыл бұрын
Babyloon hujawai kufeli kichwa kina mistari hatariii…much respect byser…mshkaji wako wa zenj Thuweni anakupa hi sana kakimbilia Canada siku hizi::::nakukubali miaka 100 pacha#
@bonifacemfaume97882 жыл бұрын
Heshima kwako LEGENDARY MR.BLUE ngoma kali #SIOGOPI ft Mr T Touch
@erickselei34262 жыл бұрын
Jomba kweli we ni Icon wa good music na pia good life kwa vijana wote
@soipei33592 жыл бұрын
Blue byser mwamba kabisa
@pawasizogama842 жыл бұрын
Hizi nguvu za mungu sio nguvu giza
@yeyemkulu87432 жыл бұрын
Blue na MR. T mmetisha sana muonekano mpya🔥🔥🔥🔥
@izackiaroni30792 жыл бұрын
At bank leonyani nakusulubu nakuweka Kwenye tairi uwetyubuu aaahahahaha😛😜😜😜
@ericksonchamy9992 жыл бұрын
Blue on air💥💥
@robertevarist15952 жыл бұрын
Kaka mkubwa anaejua hip hop👍👍👍👍👍💪💪💪💪
@nelsonmwaipaja37272 жыл бұрын
Blue ndie aliyewafundisha madogo ubishoo## respect kwa kaka mkubwa
@nyalinyali34092 жыл бұрын
Salute to H.E Legendary Baiser Mr.Blue #Siogopi Hii kali.. Kenya tumeikubali
@manyaramanyara88722 жыл бұрын
Noma Sana Kala.
@Omary19602 жыл бұрын
Blue 💙💙💙 Bado anatupa Effects Toka Enzi mpaka sasa mob love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@kasongokusova19052 жыл бұрын
Wewe mdada una mdudu shiiiii kuwa bubu🙆 WEWE JAMAA HUFAI KABISA NOMA KWELI
@shamakisimba79912 жыл бұрын
Nakubali baba we ni simbaaaaaa🇨🇩🥱
@bakariabdallah87022 жыл бұрын
ngoma kali mwanangu wa kifuru
@ismailahmed92452 жыл бұрын
Mwanangu Nakukubali Toka Enzi Za Mapozi Na Hujawai Nibwaga. Ubarikiwe Ndugu 🙏
@pressoboy0017 ай бұрын
Toto la Mungu bussy kwenye game❤
@abubakarymaulidy56812 жыл бұрын
Balaa kubwa sana hili
@petermlundwa63992 жыл бұрын
Kipaji, sio jitihada na nguvu
@hajjrijal55012 жыл бұрын
Mrbluebyser1988 f 🔥🔥🔥 hawajaona kitu bado
@dibamompa50232 жыл бұрын
Karibu sana tulimiss hizi zama
@balthazarbernis45632 жыл бұрын
DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 mes félicitations bro
@amriharuna42362 жыл бұрын
G.O.A.T nothing more
@kinarazemaster73212 жыл бұрын
Hata mwili ukonde vipi, mistari ni Pepe Kalle
@stopper41412 жыл бұрын
woyooooo #KINGBYSER is back for really huu ujio wa Jesus🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 from kenya pls like
@giddyyunky70252 жыл бұрын
Wosh wosh 🔥🔥🔥🔥 #siogopi
@kingmtetezi66702 жыл бұрын
Mfalme wa hip hop longtime ago anatesa na bado anawatesa