Tuliotoka TikTok tukaja uku😂😂mbioo like hapa by the way movie nzuri dj uko vzur pia❤
@AminaRamadhani-n7yАй бұрын
😮😅😅😅😅tuko apaaaa mama
@KhadijaKhadija-z2yАй бұрын
M pia nimo
@JoyPeter-de1st20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@DennohGaza12 сағат бұрын
😊
@kevinmosha85403 ай бұрын
Sikutegemea kama ninge-enjoy filam ya simulizi kiasi hiki maana imetokea kwenye feed yangu wakati nacheki habari za bongo ila dah...hongera sana msimulizi umefanya Stahiki kubwa kwa kunasa hisia za stori nzima na umeweka utani na vibe zote kulingana na maudhui yalivyokua yanafungua..nikajikuta nimetekwa na kutabasam mwenyewe and best of all nimecheka sana juu ya jinsi mshkaji wake alivyoenda kuweka sawa mambo...dah stori tam sana...big Up u have won a fan out of me👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽 hakuna namna wacha nikuunge mkono na SUBSCRIPTION aisee...tuko na wewe chief👊🏽👏🏽👏🏽👏🏽🤙🏽
@philipomussa3 ай бұрын
Dj dj dj dj dj🔥🔥🔥nimekuita mara ngapi dj☄️☄️unajua mzee baba🙌🏾🙌🏾
@RachelLugobi3 күн бұрын
Unajua sana tena sana ❤❤❤
@mohammedyismail7737Ай бұрын
Oyaa bonge moja ya stori 🔥🔥🔥
@FureNoah2 ай бұрын
Et body Syo kama ya mwijaku😃😃umetsha Sana🔥
@johnlazaro36643 ай бұрын
Iv jmn kuna aliyeona daddy ana fanana na captain G Habashi au ni macho yangu tu
@AziluKemboАй бұрын
We jamaa uko vzr unanimalizia mb zangu kila cku ila sio kwa ubaya ni unyama sana
@thumalove18863 ай бұрын
Yani nimetoka tik tok nikaja huku mbio 😂😂❤❤❤ napenda unavyo elezea dj
@officialredstar33 ай бұрын
Kama mm yani 😂😂
@naahmushi56223 ай бұрын
😂😂 same same😂😂
@FatmaMkukutika3 ай бұрын
Ww kam mm nimeisearch san mpk nikafik huku dj apewe mauwa yake🐖🥀🌹🌷⚘ stor tam na anatafsr viz👏👏r