Shekhe nimeota pikipik mbiĺi moja ya Zaman imezungu kwa na kinyesi ilè mpya linichukua na kwenda nayo nyumbani Shekhe je ndoto hii Ina maana gan
@user-oy1dg7zc7k3 ай бұрын
Maalim nimuota MTU alie fariki nilisoma nae miaka mingi tu nyuma nimemuta kamuacha mkewe anataka kunioa mimi na alishafariki huyu MTU. Nini mama ya ndoto please nijibu
@ayshasaid15475 ай бұрын
Asalam aley kum mtavas kitambo sana
@MTAVASSYTv5 ай бұрын
Wa,salaamu warahmatullahi wabarakaatuh
@MTAVASSYTv5 ай бұрын
Chukua namba hapo njoo whatsap inshaallaah
@lovenesdickson18245 ай бұрын
Mimi nimeota nipo na mtoto wa kaka yangu, tunakimbizwa na WA kaka kama watatu, tumekimbia lakini kufika mbele tulimuona mbuzi, yule mtoto wa kaka yngu akamkata shingoni yule mbuzi kafa anatoka damu, lakini mtoto wa kaka yangu akambeba huku anakimbia nae, kufika mbele tukajificha , wale wakaka waliokuwa wanatukinbiza wakapita hawajatuona. Sisi tukaondoka kufika mbele tulikuta nyumba nyingi, ila sisi tulienda kwenye nyumba Moja ya udongo Ina chumba na valanda tulikuta Babu na watu wengine nnje, tukawa tunamsalimia yule Babu. Ghafla kuangalia pembeni Nika muona nyoka mwembamba anamelemeta mnzuri umeremeto wake umechanganyika na virangi vya njano,, nilivyokuwa nashangaa yulenyoka, yule nyoka akaondoka akaingia ndani ya Ile nyumba ya udongo ila nyuma ya mkia wake upo kama ivi # . Nikamwambia yule Babu mwangalie yule nyoka anaingia ndani mwako, yule Mzee akaonekana kutojari. Nikastuka. Naomba nisaidie. Ustadhi maana yake nini?
@MTAVASSYTv5 ай бұрын
Kila atakaye coment kwenye video mpya ndiye atajibiwa mapema, inshallaah maana nilikuwa vibaya huko nyuma coments zimekuwa nyingi mno, karibuni muda kidogo tu mutajibiwa
@jumatwalib63054 ай бұрын
Assalamualaikum sheikh mi huwa watu wangu wa karibu huwa wanaota nimekufa na hasa mke wangu sielewi hii ndoto ina maana gan
@MarthaNehemia3 ай бұрын
Asalam aleykum shekh .naomba kujia maana ya hii ndoto .nimeota makabiri ya ndugu zetu walio takungua yapo wazi nilipo fika hapo nikakuta mdgo wangu amesha fariki yupo hapo amelala ila ukiongea naongea nikamuuliza baba yupo wapi hap mbna hayupo kwenye kabur lake asema dada mimi sijui .na kwel kabir la baba yangu ukichungulia ndan hakuna mait
@mariamusultan26595 ай бұрын
Asalam aleykum shekh nimeota baba yangu mzazi amefariki na wameshamzika. Hii ndoto hii mara ya pili sasa niliwah kuota muda kidogo kama miaka 5 au 6 hivi lkn leo tena nimeota napewa taarifa ya msiba huo na wameshazika