Msafara wa wanaohama kwa hiari Ngorongoro ukielekea Handeni | Wapokelewa na wenzao Msovera

  Рет қаралды 42,991

EastAfricaTV

EastAfricaTV

Күн бұрын

Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 63
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 жыл бұрын
Majirani waliokuwa wanachochea ugomvi wameumbuka, yaani TZ tumejipanga saana , Mungu ibari Tanzania
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 2 жыл бұрын
Kenya ndiyo wabaya wetu hawapendi amani yetu na maendeleo ya tanzania
@salamanhonya9677
@salamanhonya9677 2 жыл бұрын
Mama ni mama. Hakuna kama mama. We love you Our Beautiful Mama Samia Suluhu.
@jamesponeca8912
@jamesponeca8912 2 жыл бұрын
Kwanini wahamishwe?,wangekatiwa eneo waka achwa.tu,Hicho kijiji,cha Msomela Kwa sasa kina maji sijui na umeme,WAKATI HUKO WILAYA YA HANDENI,Kuna vijiji vya siku Nyingi hawana maji,na hapo yaeza kuwa danganya toto,baadae maji watakiwa wanasubiri usiku wa manane au mala moja kwa weeki.
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 2 жыл бұрын
Ng'ombe jee!!! Kwan ngoro ngoro kunani jamani watz, tusije tukapigwa undercover,,, kukawa Jambo inaendelea ingine .
@felixmsale9244
@felixmsale9244 2 жыл бұрын
Kweli hakuna mkate mgumu mbele ya Chai ,yaani ina maana serikali ndio imegarimikia hizo nyumba????? Huuu wema umetokana na nini???? Yaaani siamini kabisa kabisa hiii imefanywa tuu bure !!!! Nani yupo nyuma ya hizo gharama????? Ili afaidi nini??? Tukumbuke siku zote there is no free LUNCH!!!
@epafrangweshemi4014
@epafrangweshemi4014 2 жыл бұрын
👁️👁️ inafikirisha hoja yako lkn!
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Mama Samia, Mungu ibari Tanzania 🇹🇿, Mungu ambarik Mhe Raisi
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 2 жыл бұрын
sasa kuna ubaya gani kuletwa hapo mmeandaliwa vizuri Maisha popote yote ni tanzania
@ototek8037
@ototek8037 2 жыл бұрын
Ubaya ni ngorongoro kuwa kama gesi ya mtwara..si yetu tena japo ipo ni mali yetu.
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 2 жыл бұрын
@@ototek8037 hahahaha
@williamlulale8791
@williamlulale8791 2 жыл бұрын
Kila kitu kinachofanyika duniania ni mpango Fulani unaweza usielewe Lakini Kuna mpango nyuma ya Kila jambo hata wakati wembe unagunduliwa au kijiko lilikuwa na sababu nyuma yake wewe mlaji ukiona kifaa Cha kulia tu
@Zahrazahra-ue7bp
@Zahrazahra-ue7bp 2 жыл бұрын
Mi nauriza kwani wamejengewa kira mtu na nyumba yakee au wamejenga numba wanakaa nchanganyiko
@rajabrukonge580
@rajabrukonge580 2 жыл бұрын
Mama nimwenye huruma kwa watu wake, mtu anaacha kajumba ka udogo anakuta nyumba ya kisasa na umeme na maji vyote analewa hakika huwezi kuwalidhisha wote ila iko siku wataelewa tu
@salamanhonya9677
@salamanhonya9677 2 жыл бұрын
Hiiii Ndiyo Tanzania Bhanaaaaaà. Apana chezea New TZ.
@mwanaiddi9660
@mwanaiddi9660 2 жыл бұрын
mama mung akuweke miaka1000
@jambo3751
@jambo3751 2 жыл бұрын
Duh! Yaani sijui nianzie wapi! MAMA SAMIA wewe ni kiongozi mwenye utu na upendo Mungu akubariki.
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 2 жыл бұрын
Sema hakika huyu mama wanamchukia ipo siku watamkumbuka
@mohamnedsalum2150
@mohamnedsalum2150 2 жыл бұрын
Mama muungwana
@ototek8037
@ototek8037 2 жыл бұрын
@@bajagihaji8923 huyo mamaako unazani kaiuza ngorongoro sh ngap kwa mwarabu!? au unazani ni upendo!? Huu ni mchongo babu; usubiri mda utakwambia ukweli wote.
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 2 жыл бұрын
@@ototek8037 brother ardhi haiuzwi Propaganda tu ndugu zetu wamepata makazi bora jirani zetu hawaitakii mema nchi yetu ok
@ototek8037
@ototek8037 2 жыл бұрын
@@bajagihaji8923 bro jiongeze basi! Huu upendo wa kuwapenda Masai na kuwajengea nyumba kwa maslahi yao ni upendo wa hali ya juu haupo dunia ya leo shtuka, watu wamemwaga mipesa kuwinda na kusafirisha wanyama Sio jambo la kubishana au kuelimishana, mda utangea.
@PolioWonder
@PolioWonder 2 жыл бұрын
Kwa hiyari= kwa risasi/bomu
@abdulbari5573
@abdulbari5573 2 жыл бұрын
Jeeee na mashamba zao ????????
@vero57
@vero57 2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana,
@epafrangweshemi4014
@epafrangweshemi4014 2 жыл бұрын
Serikali yenye Nia njema kwa watu wake hutumia nguvu ya ushawishi hata ya mbavu kuwatoa watu wake ktk mazingira waliyoyazoea hata km hayawafai. Sasa wanachekelea na kufurahi . Walaaniwe wote waliokuwa wanapotosha kwa ajili ya maslahi yao binafsi. Mm Samia umeshinda tena kwa kusimamia msimamo kufikia malengo mazuri kwa watu wako, Kazi iendelee!!
@epafrangweshemi4014
@epafrangweshemi4014 2 жыл бұрын
Tatizo ninaloliona kwa sasa, matamko rasmi toka vyanzo rasmi vinachelewa sana kutolewa ili kuipa jamii tarifa sahihi kwa wakati sahihi matokeo yake upotoshaji huchukua nafasi na hata kuleta taharuki isiyopasa kwa umma. Msemaji wa serikali, waziri wa wizara husika na wawajibikaji wengine wawe wanatoka mapema kutoa matamko ya kueleza ukweli ulivyo ili kuondoa nguvu ya mawakala wa mtandoani kupotosha umma wa watanzania. Wanavuruga!!
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 2 жыл бұрын
Nimejikuta nalia kwa furaha jinsi serikali inavyowasimamia kwa umakini maisha ya ngorongoro na huku Tanga ni tofauti kule waliishi kama wakimbizi naipenda nchi yangu Mungu akubariki mama kwa kuwaona hawa wenzentu waliotaabika mwa miaka mingi
@jacksonkesoi9966
@jacksonkesoi9966 2 жыл бұрын
Mama ajenge to watu wahama lakin minaona zoesi lina pungua kazi mbona kimya walianza moto kazi kweli sikuisi hatuoni ule moto imepunguwa sana tena san au zile nyumba mia nne haijajengwa bado
@KATOPE1
@KATOPE1 2 жыл бұрын
Safi sana
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 2 жыл бұрын
Safi our mother
@abayuu9227
@abayuu9227 2 жыл бұрын
Kongole mama samia. Allah Akupe busara zaidi na uingozi ulio bora zaidi. Sisi kama wakenya maeneo ya kwale tulifukuzwa kama mbwa kwenye maeneo yenye tulipata wazazi wetu wakiishi zaidi ya miongo 2. Na hiyo ilikua ndio sehemu ya kipato kwetu. Allah Azidi kukupa hekima mama samia
@felixmsale9244
@felixmsale9244 2 жыл бұрын
Nchi inaendelea kuuzwa kwa waarabuuu ,hao wamehamishwa Hivyo ili wasione majanga yatakayofanywa hapo .fungua machoooo weweeee !!!!
@niksonsumari8943
@niksonsumari8943 2 жыл бұрын
Not msovera msomera ndio sahihi
@zamzamabdi5279
@zamzamabdi5279 2 жыл бұрын
Na ngombe amejengewa zizi
@norahazan796
@norahazan796 2 жыл бұрын
Kwa hiyo mlishawaandalia hadi makao
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 жыл бұрын
Ndio tofaut na miaka ya nyuma mnahamishwa mtajijua wenyewe! Hii ni kama ulaya mnahamishwa sehm na makz mnaekewa kabsa na kila ktu chenye uhitaji 😘so mnahama mkiwa mko na amani
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 2 жыл бұрын
Vipi naweza kuwa mmasai wa Ngorongoro?
@lamlanyava6153
@lamlanyava6153 2 жыл бұрын
Bado ni Giza
@juliasmolellmolell4815
@juliasmolellmolell4815 2 жыл бұрын
Mbona kunawengine wan piga kelele kwani wanataka kuishi maisha ya manyata enda na kurudi hadini nasikia kilakitu inakubali so God bless you 🙏 mama samia
@felixmsale9244
@felixmsale9244 2 жыл бұрын
Matokeo ya yote haya watayaona wajukuuu zetu tunawaachia nchi ambayo imetawaliwa na wageni (Waarabu )makosa yale waliofanya mababu zetu wakakabidhi nchi yetu ikatawaliwa na wakoloni kwa kupigwa na vita. Sasa tunaingia kwenye ukoloni mpya (NEO COLONALISMO) kwa hiari yetu kabisa ,hapa tunaingia kwenye Hii hali kwa HIARI kwa sabb ya kutokua na viongozi wenye Maono!!!!
@zariadunia6328
@zariadunia6328 2 жыл бұрын
Mpotoshaji mkubwa wewe huko ngoringoro nani amekwambia waarabu wanakwenda huko hivi unadhani waarabu wanakaaga poorini kama wazungu hao labda waarabu pori acheni kuleta udini na ubaguzi fitna tu za kibaguzi wangekwenda wazungu mngekaa kimya mfyùuuu
@bakariamour6024
@bakariamour6024 2 жыл бұрын
Mjuku wako yupi wacha unafiki
@felixmsale9244
@felixmsale9244 2 жыл бұрын
@@bakariamour6024 unafiki ni Nini ? labda kutoa mawazo !!! na kama ni Hivyo basi wewe ni mnafiki wa kwanza .
@charlesphilipo6443
@charlesphilipo6443 2 жыл бұрын
Dunia duara,,,,wana harakati ni hatari sana,,,mnataka wamasai waishije ,,,,mmeumbuka mburula nyie na wapinzani kweli nyumbu kila kitu kudandia na msaliti was ubeligiji
@KizitoKizito-pi9mk
@KizitoKizito-pi9mk 5 ай бұрын
Nan kama mama
@godfreysamson3069
@godfreysamson3069 2 жыл бұрын
Masai wa mchongoo alafu mbna hatuon magar ya Ng'0mbe wakutosha wawo wachachee maana. Masai mmoja anang'0mbe karibu 1000 saa ninyi mumebewa wenye ving'0mbe tuwili mnasema hawo munaamisha Masai awo wa mchongo tunajuw hloo..
@cbegram6161
@cbegram6161 2 жыл бұрын
Kwanza maasai moja ana watoto 10, na mtoto kabla hajafika 22 ashaoa na watoto 3
@williamsenkoro2210
@williamsenkoro2210 2 жыл бұрын
Tuwape miaka 3 msipoangalia ugomvi utaanza wakulima na wamasai utaibika.
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 2 жыл бұрын
Hiyo ni kawaida wamasai ni wakorofi
@jambo3751
@jambo3751 2 жыл бұрын
Endelea na kazi ya utabiri.
@sosthenesmaemba
@sosthenesmaemba 2 жыл бұрын
Mmmmh
@kelvindaud3981
@kelvindaud3981 2 жыл бұрын
Daa nimependa sana selekali pamoja sana
@tanzanite9944
@tanzanite9944 2 жыл бұрын
Hawa ni waTanzania waliopendelewa maana hiyo pampering sio ya mchezo na haijawaho tokea TZ. Safi sana Rais Samia unaonyesha tofauti ya uongozi wa kiume na wa kike kwani wanawake wanaongoza kwa details na actions.
@yassinsalum1864
@yassinsalum1864 2 жыл бұрын
Haya huzeni hiyo mbuga ya gorogoro wamasai wamewaachia mfaidike nyinyi
@mohamnedsalum2150
@mohamnedsalum2150 2 жыл бұрын
Wacha ujinga
@babusadala5732
@babusadala5732 2 жыл бұрын
😁😁😁
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 2 жыл бұрын
Tanzania weeee
@dicksonsheja251
@dicksonsheja251 2 жыл бұрын
Nimefatilia wamasai wengi wanaohamia Tanga hawajatoboa masikio ,,ivi na waliobaki ngorongoro na hawajatoboa masikio!!!
@cbegram6161
@cbegram6161 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@florianmwaibabile2541
@florianmwaibabile2541 2 жыл бұрын
Kazi IPO Dunia ndo hii yenye werevu na wajinga wanaendelea kushindana Kwa fikra
Mwananchi Msomera aibuka akidai hajalipwa fedha zake, Serikali yafafanua
4:16
БЕЛКА СЬЕЛА КОТЕНКА?#cat
00:13
Лайки Like
Рет қаралды 2,8 МЛН
ОТОМСТИЛ МАМЕ ЗА ЧИПСЫ🤯#shorts
00:44
INNA SERG
Рет қаралды 4,8 МЛН
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 25 МЛН
MAKONDA ALIVYOCHARUANA na BOSI wa MAJI ARUSHA - WANANCHI WASHUHUDIA.
41:29
EL BOMBERO / Charles Chaplin ✪ PELÍCULA COMPLETA A COLOR
25:39
B FILMS Estudios
Рет қаралды 574 М.
"Mimi NITAJIUZULU, Waziri TUSIJIBIZANE" Mbunge Shangai akiwasha Bungeni
10:00
БЕЛКА СЬЕЛА КОТЕНКА?#cat
00:13
Лайки Like
Рет қаралды 2,8 МЛН