ROSA REE ASIMULIA MKASA WA MAPENZI ALICHOFANYIWA NA MWANAUME WAKE HATAKI TENA MAHUSIANO NA VIJANA #rosaree
Пікірлер: 107
@brunoh_bx11 сағат бұрын
Kiufupi wadada wanachokitaka sio mapenz ni pesa, ndo maana wanakimbilia wazee maana vijana wengi bado tunajitafuta na tunapambana kutimiza ndoto zetu lakin wazee wameshamaliza kila kitu wanasogeza maisha tu
@danielshauri639013 сағат бұрын
Pole sana
@DaluNdeyanka6 сағат бұрын
wanawake mmetufanyia vitimbi mpaka watu wanawaona wazugaji kama hao walinzi wanauzoefu mkubwa sana na wakina dada ila sio wote
@xyz-v6d11 сағат бұрын
Mi nimewahi date mtu hatoi hela hata ya chupi ila nikisema leo nikale hata chips nje analeta fujo,ee ulikuwa na nani,ulienda wapi?kodi halipi,chakula hatoi,ila hata ninavyotumia hela zangu anataka acontrol.Siku alinipiga mbele za majirani kisa nilisema leo naenda kula nyama choma ,weee alivyoona nami nahangaika kulia kwa kipigo na majirani wananikimbiza hospitali,aliondoka akaniacha pale.Mwe nilivyopona nilimrudia ila nilimsukia tukio mpaka namuacha aliomba po
@muna11655 сағат бұрын
Pole sana kipenzi ❤❤❤❤😂😂😂😂
@CatherineKabelege8 сағат бұрын
Ni kweli kabisaa unacho sema
@SuleimanHussein-e7x7 сағат бұрын
Story ya uongo
@totonata53849 сағат бұрын
Oh my God !!!! 0 seconds ago Huyu jamaa likua ni bonge la narcissistic and am happy you played smart. Si kila mwanamke anajielewa.
@Zawadi111Kajumwa23 сағат бұрын
Ukipata Na Jambazi angejutoa roho mshukuru Mungu.
@Orenj-l8d19 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😅😅😅
@nancyg8664Күн бұрын
😂😂Uwa wanasemaga "nani anakupa kiburi"😂😂😂
@Orenj-l8d19 сағат бұрын
Mm sijui nikumbushe 😂😂😂😂😂😂😂
@rosemaryisdory22632 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂
@btylove187053 минут бұрын
Kweli kabisa 😂😂😂
@calvin644510 сағат бұрын
Hapo Rosa reee yaani wewe ni ndugu Yangu kinyama lakini hapo umezingua yaani stori inaonyesha wewe ndo mbaya ubwela .Mwanaume ni kiumbe anayeitaji mwanamke anayejitambua na kujiheshimu hata na sisi timewaona Washangaziiii
@ErickElibarick5 сағат бұрын
Bora uliwe na uyo mzee unaenda mvulia mtuu mwenye umri wa baba ako soma bible mama
@HeriethKichumu49 минут бұрын
Kwan mzee akimuoa bint anaelingana na binti yake nani anasema
@ummySheikh7218 сағат бұрын
Mwehu huyo💯🔨
@EdwardPaul-bd2fx21 сағат бұрын
Unaharibia vijana sasa wazee kazi kwenu
@helemencemwadui42012 сағат бұрын
Mpunguze nyooodo sema mashangazi haki yetu😂 hawana nyoodo nyinyi vipele
@eladiuspeter58611 сағат бұрын
Nyie Wasichana mlichonifanyie aisee, Hadi leo Sipendi tena , ,, Niliteswa kma miezi sita mfululizo kidogo niwe chizi. , Sikua na kosa lolote , Anyway Mwanamke akitamke siku ya Kwanza tu muachane basi kubali, Maana hamna sku atabadilika
@Cecyliah04164 сағат бұрын
Pole sana
@eladiuspeter5863 сағат бұрын
@@Cecyliah0416Asante sana. ni miezi 11 Sasa nimeshapona pona. Japo bado nna trauma
@lewismpangala9279 сағат бұрын
Hoy Rosa nikuoe mimi plz nakuzimika blaa
@TinahFrank2 сағат бұрын
Kumbe unaonga vizur
@deejeydaev15 сағат бұрын
Taja jina la wimbo. Mbona maneno mengi
@AsheryandreaAndrealuchum12 сағат бұрын
Kumbe rosa ree ni mrembo hivi
@jeremiahcharles60276 сағат бұрын
Make up ni nzuri saan
@Bless-b.DL-babyofficial876912 сағат бұрын
New song come in guys
@dianajohnson726821 сағат бұрын
😢😢 wanaume sijui wameumbwaje?
@LukioMateruh19 сағат бұрын
Unasura yakutembea na kijana mim stembei na Binti anae rap naisi ni men mwenzangu
@philemonmagesa554811 сағат бұрын
Umeona eeh! Yani na hao sijui walianzaje kumtafuta Huyu jamaa kwanza hawezi kuwa na pigo za kike hata kidgo
@mickeyraymond800721 сағат бұрын
Kutokana na hi video Kuna binti somewhere kamtema kijana wake na moyo umelainikia kwa yule mubaba wa PRADO aliyekuwa akimsumbua
@Orenj-l8d19 сағат бұрын
😅😅😅😅😅😅😅
@Melissashiner16 сағат бұрын
😁😁😁
@yusufulimo573716 сағат бұрын
Kwa history hii ni uwôngo mtupu we ndio mzinguaji
@ErickElibarick5 сағат бұрын
Nendeni uko mama nyie mna penda wenye pay lowee pambana na hali yako mama
@EmmaTembo-l7o9 сағат бұрын
Sema kama alikupiga miti fresh tu shukuru hata kwa hilo
@MtessaAlly11 сағат бұрын
Hadith hii inatufuneisha nini? Mimi cjaelewa mpaka saivi. Au tukupe mji?
@LatifaCharles8 сағат бұрын
Tulioelewa inatosha ww mtafute mwalimu wa mathe akueleweshe hapa ni wapi ?
@OmmycleКүн бұрын
Kwahiyo tukubaliane tunakwenda na wazee 😅😅😅
@xxxl-jf2jiКүн бұрын
Hayo maxee yenyewe ndio hayo mwenzangu mimi nina miaka 32 mume wangu 47 lkn shetan kama yeye hayupo dunian nataman hata mungu amchukue nipumue malaya mbwaa muombe mungu tu akupe mwenye kher na wewe ndugu yangu
@mwanaidimussaКүн бұрын
duuuuuuuuh … hiii comment imenitetemesha
@HappyJohn-h8qКүн бұрын
@@xxxl-jf2jiupo sahihi sanaaaaa. Na ukiona mwanamke anaombea ufe mapema ujue umeshindikana tabia kavumilia kachoka. Kifo kiwatenganishe tu
@HappyJohn-h8qКүн бұрын
@@mwanaidimussando ivo mpendwa mi nimemuelewa. Kuna wanaume aiseee too much yaan kulala na wanawake mpaka kero
@xxxl-jf2jiКүн бұрын
@@HappyJohn-h8q kbs yaan niko hoi mbaya zaid nimwanajesh
@Thatgurl-l8n21 сағат бұрын
😂😂psycho i understand
@Peterchila-un2lx21 сағат бұрын
Hiyo ni kiki yapikipiki
@BrotherKaka-j4z7 сағат бұрын
Ganstar gani kumamako
@AllNEWS-o9m6 сағат бұрын
Kasabuni
@bilakawaboynew9789 сағат бұрын
Rosa ree wewe ni mkorofi nakujuwa
@XxhamxyyxShha3 сағат бұрын
Kifuani ndala 😅
@jisrainomwa401519 сағат бұрын
Kamalaya kalicho kubuhu sema tu umepata ka Babu chako unataka uluma ya watu
@rosemaryisdory22632 сағат бұрын
😂😂😂😂
@robbyvanty275720 сағат бұрын
Tatizo mademu wenyewe wanamambo mengi so wote walewale
@OmanOman-i5x13 сағат бұрын
😅
@d1535523 сағат бұрын
unamlaumu bure jamaa kosa lake nini? kukuulza unayechat nae mda wote ni nani imeshakuwa kosa? kama ungekuwa msafi ungempa simu ukamwonesha unae-chat nae we ni malaya-mchafu uliyeshindikana, alikuuliza hivyo sababu anakupenda angekuwa hakupendi asingepanda ndege kukufuata khabis wee,poleni sana wabongo sababu hamna wanawake mnaoaga makahaba na majambazi kama huna pesa atajiuza na ukiwa na pesa atatafta mbinu akuue ili akudhulumu mali zako poleni saana
@karibunyumbani382419 сағат бұрын
Wewe ni shetani mlaaniwa rudi kuzimu ulikotoka hata mama yako mzazi ni malaya usisahau hilo
@karibunyumbani382419 сағат бұрын
Hata watoto wako utakaowazaa wataitwa hivyo usisahau hilo ...wakati unalaani kumbuka cream yoote ya laana inaanza na watu wanaokuhusu ...unaangalia maisha ya mtandaoni unadhalilisha wanawake unasahau aliyekuzaa ni mwanamke ? Kwani wanaume peke yenu ndio watafutaji? Baba zetu waliteseka wakatusomeshea nini ....tunafanya kazi tunashirikiana na waume zetu hata kama sio wote unaona mwanamke aliyekaa hana kazi ninkahaba ? Kuna wenzako hawataki hata wake zao wafanye kazi mwisho wao ndio huu mwanaume akifa wanaishia kwenye midomo ya kishetani kama yako .....MUNGU ANAYEISHI AANZE NA WEWE
@barbiepixie9218 сағат бұрын
We nae usituchoshe andika comment fupi unavyolalama sasa hata hueleweki
@salimjumaa8180Күн бұрын
Kumbe ma pddy wpo wngi. Unyanyasaji huo
@KhalfanSalim-v1x19 сағат бұрын
ungekua unajua nini maana ya dini basi ungeacha mziki kuimba alafu soma Quran kwanini Allah kakataza zina yani ukiza nje ya ndoa mtoto wa haram unaweza muowa ndo ujue kua kwanini dini unasema zina haram ndo bunadam watakua na akili
@Deboramartin-z2m9 сағат бұрын
Ww unaemuona msanii yyte unahisi ni muislam loooh
@HappyShirima-k9t6 сағат бұрын
@@Deboramartin-z2m😂😂 chizii hl kwanza alijui kuwa mziki ni biashara
@Deboramartin-z2m5 сағат бұрын
@@HappyShirima-k9t hajui huyo eti wakike kwenda kaburini 😀😀mwweee
@DominPallangyo17 сағат бұрын
Kinachonisikitisha nikwamba anaongea Kingereza anatafsiri yeye tena kwa kiswahili duh nonsense
@Peterchila-un2lx21 сағат бұрын
Hiyo ni kiki ya pikipiki
@pyzzocatto182923 сағат бұрын
Fiction😂
@selemanimkwichu7829 сағат бұрын
Ukiwa na kiburi tunakubonda akili ikae sawa wasumbufu sana nyie
@ChoroTesla3 сағат бұрын
Ushakua feminist tuliaaa
@MathayoMagavilo17 сағат бұрын
?
@JamesGiligita22 сағат бұрын
Kiki za kishamba
@Brunn-mh2bq23 сағат бұрын
Muongo huyu. Mtu wa miraba minne chumbani lazima alikushughulikia.
@mariamnur103622 сағат бұрын
😂😂😂😂
@jeremiahcharles60276 сағат бұрын
Kulumbembe kumbe,,,,, Mnakula vya watu mno
@d15355Күн бұрын
siku hizi bwana wanawake wanataka kuwa wanaume na wanaume nao wanatamani kuwa wanawake sasa huyu dada ana copy maisha ya ki-marekani wakati ni mbongo? it will not work sister, nimeshasema siwezi oa wanawake wa kibongo nitaoa waswahili wenzangu tu, yaani huna aibu unakuja kutusimulia kuhusu uzinifu wako? bora angekuua kabisa pole wazazi waliozaa kahaba asiyena aibu kama huyu
@MariamuJuma-t8zКүн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅
@vanessalaizer436322 сағат бұрын
We una mtindio wa ubongo sio bure
@melaniaherman109822 сағат бұрын
@@vanessalaizer4363 sio sir atakuwa na shida 😂😂
@janeneemamakulu550721 сағат бұрын
Aiseeeee utakua na mental issues sio bure
@AsiaShaban-zz4yrКүн бұрын
Umalaya tu unamtagazia nani sasa ovyooo
@xxxl-jf2jiКүн бұрын
😂😂😂asia
@LeahCosmasNzoka-po3drКүн бұрын
Kweendaaa
@ELBURLIZHOLDINGSLIMITED23 сағат бұрын
Malaya mamako, unaona sawa wanawake kupigwa na kufanyiwa ukatili, Fala wewe
@vanessalaizer436322 сағат бұрын
Malaya ni wewe na roho yako mbaya biiiiashhh
@xxxl-jf2ji22 сағат бұрын
@@vanessalaizer4363 samahan lkn msitukaniane wazazi mtukane yeye