MSEMAJI MKUU WA SERIKALI ATEMBELEA SGR, KADOGOSA AFUNGUKA MAJARIBIO, SAFARI ZA TRENI KWA SGR

  Рет қаралды 11,975

TRC RELI TV

TRC RELI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 33
@rovisonmashaija3198
@rovisonmashaija3198 2 жыл бұрын
Kila siku mnataja asilimia Sasa za nn,, tunataka safar za tren zianze
@starjay3052
@starjay3052 2 жыл бұрын
kwaiyo dar moro tunaanza kupanda lini mana kila siku maneno tu alafu atuelewi kila siku wanatembelea tu
@hope_for_this_time_tommorow
@hope_for_this_time_tommorow 2 жыл бұрын
Hayo mabehewa Kama ya ordinary colonial era. .waafrika tunapenda Sana kula walivyotapika wazungu
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 2 жыл бұрын
Mnajaza lini bwawa la Nyerere?
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 daaaa hilo nalo neno ila ndugu yangu kama ulikuwa hujui ngoja nikujuze hivi unajuwa ya kwamba wale waliokuwa wanalipinga hilo bwawa mchana kweupee leo hii wameteuliwa kuwa mawaziri? Ndio maana hilo bwawa kwa sisi wazalendo na kuona mbali zaidi au watoto wa indigo children mbona tayari lishakuwa chujio la NAZI RIP mzee baba Magufuli 🙏😭😭😭😭😭😭😭🏃🏃🏃🏃
@simongitau8113
@simongitau8113 2 жыл бұрын
Mwaka ujao litakua tayari kaka
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 2 жыл бұрын
@@simongitau8113 Bwawa mnaanza kujaza lini?
@ndilanhabonie4642
@ndilanhabonie4642 2 жыл бұрын
Yan me mpka nmekata tamaa kabsa na nmeanza kusahau kabsa 😭😭😭
@jelasnkoma4240
@jelasnkoma4240 2 жыл бұрын
Maneno mengiii tunataka treni zianze tupande
@salehsimba5306
@salehsimba5306 2 жыл бұрын
Angekuwa Magu y hai bs kipande cha kwanza kingeanza kufanya Kazi tokea mwaka 2021 mwezi wa 4
@prorwega
@prorwega 2 жыл бұрын
Napenda kupongeza kazi inayoendelea ila mimi nataka kupendekeza yafuatayo: Rangi za shirika la Reli kwanini tunarithi za tangu ukoloni? kwakuwa reli sasa imejengwa katika kizazi hiki si ingekuwa bora kuwa na rangi za rangi ya taifa? mabasi ya mwendokasi walau wamefanya hivyo lakini hizi rangi za TRC zinawakilisha nini na nani?
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 жыл бұрын
We ndugu yangu una akili nyingi kama mm yaani hata nashindwa kuelewa hiyo mirangi ya ajabu ajabu sijui ina maana gani 🙄🙄🙄👎👎👎👎
@deven.oauditx7547
@deven.oauditx7547 2 жыл бұрын
Hizo rangi zipo sawa. Haiwezekani kila kitu kikawa na rangi za bendera ya taifa.
@starjay3052
@starjay3052 2 жыл бұрын
ben yuko wapi mana enzi za mzee adi leo sikuoni why
@cyrusdemore3180
@cyrusdemore3180 2 жыл бұрын
Ben mtalali
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 жыл бұрын
Anaitwa Ben Mwanantara tayari washamfanyia figisi eti kwakuwa yeye ni mzalendo na ni mpenda maendeleo 🤣🤣🤣🤣 ndio ujue baazi ya akili za watu weusi wezetu 🏃🏃🏃
@heritier5119
@heritier5119 2 жыл бұрын
Mmetunyima watu haki ya kuvuka upande wa pili kwa kutuwekea fence bila kutuwekea makaravati ya kuvukia chini ya reli
@ken-ul2jg
@ken-ul2jg 2 жыл бұрын
Eti Asilimia 97 point 03, the points killed me really😅, after 1 year watasema asilimia 97 point sufuri nne😂
@davidbenjamin6768
@davidbenjamin6768 2 жыл бұрын
asilimia azijai tu🤣
@salehsimba5306
@salehsimba5306 2 жыл бұрын
Nimetoa Jana hii reli kipande cha kwanza Dar to Moro kilitakiwa kianze Kazi 2021 mwezi wa 4 lkn nimeota mpaka karibu na uchaguzi ndio it aanza kufanya Kazi. Nimeota kama sio 2024 bs 2025 mwanzoni.
@capteinchuimchafu7894
@capteinchuimchafu7894 2 жыл бұрын
Mnanunua tren gan hzi
@starjay3052
@starjay3052 2 жыл бұрын
dar dodoma wakati dar moro tu watu awapandi tren wasafili adi leo 🫵
@christianemil6016
@christianemil6016 2 жыл бұрын
Mkuu...,jitaidi kuishi ndani ya miyoyo ya waliokuwa Trc then TRL then Trc miyoyo yao imekufa......
@saidibalagwila8496
@saidibalagwila8496 2 жыл бұрын
Kigoma lini
@jituakilimali15
@jituakilimali15 2 жыл бұрын
Tuonyeshe na bwawa la Umeme nasikia nauye na makamba wamefanikiwa kusimamisha mradi ili wakajenge bandari bagamoyo
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@mmarandu2417
@mmarandu2417 2 жыл бұрын
JPM REST IN PEACE, A MAN OF ACTION NOT MERE WORDS.
@danielandrew9892
@danielandrew9892 2 жыл бұрын
Lengo lenu nimegundua mnataka mpaka mkamilishe kipande cha Moro Dom ndio treni zitafika
@abubakarharuna6712
@abubakarharuna6712 2 жыл бұрын
😁😁
@greysonsahani2619
@greysonsahani2619 2 жыл бұрын
Tunataka treni zitembeee
@rommelmauma5872
@rommelmauma5872 2 жыл бұрын
Swali bado lipo pale pale. Kwa nini tunang'ang'ania kununua au kukodi *mitumba* ya mabehewa badala ya mapya kutoka viwandani [Korea Kusini na China]? Kuna habari za mwanzo zilizoandikwa na gazeti la *The Citizen* la Tanzania na kurudiwa na kijarida cha *Africa Intelligence* kwamba serikali kwanza ilikataa Kampuni ya Uturuki kutuuziwa hiyo mitumba ya Kijerumani. Na kwamba Kampuni hiyo ya Uturuki ilikuwa inaandaa kesi ya kutushitaki katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi. Lakini sasa serikali imekubali kununua au kukodi hiyo mitumba kwa hoja kwamba hata kama ni mitumba *mitumba ya wenzetu hasa Wajerumani* sio michakavu kama hisia tulizo nazo kuhusu neno *mtumba*. Je, habari za kesi hiyo ni za kweli? Kwa nini tusingoje moja kwa moja tununue mabehewa mapya kwa reli yeti mpya? Je, tuliogopa kushindwa mbele ya Mahakama ya Usuluhishi?
@hassanmpwepwe3826
@hassanmpwepwe3826 2 жыл бұрын
Hamna lolote mnaongea sana vitendo zilo
PROFESA MBARAWA AWATAKA WAWEKEZAJI KUWEKEZA TRC
5:27
TRC RELI TV
Рет қаралды 408
Миллионер | 6 - серия
28:05
Million Show
Рет қаралды 1,6 МЛН
REAL OR CAKE? (Part 9) #shorts
00:23
PANDA BOI
Рет қаралды 81 МЛН
Warship Anchor Chain Mass Forging Process ! Factory Since 1958 !
21:00
Satisfying Tech
Рет қаралды 8 МЛН
Lionel Messi Destroying Manchester United - UCL Final 2011
18:08
4KMessi
Рет қаралды 3,3 МЛН
MRADI WA SGR TABORA KIGOMA WAENDELEA VIZURI
1:59
TRC RELI TV
Рет қаралды 9 М.
Which countries does Turkiye sell military ships to?
21:10
Миллионер | 6 - серия
28:05
Million Show
Рет қаралды 1,6 МЛН