No video

Mshindi wa BSS alivyomnyanyua Dogo Janja kwenye Kiti Chake

  Рет қаралды 373,623

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 129
@officialgakankara
@officialgakankara 5 жыл бұрын
Kama umemuona Juma Sharobaro gonga like
@hamzamohd9980
@hamzamohd9980 3 жыл бұрын
Ongera
@DenyoReigns
@DenyoReigns 5 жыл бұрын
Rock City Gyal...🙌 This babe Sara is phenomenal😍
@agathanyondo9384
@agathanyondo9384 5 жыл бұрын
Kama unasikia makelele kuliko muimbaji like hapa
@beatriceclemence2199
@beatriceclemence2199 5 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀
@happypa2027
@happypa2027 3 жыл бұрын
😅😁👌
@ezekieliezekielimelekizede5120
@ezekieliezekielimelekizede5120 4 жыл бұрын
Kama umemuona juma sharobaro gonga like
@zeinabhassan6071
@zeinabhassan6071 5 жыл бұрын
sarafina you are a star...I predict that..you are a girl to watch..your voice is amazing...my dia girl one day am gonna buy your album...more love from Kenya.. I agree with madam Rita you have all the quality of a star
@barakafrancis7523
@barakafrancis7523 5 жыл бұрын
Good Dada unajua kuimba Kwa kweli nimeielewa shoo yako respect sana kwako
@ssur5797
@ssur5797 5 жыл бұрын
Unasauti nzuri ya kuimba lkni hpo salama atkosowa to mna ktulia na yupo makin na kukutizama dada kazi nzuri mydear 😘😘
@barnabasmalima4823
@barnabasmalima4823 5 жыл бұрын
hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss
@husnajohn7466
@husnajohn7466 5 жыл бұрын
Hawa mademu wa hip hop wanatokea kaskazini pekee kingereza kilipo asisiwa
@vicentbasigaza8100
@vicentbasigaza8100 5 жыл бұрын
Daah asee saiv watu wana ukakasii mifukoni hata hawTunzi ovyo ovyo miaka ya nyuma apoo angeoga mihela
@zakariageorge8657
@zakariageorge8657 5 жыл бұрын
Si unaona watu wenyewe wachache sio kama miaka iliyopita
@allykassim9826
@allykassim9826 5 жыл бұрын
vinny cente hahahahahaha. Vyuma babaa
@laymapeace4538
@laymapeace4538 5 жыл бұрын
majaji wa BSS nawapenda sana mnaijua haki ya mtu sio wale wanafki wa jibebe is
@maxirodrigez2908
@maxirodrigez2908 5 жыл бұрын
Katoto kikwetu Mwanza💗
@edsonteri4489
@edsonteri4489 5 жыл бұрын
Nakumbuka shoo yetu ya fainali bss ya kwanza 2008 tena tulikuwa hatuna wadhamini ilifanyika daimond jubilee hall kingilio elfu10 na ukumbi tuliujaza mshindi aliyetuongoza jumanne idd wapili lea muddy nikilinganisha na shoo hii ambapo ni miaka10 sasa nisiwe mnafki bss imeshuka kimsisimko yaani haivuti watu kama wakati ule yaani hata washiriki ulikuwa unajiuliza sasa hapa atatoka nani abaki nani
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 5 жыл бұрын
Kipindi kile watu walikuwa wanajua sio.kama sasa mtu anaimba ma flat hivyo eti ndio mshindii hawa majaji wananiangusha sijui wnangalia nini..Ngoja tuone ataishia wapii..
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 5 жыл бұрын
Nyie hamjui kitu vijana wanaimba sana achen upuuz wenu
@rodricklwamayanga6154
@rodricklwamayanga6154 5 жыл бұрын
Nakukumbuka sana kijana
@andrewmachibya3170
@andrewmachibya3170 5 жыл бұрын
ama kweriii kwanzaaa miii nimekuja xhangaa nakutananayo youtube tuuu leo lkiniii enzi zleee nilikuwa nafutiliaa mwanxo mwixhoo na mara yangu ya mwisho kufuatilia nafikiri ilikuwa 2009 cjui anachukuaa paschal cassian duu ikikuwa tamuuu kweriii raia walimwaga pesaa jukwaaniii mpkaaa xhidaaa
@badimusa694
@badimusa694 5 жыл бұрын
Bss 9
@privinusdecroshan135
@privinusdecroshan135 5 жыл бұрын
Team mwanzq
@hamisimnyeheri2155
@hamisimnyeheri2155 5 жыл бұрын
Huyuu dem ni mkali sana tusubirieni tusker project fame ni all east Africa huyu dem atafika mbali
@Dymitri-Babushka.
@Dymitri-Babushka. 5 жыл бұрын
Hicho kizungu ni kigumu ,afadhali angeimba kiswahili diamond na wasafi group waelewe
@suzansteven7561
@suzansteven7561 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@aminimunisi3233
@aminimunisi3233 3 жыл бұрын
Dogo janja natamani na mimi ningekuwepo nimpe japo ata 5000 sarafina ana karama aigizi
@allykassim9826
@allykassim9826 5 жыл бұрын
Good perfomance
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 5 жыл бұрын
Dada yupo vizuri asee👏👏
@aishakilangi717
@aishakilangi717 4 жыл бұрын
Mwanza xo proud for saraphina j
@nabiilikhamisi7458
@nabiilikhamisi7458 4 жыл бұрын
uyo masta jeu mbaguz tu kwa kuwa kamuona Hamis hana kitu ndio maana alikuwa ana myanyaa paa tu
@benardmartine244
@benardmartine244 5 жыл бұрын
Rock city talents
@rosemaiko9405
@rosemaiko9405 5 жыл бұрын
Benard Martine rock city
@jongojongo9388
@jongojongo9388 5 жыл бұрын
ushakuwa maarufu karibu kwenye urimwengu wa kukaa uchi
@theafricanprincevivecongo8632
@theafricanprincevivecongo8632 5 жыл бұрын
Jongo Jongo 🤣🤣
@waziriislam2455
@waziriislam2455 5 жыл бұрын
Jongo Jongo KWELI KAKA
@nyangimarwa8023
@nyangimarwa8023 5 жыл бұрын
Umesema kweli kabisa
@zaitunimkali3818
@zaitunimkali3818 5 жыл бұрын
Jongo Jongo 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻
@dorajuma5548
@dorajuma5548 5 жыл бұрын
Jongo Jongo 😂😂😂😂
@nabiilikhamisi7458
@nabiilikhamisi7458 4 жыл бұрын
Hakuna kama hamis nyinyi wanaguz tu hasa mastar j
@msemakweli9626
@msemakweli9626 5 жыл бұрын
nilijua huyu mshindi toka namuona mara ya kwanza
@zenassylvester125
@zenassylvester125 5 жыл бұрын
Nice one
@eddyeddy2907
@eddyeddy2907 5 жыл бұрын
Kama kuna alyemuona Juma Sharobaro anyoshe kidole juu
@agnesskabalika9728
@agnesskabalika9728 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@innojoowzey6913
@innojoowzey6913 5 жыл бұрын
Super hero 🔥🔥🔥
@masoudabdi6076
@masoudabdi6076 5 жыл бұрын
lovely
@ramsojimmykelly3379
@ramsojimmykelly3379 5 жыл бұрын
Kilichobaki tusubirie vituko vyake na picha za uchi
@zaynsalma3466
@zaynsalma3466 5 жыл бұрын
Boya we nimechek kwa saut
@theafricanprincevivecongo8632
@theafricanprincevivecongo8632 5 жыл бұрын
Ramsojimmy Kelly 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@amourabbas2306
@amourabbas2306 5 жыл бұрын
Ramsojimmy Kelly exactly ilo ndio tatizo kubwa la wabongo
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 5 жыл бұрын
Na hawa wanaoitwa washidi huwa wanapoteleaga hapo hapo hatuwaoni tena sasa sijui wanashinda au wanapewa kazi kweli kwelii.Kama yupo aliyeshind Na Bado yuko on Fire Sijui wote potelea mbalii kabisaa..
@shaymaajohn436
@shaymaajohn436 5 жыл бұрын
@@africanhappyadventure6951 yupo kayumba juma mshind wa2015 na anafanya poa tuu kweny industry
@focustz4408
@focustz4408 5 жыл бұрын
hiv yure wazir alie sema nyege kilipu yake bado tu mjaipata alisema kipindi wanasubili ndege ya Tanzania
@dechemisttv5064
@dechemisttv5064 5 жыл бұрын
Talented🔥🔥
@raybrankxbalozi3684
@raybrankxbalozi3684 5 жыл бұрын
She made it
@youngdady7901
@youngdady7901 5 жыл бұрын
Dada anaswaga huyo
@juliusdeogrtius6199
@juliusdeogrtius6199 5 жыл бұрын
Kama nimemuona juma sharobaro
@magrethlawrence1523
@magrethlawrence1523 5 жыл бұрын
Julius Deogrtius hata mm
@mansooronlinetv535
@mansooronlinetv535 5 жыл бұрын
Duuh
@brudatv3539
@brudatv3539 5 жыл бұрын
Yuko mbele kabisa
@annajohn4321
@annajohn4321 5 жыл бұрын
Julius Deogrtius yupo na mim nimuona
@neyjoe8926
@neyjoe8926 5 жыл бұрын
Ata mm
@juliusyohana3543
@juliusyohana3543 5 жыл бұрын
nmependa dada upo vzr piga kolabo na dogo janja
@extramen5534
@extramen5534 5 жыл бұрын
Salama uzee unakustend sasa
@OmanOman-hr6cb
@OmanOman-hr6cb 5 жыл бұрын
Mbona nasikia kelele
@maryamsalum1830
@maryamsalum1830 5 жыл бұрын
Yaaaaan huyu dada Angechukua KablA ya Final mAana mh SaraFina Hot
@muttaadrolph6162
@muttaadrolph6162 4 жыл бұрын
Izo hair zako ni rasta au nin maan daily izo izo
@cedricnitunga468
@cedricnitunga468 5 жыл бұрын
eti Mwanza NY nikadhani New York kuna mahali panaitwa Mwanza kumbe ni Nyegezi😂😂😂 Basata wametisha bwana
@merveillekianga8888
@merveillekianga8888 3 жыл бұрын
Mevreille
@merveillekianga8888
@merveillekianga8888 3 жыл бұрын
Max
@piarajaneth6030
@piarajaneth6030 5 жыл бұрын
Hapo ni haki yake kabisa kuwa mshindi
@juniorsmart2483
@juniorsmart2483 5 жыл бұрын
Aisee!term hii mlikosa kabsaaaa!hakuna lolote
@georgefrancis8686
@georgefrancis8686 5 жыл бұрын
Hamna msaanii hapo wanao jua Washa mwagwa nyuma huko angalia walio pewaga mwanzo wako WAP bhn hawa hiz tuzo za mipango BG up sana harmonize kwa kutoboa wcb hawa wakandamizaj kama fiesta???
@fredrickipembe6277
@fredrickipembe6277 4 жыл бұрын
Oky brother
@djmeza411a58
@djmeza411a58 5 жыл бұрын
Uyo stephane ameisha pita akuna Cha kula au Nini I see star
@achi_raymond
@achi_raymond 5 жыл бұрын
Saraphina michael bongo star search 2018 Winner mshindi
@zaitunimkali3818
@zaitunimkali3818 5 жыл бұрын
Nyege nyegeziiii
@abdulrahmanibrahim6283
@abdulrahmanibrahim6283 5 жыл бұрын
Ntafute ww +97450580766
@ToyTz
@ToyTz 5 жыл бұрын
uyu dem.jini
@ayoubgabriely6517
@ayoubgabriely6517 5 жыл бұрын
sarafina anajuwa
@deborahalyoce2178
@deborahalyoce2178 5 жыл бұрын
hahahahahaha nice one
@sungula100
@sungula100 5 жыл бұрын
Ivi huyu ni mshindi wa ngapi toka kanda ya ziwa? namkumbuka Misoji Nkwabi, namkumbuka Paschal Kasian, .... Kuleni Sangara na Sato jamani, nafikiri wanasaidia!
@dicksonulotu9717
@dicksonulotu9717 5 жыл бұрын
Safi sana una haki ya kuwa mshindi,Bgup
@nasramsami3410
@nasramsami3410 5 жыл бұрын
Mhhh huyo mbn anapaka lipshen
@ruqiaothman3112
@ruqiaothman3112 5 жыл бұрын
Katokea nyegezi huyo
@georgefrancis5378
@georgefrancis5378 5 жыл бұрын
Sara ni kipaji harisi..
@florencegregory8932
@florencegregory8932 5 жыл бұрын
Sidhn km mnazingatia kura za watanzania
@amanlenatus9067
@amanlenatus9067 5 жыл бұрын
HAYO MA FLAT NDO YA USHINDI MAJAJI NI HOVYO TUUUUUUUU
@aminapatrick5883
@aminapatrick5883 5 жыл бұрын
Uko wapi kaka yangu
@musicworldwide2625
@musicworldwide2625 5 жыл бұрын
Kabebwa
@emanuelmushi6878
@emanuelmushi6878 5 жыл бұрын
Kinachoshangaza wanaoshindwaga hapo ndo wanaotoboaga ktk ulimwengu wa mziki wanapoamua kupambana mtaani'Like harmonize) AF washindi wa Bss wanaishiaga hapohapo bss: ndo utagundua kua unakazi ya ziada ya kufanya ili kipajichako kilete mafanikio:
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 жыл бұрын
Kazi ngumu kweli kweli
@mohamedsadiki1575
@mohamedsadiki1575 5 жыл бұрын
kufik apo simchezo mwamb
@emlongetcha88
@emlongetcha88 5 жыл бұрын
Kazi ngumu?? Acha utani!! Kuimba nyimbo ya mtu🤣🤣🤣 Sijui alietunga tumwambieJe😆😅😂🤣
@arafazakir4150
@arafazakir4150 5 жыл бұрын
Mmecheka MASTER J asa mjinga 😂😂😂😂😂
@FatmaFatma-kt1or
@FatmaFatma-kt1or 5 жыл бұрын
Nc
@hollontugwa417
@hollontugwa417 5 жыл бұрын
Safi sana salaphina
@shaymaajohn436
@shaymaajohn436 5 жыл бұрын
Jomon ntaipataje hii video
@magrethmhoha1630
@magrethmhoha1630 5 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/rnOph5WYqbt7Z7c diet ya mayai siku saba kupunguza zaidi ya kilo nne Fungua link 👆
@hafidhdrogba1813
@hafidhdrogba1813 5 жыл бұрын
Akunalolote jau kabisa
@mbodzebemasika7477
@mbodzebemasika7477 5 жыл бұрын
sarafina ni faida ya Nchi wallai
@rigalugano8791
@rigalugano8791 5 жыл бұрын
Abo janatizma wamesomea wapi mziki pumba tuu
@vickymmasi2618
@vickymmasi2618 5 жыл бұрын
jmn tuekee yote
@frankphilipo8413
@frankphilipo8413 5 жыл бұрын
Poa
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 5 жыл бұрын
We bwege!dogo Janja yupo wapi?
@jurmainezaidi739
@jurmainezaidi739 5 жыл бұрын
We nae anaemwaga pesa ni nan kwan??!
@aminapatrick5883
@aminapatrick5883 5 жыл бұрын
Hatujui mm na ww
@aminapatrick5883
@aminapatrick5883 5 жыл бұрын
@@jurmainezaidi739 pow
@EdwinMrope
@EdwinMrope 5 жыл бұрын
NIFWATE HAPA
@mwisakihaji3782
@mwisakihaji3782 5 жыл бұрын
Tatizo hawafiki kokote wanaishia hapohapo Bss
@aboubakarmassooud6908
@aboubakarmassooud6908 5 жыл бұрын
Huu wimbo unatakiw kuwepo mtaan sass
@topandbesttalents9699
@topandbesttalents9699 5 жыл бұрын
Boers and weird!!
@AliBaba-zb3tg
@AliBaba-zb3tg 5 жыл бұрын
Madam rita hii nywele na sura yake utafikili Embe mawazo mxiuuu
@dotomohd9156
@dotomohd9156 5 жыл бұрын
Mbavub2 embe mawazo ndio ipoje hiyo
@agnesslukanyanga9742
@agnesslukanyanga9742 5 жыл бұрын
Nimecheka sana
@halimahalima9133
@halimahalima9133 5 жыл бұрын
Ata c uongo ni vituko2 na picha za uchi
@featurebillionaire5464
@featurebillionaire5464 5 жыл бұрын
Kwani wauza nguvu za kiume bado hawajacoment
@kulsweetmatanda4593
@kulsweetmatanda4593 5 жыл бұрын
Wako insta tu
@barnabasmalima4823
@barnabasmalima4823 5 жыл бұрын
hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 28 М.
NYIMBO TATU ZILIZOMPATIA SARAFINA MILION 50 ZA BSS
9:50
Millard Ayo
Рет қаралды 623 М.
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 40 МЛН
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 7 МЛН
1ОШБ Да Вінчі навчання
00:14
AIRSOFT BALAN
Рет қаралды 4,5 МЛН
THE VIBES GROUP HAINA MWILI TU IMESHIBA VOCAL KAMA ZOTE
7:24
BongoStarSearch
Рет қаралды 82 М.
IBRAHIM URASSA - AMAPIANO
10:31
UnitalentShow
Рет қаралды 47 М.
KING DAVID NA VIKOTI VYA MISSO MISONDO
5:32
BongoStarSearch
Рет қаралды 49 М.
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 40 МЛН