sarafina you are a star...I predict that..you are a girl to watch..your voice is amazing...my dia girl one day am gonna buy your album...more love from Kenya.. I agree with madam Rita you have all the quality of a star
@barakafrancis75235 жыл бұрын
Good Dada unajua kuimba Kwa kweli nimeielewa shoo yako respect sana kwako
@ssur57975 жыл бұрын
Unasauti nzuri ya kuimba lkni hpo salama atkosowa to mna ktulia na yupo makin na kukutizama dada kazi nzuri mydear 😘😘
@barnabasmalima48235 жыл бұрын
hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss
@husnajohn74665 жыл бұрын
Hawa mademu wa hip hop wanatokea kaskazini pekee kingereza kilipo asisiwa
@vicentbasigaza81005 жыл бұрын
Daah asee saiv watu wana ukakasii mifukoni hata hawTunzi ovyo ovyo miaka ya nyuma apoo angeoga mihela
@zakariageorge86575 жыл бұрын
Si unaona watu wenyewe wachache sio kama miaka iliyopita
@allykassim98265 жыл бұрын
vinny cente hahahahahaha. Vyuma babaa
@laymapeace45385 жыл бұрын
majaji wa BSS nawapenda sana mnaijua haki ya mtu sio wale wanafki wa jibebe is
@maxirodrigez29085 жыл бұрын
Katoto kikwetu Mwanza💗
@edsonteri44895 жыл бұрын
Nakumbuka shoo yetu ya fainali bss ya kwanza 2008 tena tulikuwa hatuna wadhamini ilifanyika daimond jubilee hall kingilio elfu10 na ukumbi tuliujaza mshindi aliyetuongoza jumanne idd wapili lea muddy nikilinganisha na shoo hii ambapo ni miaka10 sasa nisiwe mnafki bss imeshuka kimsisimko yaani haivuti watu kama wakati ule yaani hata washiriki ulikuwa unajiuliza sasa hapa atatoka nani abaki nani
@africanhappyadventure69515 жыл бұрын
Kipindi kile watu walikuwa wanajua sio.kama sasa mtu anaimba ma flat hivyo eti ndio mshindii hawa majaji wananiangusha sijui wnangalia nini..Ngoja tuone ataishia wapii..
@sir_ENOCKMACHA5 жыл бұрын
Nyie hamjui kitu vijana wanaimba sana achen upuuz wenu
@rodricklwamayanga61545 жыл бұрын
Nakukumbuka sana kijana
@andrewmachibya31705 жыл бұрын
ama kweriii kwanzaaa miii nimekuja xhangaa nakutananayo youtube tuuu leo lkiniii enzi zleee nilikuwa nafutiliaa mwanxo mwixhoo na mara yangu ya mwisho kufuatilia nafikiri ilikuwa 2009 cjui anachukuaa paschal cassian duu ikikuwa tamuuu kweriii raia walimwaga pesaa jukwaaniii mpkaaa xhidaaa
@badimusa6945 жыл бұрын
Bss 9
@privinusdecroshan1355 жыл бұрын
Team mwanzq
@hamisimnyeheri21555 жыл бұрын
Huyuu dem ni mkali sana tusubirieni tusker project fame ni all east Africa huyu dem atafika mbali
@Dymitri-Babushka.5 жыл бұрын
Hicho kizungu ni kigumu ,afadhali angeimba kiswahili diamond na wasafi group waelewe
@suzansteven75614 жыл бұрын
😂😂😂😂
@aminimunisi32333 жыл бұрын
Dogo janja natamani na mimi ningekuwepo nimpe japo ata 5000 sarafina ana karama aigizi
@allykassim98265 жыл бұрын
Good perfomance
@hassanovajunior69725 жыл бұрын
Dada yupo vizuri asee👏👏
@aishakilangi7174 жыл бұрын
Mwanza xo proud for saraphina j
@nabiilikhamisi74584 жыл бұрын
uyo masta jeu mbaguz tu kwa kuwa kamuona Hamis hana kitu ndio maana alikuwa ana myanyaa paa tu
@benardmartine2445 жыл бұрын
Rock city talents
@rosemaiko94055 жыл бұрын
Benard Martine rock city
@jongojongo93885 жыл бұрын
ushakuwa maarufu karibu kwenye urimwengu wa kukaa uchi
@theafricanprincevivecongo86325 жыл бұрын
Jongo Jongo 🤣🤣
@waziriislam24555 жыл бұрын
Jongo Jongo KWELI KAKA
@nyangimarwa80235 жыл бұрын
Umesema kweli kabisa
@zaitunimkali38185 жыл бұрын
Jongo Jongo 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻
@dorajuma55485 жыл бұрын
Jongo Jongo 😂😂😂😂
@nabiilikhamisi74584 жыл бұрын
Hakuna kama hamis nyinyi wanaguz tu hasa mastar j
@msemakweli96265 жыл бұрын
nilijua huyu mshindi toka namuona mara ya kwanza
@zenassylvester1255 жыл бұрын
Nice one
@eddyeddy29075 жыл бұрын
Kama kuna alyemuona Juma Sharobaro anyoshe kidole juu
@agnesskabalika97285 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@innojoowzey69135 жыл бұрын
Super hero 🔥🔥🔥
@masoudabdi60765 жыл бұрын
lovely
@ramsojimmykelly33795 жыл бұрын
Kilichobaki tusubirie vituko vyake na picha za uchi
@zaynsalma34665 жыл бұрын
Boya we nimechek kwa saut
@theafricanprincevivecongo86325 жыл бұрын
Ramsojimmy Kelly 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@amourabbas23065 жыл бұрын
Ramsojimmy Kelly exactly ilo ndio tatizo kubwa la wabongo
@africanhappyadventure69515 жыл бұрын
Na hawa wanaoitwa washidi huwa wanapoteleaga hapo hapo hatuwaoni tena sasa sijui wanashinda au wanapewa kazi kweli kwelii.Kama yupo aliyeshind Na Bado yuko on Fire Sijui wote potelea mbalii kabisaa..
@shaymaajohn4365 жыл бұрын
@@africanhappyadventure6951 yupo kayumba juma mshind wa2015 na anafanya poa tuu kweny industry
@focustz44085 жыл бұрын
hiv yure wazir alie sema nyege kilipu yake bado tu mjaipata alisema kipindi wanasubili ndege ya Tanzania
@dechemisttv50645 жыл бұрын
Talented🔥🔥
@raybrankxbalozi36845 жыл бұрын
She made it
@youngdady79015 жыл бұрын
Dada anaswaga huyo
@juliusdeogrtius61995 жыл бұрын
Kama nimemuona juma sharobaro
@magrethlawrence15235 жыл бұрын
Julius Deogrtius hata mm
@mansooronlinetv5355 жыл бұрын
Duuh
@brudatv35395 жыл бұрын
Yuko mbele kabisa
@annajohn43215 жыл бұрын
Julius Deogrtius yupo na mim nimuona
@neyjoe89265 жыл бұрын
Ata mm
@juliusyohana35435 жыл бұрын
nmependa dada upo vzr piga kolabo na dogo janja
@extramen55345 жыл бұрын
Salama uzee unakustend sasa
@OmanOman-hr6cb5 жыл бұрын
Mbona nasikia kelele
@maryamsalum18305 жыл бұрын
Yaaaaan huyu dada Angechukua KablA ya Final mAana mh SaraFina Hot
@muttaadrolph61624 жыл бұрын
Izo hair zako ni rasta au nin maan daily izo izo
@cedricnitunga4685 жыл бұрын
eti Mwanza NY nikadhani New York kuna mahali panaitwa Mwanza kumbe ni Nyegezi😂😂😂 Basata wametisha bwana
@merveillekianga88883 жыл бұрын
Mevreille
@merveillekianga88883 жыл бұрын
Max
@piarajaneth60305 жыл бұрын
Hapo ni haki yake kabisa kuwa mshindi
@juniorsmart24835 жыл бұрын
Aisee!term hii mlikosa kabsaaaa!hakuna lolote
@georgefrancis86865 жыл бұрын
Hamna msaanii hapo wanao jua Washa mwagwa nyuma huko angalia walio pewaga mwanzo wako WAP bhn hawa hiz tuzo za mipango BG up sana harmonize kwa kutoboa wcb hawa wakandamizaj kama fiesta???
@fredrickipembe62774 жыл бұрын
Oky brother
@djmeza411a585 жыл бұрын
Uyo stephane ameisha pita akuna Cha kula au Nini I see star
@achi_raymond5 жыл бұрын
Saraphina michael bongo star search 2018 Winner mshindi
@zaitunimkali38185 жыл бұрын
Nyege nyegeziiii
@abdulrahmanibrahim62835 жыл бұрын
Ntafute ww +97450580766
@ToyTz5 жыл бұрын
uyu dem.jini
@ayoubgabriely65175 жыл бұрын
sarafina anajuwa
@deborahalyoce21785 жыл бұрын
hahahahahaha nice one
@sungula1005 жыл бұрын
Ivi huyu ni mshindi wa ngapi toka kanda ya ziwa? namkumbuka Misoji Nkwabi, namkumbuka Paschal Kasian, .... Kuleni Sangara na Sato jamani, nafikiri wanasaidia!
@dicksonulotu97175 жыл бұрын
Safi sana una haki ya kuwa mshindi,Bgup
@nasramsami34105 жыл бұрын
Mhhh huyo mbn anapaka lipshen
@ruqiaothman31125 жыл бұрын
Katokea nyegezi huyo
@georgefrancis53785 жыл бұрын
Sara ni kipaji harisi..
@florencegregory89325 жыл бұрын
Sidhn km mnazingatia kura za watanzania
@amanlenatus90675 жыл бұрын
HAYO MA FLAT NDO YA USHINDI MAJAJI NI HOVYO TUUUUUUUU
@aminapatrick58835 жыл бұрын
Uko wapi kaka yangu
@musicworldwide26255 жыл бұрын
Kabebwa
@emanuelmushi68785 жыл бұрын
Kinachoshangaza wanaoshindwaga hapo ndo wanaotoboaga ktk ulimwengu wa mziki wanapoamua kupambana mtaani'Like harmonize) AF washindi wa Bss wanaishiaga hapohapo bss: ndo utagundua kua unakazi ya ziada ya kufanya ili kipajichako kilete mafanikio:
@saumuhassan63655 жыл бұрын
Kazi ngumu kweli kweli
@mohamedsadiki15755 жыл бұрын
kufik apo simchezo mwamb
@emlongetcha885 жыл бұрын
Kazi ngumu?? Acha utani!! Kuimba nyimbo ya mtu🤣🤣🤣 Sijui alietunga tumwambieJe😆😅😂🤣
@arafazakir41505 жыл бұрын
Mmecheka MASTER J asa mjinga 😂😂😂😂😂
@FatmaFatma-kt1or5 жыл бұрын
Nc
@hollontugwa4175 жыл бұрын
Safi sana salaphina
@shaymaajohn4365 жыл бұрын
Jomon ntaipataje hii video
@magrethmhoha16305 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/rnOph5WYqbt7Z7c diet ya mayai siku saba kupunguza zaidi ya kilo nne Fungua link 👆
@hafidhdrogba18135 жыл бұрын
Akunalolote jau kabisa
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
sarafina ni faida ya Nchi wallai
@rigalugano87915 жыл бұрын
Abo janatizma wamesomea wapi mziki pumba tuu
@vickymmasi26185 жыл бұрын
jmn tuekee yote
@frankphilipo84135 жыл бұрын
Poa
@D-Man.B-Free5 жыл бұрын
We bwege!dogo Janja yupo wapi?
@jurmainezaidi7395 жыл бұрын
We nae anaemwaga pesa ni nan kwan??!
@aminapatrick58835 жыл бұрын
Hatujui mm na ww
@aminapatrick58835 жыл бұрын
@@jurmainezaidi739 pow
@EdwinMrope5 жыл бұрын
NIFWATE HAPA
@mwisakihaji37825 жыл бұрын
Tatizo hawafiki kokote wanaishia hapohapo Bss
@aboubakarmassooud69085 жыл бұрын
Huu wimbo unatakiw kuwepo mtaan sass
@topandbesttalents96995 жыл бұрын
Boers and weird!!
@AliBaba-zb3tg5 жыл бұрын
Madam rita hii nywele na sura yake utafikili Embe mawazo mxiuuu
@dotomohd91565 жыл бұрын
Mbavub2 embe mawazo ndio ipoje hiyo
@agnesslukanyanga97425 жыл бұрын
Nimecheka sana
@halimahalima91335 жыл бұрын
Ata c uongo ni vituko2 na picha za uchi
@featurebillionaire54645 жыл бұрын
Kwani wauza nguvu za kiume bado hawajacoment
@kulsweetmatanda45935 жыл бұрын
Wako insta tu
@barnabasmalima48235 жыл бұрын
hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss