Рет қаралды 20,275
Mshukiwa wa ugaidi aliyekuwa akitafutwa anaswa huko Congo
Salim Rashid Mohammed maarufu Chotara alitoroka Kenya Desemba
Chotara anadai kuwa mpiganaji wa kundi la Daesh huko Msumbiji
Idara ya polisi yasema iko macho kuzima shambulio la kigaidi