MSIGWA Amlipua KIGWANGALA Bungeni - "STEVE NYERERE Ndio NANI, Unaogopa KUROGWA"

  Рет қаралды 272,813

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

MSIGWA Amlipua KIGWANGALA Bungeni - "STEVE NYERERE Ndio NANI, Unaogopa KUROGWA"
Mbunge wa Iringa mjini (CHADEMA), Peter Msigwa amewatupia lawama Mawaziri wa serikali ya awamu ya tano kwa kushughulikia kero na kutatua migogoro badala ya kushughuikia sera.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
kzbin.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzbin.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzbin.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
kzbin.info?list...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 293
@mohamedmohamedimnyilila6631
@mohamedmohamedimnyilila6631 3 жыл бұрын
Tunakupenda sana mbunge wetu wa iringa
@jiajoel2346
@jiajoel2346 4 жыл бұрын
Msigwa keep it up...nakubali hoja zako
@godfreynkama6098
@godfreynkama6098 4 жыл бұрын
Hapo nimekuelewa sana mchungaji msigwa,uko vizuri kujenga hoja.
@simonkanyungu7760
@simonkanyungu7760 3 жыл бұрын
The like of opposition leaders we need in Kenya....at Peter msigwa
@stevehiraly9127
@stevehiraly9127 3 жыл бұрын
Mashine hio.. Naskitik sana huyu jamaaa kumkosa bungen... sjui hilo bunge lanaenda kuwaje???? 😭😭😭
@alikhalfan9551
@alikhalfan9551 4 жыл бұрын
Msigwa umeenda shule unaongea hadi wabunge wanachanganyikiwa eti kanuni ya ishirini na nane isome haijui nakuombea kwa mungu msigwa urudi bungeni
@amirisemaye1567
@amirisemaye1567 4 жыл бұрын
Kaongea pumba tu
@abtwalibuhussein4877
@abtwalibuhussein4877 4 жыл бұрын
Mchungaji Uko vizuri sana.
@pastor_mashimo
@pastor_mashimo 4 жыл бұрын
Kuhusu utalii kwa kweli mh Singwa ameongea point
@leonardgalila3032
@leonardgalila3032 4 жыл бұрын
Leo speaker nimekuelewa
@chinamichael3340
@chinamichael3340 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Msigwa Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu.
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Mwaka huu hana kitu Iringa mjini!!!
@binurusm8886
@binurusm8886 4 жыл бұрын
Mh. Msigwa umeongea Point nzuri tu katika kushauriana, Umechemka ulipomtaja moja kwa moja Msanii Steve Nyerere, hapo kwa Hadhi yako ya Kiuchungaji umejisahau kwani nayo ni Kazi kama kazi zingine, Pia na pia kuwathamini Wasanii wa ndani ni muhimu, Kwa hayo Mchungaji binafsi naona waombe radhi Wasanii wetu.
@kellyroselwinga7999
@kellyroselwinga7999 4 жыл бұрын
Kabisa we are not serious watumie watu wakuweza kutangaza utaliii,points taken kwakweli
@zicomgravity4897
@zicomgravity4897 4 жыл бұрын
This Man Is Real OG.💪💯👏👏👏
@madukurumwanileles7909
@madukurumwanileles7909 4 жыл бұрын
Lakini kweli Mheshimiwa Msigwa wakati mwingine mko sawa kabisa,kweli mnaona mbali na mnahaki ya kukosoa na kuishauli Serikali,safi safi sana.
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 4 жыл бұрын
Uko Sahihi Hon.Msigwa
@sehemunzuri
@sehemunzuri 4 жыл бұрын
Mimi naungana na Mhe. Msigwa.. safi sana
@dlmedial9417
@dlmedial9417 4 жыл бұрын
Leo nimekuelewa mhe. Msigwa. Good speech. But please show even solution and sent to Mr. Kigwangala
@wilsonmcs3369
@wilsonmcs3369 4 жыл бұрын
WA MWANGATA IRINGA TZ.👏👏
@fettamidu2503
@fettamidu2503 4 жыл бұрын
Msingwa kichwa saaaana big up
@willyngailo4549
@willyngailo4549 4 жыл бұрын
Kumbe Kuna wabunge hawajui kanuni za bunge FISIEM bana
@angelmaganga9482
@angelmaganga9482 4 жыл бұрын
Mungu atskubariki hat wao wasipokusikia
@fredylucas2484
@fredylucas2484 4 жыл бұрын
Hapo mnaonyesha ni wapinzani wa kweli. Siyo kila kukicha kuzira bungeni. Kudos Mchungaji
@ameniameni617
@ameniameni617 4 жыл бұрын
Asante mchungaji msigwa uyo mama mjinga anapoteza mda
@mussajacob8346
@mussajacob8346 4 жыл бұрын
Tena nimpumbavu sijui kilichomwasha nini kwanini asingekaa kimya ili wataalamu waendelee kutoa elimu
@kijangapeter5135
@kijangapeter5135 4 жыл бұрын
Hili maza jinga kabisaa
@freckkihundo4349
@freckkihundo4349 4 жыл бұрын
Pamoja sana mh msigwa
@aggyparty2990
@aggyparty2990 4 жыл бұрын
Kaongea ukweli mtupu sababu hata wakipanda huko hawafiki mtu kama welu sengo sijui aunt hawawezi kupanda mlima msigwa umeongea point 🙌🙌🙌🙌🙌 wenye akili ndiyo watamuelea 🙌🙌🙌
@happyfiverickaldo4662
@happyfiverickaldo4662 4 жыл бұрын
Msigwaaaaaaaaaaaaa nomaaaaaa
@salasaidi1888
@salasaidi1888 4 жыл бұрын
Uko sawa
@nassorseluma2920
@nassorseluma2920 4 жыл бұрын
Safi sana mchungaji
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Mzembe sana wewe, wakikaa ofisini pia mtalalamika,,,,,kweli duniani hakuna jema!!!!!
@calvinkitaly9376
@calvinkitaly9376 4 жыл бұрын
Sema Mtumishi Wa bwana ulie barikiwa, unaeleweka vizuri.
@kavassay8899
@kavassay8899 4 жыл бұрын
Msigwa ni saw na wabunge wote wa ccm umo ndan
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Hilo ni bao mr msingwa ..... Hawajaacha Sera , wako kisiasa zaidi ili wakamate wananchi ..... Ninyi mlikuwa mnateka watu mnapiga kelele watu wanauawa ili muonekane watetezi wa wananchi , wao wanapiga kazi karibu nasisi ili tujue wako nasi ...... So kaa chini pambania kiti chako uchaguzi unakaribia .
@nicolauswandao8988
@nicolauswandao8988 4 жыл бұрын
ukiona taarifa zinazidi ujue unaeleweka
@paulebby1552
@paulebby1552 4 жыл бұрын
Kweli hawapendagi points za msingi zisikike
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Pumba tu!!!!
@Directorhernrypro
@Directorhernrypro 4 жыл бұрын
Kweli kabsa
@daniellyimo636
@daniellyimo636 3 жыл бұрын
Point 😄😄😄
@suleykilindi5117
@suleykilindi5117 3 жыл бұрын
Nimekuja kuangalia baada ya ripoti ya CAG
@silasnnko4384
@silasnnko4384 4 жыл бұрын
Mbunge msigwa noma umewakalisha kama wote na miongozo yao
@pichunakichuna2111
@pichunakichuna2111 4 жыл бұрын
Wow Mchungaji u gave them there own medicine are u sure u are not from Kenya? iu are a fighter for ur country n a true leader🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇨🇭🇨🇭uku ndio kwa Roger Federer tena jirani yangu True
@petroerinest2744
@petroerinest2744 4 жыл бұрын
Nakuelewa sana pastor
@seljasele
@seljasele 4 жыл бұрын
Kwa Stive kweli ni udwanzi sana.
@daniellyimo636
@daniellyimo636 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Ana julikana Dar tuu 😄😄😄 Ana panda Mlima hata hafiki Mlimani 😄😄😄
@veilamariki3000
@veilamariki3000 4 жыл бұрын
Point Msigwa
@jacobmgumiro156
@jacobmgumiro156 4 жыл бұрын
Naombeni muniambie msigwa naweza kumnunua ahamie lushoto ?manas wakwetu sijawah kumsikia hataaaasiku moja
@boniphacetabu2903
@boniphacetabu2903 4 жыл бұрын
Yuko LIKIZOO
@nilamlenga3581
@nilamlenga3581 4 жыл бұрын
Upinzani ni vichwa
@anastaziuscyriacus5415
@anastaziuscyriacus5415 4 жыл бұрын
Umenichekesha wewe...loh
@biaysha8553
@biaysha8553 3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😂
@gabrielpott3325
@gabrielpott3325 4 жыл бұрын
Mzee msingwa mzee kichwa yako iko sawa sana mzee uko sawasawa ila kuna mijitu ipo hapo bungeni hata haitambui uwepo wao mzee chapa kaz.
@nicolauswandao8988
@nicolauswandao8988 4 жыл бұрын
kazi ya taarifa ni kupunguza speed ya mzungumzaji au kupoteza muda sio kujenga hoja
@serianjamal8254
@serianjamal8254 4 жыл бұрын
Nawewe umeligundua hilo yaani ni kero
@jacobmgumiro156
@jacobmgumiro156 4 жыл бұрын
Majinga sana magoga meza haya maccm
@kellyroselwinga7999
@kellyroselwinga7999 4 жыл бұрын
Kabisa wanapunguza muda
@smarty1064
@smarty1064 4 жыл бұрын
Tunataka kwenda kimataifa we unawaleta kina steve nyerere...uko sahihi kabisa
@leonardawamu2275
@leonardawamu2275 4 жыл бұрын
safi sana MCHUNGAJI
@mkonojr2779
@mkonojr2779 3 жыл бұрын
Huwa napendaaa sana hotuba za huyu mwamba
@robertthomas7769
@robertthomas7769 4 жыл бұрын
Mchungaji uko vizuri, ukweli mtupu huu.
@philipomofuga3511
@philipomofuga3511 4 жыл бұрын
Kiboko ya ccm saf sana mbunge ujawahi waangusha watu wako Mungu akulinde uzid kua bora.
@janelukololo9919
@janelukololo9919 3 жыл бұрын
Safi
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 4 жыл бұрын
Muheshimiwa kigwangwala pokea haya maneno ya Msigwa points.....
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 2 жыл бұрын
🙏🙏
@fadhilalemba7857
@fadhilalemba7857 4 жыл бұрын
very true
@errydeo8865
@errydeo8865 4 жыл бұрын
true,nawaziri kuna vijikazi wanafanya ambavyo watu wa chini ndo kazi zao.
@Directorhernrypro
@Directorhernrypro 4 жыл бұрын
Point 👍🏼
@mrsramadhani2400
@mrsramadhani2400 4 жыл бұрын
Nimekuelewa.boc.kubwa Lakn.maccm Cjui2.wakoje Chukuen.mawazohayo Myafanyiekaz
@sasumaadsaihmayombya8145
@sasumaadsaihmayombya8145 4 жыл бұрын
Mrs Ramadhani Kumbe ww uko kichama zaidi na sio kile alichokiongea tukifuata maelezo yako?
@yassinudd4422
@yassinudd4422 4 жыл бұрын
Kuna kazi sana, kama mbunge amini kuwa ata wasanii wa ndani wanaweza tangaza maliasili zetu, nashaka na uzalendo wake
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 4 жыл бұрын
Ameongea sense sana msigwa. .but lets wat and see
@feisalissa3009
@feisalissa3009 4 жыл бұрын
Msigwa wape maneno yao sema ukweli hawo 👍 👍💯
@adamally8791
@adamally8791 4 жыл бұрын
God point msingwa, tuache upinzani ulichokiongea hata ckupingi, kigwangwala chukua hayo madini, Hata team aliyopo samata kwa sasa uungie nayo mkataba kuutangaza utalii wa Nchi yetu
@robben8736
@robben8736 4 жыл бұрын
unajua uchikiongea...kuingia mkataba wa aina yeyote na club inayoshiriki ligi kuu England ni very expensive...approximately ni kuanzia M15 Dollars ambazo ni sawa Billioni 34 za Tanzania...sasa hapo huoni kama watanzania wataanza kulalamika pesa nyingi imepelekwa kwenye utalii na wanafunzi hawana mikopo
@evethaasey1791
@evethaasey1791 4 жыл бұрын
OK kibwagala muelewa ameelewa, bongo zozo is good
@filbertnashon7160
@filbertnashon7160 4 жыл бұрын
Kanuni 28:isome😁😁😁😁😁 TAARIFA imekua Nyingi, I'la Wazo la MSIGWA Ni sahihi!!!!
@feyzalyusuph14
@feyzalyusuph14 4 жыл бұрын
Sema baba
@alexbenedict5378
@alexbenedict5378 3 жыл бұрын
Yes
@kellyroselwinga7999
@kellyroselwinga7999 4 жыл бұрын
Umeongea point Sana Mheshimiwa Msigwa wanashindwa tu kuelewa,nawangeweza kuchukua points zako
@alexmbembela4571
@alexmbembela4571 4 жыл бұрын
Kigwanagala nakuelewa Sana Ila jaribu kuyachukua mawazo ya mchungaji msigwa yatakusaidia Sana ......HAUWEZI KUMCHUKUA STEVE NYERERE UKAENDA NAE KUTANGAZA UTALII HATA KENYA HAWAMJUI......Kama umemuelewa mchungaji njoo ulike hapa
@jamessanga7120
@jamessanga7120 2 жыл бұрын
Uko vizur mchungaji wangu unaakili sana
@sekuludevid5239
@sekuludevid5239 4 жыл бұрын
Hahahaha mnagombea demu na Steve nyerere kachukua goma lako mchungaji hahahahahaha tunajua msigwa 😂😂😂😂
@evelynmon9423
@evelynmon9423 4 жыл бұрын
Yaan hapo kunaweza kukawa na maroroso yanaendelea kama ya kina logola lakini wao wakashangilia tu sijui wanamatatizo gani ktk akili zao
@kasolekasole4981
@kasolekasole4981 4 жыл бұрын
Factor
@bilalimziray448
@bilalimziray448 4 жыл бұрын
Yaan msigwa unavyo wakatia wabunge wenzako noma Sana 😁😁
@valentinemtei2927
@valentinemtei2927 4 жыл бұрын
Kazi ya Mbunge ni kuishauri na kuishauri serikali
@peemoneybags410
@peemoneybags410 4 жыл бұрын
Safi sana Msigwa mpe kubwa fala huyo hamisi sijui kingangwala
@barakajohn5116
@barakajohn5116 4 жыл бұрын
Se***ng ww
@omaryhango6696
@omaryhango6696 4 жыл бұрын
Point
@israelpwele5535
@israelpwele5535 4 жыл бұрын
Pasua kichwaa, mchungajiiiii
@mwabayachacha3557
@mwabayachacha3557 4 жыл бұрын
spika leo nimekupenda umempa muda msigwa safi sana
@adventureguidertanzania2331
@adventureguidertanzania2331 4 жыл бұрын
Msigwa Ni Moto jamani
@mohamedisarafi5308
@mohamedisarafi5308 4 жыл бұрын
Msigwa🙌🙌🙌🙌
@jeremiahdibogo2910
@jeremiahdibogo2910 4 жыл бұрын
Mbona hapa kuna taarifa nyingi
@ibrahimrajab1702
@ibrahimrajab1702 4 жыл бұрын
Huna lolote sisi tunajisikia raha Rais wetu anaposuluhisha migogoro pahala Popote, kwaiyo wewe msigwa unawivi tu waache mawazili wapige kazi kwa vitendo
@ulomistephen7679
@ulomistephen7679 4 жыл бұрын
Akili.kubwa
@lonyorilaizer8507
@lonyorilaizer8507 4 жыл бұрын
Mchugajiiiiiiiii
@valentinemtei2927
@valentinemtei2927 4 жыл бұрын
Utangazaji ni fani, kama huitumii ukatumia mawazo yako utakua huna unalofanya
@galussskale8701
@galussskale8701 3 жыл бұрын
Watu Bora saaana kwa kizazi chetu,inafanya kazi hadi Leo 2021
@esromkanubho4738
@esromkanubho4738 4 жыл бұрын
Vizuri msigwa lakini msaidie kigwangara
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 4 жыл бұрын
Wape wape vidonge vyao !!!
@daytonmsuku8419
@daytonmsuku8419 2 ай бұрын
Fact
@salehehassan3665
@salehehassan3665 4 жыл бұрын
Wazee wa taarifa, hawa hutawasikia kuchangia vitu vya msingi
@lonyorilaizer8507
@lonyorilaizer8507 4 жыл бұрын
Wape somoooooo
@ameniameni617
@ameniameni617 4 жыл бұрын
Wabunge wa ccm wote viazi mnakalia miongozo baada ya kusikiliza ushauli mnaopewa na wapinzani wenye Akili kubwa kama ya msigwa
@petromashauri2804
@petromashauri2804 4 жыл бұрын
msigwa baba lao
@yusuphmkapa5302
@yusuphmkapa5302 4 жыл бұрын
Kamwene veya
@merypeter7467
@merypeter7467 4 жыл бұрын
Yusuph waambie baba tupone
@leoniaedward9435
@leoniaedward9435 4 жыл бұрын
Msigwa hayo ndo mambo poa
@roseberryhamoud6542
@roseberryhamoud6542 4 жыл бұрын
Steve Nyerere anakusubiri
@reginaclemence1200
@reginaclemence1200 4 жыл бұрын
Amewakuna ndo maana mnakuja na taarifa
@yoshuabosco4725
@yoshuabosco4725 4 жыл бұрын
Msingwaaaa aaaa a a a a a wewe Ni noma sana
@seifmohamedseif9467
@seifmohamedseif9467 4 жыл бұрын
Kweli km china mchukue jack chain mpe free muhudumie kubaliana nae arudi china akutangazie uone wachina watakavyo ingia hapa
@elishalazaro4033
@elishalazaro4033 4 жыл бұрын
Mwamba katunga kanuni😃 kaambiwa asome anasema hajafungua tablet
@adiliharold1172
@adiliharold1172 4 жыл бұрын
Msingwa huwezi ukawa mbunge wa kutuongoza kama waziri kama unashindwa kujua matatizo ya wananchi na badara yake kujikuta unawaza sana uchumi wakati huo hufikilii kama sisi tunaitaji amani ya wenyewe kwa wenyewee ndipo watalii waweze kuja pia migogoro ya watanzania wandani hawana watu maamulu kwa ajili ya kutatua MSIGWA UMEONGEA UPUUZI SANA UPUUZI SANA UPUUZI SANA HUFAI HUFAI HUFAI.
@sayibahati7316
@sayibahati7316 2 жыл бұрын
intelligent
@amedeusmodestikimey9888
@amedeusmodestikimey9888 4 жыл бұрын
Imepenya iyooo
@kavishevicky1816
@kavishevicky1816 4 жыл бұрын
Hajafungua tablet ila amemuelewa mchungaji ....ni hatareeeee...anichukue hata Mimi jmn lukuvi Iam available jmn
@shabaniguma8696
@shabaniguma8696 4 жыл бұрын
Kanuni ya ishirini na nane ni mpuzi wabunge wengine hata sijui wamefika mjengoni yani kumzuia msigwa asionge
MSIGWA TENA BUNGENI, AWASHUKIA WANAOISIFIA SERIKALI, JENISTA AMBANA
7:41
Mwananchi Digital
Рет қаралды 18 М.
Must-have gadget for every toilet! 🤩 #gadget
00:27
GiGaZoom
Рет қаралды 12 МЛН
WHO DO I LOVE MOST?
00:22
dednahype
Рет қаралды 80 МЛН
Sigma Girl Past #funny #sigma #viral
00:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 31 МЛН
MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"
11:04
Global TV Online
Рет қаралды 111 М.
Zitto Kabwe 'ACHARUKA' Bungeni "Tusije Kulaumiana, Siasa Itakuwa Ngumu"
15:02
MBOWE- "WANAOKOSOA SERIKALI WANASTAHILI KUFA! HATUTAJENGA NCHI KWA BUNDUKI"
14:01
Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka
6:46
BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa
11:41
Millard Ayo
Рет қаралды 662 М.
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 553 М.
Must-have gadget for every toilet! 🤩 #gadget
00:27
GiGaZoom
Рет қаралды 12 МЛН