Maigizo jaman maan naon koment mbaya ila ametowa mufano musisem vibay
@YusuphJuakali3 ай бұрын
Mpemba gani mikono wazi
@denisotieno59723 ай бұрын
Mpemba mrembo sana naeza pata namba zake
@SaidAbdala-f7p3 ай бұрын
Mko sawa. Kwasababu zanzibar ndio iliyomurika tochi kwenye hilo pori la tanganyika.
@DanielGood-m8l3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 eti pori
@johnnnko58143 ай бұрын
Unaiga umaskini umevaa miji.chains kibao....??
@AmeHaji-r3m3 ай бұрын
Hivi njiti ana mimba au vipi maana hatumuoni kwenye comedy zenu huyu mlomchukuwa saivi haendani na nyinyi kiukweli hamna kitu huyu
@hassanovajunior69723 ай бұрын
Anaendana vizuri tu fikra zako ndio haziendani na content 😂
@enah-j9w3 ай бұрын
Ww msichana ndio unakipaji sawaa lkn jistiri basi ww ni mtt wa kiislamu kuvaa hivyo si maadili ya kiislamu , kwani ukijiaitiri utapungua wapi ? Kumbuka kuna uhai na umauti.
@Kassim-o6m3 ай бұрын
Huyu mwamke hamufanani chukua mnyamwezi mwenzio
@hassanovajunior69723 ай бұрын
Acha roho mbaya
@salehkhamis-ob8ln3 ай бұрын
Acha ujinga hio ni Sanaa watu wapo kazini wanatafta rizki
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
Mambo mengine Ni kujidhalilisha TU kwa tamaa ndoogo ZA upuuzi. Mwanamke kama wewe wameolewa na wastaarabu na uwezo wao. Umekaa kupumbazika na wahuni mara tiktok. kama ulikuwa dhahabu basi wanawake mnajigeuza kuwa vinyesi tu. Kila kitu hakikuelekei upo upo tu ndio yashakupita na wenzako wana heshima zao wametuliia. Uwarabu ukawe nao wewe kishamba tuu.
@auleusmuyamba42083 ай бұрын
Acha maneno ya kukatisha watu tamaa katika kuipambania kazi na vipaj vyao
@mtulivu-ir1nq3 ай бұрын
Ah kwani vip mbona maneno mengi makali kwani amekukosea Nini au unataka aweje acha kupayuka kwa watu usio wafaham iyo ni kazi kama kazi nyengine kwani kosa lake ni nini😂😂😂
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
@@mtulivu-ir1nq wewe mkeo waweza mruhusu kazi hio?.
@mtulivu-ir1nq3 ай бұрын
@@hilalkhalfan1452 we unaonekana unaroho mbaya na wivu mbaya sana na atakama hujapendezwa na alichokifanya ila sio kurpokwa maneno makali kiasi kile kama vile kuna jambo baya kalifnya au kakufanyia