simulizi yenye kuhuzunisha,ni siku ambayo siwezi kuisahau,nilikaa kwenye bahari usiku kucha.
Пікірлер: 144
@omarkali77122 жыл бұрын
Naitwa Omar Kombo Ali ni miongoni mwa wahanga wa ajali ya mv. Spice islanders 1, na mm ndio mtu wa mwisho kuokolewa, niliokolewa na meli ya mv, Serengeti majira ya saa 8 za mchana ya tarehe 10, nikiwa naogelea tu bila kujuwa naelekea wp, alhamdulillah Allah ni wa pekee kabisa tunapaswa kumshukuru kwa kila jambo, Allah awalaze mahali pema peponi wale wote waliotangiulia mbele ya haki, na cc tulipona Allah atupe maisha marefu yenye kheri na cc
@lkshmykomar54723 жыл бұрын
Allah awalaze NDUGU zetu peponi ishalla awajaliye makabur yao yawe bustan ktk mabustan za pepon 😭💖
@ahluljazira22593 жыл бұрын
Hilo ni janga kubwa sana subhanallah inashinda ile ya titanic Allah awasameh yaliyowapita awajaalie jannat firdaws iwe makazi Yao Amin ya Rabb
@frankdanford82453 жыл бұрын
Inaumiza sana naumia mno kila nikisikia haya yaliyotokea tuombe mungu kila tutokapo atushikilie na kuzilinda nafsi zetu na kila tunaporudi tukumbuke kumshukuru muumba wetu Amina na anatushindia kila magumu tunayoyapitia.
@khairatally77333 жыл бұрын
So sad wallahy😪.. Allah awahifadh kwa Hilo na jengine in Shaa Allah 🤲 na awasameh na awalaze mahala pema peponi kwa wote waliotangulia Aaamiin
@faridaiddi1043 жыл бұрын
So sad 😭😭😭😭 but Allah Qariiim 🙏😭 mungu awarehmu maiti wetu walio tangulia
@moudboss20303 жыл бұрын
Cd ya Matukio yote nimetoka kuitazama leo 😭😭😭 Roho inaniuma. Mwenyezi MUNGU azilaze Roho za marehem peponi.
@ghanimaali45072 жыл бұрын
stori inaskitisha sana ila mtangazaji hafai hujui hta kuuliza shida tupu
@MOHAMED-g6f9t29 күн бұрын
Mungu awajaalie makazi mazuri mema peponi kwa walio tangulia mbele za haki🙏🙏🙏😭😭😭😭😭
@khamisshee51313 жыл бұрын
So Sad Allah awarehemu wote walio poteza maisha AMIN AMIN AMIN 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@aminaabdulla88293 жыл бұрын
Kazi ya mungu haina makosa sote safari yetu moja mungu awape subra amiin
@happymarchiusnjungani11383 жыл бұрын
Dah..pole sana Endelea kumshukur mungu ..waliotangulia Mungu awarehemu
@bintmuhammad49133 жыл бұрын
Subhana Allah! Inaskitisha sana mji ulijiinamia ni huzuni tu kwa kweli alhamdulillah kwa wote waliokoka. Allah awajaalie pepo yake waliofariki nasi atujaalie mwisho mwema..amiin
@w40583 жыл бұрын
Ni upumbavu wa wahusika kwa nini waliruruhusu meli iondoke hali ya kuwa imejaa sana ni uzembe plus tamaaa tu serikali pamoja na kwamba walipinguza watu wasitowe amri ya kusitisha safari kabisa kuna taarifa kwamba meli ilikuwa inaingiza maji,kweli kabisa MMungu analoliandika hakuna wakulifuta ila ukweli ni uzembe uzembe uzembe na tamaa hakuna jengine
@w40583 жыл бұрын
Alhamdulilah kusikia kwamba watu wameshahadia Allah akawalipe pepo ya daraja ya juu kwa uwezo wake Allah
@maryammustafa11073 жыл бұрын
Bahati anajuwa kuogelea,dah mpaka machozi yamenitoka yani😭
@maryammustafa11073 жыл бұрын
Kadra Allah
@sadabkari55323 жыл бұрын
Hii siku inaniliza sana haikuwa Muna familia yangu ila familia za wenzangu ni zangu pia kwasababu cjui kesho yngu na historiya ya Ashrak inazidi kunikumbusha mbali ila Mungu mkubwa sana na anauwezo 😭😭😭
@sadabkari55323 жыл бұрын
Allah atufikishe salama inshaallh
@gharybabdulla84953 жыл бұрын
Allah awarehem na awasameh wote tulowapoteza,pole sana brother
@nassorhaji26373 жыл бұрын
Daaah...kwa kweli inauma sana nilimpoteza rafki yangu kipenz na jirani yangu Innalillahi wainnaailahi raajiuun raajiuun...Allah awasameh wote waliopoteza maisha ktk hii siku...
@maryamhabib4663 жыл бұрын
Pole sana
@fundisuma45423 жыл бұрын
Aaaaaahh mtangazaji znazingua hauna fani ya utangazaji hata uongeaji wako haupo clear,
@mbarackawadh37563 жыл бұрын
wow tupoe woteee😭😭sema nn big up classmates big up sillah big up shia big up smediaz .... 2gether sanaa
@abdulfattaah45102 жыл бұрын
الغريق شهيد والحريق شهيد أسال الله أن يرحم أمواتنا جميعا يارب انت أرحم بعباده انت أرحم بنا ليس لنا رب سواك فندعوه وليس لنا رب سواك فنرجوه
@pandemictv73453 жыл бұрын
alhamdulillah nlisafiri mwanzo kabla ya tukio ila nahuzunika nlipoteza rafiki zangu wawili
@mwanaishakhamis80693 жыл бұрын
😭😭🇰🇪poleni Sana muliofiliwa .mngu atawapa Subra insha'Allah
@Nashakirozo48812 жыл бұрын
Mungu mkubwa 😭😭😭kina cha kutembea meli ulizama n ukapona aki Mungu n mwema yani machoz yananitoka aki pole kwa wote mlipatwa n janga ilo Insha Allah mungu atawasamehe walio tangulia mbele za haki n atusamehe sisi siliopo duniani 🙏😭
@zahororashid2393 жыл бұрын
Dah poleni Sanaa Allah awafanyie wepec
@jamaalmuhammad74573 жыл бұрын
Ashraq unanikumbusha shanaa bro tulikuwa twins ila my brother kaondoka nikaokoka mimi na nyinyi really sad😭😭😭😭
@theodoltheophil78583 жыл бұрын
Pole best
@ashashaphy94133 жыл бұрын
Pole Sana Allah awasameh maiti zetu Mimi nilimpotez mam angu Ila ni meli ya dar kuj znz tuwaombee dua tu ndo kilichobakia
@nassorahmed46723 жыл бұрын
Pole an Jamaal Broo wako ajmal alikuwa mshkaji wangu sn
@ummuashfaq39203 жыл бұрын
Jamaal Muhammad pole sana
@ummuashfaq39203 жыл бұрын
@@nassorahmed4672 polen san
@watototuwajali3763 жыл бұрын
Allah awape subra ❤️amiin
@dullahmudy22553 жыл бұрын
Pole saana ndugu yangu story yako imenitoa machozi.. mwandishi ongeza taaluma kidogo..coz story zako zinahuzunisha saanaaa
@kadijahajali39183 жыл бұрын
Mungu arehem walikufa ishaalah aweke pali pemba peponi ishaalah mungu ndiyo kila kitu
@sakinat25273 жыл бұрын
Amiin
@sabriyasuluh30023 жыл бұрын
Allah awape kauli thabit marehemu wote aminn inshaallah na Allah azipe subra familia zote aminn inshaallah
@thestonetown33023 жыл бұрын
Dahhh.....inauma sana all it waz my blood.......
@hajiharoub81253 жыл бұрын
Abiria lengo lake afike safari yake Inauma Sana zaid ya sana maana now machoz yananitoka
@najimmbarouk45293 жыл бұрын
Ashar wallah umeongea uzuri inanisikitisha sna mm siku hii nilikataa kusafiri
@zaidybakar6865 Жыл бұрын
Naitwa Maoud Juma mm ni mhanga wa Ajali ya mv spice islander Allah awarehem ss ni sisi tuliokolewa na mzungu toka Nungwi haihadithk kwakweli.
@rhhr34958 ай бұрын
inauma sana . I cant it over my life.Oh Allah protects us
@maqboulal-barwani25063 жыл бұрын
Alhamdulillahi Baraka llahu fiykum. Akhuwiy
@fahadhamad49243 жыл бұрын
😢😭😫😪Pole sana broo story inahuzunisha sana
@mhrmahir37563 жыл бұрын
karashia sawa sante maaruf
@fatimaf52842 жыл бұрын
Pole san Kaka agu
@ashasuleimani2057 Жыл бұрын
Naitwa asha suleimani ali mm pia nimuhang wa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭siwez elezea mengi ila haisahauli
@amransalim56633 жыл бұрын
Pole sana bro Mr kimbola
@rashfordsulley74022 жыл бұрын
Allah Anasema kuulu Nafsi dhahikatu le maut lila nafsi itaonja mauti kwaiyo tisihuzunike yoni mipango ya Allh🙏🙏🙏🙏😌🙏🙈🙈🙈😭😭
@theodoltheophil78583 жыл бұрын
Pole Ashrak
@arafatkombo58233 жыл бұрын
Mzee karashia ple sn Allah awajaliye kheri amin
@shanimwakilima9683 жыл бұрын
Pole Ashiraffi Allah SW awarehemu Mai wote
@AliOwjsyКүн бұрын
Wallwah nimetokwa na machoz
@halimhakim14083 жыл бұрын
Bro Allah akuweke na kukutunza sku zote na akujalie khatma njema kaka