Sio hasad bachu anapotosha na ilomu hana sasa achafue achwe
@is-hakayussuf99813 ай бұрын
Hapo ni porojo tu bachu ndo ana elimu
@adamhashim33523 ай бұрын
Hasad kwan ana nn
@is-hakayussuf99813 ай бұрын
Amin
@UstadhSalmu3 ай бұрын
Shukran maalmu Mie naisubili kwahamu hiyo mada yakivuli in Sha allah
@ShabanMohamed-e9l3 ай бұрын
Nime kuelewaaa sana upo sawa huyo mtt wa bachu Wala ASI washuhulishe ana kamshahala kwa ajili ya kutetea uzushi
@tbm7tv2572 ай бұрын
Watu wa Bid'aah kama wakristo, mmepotea.
@sheikhyusufdiwan24893 ай бұрын
جزاك الله خيرا
@jamalabdillahi35753 ай бұрын
Bachu pia wewe kubali ukikosolewa...
@abdallahkabuto83923 ай бұрын
Bachu Dunia sio kama meza..hii arthi ina time zones nyingi na hiza Zina thinitisha utukifu wa Allah,na ukweli Mtume (SAW).watu wafuate matlai (zones)za kwao.
@sulekhan71193 ай бұрын
Wajuwa kujifanya kira kitu unajuwa nimtihani mambo mengine angalie tu
@salumkaisi49073 ай бұрын
Mashekh mnafeli wapi kama arafa nitendo la kusimama arafa linalofanyika siku siku siku ya 9 nalinafanyika namaujaji? Hiyo siku fungeni
@Zuwenamachela3 ай бұрын
Hyo Dalil haipo ya kufunga kwa kuangalia kisimamo hapa kinachozingatiwa ni mwez 9 na mwez 9 inategemea mwandamo dhulhijjah kwa kila sehem hicho kisimamo kinategemea mwez 9 kwahyo kisimamo cha mahujaji kinategemea, mwandamo wa makkah lkn kwa walio mbali na hijjah hawahusiani kabisa na kile kisimamo kwa sabab kile kisimamo ni tendo la mahujaj lkn weye si hajj kwasabab pia funga ya siku ya arafah ilikuwepo kabla ya, kufaradhishwa hijjah uelewe acheni kupotoshwa kwa kuwasikiliza mashekh mihemko akina Bachu
@HemedSerious3 ай бұрын
"Ni uzushi wa wazi'' ni msimamo wa kimwehu sheikh haji Allah azidi kukuweka na afya. Inshallah...
@madhuru25543 ай бұрын
Hao wanaosema fungeni tarehe 9 ndio wazushi Mtume swallahu alayhi wasallam amesema fungeni yaum Arafah wala hakusema fungeni tarehe 9.
@rashidhemed14443 ай бұрын
@@madhuru2554sawa twambie mtume wakati wake kafunga vipi na swahaba na tabiina na tabii tabiina
@allykhalfan95133 ай бұрын
Haji upepe rudi madrasa ukasome tena
@mapishiyetumazuri23123 ай бұрын
Tuacheni bachu wetu
@ibrahimutuwaamiri91633 ай бұрын
BACHU MJINGA ASAMEHEWE TUU MTOTO MDOGO ANALOPOKA TUU
@AthumanMohamed-xq1qe3 ай бұрын
Huyu mtoto wa bachu hajui elimu
@omarysungi46353 ай бұрын
Kisimamo cha arafa hakifungamani na funga ? Au
@JabirBakar-ys8dw3 ай бұрын
Nakupenda sana mwalimu
@alikurran1503 ай бұрын
Ushauri wangu epuka maneno ya hasira kama mwehu,punguani,etc yatakushushia heshima
@AmirathumaniSori3 ай бұрын
Shekh hauna JPY wew acha kundanganya wat wewe muongop mungu
@abdallahkabuto83923 ай бұрын
Ajabu ya uhabi unachimbuko la uzayuni ndio wamepata jina lingine ,wanaitwa ZIOSLAM.yaani islamya uzayuni.wanao chukia wapalestina,wala hata chakula huwanyima .
@shmohd113 ай бұрын
Muongo. Kuna Wapalestina zaidi ya 200,000 wanaishi Saudia.
@BofuMlanzi3 ай бұрын
Swali lingine. Je, waislam and wa zamani ambapo hapakuwa na vyombo vya habari wao waliangalia mwezi tu na wakatofautiana siku ibada zao batili?
@shmohd113 ай бұрын
Sheiikh Ibn Uthayneen ni kauli yake (Allah amrehemu). Je mumeisoma Fatwa ya Lajnat Daaimah ya huko huko Saudia kuhusu suala hili?
Bachu mwenyewe huku msa alijikojolea ilibakia kidogo tu ajikunyie maana swali moja tu ilikua hali hiyo je!!@@khadijashee9105
@mngwaliis-haka53483 ай бұрын
Mashallah ahsante sanaa
@badrukhamis-rx1yu3 ай бұрын
Sio siku nyengine ni siku Ile Ile siku Ina masaa 24
@KhamisHabib3 ай бұрын
Assalaamu alaikum kwa hio yule uliemuweka tumsikilize alikua Mtume au
@fauznuhu99813 ай бұрын
Mashallah
@Fatma99-ve7ys3 ай бұрын
Shekhe Muhammad bachu kusema ukweli mafundisho yake yanapotesha jamani asiy kuwa na elimu kama mm akay kimya awe ni msikilizaji tu ila asipotow uislamu Mm sijasikiyapo alla asiwe na kivuli Astaghafirullah
@KhamisHabib3 ай бұрын
Ingekua unafahamu zaidi mbona ndevu tu zimekushinda kuweka au hadithi pia alikosea Mtume
@IbrahimsalehKikuli3 ай бұрын
Ache kuita mashekh waong wao wamesom watoa fatua kwa walch kifaham mm n ww tunaft upepe tu
@HajjiSuleiman-er4ly3 ай бұрын
Tuacheni nyinyi nyote wawili ikhtilafu mmezikuta kuweni na adabu ya elimu
@superhemed75903 ай бұрын
Hoja ni kwa masaa Macca na tanzania masaa yapo sawa
@saidilikananowe14463 ай бұрын
Hoja kufunga pamoja dunia haiwezekan ndio inayozungumziwa kwamba mkifunga pamoja na watu waliopo hija ndio unazipata hizo fadhila za arafa ss sheikh ndio anakuambia hapo sio sawa na haiwezekan hebu sikiliza kwa makin hy ni elim usiwe mwepes kwaajir ya ukaid tu.
@salemaliy19633 ай бұрын
Hemed quruan.hasemi hivo
@SuleKhamisi3 ай бұрын
Ivi mna Nini nyinyi jaman mnawapa nguvu wacokua waislam
@PeacefulSoccerGoal-ki7td3 ай бұрын
Hpa Kwa shk bachu umepata mwenzio coz yy atakujibu ila shk Ally mselem huwezi mpata Kwa fani hzi
@YusuphRamadhan-y1m3 ай бұрын
43:15 huyu ni mpotoshaji mufti mwenyewe natafuta kifaa cha kuangalia mwezi
Huyu mtt wa bachu yuko sawa ila nyinyi tunao waita masheikh zatu nihatari mm mahujaji wakisimama arafa ndio nafunga ndio sheria hayomengine yote mnayo ya sema niporojo tu
@tbm7tv2572 ай бұрын
Sahihi
@HemedSerious3 ай бұрын
Yani wana majibu tofauti kwenye suali moja mawahabi bwana!!!!
@MussaBinauli3 ай бұрын
shekhe basho sio muogo nhi munaficha ukueli basho kijana mjuzi kabissa na atakufudicheni wote na mashehezeno . dio munawakosecha wato .toka uge una dalili unaogea kisuaili toa dalili
@mustafapandu51893 ай бұрын
Nyinyi nyote vijana wenye pupa ya kujifakharisha kielimu wala hamna elimu na nidhamu ya elimu sijui nani kakupeni usheikh. Tunataka mabadiliko kiuchumi , kisiasa , kivita, kiuchumi usheikh wenu vibalekhe nyinyi ni kujifakharisha.
@habibuchakusaga79813 ай бұрын
Toka lini sis tukaona mwez kabla ya saudia
@hazardmjeshi52003 ай бұрын
Sasa mambo yakivuli ya nn hap na tunazungumzia arafa
@HemedSerious3 ай бұрын
Jambo halitekelezeki kbs
@mudirashid59733 ай бұрын
Maalim kanukuu sahihi.Simu na television Ndio vilivo tuharibu waislam wa kizazi kipya. Ikiwa hamna hivi kila mtu angefuata muandamo wa nchi yake. Maana uislam hauendeshwi na vitu hivi
@badrukhamis-rx1yu3 ай бұрын
Zamani Zanzibar ilifika somalia leo kwakua sio nchi yetu mwezi ukionekana somalia tunasema sio wetu
@hometownke.96583 ай бұрын
Bachu ako sawa
@Zuwenamachela3 ай бұрын
Bachu kapinda, kwa hili hana hoja msikilize huyu shekh vizuri bila ushabiki utajua kabisa bachu nawenzake wamepinda kiufupi huyu shekh nmemuelewa, mwezi wa kimataifa, haupo na hakuna, dalili ni maneno tu ya Technology
@Zuwenamachela3 ай бұрын
Bachu yuko sawa lkn syo kwa hili la mwez
@TwahirBurhan3 ай бұрын
HAWA MASHEKH WA BAKWATA MTIHANI SANA KAZI KUPIGANIA MASLAHI YA DUNIA NA KUPOTOHA....NAWEWE UNAPAMBANA KUPIGA PROPAGANDA UPATE NAFSI PALE BAKWATA
@babatidaawa65503 ай бұрын
Upepo kama upepo elim yako ndogo Sana hao sio masheikh wakubwa wewe hao ni washirikina hawafuati tawheed
@AbuuzuhairMuhammad3 ай бұрын
Bachu kwakuw mnampend t
@salamanyale22263 ай бұрын
Mtu hajielw apendwe kwa lip lbda nyinyi majuha msiojielw mpka wanazuon wenu pia mwaqapinga ni uzima kwl
@SuweidJuma3 ай бұрын
Uo bachu msomeshen mpk aelew
@KhamisHaroub-uj5ci3 ай бұрын
Mie nahis vyema ukasomeshwa wewe maan kama bachu ana kibanzi cha jicho wewe una boriti jichoni
@aishamary24623 ай бұрын
Hukuwa na sababu ya kumuita muongo ni swaala la kumuelekez alipokosea yeye ni binadamu uislamu ni kupenda
@rushu12323 ай бұрын
Huyo bachu sijui kasoma wapi maana kiarabu kinampiga chenga sana hana ilmulmantwik ndio anatoa makosa pasipo kuwa namakosa kilugha.
@alfamody62863 ай бұрын
huyu nae kwa kutafuta kiki!!?🤥kweli wewe upepo na unachukuliwa na upepo kweli kweli
@SuleKhamisi3 ай бұрын
Wewe upepo na bachu muchukilia wake zenu au mbona hamna adabu nyinyi kweli ni waislam kweli? Na mmekosa la kulingania
@AbdulshakuurMohammad3 ай бұрын
Jahhili wa
@mustafapandu51893 ай бұрын
Upepo unachanganya wasiojuwa achana na mitandao jifunze elimu kwanza
@Alvials3 ай бұрын
Kachanganya wapi ?
@saba-gv3mj3 ай бұрын
Ww ndio wachanganya haji upepo yuko sawa
@khamismaulid-zh4xk3 ай бұрын
Shehe acha matatizo hebu wafahamu ndio uwongee watu wanafata muandamo popote duniani muhimu taarifa tu nyinyi mmeshika saudia tu mbona mnamatatizo nyie
@muhidiniwadhifa36003 ай бұрын
Acheni kuufanya uislam kuwa mgumu nyote kama kukosea nyote mnakosea hemu toeni nasaha watu wajitahid wasome, ww unamwita mwenzio wahabi wewe uitwe shia ama nani upotoshaji
@Issa-ud6sy3 ай бұрын
Bacho kiielimu bado,,ila anatafuta umaarufu tu
@KhamisHaroub-uj5ci3 ай бұрын
Ila kwa wewe tayar sana na anakusomesha vizuri xana tu
@HafidhKhamis-ph8qg3 ай бұрын
Bachu so muongo ,hili jambo Lina khilafu Kila shekh anafundisha Kwa ushahidi wake hakuna haja ya kukadhibishana mitandaoni acheni kutafuta kiki na kuwababaisha waislam
@rashidmohd1153 ай бұрын
Ni kweli hili jambo ni la khitilafu, lkn bachu anachokosea yeye anataka watu wte duniani wafuate itikadi yke wakat jambo ambalo haliwezekani kwabb ni suala la kielimu ambalo lenye ikhitilafu tangu uyo bachu hajazaliwa, sasa anachopaswa kufanya bachu ni kuheshimu itikadi yke,ya wenzke na cio kujiona yeye ndio ni pure wengne ni wrong 'apo siku zte atafeli.
@athumanimahunda65413 ай бұрын
Bacho muongo. Anawapotosha waislamu
@athumanimahunda65413 ай бұрын
Tangu lini mhabi akaheshimu mashekhe.?
@KhadijaDida-j2q3 ай бұрын
Bro hakuna ikhtilaaf kwa wanazuoni kuhusu swaumu yaumu arafa hukmu ni kuangalia muandamo wa mwezi wa maeneo yako wala si kufuata kisimamo cha arafa .hakuna hata hadithi wala aya wala maulana yy ndio kaelewa vibaya kisha awalazimisha wafuasi wasio fahamu
@KhadijaDida-j2q3 ай бұрын
Hizi ni ibada mbili tofauti kabisa moja ni sunna na nyingine ni faradhi sasa niambie zaingiliana vipi ndugu yangu kisha kisha huyu alokwenda nifaradhi kwake ambayo ni ukufu arafa na nyingine ni swaum ambayo lazima uangalie mwezi
@أبوفيصل-د3ش3 ай бұрын
Ww ni upepo Ule unaotoka kweny Tundu la haja kubwa. Achana Na mitandao nenda katafute Elimu.
@arifali39423 ай бұрын
WW AKIL HUNA MISHIP YAKO YA UBONGO IMEUNGANA NA MISHIPA YA MAV .KUNA UPEPO KIMBUNGA PIA AU HUJUI
@أبوفيصل-د3ش3 ай бұрын
@@arifali3942 na ww ukakae chini usome acha kufata mkumbo. Mfano Afrika nzima ingelikuwa chini ya mtawala mmoja je bado mgesema Abuja na Tanga kila mmoja wana arafa yao???Au ni Ww ndo unaziona Arafa nying nyingi.
@أبوفيصل-د3ش3 ай бұрын
@@arifali3942 Hizo hoja zenu ni za miaka ya 90 hukoo wtu walikuwa vizani.Sasaiv sidhani kama kuna mtu anapotaka kwenda makka atapanda Punda. Tanzania hakuna Arafa.Rejea kitabu cha Sheikh Mohammad Nassoro wa Twariqa ya Qadiriyyah aliyezikwa pale mskit wa ngamia m'burahati daresalaaam.ujue kuw haya mambo sio ya kubishana.
@osos90733 ай бұрын
Swali kwa nini Allah kaleta mwezi muandamo unaotimiza siku za kiislam
@HemedAbdullaSuleiman3 ай бұрын
Ilo wahabi halina hoja kazi matusi tu
@fakiahmadi13823 ай бұрын
جزاك الله خيرا
@jumaothman44113 ай бұрын
Haya upepo usonguvu msikilize shekh wako mzwanda kwenye jambo hilo acha fujo au unataka comment na follower wingi you tube ikulipe
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh3 ай бұрын
Bachu hajielewi ana matatizo uwawapiga mpaka mashekhe zake Allah amuogoze
@latifasuleiman75273 ай бұрын
Kama hamjuwi musikoment munamkosea allah
@ommarallyhamad74353 ай бұрын
Mamlaka ya saudia wamejiandalia KALENDA endelevu na ndio wanayoitumia na kufata hawatafuti mwezi mwandamo na hivyo wameachana na ile hadithi ya bwana Mtume(SAW) isemayo"fungeni kwa kuuona mwezi na funguweni kwa kuuona mwezi ". Saudi Arabia hawatafuti na wala hawategemei mwezi
@khalifaahmed52323 ай бұрын
Kuja kwa technology ndio kumetufikisha apa yaani dooohh mpk hukmu hukmu za Allah twazitoa sisi mtume hii ibada alifanya akiwa na Maswahaba zake lkn sahii huskii mtume kafanya vp na Maswahaba zake sababu mzungu ameleta technology ndio twamuacha mtume na maswahaba twafuata mzungu kwakua twaona Kila kitu mtume hatumtaki apo dooohh Kisha watu wajiita wao ndio watu wa sunnah 😂😂😂😂
@HemedSerious3 ай бұрын
Ata mm nashangaaa, wanaitwa watu wa bidaa wanatetea Sunna, na wanaojiita watu wa Sunna wanatetea bidaa,😂😂😂
@HafidhKhamis-ph8qg3 ай бұрын
Istoshe fatwa za maulamaa makubwa Afrika mashariki walisema ikitokea tofauti ya mwezi sisi uku tufunge siku mbili na wewe haji upepo usitoke povu bure kuegemea upande mmoja
@allymbasha87943 ай бұрын
UMENIPA ELIMU KUBWA SANA KUANZIA SASA WA KIMATAIFA BIN MTANDAONI BAAAAASS ASANT SHEIKH
@HemedAbdullaSuleiman3 ай бұрын
Tatizo Lao wanachanganya kati ya Ibada ya hijja na Funga... Hijja Ibada mbali inajitegemea na Funga ya siku ya Arafa ni Ibada mbali inajitegemea na haitegemei kisimamo wala Ibada ya Hijja
@salumtakao98283 ай бұрын
Hiii Hadith inaonesh Waz kuw fung ni siku ya arafa ( swiyamu yaumu arafa) fung ya siku ya arafa. Sasa mabishano ya Nini ?? Km mtu ashsema funga ya siku ya arafa. Nyinyi mnping et fung Hain mafungamni na hijja acheni uongo, acheni matamnio. Fung hii umekuja siku ya arafa na hio siku ni Ile mhujjaj wanposinam hapo arafa na ndio sisi tuntkiw kufunga na wao mahujja hawfung hio siku ni sie tu. !! Sas mkitk huo mwez tisa wa tanzania mtjikut mnfunga siku tofaut ya sik ya arafa. Acheni ubishi fungeni siku ya arafa nusifunge siku ya mwez tisa . Huo mwez tisa unweza ukawa sio siku ya arafa na fung hio imensibishw na arafa ( swiyamu yaumu arafa). Acheni kufata mkumbo tumien dalili za Hadith na quarn. حديث أبي قتادة: أن النبي ﷺ قال في صوم عرفة: يُكفِّر السنة التي قبلها والتي بعدها، وعن صوم يوم عاشور قال: يُكفِّر السنة التي قبلها، وعن صوم الاثنين قال: ذلك يوم وُلدتُ فيه، وبُعثتُ فيه، أو أُنزل عليَّ فيه، هذا يدل على فضل صيام هذه الأيام، وأنَّ يوم عرفة يومٌ عظيمٌ يُستحب صيامه لغير ...
@muhammadal-bimani81203 ай бұрын
Huyu sheikh Muhammad Bachu anatetea Madhehebu na haitaki haqqi. Kwa mana anavyotaka yeye haiwezekani. 1. Haya hao wa nyuma yetu sisi kabla ya hii technology ilokuja juzi watu walaifunga vipi? Vipi walijuwa kama Makkah umeandama mwezi? 2. Watu wakiwa arafat mpaka iingie maghribi wanaondoka mahujjaj kuelekea Muzdalifa ndio watu marekani wanaamka, sasa hawa watafunga vipi? 3. Na Quran iko wazi lakini huyu Muhammad Bachu anatetea Madhehebu sio haqqi. Mbishi na naamini ndani ya moyo wake hivi sasa anajua kauli yake sio sahihi lakini anaona haya kusema ni kosa.
@mohamedturanardan88713 ай бұрын
Upepo toa hadithi sahihi iliyosema Mtume (s.a.w) arafa ni mwezi 9. Bali zipo hadithi nyingi zinazosema funga ya arafa ni ya kitendo cha arafa. Muongo ni wewe
@YussufYussuf-w9m10 күн бұрын
We mpuuz Jina lako upepo Tanbia za kishatwan u takwenda jus siku utakayosimamiswa katka mahkama ya alla
@al-aminbaruan61672 ай бұрын
Kumbe wewe ndio mpumbavu kiwango hiki?!!, sikutaraji WALLAAHI. JISALIMISHE KWENYE DAAWA ASSALAFIYYAH.
@KiwakaAbdallah-oe4nu3 ай бұрын
Kwani kama kauli imesema "Fungeni siku ya arafa"kama lipo neno " siku""halo kila mnavyomtusi bachu mnajidhalilisha sana ni bola MTU ukae kimya.
@gareb20013 ай бұрын
Sheikh nadhani hukumfahamu bachu vizuri anamaanisha ikiwa siku ya Arafa ni Monday basi Dunia nzima wafunge hiyo Monday wakati huo Los Angeles Bado wako Sunday lakini wakifika Monday wafunge kwani Arafa ni hiyo hiyo siku Kwanini Dunia nzima wanasherehekea Mei Day siku Moja bila ikhtilaaf kwa sababu kila nchi wanasubiri ifike tarehe Moja May kwao hawajali Australia ni mchana na kwao ni usiku
@jabaruti0013 ай бұрын
@mohamed Bachu umeona vile ilimu inavyo tafsiriwa kasome baba
@KombHaji-dr5pd3 ай бұрын
bachu pungi kam wew wallah wabilah wew na bachoo mukasome kwahu haji
@AbdallahMasoud-bp6hz3 ай бұрын
Bachu mwenyewe alijikojolea kwenye nikashi ilibakia kijikunyia 😅😅
@MwanjumaBaya3 ай бұрын
Hapana yeye nimuongo Karne zote zimepita hakuna haya mambo ila yeye Sasa kwa matusi kejeli kwa mashekhe wenzake kwenye mitandao kwani hawezi kuwatafuta mashekhe wenzake nakujadil sio kurusha mambo mitandaoni mpaka makafiri watuone sisi kituko
@babatidaawa65503 ай бұрын
Upepo sufi mkubwa upepo upepo upepo upepo huna jipya kasome kwanza elimu ya dini halafu ndio urudi huku
@KAIPAAA32113 ай бұрын
Vitabu vyote vya hadis n vyauongo, kra mtu anatunga kitab ilikikubalike anatunga uongo Mtume kasema, wahuni
@BaaOmar-j4h3 ай бұрын
Twakuuliza wewe wasema si muongo wewe umesoma au ni kama yeye umteteae muandamo utakua vipi mmoja jamaa mwalimu wenu aliwakhini ilimu au mulitoroka madrasa ndio maana hamuelewi Kila mkifundishwa!!!!
@Thabitilubunani3 ай бұрын
Sikujua kama na wewe nijahili kiasi hiki wewe na huyo mwenzako mkakae darasani acheni kuwatia makosa watu kwenye masala ya khilafu ungewekuwe wew nimuadilifu ingezungumza na kuweka waza ikhtilafu matokeo yake na na wewe unazungumza kiushbiki kama bacho
@babatidaawa65503 ай бұрын
Kwa hiyo unamnukuu muhabi Kwanini Na unasema amuwaamini wahabi ungemkuu jufri mwenye kilemba cha mtume liongo likubwa
@JumaSalimin3 ай бұрын
Huyu Haji unaongea na bachu wala hakusikilizi wala hakujibu sasa vipi hakuelewi au hueleweki ndio maana akakunyamazia
@SharrifCharo-mi1bn3 ай бұрын
Alafu mbona huyu chief kadhi wa kenya mbona ni kama anababaika hajiamini anachokisema
@Zuwenamachela3 ай бұрын
Ni muongo kwasabab hilo jambo ni la khilaf kwa watu waliombali syo khilaf kwa waliopamoja kitu ambacho hakipo sawa uelewe
@amirabubakar91953 ай бұрын
Sina upande ila kuwaita waislam mambumbu ni kuonyeshs sheikh hana staha ni aibu kwani ukiambiwa unataka umaarufu utakataa Mtume aliwatuma maswahaba waende seheme fulani na walitofautiana katka kuswali ambalo nijambo la faradh mbona hawakuitana mambumbumbu seuze jambo la sunna Tusiruke mipaka
@hajjisanga7893 ай бұрын
Sasa kama khilafu zipo basi huyo bachu alete kiusomi zaidi sio munawakosesha watu swaumu mi nadhani Elim ndio muhimu sisi tumesoma madhehebu mbali mbali na fatwa za maulamaa mkitaka fatwa ya wanawazuwoni wengi mwezi kila nchi na matokeo yao ktk umbali wao sasa hao wengine sio wengi sasa wao kina bachu hawasemi wanasema Yale wanayo wataka tu
@zurehaabdalla16243 ай бұрын
Hakuna haja yakubishana mitandaoni ambizaneni kwa siri ili kila mmoja ajijue then ukija mtandaoni ongea wewe kama wewe
@fadhilimatano32133 ай бұрын
Alimpinga shk yupi?Allah akuongoze pia wewe dini si Yanga na Simba
@bashkamohamed30413 ай бұрын
Huyu ibnu utheemin munataja taja je munamufuata ??nyinyi masufi wacheni ubishi hamutaki haki nyinyi kazi wenu nikufuata mashia tu .
@KhamisBakar-ge4sp3 ай бұрын
Masha Allah Nakupenda kwa ajili ya Allah
@AbdalahMtambuka-rh1dp3 ай бұрын
pumbavu zako Ina maana watu wamaka nawewe nani msomi naje unajiakiki Kisha wewe ushaipata pepo bakwata pumbavuzako
@ShabanMohamed-e9l3 ай бұрын
Sasa hivi baadhi ya ma wahabi wana pita nawana fundisha watu wasi some vitabu vinavyo chapishwa Tanga na Mombasa hili nili liskia Kwa masikio yangu
@SwafiyaAlhussein3 ай бұрын
Hawa mawahabi hawataki kuelewa ni ushindani ndio wao basi hawana hoja za ukweli
@madhuru25543 ай бұрын
Mtume Sallahu Alaihi Wasallam amesema fungeni siku ya Arafah hakusema fungeni tarehe 9 lau mtume angelikuwa hai mungelimkanushaa?
@AhmedmadaiAli3 ай бұрын
Je io arafa iko tarehengap au ushawahi kusikia watu wakasimama arafa tarehe 1
@madhuru25543 ай бұрын
@@AhmedmadaiAli Tambuu za lamu zauzwa hapa
@warshysaid85643 ай бұрын
Na zile nchi ambazo zimeitangulia makka kwa masaa tambua siku ya kiislamu inaanza saa 12 usiku linaappozama jua kwa hiyo siku ya arafa inakuwa ishaingia kwa hiyo makka ikiwa saa 2 za usiku nchi nyingine ikawa saa 11 alfajir wao wataamka na funga ya arafa kabla ya hicho kisimamo 7bu siku ya arafa ishaingia na hiyo masaa ya arafa nii siku na siku ina masaa 24 yanaaza saa 12 ya magharibi ya mwezi 9 mpka saa 12 ya magharib ya mwezi 10 hakuna nchi itakosa hiyo siku
@ahmadsaleh88823 ай бұрын
We upepo huna elimu ya fani hii Sasa unatowa maswali Yako kicwani sio
@SharrifCharo-mi1bn3 ай бұрын
Ingekuwa hakuna ma tv na masimu tungejuaje kama mahujaji wako arafa
@sharifsayyid3 ай бұрын
Hao unawao wataja ni waongo jufri anasema kilemba chake ni Cha mtume