IZZUDDIN UNAHARIBU SWALA ZA WATU KWA FATAWA ZAKO ZA AJABU || Muhammad Bachu.

  Рет қаралды 11,207

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

Күн бұрын

Пікірлер: 348
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 11 сағат бұрын
Watu wa baatwil wasikuchukie vipi, wakati wewe unasahihisha uchafu na ujinga wanao uingiza ndani ya Dini ya Allaah Tabaaraka Wata'aalaa, nawao Dini hawaijuwi, wanacho kijua ni vile wanavyo ambiwa na mashekhe zao tu, na mashekhe zao kwao hawakosei wanacho sema ndio ichoicho. Allaah akubariki Shekh Muhammad, kwa hakika Umma unahitaji watu mfano wako..........
@Yussuf-b3b
@Yussuf-b3b 9 сағат бұрын
Hakika kabisa sheikh izurdin kama hii ataiona sijuwi kama atakaa kwenye misikiti kutowa mawaidha kwasababu inavyoonekana IZURDIN ELIMU YAKE NI NDOGO
@sultanmohammed4157
@sultanmohammed4157 6 сағат бұрын
Shkh Azidin yuko sawa . Wacha ushekhe wako wa kupotosha wa Islam
@k.kchakua1376
@k.kchakua1376 9 сағат бұрын
Aah Sheikh Bachuuu Watupa Raha ..Maa Sha Allah ...wew nimwalim Haswa..hata sisi MAAMUMA tuna Shiba wallahi .. Jazaqallahu khaira Sheikh Bachu
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 3 сағат бұрын
JazakaAllaahu'khayran
@othmanhaji862
@othmanhaji862 5 сағат бұрын
Shukran Sheikh Muhammad Allah akupe kheri za Dunia na Akhera
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 3 сағат бұрын
Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh
@RamadhaniShembilu-l1e
@RamadhaniShembilu-l1e 3 сағат бұрын
Mashallah ndomana nakukubali bachu tangu nianze kufatilia darasa zako sijawahi kutoka patupu lazima nipate elimu. Allah akuweke kipenzi tuzidi kufaidika ,NAKUPENDA KWAAJILI YA ALLAH ❤❤❤❤❤
@alijabu6226
@alijabu6226 12 сағат бұрын
Wallaah mda mwengine uwepo wako ni neema kwetu
@KishkitvAhmad
@KishkitvAhmad 12 сағат бұрын
Wallahi wa billahi mimi nakupenda kwa jili ya Allah sheikh Muhammad nassor bachu
@salehsaleh1305
@salehsaleh1305 9 сағат бұрын
Mnafiki mwenzenu
@living_creature99
@living_creature99 12 сағат бұрын
BACHU BACHU BACHU Mashallah.. hongera sana 🙏🙏🙏 tupe elimuuu
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 3 сағат бұрын
JazakaAllaahu'khayran Ameen
@SadickMussa-g6h
@SadickMussa-g6h 9 сағат бұрын
Sheikh langu Bachu Allaah akuhifadhi na vitimbi vya Majahili na akujaalie uendelee kuinusulu sunna na uwapuuze wenye chuki zao binafsi in shaa Allaah
@KishkitvAhmad
@KishkitvAhmad 12 сағат бұрын
Masha Allah from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Allah ukupe umri mrefu wenye baraka na manufa sheikh Muhammad nassor Abdullah bachu uhibuka fi Allahi
@MwanaidAmri-y6x
@MwanaidAmri-y6x 5 сағат бұрын
Mashallah❤❤❤ ALLAH akupend piaa kam unavyompenda ALLAH amjaalie khery kipenz CHETU...❤❤❤❤
@AhmedMohamedMadaiMadai
@AhmedMohamedMadaiMadai 45 минут бұрын
Mwanawazimu nyny jitu jahil alipe umri mrefu elimu halina halina hili
@omarkhamys9818
@omarkhamys9818 12 сағат бұрын
Mashaallah shk Bachu ila hapa umemshusha mno shk izzuddin sababu ni miongoni mwa mashk wanaoaminika ana wanafunzi wengi..... Niwaombe wanafunzi wake mubak nae kwn kuteleza ndio ubinaadam ....ushaur kwa shk izzudin muone Bachu japo kwasir kwake ukajifunze
@HamzaDenilson
@HamzaDenilson 10 сағат бұрын
Izzudin sio shekhe. Kila siku yeye ateleza. Yani ningekuwa na uwezo basi ngemkatalia kutoa durus pamoja khutba. Ju lau sheikh bachu amuamulie kufwatilia videos zake atamkosa mpaka sheikh bachu atachoka. Makosa ni mengi mno
@salehsaleh1305
@salehsaleh1305 9 сағат бұрын
Munashabikia ujinga tu
@HamzaDenilson
@HamzaDenilson 9 сағат бұрын
@salehsaleh1305 Sio ushabiki akhui. Ukweli ndugu yetu izzudin atowa fatwa kwa akili na hisia
@abdallahmgaya7521
@abdallahmgaya7521 9 сағат бұрын
Masheikh wanatakiwa waache AIBU na FITINA waende wakasome KWA sheikh BACHU, Sheikh BACHU jitahidi update wanafunzi wengi walioiva vizuri ILI utakapoitwa na mwenyezi Mungu elimu iendelee kuenea
@abdallahmgaya7521
@abdallahmgaya7521 9 сағат бұрын
KUMBE SHEIKH IZZUDDIN HANA ELIMU YA KUTOSHA KUITWA SHEIKH WA MSIKITI
@AbdulkhadirMaulid
@AbdulkhadirMaulid 9 сағат бұрын
Jazzakalwahu kheiran kheira jazaa tunapata elimu MashaALLAH
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 3 сағат бұрын
JazakaAllaahu'khayran Sheikh Ameen
@sheikhabuusakakin3243
@sheikhabuusakakin3243 13 сағат бұрын
اللَّهُمَّ صَلِّ عَلَى مُحَمَّـــــدٍ وَعَلَى آلِ مُحَمَّــــــدٍ ، كَمَا صَلَّيْتَ عَلَى إِبْرَاهِيمَ وَعَلَى آلِ إِبْرَاهِيمَ، إِنَّكَ حَمِيدٌ مَجِيدٌ ، اللَّهُمَّ بَارِكْ عَلَى مُحَمَّـــــدٍ وَعَلَى آلِ مُحَمَّـــــدٍ ، كَمَا بَارَكْتَ عَلَى إِبْرَاهِيمَ وَعَلَى آلِ إِبْرَاهِيمَ ، إِنَّكَ حَمِيدٌ مَجِيدٌ ..
@rajabumusa9972
@rajabumusa9972 11 сағат бұрын
Mwenyezi mungu akuifadhi shekh muhammad bachu hata wakikuchukia lakini haki unaidhiirisha na nyoyozao zinakubali unayo yasema ila midomo yao tu ndiyo wanailazimisha ikatae haki
@AliAme-r4w
@AliAme-r4w 5 сағат бұрын
Mashalla fanyeni haya kwa ajili ya allah masheikh
@sheikhanasser4714
@sheikhanasser4714 4 сағат бұрын
Allah tuandike kwa herufi kubwa "Allah" Shukran
@abuuiqiramtv
@abuuiqiramtv 8 сағат бұрын
Ma shaallah ❤❤❤ kwa ufafanuzi huu Kuna kitu. Unaweza sema
@Nabeel-22
@Nabeel-22 12 сағат бұрын
Tupo pamoja Shekh letu Bachu Allah akufanyie wepesi
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 3 сағат бұрын
JazakaAllaahu'khayran Sheikh Ameen
@msabahkhamis5233
@msabahkhamis5233 6 сағат бұрын
Jazaakumu Allah khair Allah akupe kila lakheri na haya unayo yasema yawekwenye mizani yako ya hasnat inshallah
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 3 сағат бұрын
JazakaAllaahu'khayran Ameen
@AlikhamisAli-k9d
@AlikhamisAli-k9d 7 сағат бұрын
sheikh wangu mohamed bachu ww unajua kwa kweli nakupa hongera nyingi sana Allah akulinde sana kwenye kutoa dawa huna papara Na ndini Allah tuombee dua na sis tuwe kma ww ivo In Sha Allah
@AbuuAhmed-d4n
@AbuuAhmed-d4n 11 сағат бұрын
Asalam alaykum warahmatulah wabarakatuh Maikhwa hapa hawazozani Hapa wanawekana sawa Kwa nini shk mohamad bachu anamrekebisha kwenye mtandao Kwa sababu shk izzudini kazungumza kwenye mtandao na watu washa msikiliza Shk mohamad bachu Allah akuhifadhi na uendelee kutubainishia
@AllyHamran
@AllyHamran 6 сағат бұрын
Hajakosea chumbani kakosea kwenye mtandao na shida sio yeye izudini laaa ni waumni ndio lengo sio shehe alokosea waumini waliopotolewa.
@muaadhegyptegyptairlegypta6699
@muaadhegyptegyptairlegypta6699 3 сағат бұрын
Baraka Allahu fiikum...
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 3 сағат бұрын
JazakaAllaahu'khayran Sheikh Ameen
@AhmadRamson-g5g
@AhmadRamson-g5g Сағат бұрын
Ukwer nikwamba sheikh ni zaidi ya sheikh wallah Allah akulipe kila la kheli
@jamaldineali3228
@jamaldineali3228 12 сағат бұрын
Sheikh kipenzi changu, mie nakupenda kwaajili ya Allah, wallahi
@MwanaidAmri-y6x
@MwanaidAmri-y6x 4 сағат бұрын
Mashallah habib ALLAH azidi kukuongoza na kukupa kila la khery kwan unafanya kaz kubwa mashallah ❤❤❤
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 2 сағат бұрын
JazakaAllaahu'khayran
@ArifAli-hw4gz
@ArifAli-hw4gz 8 сағат бұрын
Jamani mtu kama swali hulijui au Huna elimu nalo yapaswa kusema ukweli , angalia sasa watu tayari wamesha jua kuwa hamna allah huakbar safi shekh bachu ,
@ShariffNoor-q6v
@ShariffNoor-q6v 3 сағат бұрын
Shukrani
@alijabu6226
@alijabu6226 12 сағат бұрын
Muhammad bachu Allaah akupe afya na ikhlaas wa kuelew ataelew asieelew Allaah atamuonyesh usahihi uko wp
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 2 сағат бұрын
JazakaAllaahu'khayran
@mirajimsigiti7317
@mirajimsigiti7317 6 сағат бұрын
Maashallaah SHEKH WETU ALLAAH AKULINDE NA MAADUI
@muhamadkhalid4976
@muhamadkhalid4976 4 сағат бұрын
Maashaallah sheikh Muhammad Allah akuzidishie elimu yenye manufaa hapa duniani na kesho akhera
@TwahirBurhan
@TwahirBurhan 10 сағат бұрын
Yaani hawa Mashekh wa KISUFI na WANASIASA hawana tofauti kabisaa
@SaidAdam-w4r
@SaidAdam-w4r 11 сағат бұрын
Wasomesheni watoto dini hii ni khazina kubwa Allah akulipe na akuhifadhi bainisha shekh
@biggestnasritv2601
@biggestnasritv2601 4 сағат бұрын
Mashallah
@IssaKaduma-q6j
@IssaKaduma-q6j 5 сағат бұрын
Allah akuhifadhi aammiinnaa
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 2 сағат бұрын
JazakaAllaahu'khayran Ameen
@husseinkinoko2476
@husseinkinoko2476 11 сағат бұрын
BACHU MASHA ALLAH ALLAH AKUPE HEKMA NA AKILI ZAIDI
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 2 сағат бұрын
JazakaAllaahu'khayran
@isackwaite-uf1zy
@isackwaite-uf1zy 7 сағат бұрын
MashaAllah sheikh Muhammad Bachu Nakupenda kwajili ya Allah kutoka Mz🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@AllyHamran
@AllyHamran 6 сағат бұрын
Allah akuhifadhi na akuongezee Elmu shekhe .
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 2 сағат бұрын
Ameen
@sadih5333
@sadih5333 10 сағат бұрын
Masha Allah, ndugu yangu Muhammad
@irshadabuhafsi6585
@irshadabuhafsi6585 13 сағат бұрын
Asante sana ndugu yangu
@saadaAbdalla1371
@saadaAbdalla1371 10 сағат бұрын
Maashaa Allah Allah akubarik cku zote. Comment zao kwann sheikh Bachu anajifanya kila kitu anajua 😳 asa km anajua kweli asiseme? Allah akuzidishie ilmu ,hukma, maarifa na afya njema
@Captainome
@Captainome 8 сағат бұрын
Mm nilisema izudin katika darsa lake ana ihstizai nyingi kuchezea sheree kauli mpaka MISEMO AU MIFANO YA wanawazuoni walahy niliacha kuskiza darsa zaKE ilesiku aliposema (sisi na maswahaba wanaopenda mtu zaidi nani?akajibu Ni SISI) TUMCHENI ALLAH IZUDIN WALAHY ANAPENDA SANA KUCHEZEA WATU SHEREEEH AKIJIONA AKISEMA YEYE NA KELELE ZAKE BAAAS IMEPITA.SHUNKRAN BACHU
@AbuuNusaiba
@AbuuNusaiba 7 сағат бұрын
Allah akbar
@ramadhansabuni3136
@ramadhansabuni3136 11 сағат бұрын
Sheikh Muhammad nasoro Bachu ALLAH akuhifadh maana wewe ni mwalimu wa masheikh na maustadh itabidi wathibitishe kwanza kauli zao kabla ya kuwafundisha watu wengine
@ayubumasudi8380
@ayubumasudi8380 12 сағат бұрын
MAASHALLAH TABARAQALLAH❤
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 2 сағат бұрын
Simba wa Afrika Mashariki na kati sh Muhammad Nassor Bachu(Allaah Akuhifadhi) Kutokana na Hasadi na Jicho Baya na Chuki za watu.
@HamidaMusa-q2v
@HamidaMusa-q2v 4 сағат бұрын
Barakallahu fikum
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 2 сағат бұрын
JazakaAllaahu'khayran Ameen
@WahidaTv
@WahidaTv 5 сағат бұрын
Sheikh bachu umesha mfata sheikh ukamkosoa..au ndio Uko miongoni kwa watu ambao wana weka wazi madhaifu ya watu.. 😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Sheikh bachu unasikitisha pia Kama unamfahamu kwanini usimfate umwambie ..? Uislamu hauja luhusu kumchafua mtu . Kwanini usimfate umwambie ..? ..😢😢😢😢
@Abdulshabani-nl8xk
@Abdulshabani-nl8xk 12 сағат бұрын
Du Allah akuhifadh akupe umri.mrefu aaamin aamin
@makhanguwakhutu2408
@makhanguwakhutu2408 12 сағат бұрын
Hapo ndugu yangu izzudinn umefell kuja mbele ya uislam ukiri ulikosea Kwa sababu umedanganya waislam kutokana na haki uje urekebishe hii kauli yako
@AliAwadh-qc8wk
@AliAwadh-qc8wk 3 сағат бұрын
MUNGU HAANGALII SAFU ILIYOPINDA PINDA SAFU LAZIMA INYOOKE
@arkamyussuf5719
@arkamyussuf5719 12 сағат бұрын
بارك الله فيك وجزاك الله خيرا
@abdulkrimalawi7165
@abdulkrimalawi7165 11 сағат бұрын
وفيك يا اخي أركم يوسف
@abasifadhiliswai9465
@abasifadhiliswai9465 4 сағат бұрын
Ukiendekeza bidaa lzm akili ijichanganye na mafuta taa. Allah akuhifadhi sheikh wng Bachu.
@kassimngao2282
@kassimngao2282 4 сағат бұрын
😂😂😂
@HusseinShahib
@HusseinShahib 4 сағат бұрын
بارك الله فيك أخي قد بينت المسألة. واضح كوضوح الشمس
@SheikhYussuf-iv6lo
@SheikhYussuf-iv6lo 11 сағат бұрын
Mashallah Tabarakallaah Allaah akuhifadh kaka angu
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 2 сағат бұрын
JazakaAllaahu'khayran
@khadijahaji2970
@khadijahaji2970 5 сағат бұрын
Huyu amejawa na chuki na roho chafu, akianza tu maneno yke unajua anataka kuongea chuki......
@Yussuf-b3b
@Yussuf-b3b 11 сағат бұрын
Tupo pamoja sheikh bachu Jana ilikuwa kwa Haji upepo,leo ni IZURDIN ,,TUWEKEE SAWA HAO MASHEHE WA KISUFI
@musarashid-xw1qm
@musarashid-xw1qm 10 сағат бұрын
Ok
@sheikhabuusakakin3243
@sheikhabuusakakin3243 12 сағат бұрын
جزاكم الله خير وجعله في ميزان حسناتكم
@swalehmohamed4849
@swalehmohamed4849 12 сағат бұрын
Pia vizuri hzi hadithi za Rasuul kuhusu miguu ndio zishereheshwe kwa mujibu wa maimu wanne wametafsiri vp
@ElvisPresley-n2y
@ElvisPresley-n2y 11 сағат бұрын
apo ndo point ilipo
@arifali3942
@arifali3942 6 сағат бұрын
Bach hajui nin fiqhi hana manhaj sahihi yy analolitak anachukua kuwek na hadith bas nakujuw kuna kauli muutamad katik kila.madh.heb na kila madh.heb wana dalili zao
@yuschhhhcdxddddddxd896
@yuschhhhcdxddddddxd896 5 сағат бұрын
Sahihi kabisa
@MohamedSaburi-s7w
@MohamedSaburi-s7w 4 сағат бұрын
MAASHALLAH, SHKH TUPO NA WW, WATAKAO KICHIKIA NI WATU WASIO PENDA HAKI, ENDELEA SHEKH,
@ZakariaAlly-vq2rd
@ZakariaAlly-vq2rd 12 сағат бұрын
Mbona Muhammad ww ulikataaa kujibu kua hujafahamu maneno ya sayyid jaafar barazanji
@JABIRHAJI-t6n
@JABIRHAJI-t6n 5 сағат бұрын
Acheni ushabiki usio lazima
@JumaOmar-c9j
@JumaOmar-c9j Сағат бұрын
Wewe kichwa kibovu unaleta mambo ya barazanji jifunze swals kwanza ndoibada yenye uteremsho
@abubakarhajjabubakarhajj1252
@abubakarhajjabubakarhajj1252 7 сағат бұрын
Barakallahu ALLAH akuhifadhi
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 2 сағат бұрын
Ameen JazakaAllaahu'khayran
@AbdulRama-u7d
@AbdulRama-u7d 11 сағат бұрын
Dah yani wewe muhammad bachu unajua mpk unakera ❤❤❤
@kasimubangu1875
@kasimubangu1875 11 сағат бұрын
Hii kauli yakusema unajua mpka unakera sionzur kwetu sisi waislam hii tuwaachie watu wa mpira na mambo mengine yasio yadin inapendeza zaid ukamuombea dua
@abdulkrimalawi7165
@abdulkrimalawi7165 11 сағат бұрын
Mashaallah tabaarakallaah
@AbdulRama-u7d
@AbdulRama-u7d 10 сағат бұрын
@@kasimubangu1875 shukran
@musarashid-xw1qm
@musarashid-xw1qm 10 сағат бұрын
Allah akuhifadh bachu uwepo wako tunanufaika hapo kwenye matege nimechika wakati sio jambo la kuchekesha
@AsampiMpili
@AsampiMpili 12 сағат бұрын
Sasa kama sheikh anafuatilia maongezi ya madam Leyla kisha akamtafuta kwa kusema anafaidika unafikir kuna nini hapo?
@adammahmood6928
@adammahmood6928 5 сағат бұрын
جزاك الله خيرا يا شيخنا
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 12 сағат бұрын
*ALLAH AKUJAZE KHEIRI NYINGI NA ABORESHE AFYA YAKO VIZURI ZAIDI NAFAIDIKA SANA NA HIZI RUDUUD ZAKO❤*
@AbdulRama-u7d
@AbdulRama-u7d 11 сағат бұрын
Raha sana kwa kweli
@hamoudel-mughery9396
@hamoudel-mughery9396 19 минут бұрын
HASBUNALLAH ALRAHMAN WANEEMAL WAKEEL
@Abdulshabani-nl8xk
@Abdulshabani-nl8xk 12 сағат бұрын
Shekhe bachu we kiboko ya wasio.elewa mi binafsi kinacho nifanya nimpende nimpende Muhammad buchu nikwamba asemi ala kwa dalili tena wazi katika screen
@AbdulRama-u7d
@AbdulRama-u7d 11 сағат бұрын
Allaah akubaarik wenye chuki waache na chuki zao
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 2 сағат бұрын
JazakaAllaahu'khayran Ameen
@NassorBarkatiGhullam-t5f
@NassorBarkatiGhullam-t5f 9 сағат бұрын
Sheikh. Kweli elimu ni Bahari,mm nawaangalia tu munavyozama. Kwangu mm sheikh.Muhammad ingekuwa ni faida kwa Mwenyezi Mungu,ungemuhifadhi mwislam kumuhifadhi Mwislam mwenziwe. Ila sio hivi unavyofanya ww. Hii inakuja kama Kiburi. Allah atuhifadhi. Na upo ktk hadithi tu,jee Sheria? Mm nakuomba mtafute umnaswihi kwa hilo.
@IsmailSanga
@IsmailSanga 9 сағат бұрын
Shukran,Leo umejitahidi hujatoa mano machafu katika kurekebisha. Atakua amekusikia na kuelimika.
@iddijuma1428
@iddijuma1428 11 сағат бұрын
Mashaallah
@ShaibMussa
@ShaibMussa 6 сағат бұрын
Mashallaah shekh letu mashaallah dah
@HashimOmar-r1j
@HashimOmar-r1j 6 сағат бұрын
Mashallah ndio maana elimu haina mwisho
@canoksancomprehensivelearn7182
@canoksancomprehensivelearn7182 12 сағат бұрын
Allah akubariki kwa faida unayoitoa kwa ummah na Allah amuongoze Izzudin maana pengine anapenda dini lakin bado hajapata taufiq ya kuijua kiusahihi lakin na umaarufu pengine unamuharibia mtu akaona akisema sijui itakuwa taabu kwake watu watamuelewa vibaya umashuhuri ni angamizo hasa katika zama hizi za media na kuonekanwa kwa wingi na ubaya sasa hapa anapoteza watu kwa kujibu kwa matamaanio au akili yake
@SamiraAdam-k6s
@SamiraAdam-k6s 10 сағат бұрын
ما شاء الله، في ميزان حسناتك
@ZulfatMaulid
@ZulfatMaulid 3 сағат бұрын
Hakuna mkamilifu isipokuwa Allah peke yke. Tatizo la masheikh wetu siku hizi hawajui hekma za kurekebishana na kukosoana maana kiilivyo hatutakiwi kukosoana kwa style hii inavyotakiwa ungelimrekebisha privete na yeye arejee kurekebisha maneno yke.
@Ibrahim-d3q
@Ibrahim-d3q 5 сағат бұрын
Hukmu ya kuacha kugandamanisha katika swalah hiyo mguu na bega ni gani shekhe? Pili, ni faradhi ama ni sunnah? Tatu, priority ni kupanga safu ama ni kugusana? Na wanawavyoni wanazungumziaje hii Hadith kwa ufahamu wa dhehebu lako na lake?!!
@eidallyeidally5093
@eidallyeidally5093 5 сағат бұрын
shekh amewek kiporo kwanza anafuta vumbi la kukata kauli kitu hiki hakijathibiti.ingali kimethibiti ama hukumu alishasema hataki.kuingia ktk khilafu iliyokuja ktk kauli za wanazuoni
@SalminSuleiman-qy3ji
@SalminSuleiman-qy3ji 5 сағат бұрын
Hhh izudin unachekesha weye hhh dini haiendi kwa akili za watu
@nassorsultan8647
@nassorsultan8647 6 сағат бұрын
Hakuna kugusanisha. lmuhimu kunyoosha swafu tuuuuu
@abuuzahra-fc2jg
@abuuzahra-fc2jg 8 сағат бұрын
Ujue kuwa wasoma nusuusi wala huzifaham
@sheikhabuusakakin3243
@sheikhabuusakakin3243 13 сағат бұрын
وعليكم السلام ورحمةالله وبركاته❤❤
@arkamyussuf5719
@arkamyussuf5719 12 сағат бұрын
Allaah akuhifadhi sheikh محمد
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 2 сағат бұрын
Ameen JazakaAllaahu'khayran
@khadijahaji2970
@khadijahaji2970 5 сағат бұрын
Mungu humpa hikma amtakae...back ground ya vitabu so kua na hikma... Kwani dini nikukashifu mashekhe mitandaoni ?...unaonyesha nini wasiokua waislamu ? ...simama ushindane na ma pastor ambao hawana wanachokijua katika uislamu unasimama unakosoa mashekhe? Kweli ww ni msomi au zumbukuku
@jumatv4669
@jumatv4669 7 сағат бұрын
Twambie umuhimu wa kufanya hivyo tafali
@HAMZAAMIRI-kp6qf
@HAMZAAMIRI-kp6qf 5 сағат бұрын
Kwani lazima mshoot muonyeshe hivyo vitabu pembeni msipoonyesha hivyo sauti itakua haitoki au acheni ria
@khadijahaji2970
@khadijahaji2970 4 сағат бұрын
Ushamba na ulumbukeni wa kusoma unachangia 😂
@izmamuizmamu6521
@izmamuizmamu6521 6 сағат бұрын
بارك الله فيك
@aimanabdillah-o4x
@aimanabdillah-o4x 12 сағат бұрын
Mimi sio mfuasi wako lakini hapo nakupongeza maana hivyo ndivyo ninavyojua.
@Muhammad_Nassor_Bachu_.
@Muhammad_Nassor_Bachu_. 12 сағат бұрын
😂
@mohagurey2214
@mohagurey2214 11 сағат бұрын
Chukua haqi baba, sio mambo ya mfuasi
@RanadhanHamad
@RanadhanHamad 11 сағат бұрын
Kumbe sheikh unafatilia hizi comment zeeetuuu !​@@Muhammad_Nassor_Bachu_.
@RanadhanHamad
@RanadhanHamad 11 сағат бұрын
​@@Muhammad_Nassor_Bachu_.Nakupenda kwa ajili ya Allah ila nakuomba tafuta fatwa walizopatia wenzako uwapongeze na usisubiri wateleze ili upate kuwabomoa.
@RanadhanHamad
@RanadhanHamad 10 сағат бұрын
Huku mwisho umeongea kihekima sana ,kweli sheikh alikua anakimbilia sehemu akaripua ripua 2
@swalehmohamed4849
@swalehmohamed4849 12 сағат бұрын
Wanazuni walosema kushikana wapo wengi hpo Izzudin ameteleza kiubinaadamu
@LuluAquai
@LuluAquai 11 сағат бұрын
Baaraka llahu fik
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 2 сағат бұрын
Ameen JazakaAllaahu'khayran
@OmarKhamis-c4x
@OmarKhamis-c4x 11 сағат бұрын
Huyo anafanya mzaha wa uswahili sio fatwa za kielmu ya uislamu.Ole wao wafuatao uswahili.
@MahmoudAbillah
@MahmoudAbillah 3 сағат бұрын
Naomba shekh unipatie namba yako mimi Mahmoud nikiwa mtwara
@iddimuatafa
@iddimuatafa 11 сағат бұрын
Allah atulindie huyu kijana azidi kutusaidia ktk kuliokoa jahaziletu maana kuna baadhi ya watu wanatutobolea jahazi letu
@abdullahleith2659
@abdullahleith2659 10 сағат бұрын
Je kama ungewasiliana nae ukampa ukumbusho than ukamuambia arudie Kauli yake, si ingenue vyema zaidi. Kuliko kumkosoa katika hali hii ya kukosoa ili watu wote wajue kama amefanya kosa ili umuaibishe.?
@SuleimanHassan-o6f
@SuleimanHassan-o6f 4 сағат бұрын
Omar bin khatwab Kakosea juu ya mimbar Mwanake akamkosoa Hapohapo hakumngoja mpaka ateremke
@omarsal3266
@omarsal3266 3 сағат бұрын
Allah amridhie
@ahmedomar804
@ahmedomar804 6 сағат бұрын
Sheikh izudin hapa umeteleza, bila kwenda kwenye kitabu, haya maneno huwa yanaaemwa na maimamu wengi miskitini, atakaye huzunika mwache ila hapo kateleza
@sadofaraji5999
@sadofaraji5999 10 сағат бұрын
Kuunganisha vifundo ni kauli na vitendo vya masahaba si maneno ya mtume.uwe muelewa.
@MahmoudAli-rs5mi
@MahmoudAli-rs5mi 7 сағат бұрын
Kwaiyo ww unapinga au maswahaba wawaona kama babuzako wa mkuranga
@sadofaraji5999
@sadofaraji5999 7 сағат бұрын
@MahmoudAli-rs5mi unatakiwa usome ili kujua msimamo wa sahaba unaweza usiwe msimamo wa masahaba wengine
@AbdulkarimNissa
@AbdulkarimNissa 11 сағат бұрын
Haito angaliwa warabu hapa tuna pata usahihi wake na warabu sio dalili kweny dini
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 6 сағат бұрын
Izzudin kakurupuka na suala Kuna masheikh wengi kama swali hanajibu anasema nitalifanyia utafiti
@omarchaijefwa729
@omarchaijefwa729 12 сағат бұрын
INNALILLAHY WAINAILLEHY RAJIUN...MSIBA KWA MATWARIKA KUZUA TUUUUUU HAO
@abuuzahra-fc2jg
@abuuzahra-fc2jg 8 сағат бұрын
Ww Mohd Bachu kwann wapotosha watu kila siku nakwambia wachukua nusus dhahiria
@MahmoudAli-rs5mi
@MahmoudAli-rs5mi 7 сағат бұрын
Haya bwanamkubwa tupe yako ghaibiya
@JumaOmar-c9j
@JumaOmar-c9j Сағат бұрын
Wewe una chuki za kijinga
@RAMADHANZSHAABAN
@RAMADHANZSHAABAN 4 сағат бұрын
NIPO ALHAMDULILLAH
@JafarTomas
@JafarTomas 11 сағат бұрын
Ila Allah akuhifadhi bachu mwanachuoni yeyote anae kosea jambo lolote maadamu aalimu Allah humsamehe kwani elimu ni ushindani unashindana bachu hivi ndio Allah na mtume wamesema ameacha warithi ndo nyie hivi kuzozana muogopeni Allah
@saadaAbdalla1371
@saadaAbdalla1371 10 сағат бұрын
Hivi ilikua anyamaze ili watu wazid kupotea huenda akiion video hii ataenda kurekebisha alipokosea
@saadaAbdalla1371
@saadaAbdalla1371 10 сағат бұрын
Muache vinyongo moyoni
@SharrifCharo-mi1bn
@SharrifCharo-mi1bn 7 сағат бұрын
Mimi niliacha kusikiliza mawaidha ya radio rahma kqa sababu ya izudini hana ilimu kabisa
@ZakariaAlly-vq2rd
@ZakariaAlly-vq2rd 12 сағат бұрын
Umoja kwenye dini ndio Jambo muhimu acha ufarakanishaji na taasubu
@AsampiMpili
@AsampiMpili 12 сағат бұрын
Kwahiyo watu waendelee kubakina ujinga2? Au alichofundisha Shekh Izuddiin ni sahihi?
Aisha Jumwa - Ruto Alivumilia Gachagua Sana
46:49
Radio Maisha
Рет қаралды 4,3 М.
Kita sudah tahu
1:12:07
Cina Apek Redhuan Oon
Рет қаралды 791
SLIDE #shortssprintbrasil
0:31
Natan por Aí
Рет қаралды 49 МЛН
Counter-Strike 2 - Новый кс. Cтарый я
13:10
Marmok
Рет қаралды 2,8 МЛН
I Sent a Subscriber to Disneyland
0:27
MrBeast
Рет қаралды 104 МЛН
#behindthescenes @CrissaJackson
0:11
Happy Kelli
Рет қаралды 27 МЛН
RADDI KWA HAJI UPEPO || JE KUFANYA KONGAMANO NI BIDAA || Muhammad Bachu.
45:20
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 10 М.
MAFUTA NILIKWAMBIA UNABAHATISHA UKAONA NI KEJELI ONA SASA || Muhammad Bachu
49:19
Зачем Путин сменил главу «Роскосмоса»?
25:32
BBC News - Русская служба
Рет қаралды 21 М.
RADDI KWA HUSSEIN SEMBE || Muhammad Bachu || 4 February 2025
49:13
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 11 М.
HAYA MAMBO SIO YA KUCHEKA LAKINI MASHEIKH WANAYACHEKEA || Muhammad Bachu.
37:36
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 10 М.
TAPSWAP QUESTIONNAIRE FULL ANSWERS.
16:49
Sadiq Tech
Рет қаралды 10 М.
LIVE NOW Prof Dato Dr MAZA Pengajian Kitab Bulughul Maram
1:00:20
Dr. Maza Channel
Рет қаралды 3,4 М.
SLIDE #shortssprintbrasil
0:31
Natan por Aí
Рет қаралды 49 МЛН