Mungu ni mwema kila wakati namshukuru sana Muna kukubali mtoto azikwe na mme wake wa ndoa .alichokiunganisha Mungu mwanadanu asikitenganishe.kaka yangu samehe yote yaliyopita amen
@anastaziaschone94036 жыл бұрын
Mungu amfichi mtu muovu ata siku moja duuh uyu dada uwemuwaz jaman
@marthamasanja16596 жыл бұрын
pole sana kwa msiba mama inauma sana tunajua tulioenda leba baada ya mazishi kaa na mme wako bwana peter muanze upya msameheane tu ni mme wa ndoa hupo poleee
@maryraphael78106 жыл бұрын
hiyo picha mtoto kafanana na Peter🙊🙊, kwaajili ya pamba naumaridadi watu wanamuona kama wa Castoooo😱
@mohamedjuma4236 жыл бұрын
Brother umeibiwa..Mr. Casto pole
@poteditha93746 жыл бұрын
hongera Muna kwa kukubali mtt kupumzishwa r.i.p patrick
@mwanarusihamisi17066 жыл бұрын
Ama kweli anae juwa baba mtoto nimama mwenyewe so kunauwezakano kabisaa ikawa pitter kwel alifunga nae ndoa nakuwa vheti vhote vinatibitisha yeye ndio baba alisii lakin ukwel wotee anao mama mtoto ila kwakuwa kitanda akizai haram wamuchee pitter amzikee uyo mtoto kwa Amani...munalove mungu anakuona naujuwee mwisho wa ubaya Aibuu mama umeumbuka
@anastaziamapunda22896 жыл бұрын
Huyu dada ni muhuhaji mtoto baba wawili aibu sana wewe dada unaonyesha umalaya wako wazi sio vizuri unatuchefua
@m.mmarckus62986 жыл бұрын
Anastazia Mapunda usimtukane huwezijua huyu mumewe aliyefunganae ndoa waligombana nini ktk mzunguko wao wamaisha siri anaijua yeye na mumewe,tusimuhukumu maisha ya ndoa nimtihani mkubwa ndomana tunzo yacheti inatolewa ndoa ikifungwa,vinginevyo wengi wao wasingeyakubali haya maisha
@neemakobiro17996 жыл бұрын
Siku zote akina Mama tunanyooshewavidole lakini tukumbuke Na akina baba nao wana yao
@nurunuru.habibu39566 жыл бұрын
Du wanawake ss wabaya tena wauwaji Dada elimika kwasasa upo kwenye kipindi kigumu huto waza kukisaau maishani
@nshonabdll93636 жыл бұрын
Ebu muhifadhini mtt kwanza kwenye nyumba yak ya milele alafu nyie muendelee na ujinga wenu
@samirateme52096 жыл бұрын
na kweli nisha
@olivercharles45536 жыл бұрын
Kiukweli knauma sana Mm n mwanamke but nimeumia sana jinsi Muna alivyofanya ungemsikiliza mume wako ingekuwa jambo jema sana, Plz Dada Muna ubadilk na umuombe msamaha mume wako, Peter ni mwanaume mwenyewe upendo na uvumilivu sana
@omarychediel13076 жыл бұрын
Muna katuchafua wanawake WOTE pia tujifunze wengine RIP pat
@scolasticachapuga87456 жыл бұрын
Mungu akuti3 nguvu muna
@mcmbilimbi85366 жыл бұрын
ni kweli mungu kamchukua kwa makusudi yake
@janenjeri34356 жыл бұрын
baby boy lala xallama mungu akipeda tutaonana
@jazilhamussa72316 жыл бұрын
sio tatizo lake Muna alikuwa hajui sikuzake Za hatarii alitembea nawanaume wawili Kwa Siku Moja polee
@FatmaFatma-kt1or6 жыл бұрын
Duh wanawake sisi wabaya sanaa
@hajirajabu20396 жыл бұрын
Ulikuw ujuw kuwa nyinyi wanawake wauwaji au
@stevenkipara93106 жыл бұрын
Mungu kakuumbua,makucha yako hakuna siri chini ya juwa.
@jenyyusuph49736 жыл бұрын
mhh 😢😢😢 hivi nikweli mtu kusumbua mwanaume ambaye umefunga naye ndoa mpaka kwenye mazishi? hee jamani inaumiza moyo doa baya sana kaleta huyu mwanamke tena la milele haki haki haki nimechefuka aaaa hee kafanya kosa lakutuka nje yandoa kaona haitoshi kafanya kosa la kutolesha mipesa namesa haa hata roho haimgusi bado hatoshi jamani kwani alimkosea nini tueche mzaha mwanamke huyu kafanya ubaya mzito sana kwamumewake
@m.mmarckus62986 жыл бұрын
jeny yusuph jamani jamani msihukumu bila kujua kilichojificha nyuma ya pazia hamuwezijua.maisha yandoa siwote wanafauru mtihani nakuwa na maisha yenye furaha,huwezijua ilikuwaje ikawa hivyo nahuyo mumewe kiundani zaidi
@paulinewanjiku17466 жыл бұрын
Rip Patrick....my condolences to the parents
@rehema20186 жыл бұрын
Patrick wangu jaman 😭😭😭😭😭😭
@mercuchebus24746 жыл бұрын
Wamama tusemeni ukweli tuwache uongo dah
@magejosephu12726 жыл бұрын
kwann hukusema ukweli kuhus baba wa MTT ulifnya jambo baya sana ,
@nelsonmakoye30096 жыл бұрын
kwer huyo mtoto kafanana na peter, nyinyi angalieni mdomo wa huyo mtoto!
@faridahangedo55546 жыл бұрын
Hatujui tatizo lilikua wapi ndo Muna akaamua kucheat,,,,Shine your way handsome patty till we meet again.
@wacmber21316 жыл бұрын
Kujiazirisha tu taswira gani umeonyesha sasa MBNA usiseme kabla mwana hajafa ama hukua na uhakika pia ww mwenyewe kuhanya hakuna maana umeona matokeo sasa kuumbuka nayo
@princessaidal11306 жыл бұрын
Rest in Paradise baby Patrick hauna kosa
@gggjjahhhh94196 жыл бұрын
Duuh hyo nayo nikali na nusu mi sitaki kusema mengii maana muna ndo anayejua nani baba mtoto lakin mbona mnamgombania ameshakufa? wakati muna ndo kaangaikanae mtoto kipindi choote hadi sasa kafia katika mikono yake.
@marietherese26376 жыл бұрын
KwakwiLi Mungu Ani saaame uyu Dada Ana Nzambi mtoto akawa na wababa wawiLi wanawake tuna Nzmbi ndowa yako ona mukana eti siyo mtoto wake sasa Dada A. M soor saa uLovunga dowa ulikuya Na mimba nju akuna ngisi useme kama mtoto siyo wandowayako inama
@mtaanitv39916 жыл бұрын
Useme nn wewe muna wewe mbaya sana aibu tupu mtt ana baba wawili
@selemansaid81226 жыл бұрын
wanawake kumbukeni kondom ili mjue Baba halisi wa mtt inashangaza na kusikitisha eti amesema ukweli na watu wanamsapoti ni ujinga mtupu hapa kinachoonekana ktk msiba huu wababa wameangalia pesa na umaarufu lakini Co ubaba wa kutoka moyoni kukiri kuwa ww ndo Baba halisi jitathmin
@fidebaraka44516 жыл бұрын
hee akiwa mzee ndo. ...nyie wadada mnakera angmpenda mmewe wa ndoa c angekerpo nawe micharuko nyieer
@omarjillo93846 жыл бұрын
Tz ina mambo saana,daah!
@davidphares53166 жыл бұрын
dada hafai hata kidogo huyo muna love hufai asee duh kutoka kwenye ndoa kwenda kugongwa na mwanaume mungine mtt wa peter huyo ila kajichanganya ajui kakwamia wapi
@kizajulienne63746 жыл бұрын
Sasa pale kote walikuwaga wapi kipindi mtoto bado yupo hai yaani walikuwaga na subiri mtoto afariki ndo wanajileta
@hajirajabu20396 жыл бұрын
Jaman kafa mtume mulimpost kama ivyo au aliye kufa kafa awez kulid
@rihnayohana51386 жыл бұрын
Ww dd wame wa wawili wote wa nn aaa kelo tu
@shabanihamza38306 жыл бұрын
Msiba ni wa kawaida tu hauna ukubwa wowote ule nyie watu wamedia ndio mnaupa uzito huo.
@rehema20186 жыл бұрын
Labda alitaka kumwambia mtoto ukweli akikua mkubwa
@annmurimi31306 жыл бұрын
Rest in peace handsome boy
@kamiqueen26556 жыл бұрын
muna kwani wewe ni wa mzunguko mara peter mara castro
@alimaalimaa60486 жыл бұрын
uyo mtoto kafanana na baba yake macho midomo wanafanana puwa
@gilianmlindo93126 жыл бұрын
pumnzika kwa amani MTT Patrick.
@ayshamahariq66656 жыл бұрын
Amefanya vzur
@ayshamahariq66656 жыл бұрын
Amefanya vzur kuamua hivo mna
@lilianmakula23996 жыл бұрын
pumzika kwa amani pati
@abubakarijuma12836 жыл бұрын
thanks
@vesitinalevocatus48866 жыл бұрын
pumzika kwaamani Patrick
@sheillahchisika84146 жыл бұрын
Huyu muna alichanganya hawa wanaume
@andrew.gadimrinji17136 жыл бұрын
Walitakiwa wakapime DNA basi. Vinginevyo ni kudhalilishana tu
@robertrufinus32336 жыл бұрын
Andrew. Gadi Mrinji wakaupme msiba au sio
@priscaneema15696 жыл бұрын
Pumzika kwa amani
@uwimanaraoul68246 жыл бұрын
Hao ndo mambo
@roidatadey45996 жыл бұрын
Mmmmmm makubwa
@hassanaminmajura35096 жыл бұрын
kererezenu tu mwenyekujua yote ni mama wa mtt nyie yanawahusu? nyamanzen huko
@bintjuma24046 жыл бұрын
Yaa allaah mrehem huyo mja wako
@hellenmgungus19796 жыл бұрын
Watajua wenye kila mtu atapambana na hali yake
@inocentluoga25186 жыл бұрын
Dada zetu tuwe makini
@luthimilalipingu56336 жыл бұрын
wadada tunatakiwa kujifunza kitu hapo tuachane natamaa isiyokuwa na faida
@pamellaamimo35476 жыл бұрын
Pole sana
@aminahhussein1066 жыл бұрын
Yohanamleemtot
@aminahhussein1066 жыл бұрын
Pamella Amimo
@hamisiyambi91276 жыл бұрын
jingaaaaaaa
@khlawena22266 жыл бұрын
Silaumu muna ata kidogo wanawake yaliyo wakuta kama y muna hawata shangaa tena nasema mwacheni muna jaman plz
@anneamor61926 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@rubyfabian986 жыл бұрын
R I p
@BONGOFASTA6 жыл бұрын
Amen Ruby Fabian
@kerrydallysaid48816 жыл бұрын
Playdoh
@laizerog32206 жыл бұрын
sura ya p
@samwelshayo43836 жыл бұрын
Mtoto kafanana na baba yake piter
@rashidmsuya69326 жыл бұрын
m
@issaomary95206 жыл бұрын
Duh,
@omarychediel13076 жыл бұрын
Muna katuchafua wanawake WOTE pia tujifunze wengine RIP pat
@aminamasawe83006 жыл бұрын
hapana sio kawachafueni wote kajichafua mwenyewe ila na nyinyi badilikeni uzungu punguzeni