Mvutano waibuka kuhusu mipango mipya ya uchukuzi Mombasa

  Рет қаралды 16,103

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

2 жыл бұрын

Baadhi ya wakaazi waelekea kortini kulalamikia kanuni za kaunti
Wanasema kubadilishwa kwa baadhi ya njia kumeathiri zaidi safari

Пікірлер: 24
@faizislam2378
@faizislam2378 2 жыл бұрын
Waache ujinga hao wafungue hii barabra hii mombasa sio ya family ya taufiq balala
@abdullahsalim698
@abdullahsalim698 2 жыл бұрын
plan yao imefail sana warudishe kama mwanzo wakazi wa msa maisha yamewasonga na sasa hii system yao wamefanya nauli zimepanda sana,mwisho wa kwisha wanataka tuwapigie kura.
@majidsaid08
@majidsaid08 2 жыл бұрын
Kazi kula marungi english point wakija na fikra za mingokaa........ mombasa sio ya watu wawili wala watu wa nyali.....
@daisylangat820
@daisylangat820 2 жыл бұрын
Mombasa has been thrown into real confusion unless you are here you cannot say we are resisting change
@Be-Rean
@Be-Rean 2 жыл бұрын
As mvitarian this was long overdue. Its an island bana, decongest the island. Introduce bicycle lanes, ama mulete gen Badi huku 😂🤣😂
@remiomar7154
@remiomar7154 2 жыл бұрын
Mombasa siyo y joho n vinasty wake alipaswa ajulishe wachukuzi kabla y kufanya upuuzi alioamua munatakiwa muwe n umoja n wananchi wenu
@rosekadzokadzo1401
@rosekadzokadzo1401 2 жыл бұрын
So waliamua tuu kudo that they're jorking with us
@riazjuma84
@riazjuma84 2 жыл бұрын
This Ujinga ya Joho wa Pojo kopo la choo hana maana kabisa.....he should resign
@faizbenjega1364
@faizbenjega1364 2 жыл бұрын
Wanao support, wengi mafala hawana kazi kufanya na wewe balala badili ulete sera kwa watu wa mombasa ujitengenezee upate kiti cha Mp . No bure kabisaa
@mocua2910
@mocua2910 2 жыл бұрын
Jam itaisha pale nyumba zilizoko kando ya barabara kubomolewa kwa upanuzi wa barabara zilizoko ndani ya jiji wala sio kugeuza taratibu ya sheria za barabarani. Ni aibu kubwa sana jiji lina barabara ndogo mno tena lane mbili kila upande. AIBUUUU
@salimhassan3369
@salimhassan3369 2 жыл бұрын
Wako hivyo utumia nguvu kila Mahali iyo ni kuonyesha awatambui Raia..
@yusufibrahim3343
@yusufibrahim3343 2 жыл бұрын
Watoe bridge ya allidina watu wa nyali wawe na bridge yao hiyo naona tatizo litaisha
@MA-ht7po
@MA-ht7po 2 жыл бұрын
leaders wa mombasa wote n wakora
@SOLOVSOfficial
@SOLOVSOfficial 2 жыл бұрын
mbona watu wanharakati zaku blame watu na implementation is not fully operating just give it like 30 days and see if they will have some improvement instead of bashing people without even knowing whats going on. ni kama mtoto azaliwe alafu you expect atembe kabla ya kutambaa the next day that will not bring improvement at all let's give it some times.
@mr..tsofasam
@mr..tsofasam 2 жыл бұрын
Kila wakati kulalamika ndio maana hakuna maendeleo,.
@fatumahassan149
@fatumahassan149 2 жыл бұрын
Hiyo ndio maendeleo?
@fatumahassan149
@fatumahassan149 2 жыл бұрын
Kama hiyo ndio maendeleo amechelewa Kaka aende apumzike polepole
@majidsaid08
@majidsaid08 2 жыл бұрын
Wewe waonekana mtu wa nyali...
@bossluda7717
@bossluda7717 2 жыл бұрын
They should ban all Matatu and tuktuk and bring BRT
@dhakomodherooherokoko6037
@dhakomodherooherokoko6037 2 жыл бұрын
Mombasa is growing and such changes are necessary. Acheni ushamba watu wa mombasa
@salimdzuya5480
@salimdzuya5480 2 жыл бұрын
Wacha ufala
@mwas4299
@mwas4299 2 жыл бұрын
I agree with you Kenyans don’t like change 😢
@princehamid2375
@princehamid2375 2 жыл бұрын
Shida si changes, the problem ni hkuna watu wa kuDirect gari hzo new routes na hio new system... Most drivers from other places hawajui ata hzo roads vzuri so inakoroga watu sana
@joanqueck2902
@joanqueck2902 2 жыл бұрын
Wana wa adam amuishi kulalamika kila kukiwa na maendeleo mara hi mara ile
تجربة أغرب توصيلة شحن ضد القطع تماما
00:56
صدام العزي
Рет қаралды 56 МЛН
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 23 МЛН
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 19 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 43 МЛН
NGOs oppose perceived handshake between Ruto and Raila
1:36
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 8 М.
Citizen TV Live
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 5 М.
Governor Nyaribo invites Nyamira youth for talks
1:43
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 860
تجربة أغرب توصيلة شحن ضد القطع تماما
00:56
صدام العزي
Рет қаралды 56 МЛН