Baadhi ya wakaazi waelekea kortini kulalamikia kanuni za kaunti Wanasema kubadilishwa kwa baadhi ya njia kumeathiri zaidi safari
Пікірлер: 24
@faizislam23782 жыл бұрын
Waache ujinga hao wafungue hii barabra hii mombasa sio ya family ya taufiq balala
@abdullahsalim6982 жыл бұрын
plan yao imefail sana warudishe kama mwanzo wakazi wa msa maisha yamewasonga na sasa hii system yao wamefanya nauli zimepanda sana,mwisho wa kwisha wanataka tuwapigie kura.
@majidsaid082 жыл бұрын
Kazi kula marungi english point wakija na fikra za mingokaa........ mombasa sio ya watu wawili wala watu wa nyali.....
@daisylangat8202 жыл бұрын
Mombasa has been thrown into real confusion unless you are here you cannot say we are resisting change
@Be-Rean2 жыл бұрын
As mvitarian this was long overdue. Its an island bana, decongest the island. Introduce bicycle lanes, ama mulete gen Badi huku 😂🤣😂
@remiomar71542 жыл бұрын
Mombasa siyo y joho n vinasty wake alipaswa ajulishe wachukuzi kabla y kufanya upuuzi alioamua munatakiwa muwe n umoja n wananchi wenu
@rosekadzokadzo14012 жыл бұрын
So waliamua tuu kudo that they're jorking with us
@riazjuma842 жыл бұрын
This Ujinga ya Joho wa Pojo kopo la choo hana maana kabisa.....he should resign
@faizbenjega13642 жыл бұрын
Wanao support, wengi mafala hawana kazi kufanya na wewe balala badili ulete sera kwa watu wa mombasa ujitengenezee upate kiti cha Mp . No bure kabisaa
@mocua29102 жыл бұрын
Jam itaisha pale nyumba zilizoko kando ya barabara kubomolewa kwa upanuzi wa barabara zilizoko ndani ya jiji wala sio kugeuza taratibu ya sheria za barabarani. Ni aibu kubwa sana jiji lina barabara ndogo mno tena lane mbili kila upande. AIBUUUU
@salimhassan33692 жыл бұрын
Wako hivyo utumia nguvu kila Mahali iyo ni kuonyesha awatambui Raia..
@yusufibrahim33432 жыл бұрын
Watoe bridge ya allidina watu wa nyali wawe na bridge yao hiyo naona tatizo litaisha
@MA-ht7po2 жыл бұрын
leaders wa mombasa wote n wakora
@SOLOVSOfficial2 жыл бұрын
mbona watu wanharakati zaku blame watu na implementation is not fully operating just give it like 30 days and see if they will have some improvement instead of bashing people without even knowing whats going on. ni kama mtoto azaliwe alafu you expect atembe kabla ya kutambaa the next day that will not bring improvement at all let's give it some times.
@mr..tsofasam2 жыл бұрын
Kila wakati kulalamika ndio maana hakuna maendeleo,.
@fatumahassan1492 жыл бұрын
Hiyo ndio maendeleo?
@fatumahassan1492 жыл бұрын
Kama hiyo ndio maendeleo amechelewa Kaka aende apumzike polepole
@majidsaid082 жыл бұрын
Wewe waonekana mtu wa nyali...
@bossluda77172 жыл бұрын
They should ban all Matatu and tuktuk and bring BRT
@dhakomodherooherokoko60372 жыл бұрын
Mombasa is growing and such changes are necessary. Acheni ushamba watu wa mombasa
@salimdzuya54802 жыл бұрын
Wacha ufala
@mwas42992 жыл бұрын
I agree with you Kenyans don’t like change 😢
@princehamid23752 жыл бұрын
Shida si changes, the problem ni hkuna watu wa kuDirect gari hzo new routes na hio new system... Most drivers from other places hawajui ata hzo roads vzuri so inakoroga watu sana
@joanqueck29022 жыл бұрын
Wana wa adam amuishi kulalamika kila kukiwa na maendeleo mara hi mara ile