Hizo fedha naamini zilitoka ccm na kubarikiwa na Mr Mbowe! ndio sbb hakuwahi kuzungumzia rushwa ndani ya chama zaidi alikuwa akimung'unya tu maneno! kwa kweli huyu mwenyekiti wa chadema taifa aliyepita binafsi najihisi hovyo sana sbb wapo wana wengi kwa idadi wameuwawa kikatili wakiipigania siasa na demokrasia huru ndani ya Tanzania.
@MwangaSA4 сағат бұрын
Mtakivuruga chama Mbowe amesema chama kina majeraha mkiendelea hivi mtakivunja chama anayekisimamia chama kwamba yuko Neutral ni John Mnyika sijui iwapo atakinusuru chama
@EzekieliBuyenze3 сағат бұрын
Wewe nae ni mpenda lushwa kwann uchukie
@JosephMosabiСағат бұрын
Ni vizuri ukatambua kuwa uchaguzi umekwisha ,muanze kujenga chama,hizo tofauti za uchaguzi muachane nazo
@austorb.nyondo270854 минут бұрын
Hata hujamsikiliza unatoa comments zako kizembe. Anazungumzia uchaguzi wa njombe ambao umepigwa danadana sana mpaka leo
@fredymapunda17682 сағат бұрын
Boss mlikosa location
@FrankKwanama-lo6fjСағат бұрын
Kwakweli wajumbe mmefanya jambo la mbolea sana kumuondoa mbowe na genge lake!
@geraldgogadi70543 сағат бұрын
Kila siku sehem mnazofanyia interview zinalele.Mwanahalisi is too big kuruhusu uzembe huu
@victaboy72732 сағат бұрын
Shida ipo wapi sasa
@DavidChacha-c5zСағат бұрын
Chadema wanahitaji maridhiano. Katika maridhiano lazima uovu ufichuliwe ukubaliwe na wote halafu ukemewe na uachwe ndipo njia ya kusonga mbele ipatikane. Inaonekana kulikuwa na mkakati toka kwa mwenyekiti mbowe kuwashugulikia chadema wenye misimamo mikali dhidi ya serekali ya samia, ili watakapoondoka watengeneze kitakachoitwa maridhiano na ikiwezekana zipatikane nafasi chache za wabunge wachadema kuingia bungeni na hata ushirika feki wa kuendesha serekali ya maridhiano kama Zanzibar, hili lingeihakikishia CCM kuendelea kutawala ktk nafasi ya uraisi bila upinzani mkubwa. Hiyo ndiyo hisia yangu. Hatua atakazochukua mbowe na wenzake baada ya kushindwa uchaguzi zitatoa picha Siri iliyokuwa inaendelea dhidi ya akina Lisu.
@dezruh3 сағат бұрын
Chama chenu kwa kweli hakifai , ni chama cha Rushwa sana, jifunzeni CCM. Bado wananchi wanatakiwa waiamini CCM.
@DavidSemu-gu6wpСағат бұрын
Mhhhh!
@rosemarymwakitwange62573 сағат бұрын
Yaani ukisikiliza huu uonevu na ukweli kwamba hawa wakina Kigaila ni mabwana wa wale Wanawake wa Civid 19 ndiyo unaelewa Kwa Nini Wana Chadema wakimkataa Mbowe na haya majambazi mchana kweupe
@MichaelJoashi3 сағат бұрын
Ajifunze ccm kwahiyo ccm wako safi
@Thevineyard98892 сағат бұрын
Siku hizi MwanaHalisi TV recording yenu ni very poor, audio iko very poor. Mtu aweza kudhani labda mmerekodi kwa kutumia simu ya kitochi barabarani katikati ya kelele za watu na magari
@MwanaHALISITVСағат бұрын
Tumepokea hili
@JohnGadafi-x8j3 сағат бұрын
Namkubali sana huyu dada nampenda sana sana
@menchngonyani37444 сағат бұрын
Hivi mlishindwa kutafuta sehemu nzuri yakufanya mahojiano zaidi ya hiyo standi ya mabus au kichochoroni makelele kibao,that's unprofessional
@husseinkonz51924 сағат бұрын
Kgaila nalo chawa kumbe
@tumainimwaifunga38845 сағат бұрын
Rose ungeachana na mambo yoteya zamani. Panama Uchaguzi ufanyike
@aliyageorge67944 сағат бұрын
Zamani wapi? Mwaka jana? Acha hayo muache aongee! Unajua kitu kinaitwa Freedom of speech 💬 pumbafu! Muache aongee !
@tobiaspaul92035 сағат бұрын
Endeleza migogoro
@SeverinepauloPeter5 сағат бұрын
Hii nikuendrleza
@hassangasaba45654 сағат бұрын
Hakuna mgogoro wanatoa ukweli.
@dezruh3 сағат бұрын
Chama chenu kwa kweli hakifai , ni chama cha Rushwa sana, jifunzeni CCM. Bado wananchi wanatakiwa waiamini CCM.