Рет қаралды 27,528
Wasanii wengi humu nchini wamekuwa wakivuma na kisha kupoteza umaarufu wao baada ya muda. Mwanaisha Abdallah maarufu kama nyota ndogo ni Msanii ambaye alivuma Kwa vibao vyake vyenye ujumbe mzito WA maisha lakini Kwa sasa ni nadra kwake kuskika na kibao kipya. Bila Shaka wengi watajiuliza jee Yuko wapi Kwa sasa na anajimudu vipi kimaisha. Hii hapa simulizi yake katika makala yetu ya Mwanamke Bomba
#mwanamkeBomba #Nyotandogo