Mwanaume anachagua, mwanamke anachaguliwa | Ukihitaji hela ujue wewe ni bidhaa

  Рет қаралды 10,094

Dina Marios tv

Dina Marios tv

Күн бұрын

Пікірлер: 44
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Kwa sura hii yani nitakiwe kuolewa auwahuyalam anajuwa mungu
@abduljabbarmohammed4188
@abduljabbarmohammed4188 7 ай бұрын
Wanawake huchagua sana wanaume . Ile siku watawacha tabia hii, wataolewa kwa wingi .
@magrethsimtenda926
@magrethsimtenda926 3 жыл бұрын
Soph unasauti nzuri my dear MUNGU akutunze
@nazmaabdullkarim8022
@nazmaabdullkarim8022 4 жыл бұрын
Hata Kama nachaguliwa siwez kuolewa namwanaume ambae sio nnae mmpenda
@khatibuhijja459
@khatibuhijja459 4 жыл бұрын
Nazma Abdullkarim ndio maana dk kasema una haki ya kukataa, lkn unakuwa ww ndio ushachaguliwa.
@fatushabdi2786
@fatushabdi2786 3 жыл бұрын
Umiweza 👍
@magrethsimtenda926
@magrethsimtenda926 3 жыл бұрын
Mr Robert uko vizuri nashukuru MUNGU akulinde nafamily
@abduljabbarmohammed4188
@abduljabbarmohammed4188 7 ай бұрын
Mwanamke ndiye huchagua niaminini wadau .
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Nipo oman sitakiwi ndiyo nikaja kufanya kazi sura yangu kama kifuu akitokeya mwaname anitaka kuniowa akiwa mwislam sawa sihitaji muwaji tu na bangi na mlevi na mwizi simtaki na tabeli
@thedeo472
@thedeo472 4 жыл бұрын
Kulinganisha kununua gari na kuchagua mpenzi ni haviendani Kabisa, acha ujinga, eti huyo ni mtaalamu wa mahusiano? Wanawake siku zote uchagua nani wa kuzaa naye au la! Hawa jamaa bado wapo kwenye miaka ya nyuma sana!!!
@jamilasaid1764
@jamilasaid1764 3 жыл бұрын
Mm nilichaguliwa mchumba nasikumpenda nandowa haikufika mbali tukaachana
@abduljabbarmohammed4188
@abduljabbarmohammed4188 7 ай бұрын
Inamaanisha hukuvutiwa naye
@dinatalib2703
@dinatalib2703 4 жыл бұрын
Swebe leo raha raha yako leo mada umeikubali leoo unaona rahaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Mimi nataka huyo kibonge
@bakarimngazija6672
@bakarimngazija6672 4 жыл бұрын
Dr Umefunuwa akili inabidi tupate kipindi chengine.
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Mimi nachanguliwa nina sura kama kifuu
@mozasaid3869
@mozasaid3869 4 жыл бұрын
Mimi napenda mwanaume mwenye dini, na upendo mengine yote majaaliwa,
@maryammaram2612
@maryammaram2612 4 жыл бұрын
Wanaume wenye dini naskia wakali balaa kisha mashart kama yote yani hata akikosea yeye wew huna haki ya kusema mi siwez
@asmaafamau8307
@asmaafamau8307 4 жыл бұрын
Swadakta
@khatibuhijja459
@khatibuhijja459 4 жыл бұрын
@@maryammaram2612 Mmh, mbn kama husemikweli
@maryammaram2612
@maryammaram2612 4 жыл бұрын
@@khatibuhijja459 kwelii na ushahidi ninaoo rafiki yangu kipenz kaolewa na shekhe kabisaaa wajua alikondaa shekhe ana choyoo mkalii hauji kubembeleza hana mahaba mtoto wa watu ndoa ilimshindaa
@khatibuhijja459
@khatibuhijja459 4 жыл бұрын
@@maryammaram2612 Sasa dadaangu hiyo ni kasoro ya mtu mmoja mmoja, usijumlishe viongozi wote wa dini, mm nnaushahidi sio mmoja wa kwanza ni wa mwlm wangu na imam alimuacha mkewe huru lkn mwisho wa siku yule mke akawa anatoka na jamaa pale K/koo yule sheikh akawa analalamika mwisho wa siku kaka wa mwanamke a kaanza kufatilia dadaake na kweli akamkuta na huyo jamaa, kwa ile aibu jamaa alimoiga dadaake mpk alimvunja mguu akaenda kuwekewa chuma mguuni, lkn yule sheikh wala hakumuacha mpk leo anae lkn ni mlemavu, nnao ushahid mwingi tu, lkn unapoolewa kwanza tazama Unaolewa na mtu wa namna gani, viongozi wa dini wana heshma zao, huwezi kuachwa utembee kama mbuzi hasa wanawake wenyewe wa Sasa nyie, mkiachiwa dkk 2 tu mpo kwa masharobaro na lazma abiria achungemzigo wake, uhuru ukizid sana Mnakuwa hamna adabu nyinyi.
@hjhj6230
@hjhj6230 4 жыл бұрын
Swebe Swebe mada imekufurahisha sanaa 😃😃😃
@magrethsimtenda926
@magrethsimtenda926 3 жыл бұрын
MUNGU nipe mwenye upendo na hofu ya MUNGU
@hejopantumsifusimon21
@hejopantumsifusimon21 4 жыл бұрын
Cichagui sura wala pesa upendo tu
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 4 жыл бұрын
Huyu Dr amefanana na kibonde
@jayratumaulid582
@jayratumaulid582 4 жыл бұрын
Nami nilitaka kusema hivo
@mariamscuisine8503
@mariamscuisine8503 4 жыл бұрын
Swebe anaongeaga nonsense....atolewe tu 🙄
@سالمهالرقادي
@سالمهالرقادي 3 жыл бұрын
Kabisa dda
@fatimaabdulla1320
@fatimaabdulla1320 3 жыл бұрын
Wekeni no zenu sisi tuliopo omani tuna mengi ya kuongea na nyny
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 3 жыл бұрын
Niambie mimi
@kojahelly9165
@kojahelly9165 4 жыл бұрын
Mimi namtaka mwenye pesa kiukweli
@tedymwandara5480
@tedymwandara5480 3 жыл бұрын
We unazo?
@fauzafauza1873
@fauzafauza1873 3 жыл бұрын
Maneno sadakta ila na ss pia tunachaguwa
@gullaalex6590
@gullaalex6590 4 жыл бұрын
😂😂😂😂Sweb utazeekea kweny sebule y bb yk😂
@elizabethchales2663
@elizabethchales2663 3 жыл бұрын
Atari
@munirssalzakwani7316
@munirssalzakwani7316 4 жыл бұрын
Tupo ila wachache
@abufauzan9417
@abufauzan9417 3 жыл бұрын
Je ukotayari ??
@nazalenapatrick33
@nazalenapatrick33 4 жыл бұрын
Swebe leo anakihere here balaa
KITCHEN PARTY GALA 2024 EXTRA ORDINARY PARTY TWO
50:10
Dina Marios tv
Рет қаралды 968
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 4,3 МЛН
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 28 МЛН
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
UHONDO WITH KIBAO KATA MSAMBWANDA
1:20:12
Dina Marios tv
Рет қаралды 15 М.
#255_TZ NILIKUA NAPENDA SANA KUCHEZA KIDUKI ....
5:40
SAM BYTONE
Рет қаралды 40
JUA KALI LEO JUMAMOSI USIKU FULL HD TALEHE 5/10/2024
19:57
SANDY VEVO
Рет қаралды 303
MGAWANYO WA MALI BAINA YA WANANDOA WAKATI WA TALAKA
18:19
Adv Lupelo
Рет қаралды 375
TABIA ZISIZO ZA KAWAIDA KATIKA NDOA SEHEMU YA 3
40:55
BUSATI ONLINE TV
Рет қаралды 315
KITCHEN PARTY GALA 2024 EXTRA ORDINARY PARTY FOUR
33:03
Dina Marios tv
Рет қаралды 508
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 4,3 МЛН