Kwa sura hii yani nitakiwe kuolewa auwahuyalam anajuwa mungu
@abduljabbarmohammed41887 ай бұрын
Wanawake huchagua sana wanaume . Ile siku watawacha tabia hii, wataolewa kwa wingi .
@magrethsimtenda9263 жыл бұрын
Soph unasauti nzuri my dear MUNGU akutunze
@nazmaabdullkarim80224 жыл бұрын
Hata Kama nachaguliwa siwez kuolewa namwanaume ambae sio nnae mmpenda
@khatibuhijja4594 жыл бұрын
Nazma Abdullkarim ndio maana dk kasema una haki ya kukataa, lkn unakuwa ww ndio ushachaguliwa.
@fatushabdi27863 жыл бұрын
Umiweza 👍
@magrethsimtenda9263 жыл бұрын
Mr Robert uko vizuri nashukuru MUNGU akulinde nafamily
@abduljabbarmohammed41887 ай бұрын
Mwanamke ndiye huchagua niaminini wadau .
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Nipo oman sitakiwi ndiyo nikaja kufanya kazi sura yangu kama kifuu akitokeya mwaname anitaka kuniowa akiwa mwislam sawa sihitaji muwaji tu na bangi na mlevi na mwizi simtaki na tabeli
@thedeo4724 жыл бұрын
Kulinganisha kununua gari na kuchagua mpenzi ni haviendani Kabisa, acha ujinga, eti huyo ni mtaalamu wa mahusiano? Wanawake siku zote uchagua nani wa kuzaa naye au la! Hawa jamaa bado wapo kwenye miaka ya nyuma sana!!!
@jamilasaid17643 жыл бұрын
Mm nilichaguliwa mchumba nasikumpenda nandowa haikufika mbali tukaachana
@abduljabbarmohammed41887 ай бұрын
Inamaanisha hukuvutiwa naye
@dinatalib27034 жыл бұрын
Swebe leo raha raha yako leo mada umeikubali leoo unaona rahaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Mimi nataka huyo kibonge
@bakarimngazija66724 жыл бұрын
Dr Umefunuwa akili inabidi tupate kipindi chengine.
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Mimi nachanguliwa nina sura kama kifuu
@mozasaid38694 жыл бұрын
Mimi napenda mwanaume mwenye dini, na upendo mengine yote majaaliwa,
@maryammaram26124 жыл бұрын
Wanaume wenye dini naskia wakali balaa kisha mashart kama yote yani hata akikosea yeye wew huna haki ya kusema mi siwez
@asmaafamau83074 жыл бұрын
Swadakta
@khatibuhijja4594 жыл бұрын
@@maryammaram2612 Mmh, mbn kama husemikweli
@maryammaram26124 жыл бұрын
@@khatibuhijja459 kwelii na ushahidi ninaoo rafiki yangu kipenz kaolewa na shekhe kabisaaa wajua alikondaa shekhe ana choyoo mkalii hauji kubembeleza hana mahaba mtoto wa watu ndoa ilimshindaa
@khatibuhijja4594 жыл бұрын
@@maryammaram2612 Sasa dadaangu hiyo ni kasoro ya mtu mmoja mmoja, usijumlishe viongozi wote wa dini, mm nnaushahidi sio mmoja wa kwanza ni wa mwlm wangu na imam alimuacha mkewe huru lkn mwisho wa siku yule mke akawa anatoka na jamaa pale K/koo yule sheikh akawa analalamika mwisho wa siku kaka wa mwanamke a kaanza kufatilia dadaake na kweli akamkuta na huyo jamaa, kwa ile aibu jamaa alimoiga dadaake mpk alimvunja mguu akaenda kuwekewa chuma mguuni, lkn yule sheikh wala hakumuacha mpk leo anae lkn ni mlemavu, nnao ushahid mwingi tu, lkn unapoolewa kwanza tazama Unaolewa na mtu wa namna gani, viongozi wa dini wana heshma zao, huwezi kuachwa utembee kama mbuzi hasa wanawake wenyewe wa Sasa nyie, mkiachiwa dkk 2 tu mpo kwa masharobaro na lazma abiria achungemzigo wake, uhuru ukizid sana Mnakuwa hamna adabu nyinyi.
@hjhj62304 жыл бұрын
Swebe Swebe mada imekufurahisha sanaa 😃😃😃
@magrethsimtenda9263 жыл бұрын
MUNGU nipe mwenye upendo na hofu ya MUNGU
@hejopantumsifusimon214 жыл бұрын
Cichagui sura wala pesa upendo tu
@fatmaalnabhani36094 жыл бұрын
Huyu Dr amefanana na kibonde
@jayratumaulid5824 жыл бұрын
Nami nilitaka kusema hivo
@mariamscuisine85034 жыл бұрын
Swebe anaongeaga nonsense....atolewe tu 🙄
@سالمهالرقادي3 жыл бұрын
Kabisa dda
@fatimaabdulla13203 жыл бұрын
Wekeni no zenu sisi tuliopo omani tuna mengi ya kuongea na nyny